TOBAAH!! SAJILI 3 ZA SIMBA DIRISHA DOGO NI BALAA!! FADLU ASHINDE YEYE TU UBINGWA CAF | MWAMNYANYI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 9

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 4 часа назад +3

    MO hajasema atatwaa ubingwa msimu huu. Hiyo ni long term plan ya Simba ktk miaka mitatu ijayo.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 6 часов назад +3

    MO TIMU BORA NI ILE YENYE WACHEZAJI BORA NDY ITAITWA TIMU BORA SAJILI BORA NDY ZENYE WACHEZAJI BORA.

  • @erickprotace9463
    @erickprotace9463 3 часа назад

    Kwa taarifa Simba analibeba. Wachezaji wanaongezwa. Ndo utaanza kuchambua wachezaji wapy kuwa wameleta kombe. Timu hiyo hiyo hakuna kuongeza zaidi. Tunamleta KIZUMBI, FEI TOTO, na Ngoma unayesema ni mzoefu anatemwa Kuna kifaa kinakuja na hakijawah kucheza clab bingwa na kombe linabebwa

  • @erickprotace9463
    @erickprotace9463 3 часа назад

    Uchambuzi umekalia kuangalia wachezaji wa miaka mingi ambao wamewah kucheza michuano. Mbona na sfaxean nao Wana wachezaji ambao sio wazoefu na umewataja kama wako bora.

  • @idikassa5529
    @idikassa5529 4 часа назад

    Kamunyanganya yanga combe na hiyo medale

  • @idikassa5529
    @idikassa5529 4 часа назад

    Ateba kishaa vaa medale

    • @altokomba6386
      @altokomba6386 Час назад

      Hajavaa huyo alienda January USM ALGER... NA USM HAWAKUCHEZA FINAL MSIMU ULOISHA WALISUSIA KWA BERKANE

  • @LazaroNziku-yx5wj
    @LazaroNziku-yx5wj 7 часов назад

    Mwaduke yuk wp