PART3:MCHAWI HASSAN TOKA KIGOMA ALIEUA WATU NA KUWAFANYA MISUKULE NA KUIUZA/NYAMA ZA WATOTO/NIMEUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 192

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 3 года назад +11

    This guy Is deep..and very conscious...Davistar thumbs up 👍

  • @lindaaduma7930
    @lindaaduma7930 3 года назад +18

    Davista this is one of the best 👌 interviews. Its a great eye 👁 opener. Yaani I've learnt a lot about the spiritual world . Your guest has really helped me know so many things. I wish akuje mara kwa mara. I would like to learn more. Asante Davista. Unafanya job poa. God bless you so much.

    • @kelvinchacha5557
      @kelvinchacha5557 3 года назад +1

      That's true mummy ♥️ let God 🙏 grant them good health so that he may bring more people who will educate us about the worldly secret things

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 3 года назад +4

    Huyu anafunza elimu ya kiroho, nimejifunza mengi sana 👌

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 3 года назад +6

    One of the very best.Very deep exposition.
    Kazi kwenu wanaume mnaovimba vifua kwa kutembea na wanawake wengi mnajichimbia shimo litakalowafukia mwenyewe.

  • @aminaally863
    @aminaally863 3 года назад +7

    Anatoa elimu nzuri sema haendi kwenye mtiririko kwenye story ♥

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 Год назад

      Kwenda Kwenye Mtiririko Anaweza Iwapo Ataruhusiwa Asimulie Bila Kukatizwa Kwa Maswali, Ukisimulia Kwa Njia Ya Kujibu Maswali Ya Ghafla 👉Mtiririko Unatoweka.

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 2 года назад +3

    SUCH EYE’S OPENER INTERVIEW

  • @shalomkind4575
    @shalomkind4575 3 года назад +4

    Energy drink ni hatari sana kwa afya na kwa ulimwengu wa kiroho ..iache kabisaaa ..

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum8185 3 года назад +4

    Huyu kijana ni very intelligent na ndio maana shetani alimteka.

  • @benjaminnnko5398
    @benjaminnnko5398 3 года назад +5

    Very powerful story

  • @ravinebianca724
    @ravinebianca724 3 года назад +1

    Asante Sana devista mata, kwa kweli inazidi kutupa elimu nakutufungua macho zaidi, Mungu azidi kukubariki na akupe afya ilituzidi kuelemika zaidi

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 3 года назад +7

    Kweli huyu anajitambua, ana mafunzo mazuri sana. Tumefurahi sana kumleta huyu mtumishi atufungue macho

  • @pilimusa7770
    @pilimusa7770 3 года назад +4

    Best of the best👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🙏❤❤❤❤❤❤❤

  • @phinaswai4718
    @phinaswai4718 3 года назад +2

    Kaka anafundisha vizuri sanaa, sema uzuri watumishi wengi wanajua kujielezea

  • @hassanabubakar3001
    @hassanabubakar3001 3 года назад

    Asante davista matter,imetufaa sana. This story even though I was scared listening to it Firdaus from 🇬🇧

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni675 2 года назад +1

    Kenyans need to hear this coz wengine wameanza kuabudu mungu wa babu zao na kuchinja mbuzi

  • @billyisadia5651
    @billyisadia5651 Год назад

    Inasemwa shetani ana nguvu zaidi na kamili. Atakufanyia vyote vibaya, isipokuwa chombo rahisi Mungu alitupea ni Maombi, haswa Maombi kwa Mungu.

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 3 года назад +4

    Alhamdulillah mung nilinde nisije nikaenda uko ugangan kwakwel😢😢

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 3 года назад

      Njoo kwa YESU kristo uislam ni ushetani

    • @juliuskalama2746
      @juliuskalama2746 2 года назад

      Njoo kwa Yesu alhamdulilah haitakusaidia wewe

  • @makangeanna5211
    @makangeanna5211 3 года назад +1

    Mungu akubariki ushuhuda ni mzuri , naomba tuwekee namba ya mtumishi Meshack kuna mambo tuulize.

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 3 года назад +1

    You are a good storyteller my brother

  • @agnesscharles2474
    @agnesscharles2474 Год назад

    Mungu atuhurumie sana kwakweli

  • @anitasamson7850
    @anitasamson7850 3 года назад +2

    Train ya Kigoma mlikuwa mnaifanya nini tuelezee mtumishi usisahau. Tunajifunza mengi kupitia huu ushuhuda, Mungu akubariki.

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 2 года назад

    SIFA NA UTUKUFU NA ADHAMA NI KWA SHUJAA WA MSALABA BWANA WETU YESU KRISTO🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад +1

    Mungu utusamehe maana dunia ina mambo mengi ya kutisha

  • @sasamama7934
    @sasamama7934 3 года назад +1

    Raha ya alakhera kheri mina aduniya .raha ya alakhera ni nzuri kuliko ya duniyani

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard4392 3 года назад +1

    Huyu bwana yupo vizuri...tupo pamoja Davister

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 3 года назад +1

    Mungu tusaidie waja wako. Ndio maana Neno la Mungu linasema wazi. Umeona wapi pepo akamtoa pepo mwenzake. Wapendwa tumrudie Mungu.

  • @mimsbaibe6mimsgul737
    @mimsbaibe6mimsgul737 3 года назад

    Hongera kwa kutomboa siri ndo watu wamtegemee Mungu sio waganga kwa Mungu kuna raha shetani hana lolote nguvu za giza zimeshindwa .

  • @zaihumood365
    @zaihumood365 3 года назад +2

    Subhana allah Allah tullinde , tusimamie , tuongeze na tutangulie....

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic5379 3 года назад +1

    Damu ya Yesu itulinde na wabaya wa duniani

  • @florencerose859
    @florencerose859 3 года назад +2

    Hapa ni mafunzo kwueli kwueli, mwuisho mbio 🏃🏃 mpaka kwua kristo

  • @edwardpascal1497
    @edwardpascal1497 3 года назад

    #Davista nilikuwa najiuliza habali zahuyu jamaa zime kwisha kumbe bado yipo inq endelea 💓

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 3 года назад

    Unaibland energy😂😂😂😂 davistar bhn

  • @saidmohamed9627
    @saidmohamed9627 3 года назад

    Davistar aisee huyo jamaa kiboko aisee anaongea point tupu.

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi9838 3 года назад +2

    Mtumish Shadrack upo vizur
    Ninaamini unamjua Mungu wa kweli, shuhuda zako ni fundisho kubwa
    Davistar mbane huyu jamaaa atume elimu ya kutosha

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Год назад

    Naomba Mungu anikutanishe na huyu mtmsh$ Katekela

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 3 года назад +1

    Ukombozi ni kwa BWANA YESU KRISTO pekee, waislamu wampokee YESU KRISTO bila kuchelewa

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@ikabako2454 kama unampenda YESU KRISTO ungekuwa huko , YESU KRISTO hachanganywi na Quran hilo ujue,huko mnadanganywa kuwa issa ndio YESU KRISTO kuwa uongo mnadanganywa YESU KRISTO hana jina lisilo na utukufu, shetani ni muongo ,na ndio uwe upande wa kweli wa KRISTO YESU ili usitimie hayo mafuta

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 3 года назад

    Jameni Huyu Kaka Sauti Yake ya Fanana na ya Kaka Musaa Chesa, Je Wana Uko moja Kaka Davistar 🤔👍🏿👍🏿👍🏿♥️🇰🇪

  • @issackpastor1915
    @issackpastor1915 3 года назад

    Mungu mkuuu akubariki sana

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 3 года назад

    Allah tusimamie ktk Dunia hii inayotisha 😢😢😢kwa viumbe hawa wa shetani.

  • @winifrida8641
    @winifrida8641 3 года назад +1

    Hili ni zaidi ya darasa tumesikiliza wengi ila huyu 100%

  • @zawadianagabriel9768
    @zawadianagabriel9768 3 года назад

    Davistar mungu akubariki san Kwa mtu huyo naomba aongee yote asiruke jambo hata moja Plz! Maan unatuvusha mahali barikia san

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 3 года назад

    Twende Kazi Mr...............

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 года назад +3

    Naomba umuulize kwenye "Part 1 alisema wakati anamchinja njiwa kwenye triangle ya mishumaa mitatu ili kuwaita wale majini wamchezee ustadh na mkewe alikuwa akisoma AYATUL KURSIYU,kwanini aliisoma aya hii ambayo waislam tunaamini ni kinga? Au majini haiwasumbui aya hii?

    • @dallasabinchar5128
      @dallasabinchar5128 3 года назад +1

      Uyu jamaa tumecha mgundua alikuwa anataka kuchafua dini tukufu na bora ya kiislamu na maneno ya uongo lakini inaonekana anasoma comments zetu ame changed na tuna mfatiliya karibu sana ikiwa ata anza uongo

    • @shantellemwanakombo3703
      @shantellemwanakombo3703 3 года назад +1

      Yaan nashangaa Aya kubwa ya kinga kwa mashetwan yasimsumbue mwanadamu eti ndiyo aliitumia🤔

    • @jotafungo4622
      @jotafungo4622 3 года назад +1

      Naam tuendelee kusubiri majibu kutoka Kwa Ustadh wa zamani

    • @huseniomari3990
      @huseniomari3990 3 года назад +2

      Mm nilimgundua tangu alipoanza tu huyu anachafua uislam

    • @saidiissa8729
      @saidiissa8729 3 года назад +3

      naomba nijibu hili swala mimi ni muislam na wala sipingi huyu jamaa kusema alikuwa akisoma aya hii tukufu kwenye huu uchawi wake naomba nitoe elimu kidogo
      huwa masheitwani wa kijini lengo lao kwanza ukufuru ndio wakusaidie mfano wanaweza kukuambia ili tukusaidie kwanza mwaga damu ndio tiba wakusaidie wakati mungu anataka tuchinje kwajili yake tu sasa kusoma ayaati qulsiyyuh lengo ni akufuru ndo wale majini wakawasha hiyo mishumaa baada ya kukufuru na ndomsaada wa kuwaleta wale watu ukafanyika ndo mana kunapoint nimemuona yupo correctly saa baada ya kusema usishangae mtu kwenda kuswali baada ya kuamrishwa na jini mbaya hale haswali kwajili ya mungu laa ni kwahofu ya kumuogopa shetani
      ila wallah uislam ni dini sahihi sanaa huyu kijana alisoma kwa wale mashekh mchwara wanaofundisha elimu ya nyota na uchawi ila uislam sahihi upo mbali na hiyo elimu na nimefurahi amesema kuwa huyo mwalimu wake amemwambia hii ni elimu dunia na sio elimu ya dini.

  • @farajimtengela8500
    @farajimtengela8500 3 года назад

    Davista huu ushuhuda ni mzuri sana ila unauchelewesha sana. Pia naomba muulize kama alishawahi kwenda KUZIMU, na Je! Anawafahamu watu walioko huko wawe wasanii au viongozi wa dini, na Je! Anamjua Mussa Chessa kwenye kazi zake alishawahi kukutana nae au kufanya naye kazi?! Ahsante!

  • @venahsithole6463
    @venahsithole6463 3 года назад

    Mungu atusaidie

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 3 года назад +1

    Yani muslin are always mad in comments, like let people praise Jesus in peace if u disagree with someone just leave it alone and move on, we Christian be leaving y’all alone, we don’t even bother y’all.

    • @kithia100
      @kithia100 3 года назад

      Yaaani hwa Muslim lazima matus Kama inkusingua sio lazma usikize

  • @deelissa2746
    @deelissa2746 3 года назад

    Davistar Kwann usituambie tupige picha na energy zetu na sisi tukutambie😂

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 3 года назад +1

    Together Mr everything 💪

  • @ludza32
    @ludza32 3 года назад

    Sasa hapo ndio simulizi kifunguwa macho sana davistar poa sana

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi8790 3 года назад

    Mungu tusaidie kweli

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 3 года назад +1

    Nikweli pepo hawezi kutowa pepo,

  • @jamesmbogela4710
    @jamesmbogela4710 3 года назад

    Elimu nzuri

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 3 года назад

    Hapa nimeelewaaaa....maana kibiblia kweli watu wa MUNGU walienda kuzimu

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 года назад +2

    Mungu awarinde

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 3 года назад

    Weka ingine davistar banaa

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 3 года назад

    Eti sio Mimi davistar jamani 🤣🤣🤣

  • @happyperson3016
    @happyperson3016 3 года назад +1

    The devil came to kill,steal and destroy..no other way about it

  • @judiehance1736
    @judiehance1736 3 года назад +1

    Hyo ya kutembea (kusex) na mtu then anakuachia mikosi yake nimeisikia kwa wengi na hata mama yangu wa kiroho ananiambiaga hyo story kila siku

  • @stamilist1352
    @stamilist1352 3 года назад +2

    DALILI ZA MWANAMKE JINI
    1.HAUWEZI KUJUA NI LINI ANAENDA PERIOD NA HUTOMUONA AMESHIKA PEDI
    2.HAUWEZI KUMUONA ANAENDA HAJA KUBWA WALA HUWEZ KUSIKIA AMEJAMBA
    HAWA MAJINI WANANUKIA VIZURI SANA WANA MANUKATO MAZURI

  • @opionlinetv5052
    @opionlinetv5052 3 года назад

    @davister hebu muulize kama anamjua Mussa chesa

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 3 года назад +1

    Kwa nini wale wote waliekuwa wa shirikina wa na kimbilia ukristo na wanukuwa wa chungaji

    • @paulndoya5805
      @paulndoya5805 3 года назад

      Pasipo Kristu Yesu wewe hakuna wokovu,,,,Jesus Christ is the true salvation ukikosea njia mizimu ya kichawi na kiganga inapita na wewe kuokoka ni kwa yesu kristu tu

    • @ashaabdalla924
      @ashaabdalla924 3 года назад

      Wanakwenda kuzidi kuutafuta moto

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад

    Fanya umualike mwalim Mgisa Mtebi akueleze mambo ya paradise na kuzimu anayajua kweli

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 3 года назад

    Davister nilikuwa naomba umtafute @shafii the don please kama itawezekana

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 3 года назад

    Safi

  • @meckylucy215
    @meckylucy215 3 года назад

    Najifunza Mengi davista

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 3 года назад

    Wa tisa leo 🇰🇪 🇦🇪

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 года назад +1

    Amkeni mambo ni moto

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад +1

    Wanao penda kuenda kwa waganga oneni kazi vile inafanyika haya habari ndio hii Sasa

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 года назад

    Jamani story unatamani ishiishe

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 года назад +1

    💥💥💥💥💥

  • @wisdomfitnessorganization8988
    @wisdomfitnessorganization8988 3 года назад

    Huyu jamaaa anaelimu ya kidini kubwa sana

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 3 года назад

    huyu jamaa ni library, ana material hatari juu ya uchawi😂😂😂

  • @drnow1528
    @drnow1528 3 года назад

    Bwana yesu asifiwe

  • @rosekingalu4403
    @rosekingalu4403 3 года назад +1

    😊

  • @DWAYNEKI
    @DWAYNEKI 3 года назад +2

    ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH ….. Huu jama mongo kwani Majini si yameumbwa hata kabla ya binaadam …. Na hawakuumbwa majini na binaadam illa kumuabudu Allah peke yake…. Kwani binaadam hamna wabaya? Vile vile na majini kuna wabaya na wazuri sasa jamaa huuu amekuwa anatumiwa na wabaya na vile vile njia zake zimekuwa za shirq… watu kama hao hawajuwi kutofautisha ndiomaana anasema wote wabaya…

    • @dallasabinchar5128
      @dallasabinchar5128 3 года назад +1

      Kabisaa, uyu jamaa Aku soma dini tukufu na bora ya kiislamu alikua ana soma uchawi na uganga lakini wote wakisha toka kwenye uganga wanasema nilikuwa mwislamu ile maneno anaongea ni kiislamu kweli?

    • @macamezunguzungu5584
      @macamezunguzungu5584 3 года назад +1

      Tatizo majini waliotupwa na mwenye zimungu wote ni wabaya ni wafuasi wa😲 shetani

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 3 года назад

      ndo hivo hakuna majin mazur msitudanganye, wale maji woot waliotupwa na shetan wote hao ndo malaika wa shetan hufanya kaz ya shetan daima, huyu jmaa yuko sahihi, kwa mungu kuna malaika, na hao majin huwez kusema et kwa mungu kuna majin, tena ametoa mfano mzur, et kwan kuna jambazi mzuri!???

    • @DWAYNEKI
      @DWAYNEKI 3 года назад +1

      Nuku maneno yake" eti hakuna kiumbe kinachoweza kuku amrisha uswali bimana ukiswali unakuwa unaabudu yule Jini alie kuamrisha umuabudu mwenyezi mmungu" jeee kanisani nyinyi Wa Kristo pasta anapowaambia OMBA jee unamuabudu yeye??? Na vile vile Shetani na malaika zake nitofauti na Majini….maanayake Majini walikuwa duniani kabla hata shetani hajafukuzwa mbinguni….sasa watakuwaaje wamoja??? Illa miongoni mwao pako walio aswi na kufata nyayo zake na ndivyo ilivyo kwa binaadam pako wazuri na wabaya….na huo jamaa amekwenda kujifunza uchawi bimana ni ubaya tuuu ndio anaona si mema

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@DWAYNEKI Mungu hakuumba majini na binadamu mumuabudu pamoja , na hakuna urafiki Kati ya Mungu na majini (mashetani)huko kwenye Quran mnadanganywa,allah sio Mungu wa kweli ni shetani mkubwa audanganye ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehanamu zinduka, njia ya kweli ni YESU KRISTO pekee

  • @credo7837
    @credo7837 3 года назад

    Duuh asant rafiki kwakunitaarifu niwah

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 3 года назад

    4

  • @nolascochaule9342
    @nolascochaule9342 3 года назад

    Mimi ombi langu ukimaliza story uwe inamwalika mtu au wasikilizaji kama Sisi wenye maswali "MAGUMU"

  • @credo7837
    @credo7837 3 года назад

    Nilikuw ndio nalala daaah

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 3 года назад

    Kafanana na Mussa chesa kasoro Rangi tu

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 3 года назад

    Pole kwa mfano wa lazaro hio ni fundisho sio ufafanuzi kama wasemavyo..Lazaro kama alikuwa motoni ..je alitoa wapi ulimi?ulimi si ni kiungo cha mwili ambacho uoza?.

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 3 года назад

    Eb nikae kwa kutulia.

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 года назад

    Wa kwanza

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    nisaidie nisiende kwa mganga

  • @sadamkhamis1956
    @sadamkhamis1956 3 года назад

    Huyu broo anaonge ukweli mtupu

  • @huseniomari3990
    @huseniomari3990 3 года назад

    Naomba kuuliza hivi sheitwani kazi yake Ni kumtesa mtu au kumpoteza mtu anayefanya ibada ili apotee?

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      Vyote hivyo ufanya kwa mwanadamu aliye yeyote kwamaana na yeye ataka utawala

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 3 года назад

    Jamaa kafanana na Musa chesa vile🙄

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 года назад

    Usiku mwema

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 года назад

    🇰🇪🇸🇪⏰

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 3 года назад

    Bado upo palepale tu

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 3 года назад

    Jaman me mzee Kalinga ni mganga na ni baba yangu kwahiyo akifa anaenda kuzimu?????

    • @huseniomari3990
      @huseniomari3990 3 года назад

      Muombee dua mzazi wako Soma quruani utajua nafasi yako

    • @shamilakalinga437
      @shamilakalinga437 3 года назад

      @@huseniomari3990 kusoma dua nasoma sana pia namuomba Allah kila mala ila mpaka sasa yupo kwenye hiyo kazi pia tumezaliwa tumemkuta humo

    • @dallasabinchar5128
      @dallasabinchar5128 3 года назад

      Uganga uko ayina bili kuna uganga wa elimu ya majani na mti ambao ina saidia magonjwa mbalimbali bila shirk dio uganga halali na kuna uganga wa mashaituani na mzimu ambao ni haramu kabisa.
      sasa baba yako ni uganga wa aina gani ana fanya?

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@shamilakalinga437 mwambie atubu na kumpokea YESU KRISTO kabla hajafa ila akifa Bado yuko mganga hajatubu kuzimu kunamuhusu bila chenga wala kukwepesha

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@dallasabinchar5128 hakuna uganga Hali acha uongo uganga wa aina yoyote ule ni wa kishetani , Mungu hana ushirika na majini (mashetani)uaimdanganye mwenzio,kwa YESU KRISTO pekee Ndio Kuna ukombozi

  • @tututz100
    @tututz100 3 года назад

    MCHAWI HASSAN

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum8185 3 года назад +3

    Huyu kijana ni very intelligent na ndio maana shetani alimteka.