Kimataifa leo naomba mtusadie kujua tofauti kati ya timu kuwa nzuri na kuwa na kizazi cha dhahabu kwa sabu belgium 🇧🇪 hwawakufanya makubwa sana kwenye world Cup na euro lakin franch walio fany vzr toka 2016 mpk leo lakini hwatajwi kuwa na kizazi cha dhahabu
Huko alikotoka pia hawamtaki,Kwa ujumla hakubaliki asituvuruge, Ingekuwa wote tunaruhusiwa kuwa viongozi Kila mtu ingekuwa Rais wa nchi Hatukutaki mzee kalime majukumu yako mengi usimsumbue Rais wetu Engineer Hers
Inasikitisha sana, cc tunamuwaza chama atauwasha naona gani moto akiwa na pca huyu mzee nae anaivuruga tena yanga da! Katumwa co bure hiii tena unaiingiza kwenye mgogoro tena kweli? Huyu mzee kanichanganya leo
Jumanne Juma Huyo mzee Magoma ametokea wapi lakini anataka atuhalibie timu yetu tunamuombea Mungu amchukue akapumzike mbinguni ok na apunguze njaa zake huyo
Naomba wizara husika iliangalie jambo hili huyu mzee ataka kuleta vurugu na kuondoa utulivu nchi uliokua nao,hembu serekali iliangalie hili kwanza tunakabiliwa na chaguzi serekali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka kesho jambo hili laweza kudhoofisha chaguzi zetu tunaomba utulivu Yanga ina watu wengi nchi nzima twataka utulivu twende kwenye chaguzi zetu kwa amani.
Tatizo la waTz ndo hilo mzee kaona mbali ila kutokana jambo limekuja wakati Yanga inapata mafanikio wanamuona mzee chenga ila baadae mambo yakienda kombo ndo watamkumbuka
Bwanae hatuwezi kushiriki mikutano wote, kama hupendwi kaa kwa kutulia, haiwezekani wote ha tuwe viongozi kuwa viongozi jamani mzee mbaya ,Viongozi wanachaguliwa ukiona hujachaguliwa wakati wako haujafika huyu mzee asitukoroge
Muulize huyo mzee..xaxa hivi tunasajiri yeye amechangia sh.ngap?..mpira kwa xaxa ni pesa,hao wazee wanaongangania wasikike tu bila kutoa hela wakae mbali..anataka maamuzi gani wakat hela hana
ipo siku mtamuelewa tu huyu mzee tunaemtukana leo, hii ndo devide and rule. wape wachache uwezo wa kupiga kura ili uweze kuwacontrol wakuchague na kupitisha utakacho wewe, wa kuelewa na aelewe
Kimataifa leo naomba mtusadie kujua tofauti kati ya timu kuwa nzuri na kuwa na kizazi cha dhahabu kwa sabu belgium 🇧🇪 hwawakufanya makubwa sana kwenye world Cup na euro lakin franch walio fany vzr toka 2016 mpk leo lakini hwatajwi kuwa na kizazi cha dhahabu
Yanga oyeeeee
Uyo mzeh kazeeka vibay mmkapime akali
Mzee Ana point
Mzee yuko sawa
Hersi Aende tu huko kenya akaiongoze Gor mahia sisi kama yanga hatumtakii😢😢😢😢😢😢😢
Huko alikotoka pia hawamtaki,Kwa ujumla hakubaliki asituvuruge, Ingekuwa wote tunaruhusiwa kuwa viongozi Kila mtu ingekuwa Rais wa nchi Hatukutaki mzee kalime majukumu yako mengi usimsumbue Rais wetu Engineer Hers
Inasikitisha sana, cc tunamuwaza chama atauwasha naona gani moto akiwa na pca huyu mzee nae anaivuruga tena yanga da! Katumwa co bure hiii tena unaiingiza kwenye mgogoro tena kweli? Huyu mzee kanichanganya leo
Mzee anataka aende na engineer au nan😒
Wazee wa dar mnanjaa sana hv yanga ni ya dar tu
Kumbe ww unajua yanga ni ya wap!??
Huyu Mzee anataka kuwapa watu dhambi fisad
mnafiki huyo si mwanachama tena
Wanaweza kuwa na faida kwenye bakuli hivyo kwa sasa Mambo yao nimagumu
Samaki mmoja akioza unamtoa unatupa wengine unapasha !!! Huyu mzee atuache !
Hivi huyo Mzee anamchango gani kwa yanga au yeye akijivua uanachama yanga itapungukiwa nini atoe njaa hapa na arudishe kadi ya timu yetu
Kwani uyu mzee tukimfuta uanacha ma sisi kama wanachama kuna shido?
Amna Shido kabisa
Pameanza kuchangamka Ubaya ubwela😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa..nanyie..wasafi..mtu..anaongea..alafu..mnamkatisha..kisa..matangazo..sio..sawa..jirekebisheni..mnatakiwa..kujua..mda..gani..wamatangazo..mdagani..wakuongea
Njaaa kali, kwann yanga ikiwa inafanya vizuri ndio yanaibuka haya? Gsm atoke na injinia wake yeye ataweza kuendesha tim?
Huyu mzee msenge 2
Njaa mbaya
Anatumiwa na simba
Hana hoja ya maana
Kitenge kelele nyingi hutoi nafasi kwa wenzio.
Hapa kazi tu.
Hawala anafosi kuwa sawa na waife
Mzee Hana hoja ya maana kiukweli
Hii nayo kiki
Jumanne Juma Huyo mzee Magoma ametokea wapi lakini anataka atuhalibie timu yetu tunamuombea Mungu amchukue akapumzike mbinguni ok na apunguze njaa zake huyo
sio ushirikiano mzee rage weka wazi anataka mtonyo
Wee Mzee uchagukuwe nani ww unanjaa kafanye kz upate kula
Huyu mzee mbona kama anatuchanganya na anajichanganya mwenyewe
Kwa hivyo huyu mzee anataka hata sisi wananch tuende bungeni wote mana wabunge bekeyake ni kosa serikari inatubagua wananch hana akili huyu mzee
Sasa tukienda wote kwenye mkutano tutatosha huko mkutano mkuu hii kali
magoma mwez ujao aachiwe amlipe aziz ki mshahara
kuna mazee mengine hua yanazeeka vibaya kabisa
kwa vile anapingana na maslahi yako?
Naomba wizara husika iliangalie jambo hili huyu mzee ataka kuleta vurugu na kuondoa utulivu nchi uliokua nao,hembu serekali iliangalie hili kwanza tunakabiliwa na chaguzi serekali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka kesho jambo hili laweza kudhoofisha chaguzi zetu tunaomba utulivu Yanga ina watu wengi nchi nzima twataka utulivu twende kwenye chaguzi zetu kwa amani.
Tatizo la waTz ndo hilo mzee kaona mbali ila kutokana jambo limekuja wakati Yanga inapata mafanikio wanamuona mzee chenga ila baadae mambo yakienda kombo ndo watamkumbuka
Huyu mzee ana hoja kubwa sana sema.. mbumbu wengi wamemezwa na furaha😅
Huna akili hata wewe
@@paolo4584kwa hivyo wabunge wanaotuwakilishqga bungeni sio sawa wananch wote tuende bungeni
Hata nyinyi mlimuona kigwangala chenga lkn hatukuwaingilia kwenye mambo yenu
Kalombwe
Naomba kujua kwa nini Magoma hana tawi mpaka saiv? Na je amejaribu kuomba uongozi kwenye tawi ili apate nafac iyo anaililia amekosa?
Mbn huyo kitenge akiguswa kwenye timu yake anakuwa mkalii msilete uyanga kwenye kipind
Huyu mzee siyo mtanzania uhamiaji muiteni huyu mzee ahojiwe uraia wake inaonekana anapenda vurugu nakufanya amani kutoweka
Huyu mzee ni kolo ....hana jipya hata anavyoongea hana hoja ya maana....rushwa tu ndo inamsumbua aliyopewa na uongozi wa simba..
Magoma acha ujinga ulikuwa wapi mda wote huo
Kwa sasa Yanga haimtambui huyo mtu😅, mnajisumbua bureee
Kwa magoma ni wapi wanyanga tukamsalimie?
24:03 huyu mzee anachokitafuta atakipata mwache atuharibie timu
Uyoo mzee msenge tuu naomba auliwe tuuu asituvuluge mzee mpili naomba afanye kaz yake
Sema kitenge kweny suala la Yanga humwambii kitu😅😅😅😅🙌🙌🙌
Tutamchoma kwa mzee magoma
Haiwezekani wote tuwe viongozi, Tunakuwa na viongozi wawakilishi , Wote tukiwa viongozi nitakuwaje?? Ni kitu hakiwezekani mtateseka sana
Hiyo mzeee tutamfumua marinda sisi
Lingekuwa swala la Simba kitenge angekuwepo apo
Kitenge umemuona maana ulikuwa unasema kitenge hayupo
Tutawapiga Mawe Hawa Wazee!!! Timu imeanza kufanya vizuri ndo wanaleta kelele…wasituchezee kabisa
Njaa kali mianya ya kuibia pesa imefungwa
Watu wanataka maslay yao
Mzee akapimwe mkojo. Njaa inamsumbua asiturudishe nyuma
Bwanae hatuwezi kushiriki mikutano wote, kama hupendwi kaa kwa kutulia, haiwezekani wote ha tuwe viongozi kuwa viongozi jamani mzee mbaya ,Viongozi wanachaguliwa ukiona hujachaguliwa wakati wako haujafika huyu mzee asitukoroge
hao wazeee watuachie timu yetuuu
Ni mtu mwenye busara sana na mchapa kazi anakubalika muacheni
Mzeee ana njaa tu anachochote
Huyo Mzee anaonekana anataka madaraka bas mkabidhini yeye uraisi wa yanga huenda atanenepa
Yanga acheni utoto Kiki za nini
Mbona bungeni hatuendi watanzania wote?
hawaaaaaaaa
Zamu ya watani kuteseka
Yanga haitesek Wala hakuna wakututesa
Haiwez tokea Kuna kitu kinatafutwa apo yanga Wana jambo lao
George Job, huyo mzee umempa maswari nondo hadi kachemsha kujibu, huyo mzee namuona kama virus tu ndani ya club kwani hawezi kufukuzwa kaw lazma
Ukiweka ushabiki pembeni wazee wako sawa, yafanyike marekebisho chapu ingineer abaki
Usawa gan uliouona kwa magoma
Magoma Hajipendi!
Muulize huyo mzee..xaxa hivi tunasajiri yeye amechangia sh.ngap?..mpira kwa xaxa ni pesa,hao wazee wanaongangania wasikike tu bila kutoa hela wakae mbali..anataka maamuzi gani wakat hela hana
mzee katokea wapi
Kumekucha😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅❤
Kumbe uchawi upo kwel ndo naanza kuamini
ipo siku mtamuelewa tu huyu mzee tunaemtukana leo, hii ndo devide and rule. wape wachache uwezo wa kupiga kura ili uweze kuwacontrol wakuchague na kupitisha utakacho wewe, wa kuelewa na aelewe
Hilo zee halina akili.
Huyomzee haitakii yangamema figisu zakijinga
tuachieni timu yetu
Huyo mzee sio mwanachama hai hana haki ya kuongea chochote miaka 4 hajalipia kadi yake