MWIJAKU AMZUNGUSHA HARMONIZE KWENYE MJENGO WAKE KIGAMBONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 янв 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    MWIJAKU AMZUNGUSHA HARMONIZE KWENYE MJENGO WAKE KIGAMBONI
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 302

  • @user-cj8dv9xy7d
    @user-cj8dv9xy7d 5 месяцев назад +23

    I realy love how harmonize and Ibra socialize hawana maringo mingi...big up... straight outer kenye❤❤

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 5 месяцев назад +19

    Huzuri wa mmkonde hanaga zarau sbabu yye maisha aliyoptia anayjua vzr na sis tulianza mftilia tngu bss

  • @btylove1870
    @btylove1870 5 месяцев назад +28

    Tembo🐘 ako so humble Mashaallah ❤

  • @gisbertusrevocatus171
    @gisbertusrevocatus171 5 месяцев назад +16

    Huwez Amin kumbe yule ambae unamfanyia uchawa anakupa pesa nawe ukatumia akili kuzitumia badae anakuja kukuheshimu Sana, congratulations Bro😊

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 5 месяцев назад +5

    Yani Master WA Bongo WA kiume skuizi Wana akili yakutafuta pesa na kufanya maendeleo ikiwemo kujenga na kuoa,sio zamani wakipata pesa wanaspend na mademu wmisho wake wanafilisika nakuanza kungada,Big up Mwijako,Baba levo,Aristooooteee,Dimond ,Harmonise na wengine wanaojielewa

  • @diipesa
    @diipesa 5 месяцев назад +14

    Mwijaku mimi sikupingi baba keep up✊🏻

  • @batatukatotolabikay5296
    @batatukatotolabikay5296 5 месяцев назад +18

    Allah azidi kukuzidishiye kaka yangu.
    Kwa kweli umefaa kazi kubwa.
    Congratulation once again

  • @RichardCharo-zx3sy
    @RichardCharo-zx3sy 5 месяцев назад +6

    From Kenya congratulations DC

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 5 месяцев назад +8

    Hongera sana mwijaku ktk maisha ukifanya kitu kizuli lazima ujisikie faraja sana, ni mfano wa kuigwa maana vijana acheni kuiga ujinga igeni mambo mazuri, muulize kafanyeje mpaka kafikia apo ndio maisha sio leo kidimbwi anakuja msanii gani ilimradi mpate pombe zabule😂😂😂

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 5 месяцев назад +3

    Good up kaka umetisha ❤

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 5 месяцев назад +31

    Mungu akujaalie.iwe salama ,usije ukafikiri wote hao uliowaalika wanafurahia mafanikio Yako,ingekua na mie ningefanya tu Dua na kuhamia,wengine wangejua tu pole pole kwajili ya usalama

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 5 месяцев назад +1

      Haswaaa lkkn anainad mno

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 5 месяцев назад +3

      Yani uyu inaonekana alifunga naziri ndio mana anafanya Ayo kiukweri mfano kwa wasanii waliowengi wanapangatu

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 5 месяцев назад

      Inatakiwa wajifuze apo sasa kama kujenga sio KAZI aswapale unapotiania kilakitu hinawezekana wapunguze kujikubali wawekeze vitu kama ivi

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 5 месяцев назад +1

      Jamani ukifanya kitu kizuri kina Raha na hata Mwenyezi Mungu alisema zioneshe neema nilizokujaalia kwa kunishukuru na kwa waislamu wenye Nia njema wanawaombea Dua hi yo vitu visipatwe na husuda Ila kujizuia kutangaza si kazi ndogo

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 5 месяцев назад

      Tayari dua imepita ndiomaana Leo kawaharika wasaniwezake

  • @noelmtao2735
    @noelmtao2735 5 месяцев назад +5

    Vyote sawa! Hongera sana! Tahadhari tu hizo ngazi kama meli ndugu yangu!

  • @carolinemwatsuma9507
    @carolinemwatsuma9507 5 месяцев назад +3

    Hongera DC mwijaku,mungu azidi kukubariki

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 5 месяцев назад

    Ongera kaka mungu akuzidishie inshaallah

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 5 месяцев назад +3

    Wow mwijaku kelele. Zimeleta. Faida big up broo 😂🎉

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 5 месяцев назад +1

    Hongera sana my brother,bila shaka sasa wengine wataanza kujitambua kupitia wewe na watafanya makubwa zaidi

  • @nzeyimanamwavita1904
    @nzeyimanamwavita1904 5 месяцев назад +1

    Hongera sana mwijaaku 👌👌

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 5 месяцев назад +4

    Hongera Sana mwijaku

  • @user-nd8gg4ig7m
    @user-nd8gg4ig7m 5 месяцев назад

    Mashaallh hongera kaka mwijaku

  • @user-nz4lx1hr2w
    @user-nz4lx1hr2w 5 месяцев назад +4

    Kusapotiwa ni vitu vya kawaida muhimu kutumia akil kama mwijaku, watu washaanza ooh anatakiwa amshukur diamond n sawa lkn nae amebebwa akajishikilia sio kama wengne wanabebwa wanajiachia, mwachen mwijaku katoa funzo kubwa kwa wengne wanaopenda kila bata sana bdo wpo nyumba za kupanga, hongera DC

  • @shabanirashid7797
    @shabanirashid7797 5 месяцев назад +1

    Ni moja ya hatua mzuri yaaani kumbe Mwijaku yuko Perfect for 100% kiasi hiko duuuuh hii ni fundisho kwa watu ambao wanambeza Mwijaku

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 5 месяцев назад +1

    Mungu azidi kukuongoza vema mwijaku na muzidi kushikamana upendo uhendelee na konde famiry❤❤

  • @salinababe6894
    @salinababe6894 5 месяцев назад +6

    Congratulations❤❤❤

  • @coolson2925
    @coolson2925 5 месяцев назад +18

    ila mwijaku unaheshima sana Mungu akutunze.....nimependa unavyomwambia harmonise umeniheshimisha ...choppa mmeniheshimisha wallah....😪😪😪

    • @landmadvdmbeyacity9561
      @landmadvdmbeyacity9561 5 месяцев назад

      Haahahha ad wanafik mnakubar shoo kwer hela noma

    • @salumuseif3324
      @salumuseif3324 5 месяцев назад

      ​@@landmadvdmbeyacity9561mwanangu ukiwa na ela watu wansahau mabaya yote mamae

    • @coolson2925
      @coolson2925 5 месяцев назад

      mnafki nan sasa hapo,,acha ulevi mkuu@@landmadvdmbeyacity9561

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 5 месяцев назад +1

    Mashallah umeupiga mwingi mnoooo ❤

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 5 месяцев назад +2

    Jamani wasanii tz chukueni mfano uliobora ombenimaarifa apo ongera sana mwinjaku umefanya kazi. Mzuri sana

  • @user-bd6pe7io5y
    @user-bd6pe7io5y 5 месяцев назад +4

    Nina furaha kwa ajiri yako Mwijaku hongera sana broo

  • @hafsahjunior2645
    @hafsahjunior2645 5 месяцев назад +1

    Hongera kaka🎉❤

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 5 месяцев назад +5

    Mwejaku congratulation for your villah.my Allah bless Harmonize for help to the poor

  • @user-zs9hp5mm5e
    @user-zs9hp5mm5e 5 месяцев назад

    Hongera bro

  • @kelvinmacharia9239
    @kelvinmacharia9239 5 месяцев назад +2

    Congratulations 🎉🎉

  • @dominicngeno4227
    @dominicngeno4227 5 месяцев назад

    Hongera Sana bro 🙏 congrats

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 5 месяцев назад +1

    Ongera sana mwijaku acha wakusema waseme

  • @muhidiniharuna3735
    @muhidiniharuna3735 5 месяцев назад +2

    Ongera sana bro mwijaku hii sio wale wanaopiga picha na nyumba za watu

  • @user-wz9no5wx3g
    @user-wz9no5wx3g 5 месяцев назад +3

    Nampenda harmonize wallah Hana majivuno

  • @bettyokito774
    @bettyokito774 5 месяцев назад

    Congratulations mwijaku❤❤❤❤🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 3 месяца назад

    Hongera

  • @veveveve5517
    @veveveve5517 5 месяцев назад +1

    Congratulations mwijaku

  • @saidmtenda1628
    @saidmtenda1628 5 месяцев назад +3

    Tukumbuke fahari zote hizi mwisho wa siku Allah anatuhitaji tumwabudu.

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js 5 месяцев назад

    Kumbe kaka mwijaku una akiri ivi hongera sana broo

  • @scolasticaantony5873
    @scolasticaantony5873 5 месяцев назад +1

    Hongera xana

  • @user-or2gj9qe8p
    @user-or2gj9qe8p 5 месяцев назад +1

    Hongera sana mwijaku siyo kazi ndogo

  • @elicktilia4430
    @elicktilia4430 5 месяцев назад

    Ongera sanaa kaka

  • @user-bn6st5ti7z
    @user-bn6st5ti7z 5 месяцев назад

    Waaooh inafrahisha sana kabisa hongera kwake mwijaku

  • @bernaberna4159
    @bernaberna4159 5 месяцев назад

    Hongera mwijaaaakuuu🎉🎉🎉🎉

  • @jamesmeitalami467
    @jamesmeitalami467 5 месяцев назад

    Big up brother

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 5 месяцев назад

    Mashaa alla mwijaku

  • @zeyanaalgheithy6561
    @zeyanaalgheithy6561 5 месяцев назад

    Kwa kweli nakupongeza na mungu akulinde na macbo ya mahasidi kwa sbb kuna mastaaa wakubwa hapo tz bado wanakodi. Nyumba kutuonesa pesa tu

  • @suleimanrodriguez9484
    @suleimanrodriguez9484 5 месяцев назад

    Ongera sana Mwijaku🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 5 месяцев назад +1

    Zamarad unakuja kwa kas Sana ad raha

  • @mika.m.msanya2169
    @mika.m.msanya2169 5 месяцев назад

    Bigup Kaka

  • @graceyamado8578
    @graceyamado8578 5 месяцев назад

    Hongera sanaa

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 5 месяцев назад

    Hongera mwijaku

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 5 месяцев назад +2

    DC umeupiga mwingi Hongera sana 🎉🎉🎉

  • @user-kt8yd8xe4c
    @user-kt8yd8xe4c 5 месяцев назад

    Hongera sana

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp 5 месяцев назад +9

    Congratulations 🎊🍾🎉

  • @terashangwe255
    @terashangwe255 3 месяца назад

    Ongera sana ndugu yangu

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 5 месяцев назад +1

    Inapendeza sana

  • @user-ff4zm3hk7b
    @user-ff4zm3hk7b 5 месяцев назад +1

    Nakubali sana mwijaku piga kazi baba usiwe kama baba levo maneno meng vitendo hakuna

  • @saumukiduma
    @saumukiduma 5 месяцев назад

    Hongera sana kijan

  • @hadija846
    @hadija846 5 месяцев назад +3

    Mwijaku hongera sana na pia Harmonize ni mtu mwema sana kwako yaani staa mkubwa ivyo kakuwakilisha 💯 kwa 💯

  • @ELVIRAPRODUCT
    @ELVIRAPRODUCT 3 месяца назад

    Nyumaba kubwa Ila kainyima nyumba, si ungefanya hata vyumba vitatu, waha wenzio tukija dar kufikie kwa Kaka mwijaku😅😅😅

  • @6VEVONEWS
    @6VEVONEWS 5 месяцев назад

    Aise

  • @mash3775
    @mash3775 5 месяцев назад

    Sijaipenda i video reason mbona Ibra hana time ya kuongea naye mbona ivo lakin Mash37 from kenya

  • @banguha
    @banguha 5 месяцев назад

    Kuna mwimbaji aliimba wanaokudhalau siku moja watakusalimia kwa heshima leo watu wote walikuwa wanakuita majina matus kibao leo wanakupongeza hongera sana

  • @daudibuffalo3646
    @daudibuffalo3646 5 месяцев назад +5

    Nina Iman wote tuliocomment hapa tunaenda kupambana ili tuweze kupata mjengo Kama wa mwijaku wote tuseme Amina, inshallah 🙏

  • @AlbertWilbert-uy8qz
    @AlbertWilbert-uy8qz 5 месяцев назад +2

    Brother ongera sanaaa ila nilivo mtazama hermonaize kapenda sana ila kapenda zaidi ukojuu kawa surprised sana

  • @tatually1366
    @tatually1366 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉 mashallah 💝 ❤ 🎉

  • @mitelpclassic6691
    @mitelpclassic6691 5 месяцев назад

    Congratulations chawa promax

  • @AzizNgitu-wk3ey
    @AzizNgitu-wk3ey 5 месяцев назад +1

    Napenda mwijaku anavyo jifanya kama mjinga kumbe anajia anacho fanya

  • @michaelmpagwa2553
    @michaelmpagwa2553 5 месяцев назад +1

    Congratulations home boy

  • @mashopluck
    @mashopluck 5 месяцев назад

    HONGERA SANA MWIJAKU ENDELEA ZAIDI UMETHIBITISHA SANAA INA HELA

  • @Directorjax55
    @Directorjax55 5 месяцев назад

    Good

  • @MichaelJohn-xh4kf
    @MichaelJohn-xh4kf 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉 on love 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @user-cv3de8zj2s
    @user-cv3de8zj2s 4 месяца назад

    Congratulations

  • @user-pe4fx4gr7x
    @user-pe4fx4gr7x 5 месяцев назад

    Hongera kwa mapambano kaka hatimae mafanikio yanao ekana

  • @user-jk6zk5lo9r
    @user-jk6zk5lo9r 5 месяцев назад

    Hongera mwijako kiukweli lakin mimi nimekuwa Thomaso😂😂 kidogo siamin Mungu atupe umri kwa hapo baadae tutakujasikia waziri fulani anadai mwijako ampishe kwenye nyumba yake😂😅😂#time will tell

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 5 месяцев назад

    Hongera sana kama ni kweli nyumba yako ila hizo bei za milango za vitasa umetupiga umemtumia kazi yako ya usanii na kama unamtumia usanii kuwa sio nyumba yako hapo inafanya udalali kwa Mr. Khalid utanikera sana mwijaku udalali fanya kwa maana kazi ni kazi ila usijisifu kama sio chako.

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 5 месяцев назад

    ❤❤❤🎉

  • @sabatoongara8763
    @sabatoongara8763 5 месяцев назад

    Acheni uchawa na nyie mwenzenu akifanya kitu kizur anastaili pongezi, big up mwijaku

  • @faidhacute
    @faidhacute 5 месяцев назад

    Mwijaku hawezi kujenga nyumba kma hii sema anapenda sana kiki yan hafanani na nyumba hii bhana mi sijawah kumwamini mwijaku, but hyo nyumba ni ya mkewake coz mkewe ni mwasibu bank flan hv

  • @yonamkuyu-gi4kk
    @yonamkuyu-gi4kk 29 дней назад

    😮😮😮😮

  • @LawrenceAron-de5yl
    @LawrenceAron-de5yl 5 месяцев назад

    🎉

  • @user-ch5ww8hs1i
    @user-ch5ww8hs1i 4 месяца назад

    Hapo harmonize hajara wara kuvuta bangi mwijaku nae hajaweka ugoro

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 5 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 5 месяцев назад

    Doto magari yupo wapi

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @harmonize_tz
    @harmonize_tz 5 месяцев назад

    Zamaradi jitahidi ku advance kwenye quality ya sound Za video zako

  • @user-hm1nt4mj4n
    @user-hm1nt4mj4n 5 месяцев назад

    Konde ana sifaa

  • @AlainLutherking-dx2cy
    @AlainLutherking-dx2cy 4 месяца назад

    Courage vieux mujaku

  • @user-nb8oq2kd7c
    @user-nb8oq2kd7c 5 месяцев назад

    Duu🤔🤔wewe sio chawa Tena ni muheshimiwa🤚🥰🥰🥰

  • @user-tf4jp7ig7r
    @user-tf4jp7ig7r 5 месяцев назад +7

    mwijaku is big ft ulikua una bweka sana mm nilikuelewa nikakwambia wewe unatumia akili na elimu uliokua nayo ukaniambia asante mdogo wangu ona sasa umewaacha midomo wazi watu wewe umetisha sio kama huyo mapua na mwenzie h mama

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 5 месяцев назад +1

      Hbaba hana gari atakua na nyumba

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 5 месяцев назад +1

      Mapua anabonge la nyumba na nyumba nyingine nne exclusive hii nakupa

  • @DM_15
    @DM_15 5 месяцев назад +3

    Nimesikia konde akimtonya mjaku kitu kuhusu watu wabaya😂

  • @RedmiNote-wv6cn
    @RedmiNote-wv6cn 5 месяцев назад

    MashaAllah ❤❤ ongela DC mwija

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 5 месяцев назад +2

    Hata mimi nataka nikiwa mkubwa nikasomee uchawa choo kikuyu,hii fani inalipa ❤

  • @athumanabubakary5930
    @athumanabubakary5930 5 месяцев назад +3

    Kujenga jengo kama Hilo sio mchezo aisee mpaka Sasa Kuna watu haawaaamini

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 5 месяцев назад +1

    Hao nao mgambo wa harmonize 😂😂 kha!!

  • @gilibersumari7433
    @gilibersumari7433 5 месяцев назад

    mpaka Leo sauti Zina washinda
    alafu mnataka na wenzenu
    mnatu malizia MB tuuu vilaza

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 5 месяцев назад

    ukiwa na ela.unaheshimika unapendwa watu wanasahu aibu zote

  • @WillsOffuture-ux5tf
    @WillsOffuture-ux5tf 5 месяцев назад

    Ibra mrefu uyoooo