RECAP: S2KIZZY AFUNGUKA KUIBA WIMBO WA BADDEST KUWAPA RAYVANNY NA HARMONIZE, AELEZA SAKATA ZIMA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Baddest ndio wamemseti kama promo ya ngoma 😂...
niatari sana Kaka yangu watu wana akili zao
Nipo Congo kwa ukwelie sensena aina mahana yeyote, tulizani itafikia komasava ila wapi kabisa aija fikia
Acha ujinga ngoma ata siku bado unakuja eti niko congooo mbuzi wee
Chiz I Wewe
Ndio maaana uko congo 😂😂😂😂😂wee kaauko na wakongoliz wenzako
Hawa bado n watoto hawana siriii ya mzikiiii n wanafanya kuimba tu alafu bado n wadogo na wameishiwa na vina
Ufanye uchambuzi pia kama ngoma haipo kama ulivofikiria au ulivotuambia itakua kubwa ipo vizur ila sio kama ni kuubwa sana
Bora wangefanya bongó fleva hivi wala haina ushawishi 😢
Badddy man badman😮😮😂😂😂🎉🎉🎉
😂😂😂ngoma inaboo hatar
Afadhali wangeimba bongo flavor ila hapa kwa piano wameenda vibaya kuliko matarajio ya wengi
Wewe Kwanza wajua kuimba
Wewe imba tukusikilize
😂sasa umenijibu ama umeogopa kunijibu ndugu
Hii Ngoma Haina ishu
rayvanny ft marioo(paulah cant happen)
C alifanya Na harmonize
Wimbo umeenda kinyume na matarajio 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
Kuepusha lawama hapa Chui,Tembo na Zombie wafute huu wimbo then warudi studio tena waungane wote wakimshirikisha Baddest 47 nadhani itakuwa hitsong kali sana.following from Lamu coast Kenya hayo ndio maoni yangu
Jamaa mtangazaji ni mnafiki Sana
Hiyo Ngoma Haina uzito tuliotarajia,...afadhali wangefanya bongo fleva
Tambo nyingi 😅😅😅 kumbe ni ku copy na cu paste bora wangetangaza wanakuja na remix😅😅😅😅
We nawe chizi
Oy iyo beat kaiunda baddest kamba izo s2kzy
daaaaa umetisha sana kaka
Nirikusu biri sana kwauchambuzi Kwa hii ngoma
Mbona mnatumia nguvu kufanya promote
Noma sana ... this' song is a hit man 🔥🔥🔥
Zombi anajitahidi kupapatuwa,ila yy na Mastaa wenye hela wamemfanyia khiyana mwenzao
So huu ndo wimbo mliosema utazima komasava 🤣🤣🤣 nacheka naisha
Isha mshmba ww komasava ilizimwa ktmbo na disconnect cheki numbers😂
@@vivasido9533Bado Sana 😂😂😂, komasava international
@@vivasido9533 zii komasavaa n ngoma n nusu
@@vivasido9533mshamba mmoja ivi hahahaha yani disconnect ni nyimbo au uchafu tu mnalazimisha visanii vichanga vimeishiwa idea ukija iyo sensema ndio uchafu mtupu hakuna nyimbo apo msiwape moyo wakati wanafeli
@@yassirswaleh7127 angalia numbers mbwa ww komasava video 2.6M 3wks sensema audio 1M one day
Mnatumia Nguvu sana 😂
asa ndonini achenikuchezea muziki fanyeni muziki bado ni watotosana rey ma hamo mujitaidisana am wisdom from Zambia fanyeni muziki muzuli tunawapendawote komasava for life
Bac waifungie wote wakose😅😂
Mtu asiguse comment angu😅
Sensema n 💥💥💥
Wewe ni WCB tuna kujua
Naogopa ya Rayvanny mnaikumbuka, nimwizi Rayvanny
Ingependeza kama ungewahoji wote.....alafu jinsi unavyohoji inaonesha kabisa timu s2kizzy umekuja kusawazisha.....
Zombi ongeza ulinzi maana siku ukijichanaganya ukarekodi chid benzi alafu ukamfuta atakufanya mbaya usicheze na biashara ya haeraaaaaa Mimi shabiki yako kaka
😂😂 chid mtu mbad et
3:06
mina ona s2kizzy ali tiya challenge Rayvanny aka fanya araka araka basi akuna ubaya
Angetoa baddest isinge Trend
Unyama
umeona ee
daaah hii goma kalisana
Zombie anajitetea mbona akumuuliza baddest kwanza?😂😂
Sensema kali noma xna