RECAP: NYIMBO 6 Bora, DIAMOND, HARMONIZE, RAYVANNY kwenye orodha, ALIKIBA hayupo?? MAVOKALI ndani
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Развлечения
Mujivunie kua na diamond yawezekana aimbi nyimbo zilizomo meseji lkn anafanya jitiada sn mziki watazania
Message siku zote lazima iwepo ata ikiwa ni matusi, kamwe wimbo hauwezi kukosa ujumbe ila ni ubongo wa wabongo wamekariri ujumbe lazima ufundishe au kukosoa wakati ata kufurahisha ni ujumbe
Brother kwangaru by harmonize should be in list A... 🇺🇬. 1. Tetema, 2. Kyangaru, 3.single, 4.shu 5. Komasava
Hio ya mavokali commando ni kweli hata Zambia wanaipenda hata kama haajui maanake
Na kukubali Sana kaka wambiye wakumpenda apende wakumcukiya wachukiye tu🎉🎉🎉🎉
Nyimbo za king kiba zenye Raza tamu hadi raha Nyimbo bora duniani
Nitajie nyimbo oja tu ya kiba ambayo imefika duniani😂 hizo raza ya mziki mzri wa kiba inaishia Africa mashaliki tu 😂😂
Shu ,single,tetema,muziki,
Hapo umekosea one diamond ft davido hii ndioo hits kubwa
Number One diamond ft Davido
Nevy kenzo Kamatiya chini
Na nyimbo ya diamond na falipupa pia ilifAnya vizuri zana
Enjoy
Also African beauty. nakupenda
What about my baby by diamond ft chike
Situation inje yatanzania bro unaongea kwa mihemuko sana ,but nilichogunduwa wew unampenda diamond tu .
ww dimond bila yy utamtaja nani acha ujinga wako ww
That is your opinion,ju ata darassa ana wimbo mkubwa ft bien
❤❤❤❤❤
Ndombolo by King music
Toka
Which dunia unasema wew 😂😂😂
Repeat kupanga list yako 😂😂😂
mahaba ya alikiba
Hakuna ukweli jisaidia mwenyewe
Runger tu mtoto wa juzi amuwezi.nyombo yenyewe viws zimebuma.mbona daimond Alipofanya show ya wa 10 mbona uiogelei
fala ww promo gan
Unasema kwel mwamba
Ivi ndombolo haikufanya vizur? Ao mwana na aje vip ?
We jamaa na kufuatilia Sana kaka
African Beauty and Marry you by Diamond Platnumz
Mapopo hadi marekani imefika,
Wwejama mmi nikikutanaga nawwe uju sikutakubakwainafika
yaani kila nikikuona unaongea nakimbilia kuplay maana wewe unaongea haki❤
Wewe armando unazinguwa ukipewa pesa upende umoja yani utamwaga sifa punguza uchonganishi sababu ya pesa
Wewe ndiyo unazingua ujuwi Acha makasiriko,Gugo uone
Namba tatu ni single again
Yope,inama sukari
Aje ya alikiba
Umesahau enjoi ya jux
Mbona huku ya ali imechezwa na wachezaj wa Liverpool mbona husem achen unafiki
Vanny juu
Sukari ya zuchu!!
Hujaweka yope limix
amelowa yake hamoniz
mwana and aje king kiba
Kwangwaru na Yope rmx
Uyu jamaha ni Mbulula kwel..ivi unaachaje kuweka AJE..ndo wimbo pekee ulio chukua tuzo nyingi za Nje pmj na tuzo za ndan ya nchi..pia unaachaje UTU 😂😂😂
Shu! Poa ilikuwa nouma
We nimungo
Tuambie ukweli
Ukweli usemwe Diamond hana kibao alokitoa mwenyewe/pekeake kikapenya kimataifa zaidi😂😅😂ye mwenyewe ashasema nyota nyota ndo tatizo langu 😂😅😂
Alisafiri ulaya America na Africa je amekwenda uko bila nyimbo zako hazikujulikana?
Ninakuelewa sana mwamba unasema ukweli mwenye kukunja akunje tu wewe nimchambuzi wetu.
Yope rix bro umeisau
Amapiano sio mziki wa Tanzania bro,,em waheshimu Nigerian biggest artist wangekua hawafanyi promo hzo numbers na matuzo makubwa wasingeyapata in short almasi bado hajafika level hzo
Bro komando ya Mavokali Iko 🔥🔥🔥🔥
Hankuna anemfikia kwenye promo lakini wanauza kuliko yy😂😂😂
Hata sababu hujui
Mbona ume atcha enjoy jux na diamond
Wewe cheze mtangazaji
Mando unasaabu Yope Remix ??
Aje alikiba unayaachaje sasa
Waambie hao hizo mburu ziache Mondi aishi na mziki, Mondi kashasema:huu mziki naujuwa saaaaaana. Hilo waliogope Mondi si wa mchezo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🤳🤳🤳🤳
Na utu ya alikiba
Wende uka tibiwe akili
Huku uioni
Single again ni namba 3 brow mbona una fact za kum'beba mtu shuu unaweka namba 3 kwer?
Nouma sana ukwel mtupu
Ray alisema usimuweke kaka we vp
Kaka unaposema DUNIANI unamaanisha nini? 😅
Diamond pengo lake halitazibika niko hapa mimi
Vzur pia kujipa moyo kibongobongo hila ukweli aufichi tunaona wanao pinga mashow makubwa we chukia views upate ugali maragwe tukisonga mbele😂😅bora uhai
sasa ikiwa nyimbo za mwambino zinafika duniani kama usemavyo zwali ni anafeli wapi huyo msaniii wako......Alafu vipi kupiga shwo 02Arena,Unaeza mueka Mwambino na Rema!!!!!!Nyinyi ndio mnamfelisha,mshawai sikia Burno Davido wakifanya challenge na vipi mafanikio yao kwenye mziki mnaeza wafananisha na Mwambino
kumbe ni orodha yako.
We jamaa ujielewi au umelewa tetema ni kolabo shuu ni kolabo single ni mbili tu komando na single again semaga kweli acha kupotosha watu. na kitu kama ujui uliza