MWIJAKU SIO MNAFIKI MNYEA HARMONIZE BAADA YA KUSEMA MUNGU NI MWANAMKE

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 5

  • @hamadiharry1739
    @hamadiharry1739 Месяц назад +1

    Wee harmonise unaniudhi mungu mwenyewe anassma mwanaume ndo msimamizi wa mwanamke

  • @user-ob4ez4ku6z
    @user-ob4ez4ku6z Месяц назад

    Dogo kashaanza kuchumpa mipaka daah me nilijua tu kushikana mikono na mond bas kashaisha kaz yake sasa ananza kukufur vitu ambavyo hakuweza kuviwaza kwa siku za nyuma kabla hajashikana mikono na mond daaaah mwana tuninkoha tayar😢😢😢

  • @hamadiharry1739
    @hamadiharry1739 Месяц назад

    Alafu unamfananisha na mwanamke

  • @Sufoissaissa-tp7wl
    @Sufoissaissa-tp7wl Месяц назад

    Na atakae msapote nae alaniwe

  • @Sufoissaissa-tp7wl
    @Sufoissaissa-tp7wl Месяц назад

    Uyu dogo. Laana tu Ina msumbua