SALEHE JEMBE ATHIBISHA SIMBA IMEMSAJILI PHILIP KINZUMBI NA FEI TOTO/ WATACHEZA DIRISHA DOGO SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 26

  • @MashakajumanneSuddy
    @MashakajumanneSuddy 15 часов назад +15

    Amesema yeye hajali kuhusu yanga wanabeki Gani kazi yake mshambuliaji nikufunga Sasa Hawa watu wasioelewa lugha.achen kupotosha.

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 6 минут назад

    Ata wafungu tuu😢😢😢

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 5 часов назад +1

    Wanaongea kwasababu yanga akishinda michezo zijazo anachukua TU pointi Kwa timu alizozamini gsm

  • @ernestmella1290
    @ernestmella1290 13 часов назад +1

    Amesema I want na sioI will msitutie aibu kuwa mwandishi isiyeweza kutafisiri hata sentencing moja ya kingereza

    • @yohanakayinga9279
      @yohanakayinga9279 35 минут назад

      Manataka wasifiwe wa yanga wakisifiwa wa simba mnaumia😅

  • @AhmadWoehl-c7h
    @AhmadWoehl-c7h 4 минуты назад

    Thomas Joseph Taylor Paul Moore Nancy

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 14 часов назад

    Virekodi vidogo vdogo vya kutafuta ili mradi kuipa sifa kolo, si vzuri sana onfea rekodi kubwa zinazojulikana! Kolo bhana ni taabu tu

  • @ayubmumi4310
    @ayubmumi4310 Час назад

    Mh mbona sijasikia Kinzumbi na Fei? Utumbo mtupu

  • @Officalnaph
    @Officalnaph 14 часов назад +1

    leo nakublock kwa sababu ya kichwa cha habar

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 13 часов назад

    INSHU YA FEI KUCHEZA MNYAMA HIYO HAINAGA HATA HOJA,,,NI PALE TU ALIPOMALIZANA NA GONGO WAZI STRAIT UNYAMANI,,,PALE KWA WAOKA MIKATE NI MUDA TU NDO ANAOUPOTEZA

  • @HamisMusa-i9x
    @HamisMusa-i9x 14 часов назад

    Hata hii habari kuisikiliza ninzuri Sana kwaiyo haikua namaana udanganye ili habari yako ifuatiliwe ssna. Waandishi wa bongo hamuangalii keho mnaangalia Leo tu.

    • @LucianaSintufya
      @LucianaSintufya 13 часов назад

      Waandishi wa mchongo wa mashabiki wa yanga wanageuzageuza maneno tuu, hata la mondi kufirwa na p didy wanasema alikuwa anaanhalia movie chumbani, ndiyo maana yanga wasenge wengi

  • @HabibuMalima
    @HabibuMalima 6 часов назад

    Mnaenda kinyume na kichwa cha habari hamnioni yena huu niupuuzi sasa

  • @hassanmussa7664
    @hassanmussa7664 5 часов назад

    Watu waongo hawa...hajasema ivyo

  • @hassanal6283
    @hassanal6283 4 часа назад

    Waandishi was Bongo si was mchongo kusima ishu rudini shule kenge nyinyi

  • @walumahoja98
    @walumahoja98 14 часов назад

    Kumbe ndiyo alivyosema jembe 😂

  • @KhamisAlawi-n1k
    @KhamisAlawi-n1k 13 часов назад

    Mada haihusiani na mahojiano , mada hapo ni usajili wa kinzumbi🤣na Fei

  • @GoodluckGeofrey-je6ky
    @GoodluckGeofrey-je6ky 15 часов назад

    afu mbn unachoandika headline na kilichopo ndan n vtu tofaut 😂

  • @gilbertndenga7897
    @gilbertndenga7897 4 часа назад

    Pumba tupu kichwa cha habari kinasemaje na unauliza maswali gani? Mwisho wenu utafika tu

  • @HabibuMalima
    @HabibuMalima 6 часов назад

    Na ninyi waongosio

  • @kimwerisamri1584
    @kimwerisamri1584 13 часов назад

    Ukitukanwa utasema unaonewa? Kichwa cha habar hakiendani na mahojiano

  • @KaboyTz-ct8si
    @KaboyTz-ct8si 5 часов назад

    Media nyingine za kisenge mbona hatujaskia habar za fei toto au mnataka views wasenge nyie

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 11 часов назад

    Kariakoo hakufai fujo nasehemu aifai kwa ofisi hata parking za magari hakuna

    • @abdallahshariff6555
      @abdallahshariff6555 5 часов назад

      Wakipangisha majumba yao wanapata ofisa popote wanapotaka,hujuwi Wana Head office mikocheni

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 13 часов назад

    MWANDISHI UNAULIZA MASWALI GANI HAYO?

  • @godfreybigeyo4356
    @godfreybigeyo4356 5 часов назад

    Wapumbavu nyie