RECAP: S2KIZZY AFUNGUKA KUIBA WIMBO WA BADDEST KUWAPA RAYVANNY NA HARMONIZE, AELEZA SAKATA ZIMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny

Комментарии • 55

  • @ursulinenyandindi3051
    @ursulinenyandindi3051 3 месяца назад +29

    Baddest ndio wamemseti kama promo ya ngoma 😂...

  • @mik-film
    @mik-film 3 месяца назад +16

    Nipo Congo kwa ukwelie sensena aina mahana yeyote, tulizani itafikia komasava ila wapi kabisa aija fikia

    • @juniorog205
      @juniorog205 3 месяца назад +1

      Acha ujinga ngoma ata siku bado unakuja eti niko congooo mbuzi wee

    • @jamesonjames4291
      @jamesonjames4291 3 месяца назад

      Chiz I Wewe

    • @boscokalu685
      @boscokalu685 3 месяца назад

      Ndio maaana uko congo 😂😂😂😂😂wee kaauko na wakongoliz wenzako

  • @RamcyeeJunior254-nb9cj
    @RamcyeeJunior254-nb9cj 3 месяца назад +5

    Hawa bado n watoto hawana siriii ya mzikiiii n wanafanya kuimba tu alafu bado n wadogo na wameishiwa na vina

  • @Xuxu-f7j
    @Xuxu-f7j 3 месяца назад +13

    Ufanye uchambuzi pia kama ngoma haipo kama ulivofikiria au ulivotuambia itakua kubwa ipo vizur ila sio kama ni kuubwa sana

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 3 месяца назад +5

    Bora wangefanya bongó fleva hivi wala haina ushawishi 😢

  • @edwinnyataya3223
    @edwinnyataya3223 3 месяца назад +7

    Badddy man badman😮😮😂😂😂🎉🎉🎉

  • @pablohpaul560
    @pablohpaul560 3 месяца назад +5

    😂😂😂ngoma inaboo hatar

  • @rodgerscharo7446
    @rodgerscharo7446 3 месяца назад +20

    Afadhali wangeimba bongo flavor ila hapa kwa piano wameenda vibaya kuliko matarajio ya wengi

  • @AfidhMchomi
    @AfidhMchomi 3 месяца назад +2

    Hii Ngoma Haina ishu

  • @revivedkush9732
    @revivedkush9732 3 месяца назад +7

    rayvanny ft marioo(paulah cant happen)

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 3 месяца назад +4

    Wimbo umeenda kinyume na matarajio 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅

  • @S-Decoster_254
    @S-Decoster_254 3 месяца назад

    Kuepusha lawama hapa Chui,Tembo na Zombie wafute huu wimbo then warudi studio tena waungane wote wakimshirikisha Baddest 47 nadhani itakuwa hitsong kali sana.following from Lamu coast Kenya hayo ndio maoni yangu

  • @kazimiligwanga6461
    @kazimiligwanga6461 3 месяца назад +3

    Jamaa mtangazaji ni mnafiki Sana

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili 3 месяца назад +12

    Hiyo Ngoma Haina uzito tuliotarajia,...afadhali wangefanya bongo fleva

    • @ASHAKHAMISMUSSA
      @ASHAKHAMISMUSSA 3 месяца назад +5

      Tambo nyingi 😅😅😅 kumbe ni ku copy na cu paste bora wangetangaza wanakuja na remix😅😅😅😅

    • @jamesonjames4291
      @jamesonjames4291 3 месяца назад

      We nawe chizi

  • @pademwanaharakati8980
    @pademwanaharakati8980 3 месяца назад +2

    Oy iyo beat kaiunda baddest kamba izo s2kzy

  • @LoyookellyTz
    @LoyookellyTz 3 месяца назад +1

    daaaaa umetisha sana kaka

  • @KingMoses-i2v
    @KingMoses-i2v 3 месяца назад +7

    Nirikusu biri sana kwauchambuzi Kwa hii ngoma

  • @rammahdhanhlushanga8688
    @rammahdhanhlushanga8688 3 месяца назад +3

    Mbona mnatumia nguvu kufanya promote

  • @freakybreezy254
    @freakybreezy254 3 месяца назад

    Noma sana ... this' song is a hit man 🔥🔥🔥

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 3 месяца назад +2

    Zombi anajitahidi kupapatuwa,ila yy na Mastaa wenye hela wamemfanyia khiyana mwenzao

  • @DANMORATA
    @DANMORATA 3 месяца назад +5

    So huu ndo wimbo mliosema utazima komasava 🤣🤣🤣 nacheka naisha

    • @vivasido9533
      @vivasido9533 3 месяца назад +2

      Isha mshmba ww komasava ilizimwa ktmbo na disconnect cheki numbers😂

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 3 месяца назад +2

      ​@@vivasido9533Bado Sana 😂😂😂, komasava international

    • @FatumaMfaki
      @FatumaMfaki 3 месяца назад +2

      ​@@vivasido9533 zii komasavaa n ngoma n nusu

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 месяца назад

      ​@@vivasido9533mshamba mmoja ivi hahahaha yani disconnect ni nyimbo au uchafu tu mnalazimisha visanii vichanga vimeishiwa idea ukija iyo sensema ndio uchafu mtupu hakuna nyimbo apo msiwape moyo wakati wanafeli

    • @vivasido9533
      @vivasido9533 3 месяца назад

      @@yassirswaleh7127 angalia numbers mbwa ww komasava video 2.6M 3wks sensema audio 1M one day

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 3 месяца назад

    Mnatumia Nguvu sana 😂

  • @WisdomMusanya-fv7jp
    @WisdomMusanya-fv7jp 3 месяца назад +1

    asa ndonini achenikuchezea muziki fanyeni muziki bado ni watotosana rey ma hamo mujitaidisana am wisdom from Zambia fanyeni muziki muzuli tunawapendawote komasava for life

  • @CarolineMahenge
    @CarolineMahenge 3 месяца назад +2

    Bac waifungie wote wakose😅😂
    Mtu asiguse comment angu😅

  • @BarakaHarrison-l4t
    @BarakaHarrison-l4t 3 месяца назад +2

    Sensema n 💥💥💥

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 3 месяца назад

    Wewe ni WCB tuna kujua

  • @Avibrtz
    @Avibrtz 3 месяца назад

    Naogopa ya Rayvanny mnaikumbuka, nimwizi Rayvanny

  • @NoahMwankenja-ft4ql
    @NoahMwankenja-ft4ql 3 месяца назад

    Ingependeza kama ungewahoji wote.....alafu jinsi unavyohoji inaonesha kabisa timu s2kizzy umekuja kusawazisha.....

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 3 месяца назад +2

    Zombi ongeza ulinzi maana siku ukijichanaganya ukarekodi chid benzi alafu ukamfuta atakufanya mbaya usicheze na biashara ya haeraaaaaa Mimi shabiki yako kaka

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 3 месяца назад

      😂😂 chid mtu mbad et

  • @KadidiKishil
    @KadidiKishil 3 месяца назад

    3:06

  • @MwamiMagwisa-p3u
    @MwamiMagwisa-p3u 3 месяца назад +1

    mina ona s2kizzy ali tiya challenge Rayvanny aka fanya araka araka basi akuna ubaya

  • @chak.charles2448
    @chak.charles2448 3 месяца назад +3

    Angetoa baddest isinge Trend

  • @LoyookellyTz
    @LoyookellyTz 3 месяца назад +1

    daaah hii goma kalisana

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 месяца назад

    Zombie anajitetea mbona akumuuliza baddest kwanza?😂😂

  • @KadidiKishil
    @KadidiKishil 3 месяца назад

    Sensema kali noma xna