🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 окт 2024
  • 🔴#LIVE: MZEE MAGOMA ANAFUNGUKA A-Z UKWELI WA KESI YAKE NA YANGA (SPORTS ARENA 17/7/2024)

Комментарии • 100

  • @laurentkirigiti
    @laurentkirigiti 2 месяца назад +1

    Kimataifa leo naomba mtusadie kujua tofauti kati ya timu kuwa nzuri na kuwa na kizazi cha dhahabu kwa sabu belgium 🇧🇪 hwawakufanya makubwa sana kwenye world Cup na euro lakin franch walio fany vzr toka 2016 mpk leo lakini hwatajwi kuwa na kizazi cha dhahabu

  • @godfreyMchomvu-q2d
    @godfreyMchomvu-q2d 2 месяца назад

    Yanga oyeeeee

  • @NickisonJonathan
    @NickisonJonathan 2 месяца назад +4

    Uyo mzeh kazeeka vibay mmkapime akali

  • @DrNyamwiMSMD
    @DrNyamwiMSMD 2 месяца назад

    Mzee Ana point

  • @thabit5775
    @thabit5775 2 месяца назад

    Mzee yuko sawa

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 2 месяца назад +1

    Hersi Aende tu huko kenya akaiongoze Gor mahia sisi kama yanga hatumtakii😢😢😢😢😢😢😢

  • @FridaMbwambo-g9e
    @FridaMbwambo-g9e 2 месяца назад +2

    Huko alikotoka pia hawamtaki,Kwa ujumla hakubaliki asituvuruge, Ingekuwa wote tunaruhusiwa kuwa viongozi Kila mtu ingekuwa Rais wa nchi Hatukutaki mzee kalime majukumu yako mengi usimsumbue Rais wetu Engineer Hers

    • @zombokoyassin-li8sd
      @zombokoyassin-li8sd 2 месяца назад

      Inasikitisha sana, cc tunamuwaza chama atauwasha naona gani moto akiwa na pca huyu mzee nae anaivuruga tena yanga da! Katumwa co bure hiii tena unaiingiza kwenye mgogoro tena kweli? Huyu mzee kanichanganya leo

  • @Mhappy5
    @Mhappy5 2 месяца назад +3

    Mzee anataka aende na engineer au nan😒

  • @ISSACKHAMIS-e2r
    @ISSACKHAMIS-e2r 2 месяца назад +2

    Wazee wa dar mnanjaa sana hv yanga ni ya dar tu

    • @FahadBey-ub2rz
      @FahadBey-ub2rz 2 месяца назад

      Kumbe ww unajua yanga ni ya wap!??

  • @saidaltamimu7930
    @saidaltamimu7930 2 месяца назад +2

    Huyu Mzee anataka kuwapa watu dhambi fisad

  • @rahmasaid9588
    @rahmasaid9588 2 месяца назад +1

    mnafiki huyo si mwanachama tena

  • @JumaKigambo
    @JumaKigambo 2 месяца назад +1

    Wanaweza kuwa na faida kwenye bakuli hivyo kwa sasa Mambo yao nimagumu

  • @SebastianMaleto
    @SebastianMaleto 2 месяца назад +1

    Samaki mmoja akioza unamtoa unatupa wengine unapasha !!! Huyu mzee atuache !

  • @ConfusedJellyFish-zi5fb
    @ConfusedJellyFish-zi5fb 2 месяца назад +3

    Hivi huyo Mzee anamchango gani kwa yanga au yeye akijivua uanachama yanga itapungukiwa nini atoe njaa hapa na arudishe kadi ya timu yetu

  • @david255chengula5
    @david255chengula5 2 месяца назад +3

    Kwani uyu mzee tukimfuta uanacha ma sisi kama wanachama kuna shido?

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 2 месяца назад +1

    Pameanza kuchangamka Ubaya ubwela😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ibrahimismail8239
    @ibrahimismail8239 2 месяца назад +1

    Sasa..nanyie..wasafi..mtu..anaongea..alafu..mnamkatisha..kisa..matangazo..sio..sawa..jirekebisheni..mnatakiwa..kujua..mda..gani..wamatangazo..mdagani..wakuongea

  • @zombokoyassin-li8sd
    @zombokoyassin-li8sd 2 месяца назад +1

    Njaaa kali, kwann yanga ikiwa inafanya vizuri ndio yanaibuka haya? Gsm atoke na injinia wake yeye ataweza kuendesha tim?

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 2 месяца назад

    Njaa mbaya

  • @ramadhanihassani6825
    @ramadhanihassani6825 2 месяца назад +1

    Anatumiwa na simba

  • @VedasElly
    @VedasElly 2 месяца назад +1

    Hana hoja ya maana

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 2 месяца назад +1

    Kitenge kelele nyingi hutoi nafasi kwa wenzio.

  • @Jaibi-j1p
    @Jaibi-j1p 2 месяца назад

    Hapa kazi tu.

  • @almortabaz_Tz
    @almortabaz_Tz 2 месяца назад +1

    Hawala anafosi kuwa sawa na waife

  • @karenlema4317
    @karenlema4317 2 месяца назад +1

    Mzee Hana hoja ya maana kiukweli

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga 2 месяца назад +1

    Hii nayo kiki

  • @jumannejuma5864
    @jumannejuma5864 2 месяца назад +3

    Jumanne Juma Huyo mzee Magoma ametokea wapi lakini anataka atuhalibie timu yetu tunamuombea Mungu amchukue akapumzike mbinguni ok na apunguze njaa zake huyo

  • @ramadhanihazard5459
    @ramadhanihazard5459 2 месяца назад +2

    sio ushirikiano mzee rage weka wazi anataka mtonyo

  • @swahibumaliki1547
    @swahibumaliki1547 2 месяца назад +1

    Wee Mzee uchagukuwe nani ww unanjaa kafanye kz upate kula

  • @DeogratiusMwachali-uy1kx
    @DeogratiusMwachali-uy1kx 2 месяца назад +2

    Huyu mzee mbona kama anatuchanganya na anajichanganya mwenyewe

  • @AndersonMokiwa-is5ch
    @AndersonMokiwa-is5ch 2 месяца назад +2

    Kwa hivyo huyu mzee anataka hata sisi wananch tuende bungeni wote mana wabunge bekeyake ni kosa serikari inatubagua wananch hana akili huyu mzee

  • @karenlema4317
    @karenlema4317 2 месяца назад +1

    Sasa tukienda wote kwenye mkutano tutatosha huko mkutano mkuu hii kali

  • @yusuphabubakary2030
    @yusuphabubakary2030 2 месяца назад +2

    magoma mwez ujao aachiwe amlipe aziz ki mshahara

  • @Bullah_tz
    @Bullah_tz 2 месяца назад +3

    kuna mazee mengine hua yanazeeka vibaya kabisa

    • @salumhamisi22
      @salumhamisi22 2 месяца назад

      kwa vile anapingana na maslahi yako?

  • @bakariomarimndeme6059
    @bakariomarimndeme6059 2 месяца назад +1

    Naomba wizara husika iliangalie jambo hili huyu mzee ataka kuleta vurugu na kuondoa utulivu nchi uliokua nao,hembu serekali iliangalie hili kwanza tunakabiliwa na chaguzi serekali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka kesho jambo hili laweza kudhoofisha chaguzi zetu tunaomba utulivu Yanga ina watu wengi nchi nzima twataka utulivu twende kwenye chaguzi zetu kwa amani.

  • @SportsRaha
    @SportsRaha 2 месяца назад +4

    Tatizo la waTz ndo hilo mzee kaona mbali ila kutokana jambo limekuja wakati Yanga inapata mafanikio wanamuona mzee chenga ila baadae mambo yakienda kombo ndo watamkumbuka

    • @paolo4584
      @paolo4584 2 месяца назад

      Huyu mzee ana hoja kubwa sana sema.. mbumbu wengi wamemezwa na furaha😅

    • @AndersonMokiwa-is5ch
      @AndersonMokiwa-is5ch 2 месяца назад

      Huna akili hata wewe

    • @AndersonMokiwa-is5ch
      @AndersonMokiwa-is5ch 2 месяца назад

      ​@@paolo4584kwa hivyo wabunge wanaotuwakilishqga bungeni sio sawa wananch wote tuende bungeni

    • @iddimngazija1957
      @iddimngazija1957 2 месяца назад +1

      Hata nyinyi mlimuona kigwangala chenga lkn hatukuwaingilia kwenye mambo yenu

    • @MileyMziray
      @MileyMziray 2 месяца назад

      Kalombwe

  • @dominicmasele750
    @dominicmasele750 2 месяца назад +1

    Naomba kujua kwa nini Magoma hana tawi mpaka saiv? Na je amejaribu kuomba uongozi kwenye tawi ili apate nafac iyo anaililia amekosa?

  • @Khalfan-wp8wm
    @Khalfan-wp8wm 2 месяца назад +1

    Mbn huyo kitenge akiguswa kwenye timu yake anakuwa mkalii msilete uyanga kwenye kipind

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 2 месяца назад +1

    Huyu mzee siyo mtanzania uhamiaji muiteni huyu mzee ahojiwe uraia wake inaonekana anapenda vurugu nakufanya amani kutoweka

  • @EmmanuelIkenge
    @EmmanuelIkenge 2 месяца назад +2

    Huyu mzee ni kolo ....hana jipya hata anavyoongea hana hoja ya maana....rushwa tu ndo inamsumbua aliyopewa na uongozi wa simba..

  • @JoelMwakabanga-wk6zz
    @JoelMwakabanga-wk6zz 2 месяца назад +2

    Magoma acha ujinga ulikuwa wapi mda wote huo

  • @AliJussa
    @AliJussa 2 месяца назад +1

    Kwa sasa Yanga haimtambui huyo mtu😅, mnajisumbua bureee

  • @geophreymchunguzi7144
    @geophreymchunguzi7144 2 месяца назад

    Kwa magoma ni wapi wanyanga tukamsalimie?

  • @juanhumphrey3510
    @juanhumphrey3510 2 месяца назад +1

    24:03 huyu mzee anachokitafuta atakipata mwache atuharibie timu

  • @JoeliKamwela
    @JoeliKamwela 2 месяца назад

    Uyoo mzee msenge tuu naomba auliwe tuuu asituvuluge mzee mpili naomba afanye kaz yake

  • @MysarahMohamed
    @MysarahMohamed 2 месяца назад

    Sema kitenge kweny suala la Yanga humwambii kitu😅😅😅😅🙌🙌🙌

  • @DanielMollel-mw2eu
    @DanielMollel-mw2eu 2 месяца назад +1

    Tutamchoma kwa mzee magoma

  • @FridaMbwambo-g9e
    @FridaMbwambo-g9e 2 месяца назад +1

    Haiwezekani wote tuwe viongozi, Tunakuwa na viongozi wawakilishi , Wote tukiwa viongozi nitakuwaje?? Ni kitu hakiwezekani mtateseka sana

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 2 месяца назад +1

    Hiyo mzeee tutamfumua marinda sisi

  • @antonjohn134
    @antonjohn134 2 месяца назад +1

    Lingekuwa swala la Simba kitenge angekuwepo apo

  • @Zenny89
    @Zenny89 2 месяца назад +1

    Tutawapiga Mawe Hawa Wazee!!! Timu imeanza kufanya vizuri ndo wanaleta kelele…wasituchezee kabisa

  • @skrinmaginga140
    @skrinmaginga140 2 месяца назад

    Njaa kali mianya ya kuibia pesa imefungwa

  • @EliaElibariki-pu9lu
    @EliaElibariki-pu9lu 2 месяца назад +1

    Watu wanataka maslay yao

  • @happinessmwaipopo
    @happinessmwaipopo 2 месяца назад +1

    Mzee akapimwe mkojo. Njaa inamsumbua asiturudishe nyuma

  • @FridaMbwambo-g9e
    @FridaMbwambo-g9e 2 месяца назад +1

    Bwanae hatuwezi kushiriki mikutano wote, kama hupendwi kaa kwa kutulia, haiwezekani wote ha tuwe viongozi kuwa viongozi jamani mzee mbaya ,Viongozi wanachaguliwa ukiona hujachaguliwa wakati wako haujafika huyu mzee asitukoroge

  • @peterkazeni2460
    @peterkazeni2460 2 месяца назад +1

    hao wazeee watuachie timu yetuuu

  • @FridaMbwambo-g9e
    @FridaMbwambo-g9e 2 месяца назад +1

    Ni mtu mwenye busara sana na mchapa kazi anakubalika muacheni

  • @ramadhanihassani6825
    @ramadhanihassani6825 2 месяца назад +1

    Mzeee ana njaa tu anachochote

  • @PrincePalalu
    @PrincePalalu 2 месяца назад +1

    Huyo Mzee anaonekana anataka madaraka bas mkabidhini yeye uraisi wa yanga huenda atanenepa

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga 2 месяца назад +1

    Yanga acheni utoto Kiki za nini

  • @RenatusÑgolongolo-o2j
    @RenatusÑgolongolo-o2j 2 месяца назад

    Mbona bungeni hatuendi watanzania wote?

  • @AkramOmari-ty1up
    @AkramOmari-ty1up 2 месяца назад

    hawaaaaaaaa

  • @bullychandy6509
    @bullychandy6509 2 месяца назад +1

    Zamu ya watani kuteseka

    • @saidaltamimu7930
      @saidaltamimu7930 2 месяца назад

      Yanga haitesek Wala hakuna wakututesa

    • @HamidaKibwana-cz6yv
      @HamidaKibwana-cz6yv 2 месяца назад

      Haiwez tokea Kuna kitu kinatafutwa apo yanga Wana jambo lao

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 2 месяца назад +1

    George Job, huyo mzee umempa maswari nondo hadi kachemsha kujibu, huyo mzee namuona kama virus tu ndani ya club kwani hawezi kufukuzwa kaw lazma

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga 2 месяца назад +1

    Ukiweka ushabiki pembeni wazee wako sawa, yafanyike marekebisho chapu ingineer abaki

  • @NazzirMutatina
    @NazzirMutatina 2 месяца назад

    Magoma Hajipendi!

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo 2 месяца назад +1

    Muulize huyo mzee..xaxa hivi tunasajiri yeye amechangia sh.ngap?..mpira kwa xaxa ni pesa,hao wazee wanaongangania wasikike tu bila kutoa hela wakae mbali..anataka maamuzi gani wakat hela hana

  • @TUNITV-ki8qk
    @TUNITV-ki8qk 2 месяца назад

    mzee katokea wapi

  • @zoharimohammed1569
    @zoharimohammed1569 2 месяца назад +1

    Kumekucha😂😂😂😂😂

  • @RomboBoy-bl7ql
    @RomboBoy-bl7ql 2 месяца назад

    Kumbe uchawi upo kwel ndo naanza kuamini

  • @hozzashehozza9319
    @hozzashehozza9319 2 месяца назад

    ipo siku mtamuelewa tu huyu mzee tunaemtukana leo, hii ndo devide and rule. wape wachache uwezo wa kupiga kura ili uweze kuwacontrol wakuchague na kupitisha utakacho wewe, wa kuelewa na aelewe

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 2 месяца назад

    Hilo zee halina akili.

  • @ClaudManyanda
    @ClaudManyanda 2 месяца назад +1

    Huyomzee haitakii yangamema figisu zakijinga

  • @peterkazeni2460
    @peterkazeni2460 2 месяца назад +1

    tuachieni timu yetu

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga 2 месяца назад +2

    Huyo mzee sio mwanachama hai hana haki ya kuongea chochote miaka 4 hajalipia kadi yake