KASWIDA "UKO WAPI SIKUONI" SHEIKH WALID AKIGHANI. MAULID MANYEMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    RUclips: / @babdeomiladu

Комментарии • 48

  • @aidasalingwa976
    @aidasalingwa976 Месяц назад +1

    MashaAllah,zote ni sifa zake Mtume wetu Muhmmad SAW

  • @swaffaa12020
    @swaffaa12020 7 месяцев назад +11

    Hivi wadhani kweli waisilamu watajumuika pamoja na mashekh wenye elimu na kupamba sehemu lengo kumtukana na kumkashif na kufanya kufru kweli sidhani mwenye akili timamu aweza fanya hayo lazima tukubali na kuheshimu ikhtilaaf za ulamaa wakati wewe wakataa wengine wanaashikinya wanazuoni zaidi ni wewe kuwach ulio na shaka nala hutopata taabu hio ndio qaida mtume s.a.w ametuachia acha linakutia shaka utaona tukiwacha haya migongano tutakuwa na malengo makubwa ya kufanyia uislimu kuliko kuzozana katika ikhtilafu binafsi naamini haya yana mashiko na wengine washike mashiko yao kama maimamu walopita walivyokua zaidi tubaki katika kalmiatu tawhid tuchunge kuwatia wenzetu katika ukafiri ikawa ni sababu ya wewe kuulizwa yaumal Qiyama au ukawa wewe ndiye utaingia kwa ukafiri bila kujijua kwa naswi ya mtume yeyote atakae mdhani mwenzake ukafiri ikithubitu yule mtu si kafiri basi yeye ndiye atakuwa kafiri maneno ya mtume s.a.w hayo tuchungeni sana ndimi zetu.shukran

  • @FatumaMikelo-jd9un
    @FatumaMikelo-jd9un Месяц назад

    Ma shaa Allah ❤❤

  • @alliyndumes4150
    @alliyndumes4150 2 месяца назад

    Mungu amlaze.mahala pema sheikh alhadnaampe yalo mema

  • @aidasalingwa976
    @aidasalingwa976 Месяц назад

    MashaAllah

  • @fathisalim2575
    @fathisalim2575 4 месяца назад +1

    Mashallah natmni niwepo na mm nimsifu mtume mbora wa viumbe kwa ijmai

  • @ShabaniRashid-lt6hj
    @ShabaniRashid-lt6hj 2 месяца назад

    Twamuomba Allah azilainsh nyoyo zet ktk kupenda majambo ya kher Allahumma Aaamiiiiin

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 3 месяца назад

    Mashallah.Skh Walid. Allah kakujaalia kila upande unafaa.
    Qasida inatugusa mno.

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 7 месяцев назад +1

    MashAllah, Sheikh Walid vitah! Vitah!

  • @user-sf3oi1dv2n
    @user-sf3oi1dv2n 6 месяцев назад +1

    Mashaallah

  • @user-ys1kb7zk6k
    @user-ys1kb7zk6k 7 месяцев назад

    MAA SHAA ALLAH
    صلى الله عليه وآله وصحبه وسلم تسليماً كثيراً

  • @fadhiliosuta1719
    @fadhiliosuta1719 2 месяца назад

    Mash Allah

  • @YAHAYAMOHAMEDI-sq3dr
    @YAHAYAMOHAMEDI-sq3dr 7 месяцев назад

    Allahumaswalli wasallim alay

  • @zaidiakagambo6100
    @zaidiakagambo6100 7 месяцев назад

    Mashaallah ❤❤❤❤

  • @nabilnassur707
    @nabilnassur707 7 месяцев назад

    MashaalAlllah

  • @daarularqammkaku153
    @daarularqammkaku153 7 месяцев назад

    Mashaalh❤❤

  • @SaadIssa-mw4gh
    @SaadIssa-mw4gh 7 месяцев назад

    Taarab ya Abdallah Issa😊

  • @user-em5fc5qd7b
    @user-em5fc5qd7b 7 месяцев назад +2

    Usihukum jambo ambalo huna elim nalo kikubwa tusome hizi ni zama za elimu

  • @user-kl6ir8nj9b
    @user-kl6ir8nj9b 7 месяцев назад

    Yaa Ras'sulallah

  • @Salimukudrakudra
    @Salimukudrakudra 6 месяцев назад

    She me nmemkubali mpga bomba

  • @mozasalum8742
    @mozasalum8742 7 месяцев назад

    Mtihani huuu miesikusoma nimejuwa kama haya sio iwenyiwe hamujui jamn😢😢😢

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 7 месяцев назад +3

      Kasome utoe ujinga sasa

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 7 месяцев назад +3

      Kumbe umesha sema mwenyewe hukusoma hya ssa utajuaje mambo ya walosoma?mbna hamujielewi nyinyi?ni haramu kuhukum jbo la dini km hukusoma dini haiendeshwi kw mawazo ya mtu

    • @katalayshemndolwa3146
      @katalayshemndolwa3146 3 месяца назад

      Nenda kwanza kasome hujasoma vip ujue haiwezekani hawawezi kulingana mjinga na alo soma nenda kasome riadh au madina maulidi sio bidaa

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 5 месяцев назад

    Masufii mbona mnapenda mzikii

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re 7 месяцев назад

    Professor Issa namuona apo

  • @mohdkhamis257
    @mohdkhamis257 7 месяцев назад +1

    Ndio maana wanachuoni wakawaita makhanithi hawa masufi

    • @allyelbusaid9888
      @allyelbusaid9888 6 месяцев назад

      Ndio mnachojua tu hiko.. kukashifu na kutusi

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u 7 месяцев назад

    Kweli mtihani huu wallah hii pia ni dini??? Inanasibishwa na uislamu msafi kabisa!!!! Yani fikiria tu mtume swalla llahu aleihi wasallam na maswahaba wanafanana na hawa waimbaji kama manaswara kanisani!!!

  • @SwalehSaleh
    @SwalehSaleh 5 месяцев назад

    Huu ni uzushi(Bid'aa)

  • @user-zw4tf5os8b
    @user-zw4tf5os8b 7 месяцев назад +1

    Wengi hapo Wana elimu ya uganga

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 3 месяца назад

    Usijaribu kumwambia mtu wewe ni kafiri achie mungu ataamua madamu mtu anasali salah tano NA anafunga NA anatoa zakah NA kuhiji NA usithani kwamba rehema ya mungu hapo kwa wale walio tubu wikimrejea

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 5 месяцев назад

    Hawa wote wakimuona kasim mafuta wanaufyata kama wana baridi

    • @anifasekumbo9273
      @anifasekumbo9273 3 месяца назад

      watu wa pembe la shetani utawajua tu kwahiyo kasimu mafuta mmoja ndo mwenye elimu wengne wapotoshaji haaa jamani hapana hapo nakataa

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 7 месяцев назад +1

    Manhaji ya upotevu na ujinga

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 7 месяцев назад +1

      UMESOMA KWA SHEKH GANI?

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwa huyo mpiga kinanda....​@@salumhassanallymkurdistan7006

    • @user-zs6qg7ql1i
      @user-zs6qg7ql1i 6 месяцев назад

      Mpuuzi ww mfate bachu mkaongee n paka wapotoshaj hmtaki asifiw mtume saw mntak tuwasifu mama zenu au

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 6 месяцев назад

      @@user-zs6qg7ql1i mtume asifiwa Kwa nyimbo

  • @AllyhHassani
    @AllyhHassani 7 месяцев назад

    Ujinga mtupu hapa kuna mtu anatafutwa hawa ndio masheikh wetu astagrifullah

    • @suleimanaliy4001
      @suleimanaliy4001 7 месяцев назад +1

      Hama nchi km huwatak

    • @anifasekumbo9273
      @anifasekumbo9273 3 месяца назад

      @@suleimanaliy4001 nashangaa mie kama hawapendi wanaangalia nini kama ni haramu mbona wanaangalia wanafiki wakubwa hawa

    • @hamadihaji4007
      @hamadihaji4007 3 месяца назад

      Ila wewe nyewe wanapenda ukienda majumbani mwao kumejaaa qaswida nisawa na wale makafiri wa enzi za mtume wanapiga vita quraan ila ikisomwa wanaisikiliza madirishani ilivyonzuri😂😂😂

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 7 месяцев назад +1

    Mash Allah