RECAP: HARMONIZE awafunika ALIKIBA, DIAMOND kwenye ALBUM, ataikamata BONGO FLEVA, Msanii BORA 2023
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Jey z yangu aanze music mwaka 1980 mpaka sasa ana Album 13. Sasa hamo kuanzia 15-2026 ameshafikisha 5. Daaah inatisha
Akitoka diamond platnumz siku zote huwa nampa konde katika wasanii wanao jua huu mziki❤❤❤
Nakupenda unampa mtu ukweli na unaongea ukweli ❤❤🎉🎉
Facts
Konde juuuuuu sana
Very contented analysis
Wew Sijui ukoje,mana umsifie mana umponde 🤨
Leo hakika ume ni furahisha saana ! ! ! ! 🎉🎉🎉🎉
Kweli kabisa
Leo points umeongea bro
Kweli bro nakubar
Akitoka Hamonize kila siku nampa mwambino. Max zangu
Mm hawezi kufanya ni fatilie
Kweli bro matukio yake anazngua daah hata sijuw kwa nn mademu sana
Akuna kitu tatizo siyo album shida ni impact ya izo album 😂😂😂😂😂😂
Uliposifiwa wimbo wa fulani comments zilikuwa positive kwa asilimia 99%. Ni kweli Harmonize anafocus kwenye topic ya wimbo.
Jeshiii ❤❤❤
Now bongo 5 umehongeleya point sana
Elmando apa umetudanganya bro uyu jamaa nyi ndo mnamfanya kiburi mumwambiye ukweli anapenda vita sana ndo maana album nyingi bila manufaaa na hit hazina bro mwambiye ukweli
Konde on top❤
Kashapewa pesa huyu 🤣😜
Album zenyewe zinafika wapi?
Ukitaka kururuka Kwa club enda Kwa shu shuuuu na wee zombie hapa n message mwanamke na nusu 💪💪💪💪
Zinafika kwenye domo lako
Konde alichukuwa kila kitu wasafiii yaani alijifunza vyote saa hii kashinda mwalimu
Ss views huwa ananunua za nn??? Kamshinda mwalimu na bado wasanii wakamkimbia, anatoa album kila mwaka ila bado anazidiwa mauzo na watu wasiotoa album kila mwaka. Nakupenda ya Jaymelody ni sawa na album nzima yake kimauzo
Usichoelewa mathe ulipata d ndo mana hujuw hesabu za asilimia😂😂😂😂😂
Konde katisha anae kataa akatae lakini mwamba konde ni hatali
Ati harmonize msanii WA kimataifa ...apana
Huyu jamaa mbona kama mnafiki mim nashindwa kumuelewa Almando
Oko sawa
Shout out to diamondplatnumz, hakuna msanio tanzania ametoa msani akawa mkubwa, huo ndio ukweli..sai elmando ameketi kuongelea zuchu na harmonize, wote ni wa platnumz😂😂
Kuna mtu hataharibi hiyo siku
Zote n hit songs bilashaka
Hi school ilikuwa album bora,tatizo si wingi wa album ubora wa album ndo muhimu.msanii anatoa album kila baada ya miezi 6😅😅😅
Naona unajalibu kufanya balance...hua unamsema vibaya sana lakini mwamba wala hata muungane hamutamuweza
This elmando apa kweli siko nyuma yako
Hakuna kama konde ndo msani wakwaza tazania
Harmonize ame bakiliya tu mabishano nawenziye hafikoriyi mziki mzuri
kila ck nakuskiliza na ni fanc wako mkubwa sn lkn leo umeniboa kwasbb juz kat umesema hajuw kufanya promoshan leo anajua kufanya yan atukuelew
Lakini album zote zimebuma
Wewekwendaaaaaa
Umesikilza 😂😂😂 na harmonize katengeneza attention ya kuwakera wasiompenda na ndio mana lazma ukaskilize tu
zimebumia wap Acha Unafiki kenge wewe
Tatizo sio kutoa tu ila zinafika wapi
Wivuuuuu
We unataka zifike kweny vigodoro au kanga moko
Kweli ni poa but album best ni made for us 💯
ukwei haujiichi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukikuwa utaacha broo harmonize hajui kitu
Tatzo unaleta ushabiki huchambuw mdogo wangu
Kanafiki kwer na ww umeona😂😂😂
babuweee! muongoooo acha kutudanganya anajuwaaa niii uyooo mmakonde ahhh hamna msaanii apooo anaendea kiki tu uyooo
Perfect guy
Album kutoa si tatizo lakini Hizo Album Zote hazina Hit yoyote Album nne Kuna hit moja pekee.... Recap umewaza zako mara hii
Single again
Nakuunga mkono kaka tuko pamoja mwambie ukwel
Fanya ww tuone
Anauza mziki wake ww baki hapo kusema hana hit
Weee hit
Sasa hapo kila mtu ataanza kutoa album ili afanane na hamo😊😊😊
King of music promotion in africa and east africa is Diamondplatnumz....
We talking about Albums do u understand, Diamond has how many albums.....