Davista this is one of the best 👌 interviews. Its a great eye 👁 opener. Yaani I've learnt a lot about the spiritual world . Your guest has really helped me know so many things. I wish akuje mara kwa mara. I would like to learn more. Asante Davista. Unafanya job poa. God bless you so much.
One of the very best.Very deep exposition. Kazi kwenu wanaume mnaovimba vifua kwa kutembea na wanawake wengi mnajichimbia shimo litakalowafukia mwenyewe.
Kwenda Kwenye Mtiririko Anaweza Iwapo Ataruhusiwa Asimulie Bila Kukatizwa Kwa Maswali, Ukisimulia Kwa Njia Ya Kujibu Maswali Ya Ghafla 👉Mtiririko Unatoweka.
@@ikabako2454 kama unampenda YESU KRISTO ungekuwa huko , YESU KRISTO hachanganywi na Quran hilo ujue,huko mnadanganywa kuwa issa ndio YESU KRISTO kuwa uongo mnadanganywa YESU KRISTO hana jina lisilo na utukufu, shetani ni muongo ,na ndio uwe upande wa kweli wa KRISTO YESU ili usitimie hayo mafuta
Naomba umuulize kwenye "Part 1 alisema wakati anamchinja njiwa kwenye triangle ya mishumaa mitatu ili kuwaita wale majini wamchezee ustadh na mkewe alikuwa akisoma AYATUL KURSIYU,kwanini aliisoma aya hii ambayo waislam tunaamini ni kinga? Au majini haiwasumbui aya hii?
Uyu jamaa tumecha mgundua alikuwa anataka kuchafua dini tukufu na bora ya kiislamu na maneno ya uongo lakini inaonekana anasoma comments zetu ame changed na tuna mfatiliya karibu sana ikiwa ata anza uongo
naomba nijibu hili swala mimi ni muislam na wala sipingi huyu jamaa kusema alikuwa akisoma aya hii tukufu kwenye huu uchawi wake naomba nitoe elimu kidogo huwa masheitwani wa kijini lengo lao kwanza ukufuru ndio wakusaidie mfano wanaweza kukuambia ili tukusaidie kwanza mwaga damu ndio tiba wakusaidie wakati mungu anataka tuchinje kwajili yake tu sasa kusoma ayaati qulsiyyuh lengo ni akufuru ndo wale majini wakawasha hiyo mishumaa baada ya kukufuru na ndomsaada wa kuwaleta wale watu ukafanyika ndo mana kunapoint nimemuona yupo correctly saa baada ya kusema usishangae mtu kwenda kuswali baada ya kuamrishwa na jini mbaya hale haswali kwajili ya mungu laa ni kwahofu ya kumuogopa shetani ila wallah uislam ni dini sahihi sanaa huyu kijana alisoma kwa wale mashekh mchwara wanaofundisha elimu ya nyota na uchawi ila uislam sahihi upo mbali na hiyo elimu na nimefurahi amesema kuwa huyo mwalimu wake amemwambia hii ni elimu dunia na sio elimu ya dini.
Davista huu ushuhuda ni mzuri sana ila unauchelewesha sana. Pia naomba muulize kama alishawahi kwenda KUZIMU, na Je! Anawafahamu watu walioko huko wawe wasanii au viongozi wa dini, na Je! Anamjua Mussa Chessa kwenye kazi zake alishawahi kukutana nae au kufanya naye kazi?! Ahsante!
Yani muslin are always mad in comments, like let people praise Jesus in peace if u disagree with someone just leave it alone and move on, we Christian be leaving y’all alone, we don’t even bother y’all.
DALILI ZA MWANAMKE JINI 1.HAUWEZI KUJUA NI LINI ANAENDA PERIOD NA HUTOMUONA AMESHIKA PEDI 2.HAUWEZI KUMUONA ANAENDA HAJA KUBWA WALA HUWEZ KUSIKIA AMEJAMBA HAWA MAJINI WANANUKIA VIZURI SANA WANA MANUKATO MAZURI
Pasipo Kristu Yesu wewe hakuna wokovu,,,,Jesus Christ is the true salvation ukikosea njia mizimu ya kichawi na kiganga inapita na wewe kuokoka ni kwa yesu kristu tu
ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH ….. Huu jama mongo kwani Majini si yameumbwa hata kabla ya binaadam …. Na hawakuumbwa majini na binaadam illa kumuabudu Allah peke yake…. Kwani binaadam hamna wabaya? Vile vile na majini kuna wabaya na wazuri sasa jamaa huuu amekuwa anatumiwa na wabaya na vile vile njia zake zimekuwa za shirq… watu kama hao hawajuwi kutofautisha ndiomaana anasema wote wabaya…
Kabisaa, uyu jamaa Aku soma dini tukufu na bora ya kiislamu alikua ana soma uchawi na uganga lakini wote wakisha toka kwenye uganga wanasema nilikuwa mwislamu ile maneno anaongea ni kiislamu kweli?
ndo hivo hakuna majin mazur msitudanganye, wale maji woot waliotupwa na shetan wote hao ndo malaika wa shetan hufanya kaz ya shetan daima, huyu jmaa yuko sahihi, kwa mungu kuna malaika, na hao majin huwez kusema et kwa mungu kuna majin, tena ametoa mfano mzur, et kwan kuna jambazi mzuri!???
Nuku maneno yake" eti hakuna kiumbe kinachoweza kuku amrisha uswali bimana ukiswali unakuwa unaabudu yule Jini alie kuamrisha umuabudu mwenyezi mmungu" jeee kanisani nyinyi Wa Kristo pasta anapowaambia OMBA jee unamuabudu yeye??? Na vile vile Shetani na malaika zake nitofauti na Majini….maanayake Majini walikuwa duniani kabla hata shetani hajafukuzwa mbinguni….sasa watakuwaaje wamoja??? Illa miongoni mwao pako walio aswi na kufata nyayo zake na ndivyo ilivyo kwa binaadam pako wazuri na wabaya….na huo jamaa amekwenda kujifunza uchawi bimana ni ubaya tuuu ndio anaona si mema
@@DWAYNEKI Mungu hakuumba majini na binadamu mumuabudu pamoja , na hakuna urafiki Kati ya Mungu na majini (mashetani)huko kwenye Quran mnadanganywa,allah sio Mungu wa kweli ni shetani mkubwa audanganye ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehanamu zinduka, njia ya kweli ni YESU KRISTO pekee
Pole kwa mfano wa lazaro hio ni fundisho sio ufafanuzi kama wasemavyo..Lazaro kama alikuwa motoni ..je alitoa wapi ulimi?ulimi si ni kiungo cha mwili ambacho uoza?.
Uganga uko ayina bili kuna uganga wa elimu ya majani na mti ambao ina saidia magonjwa mbalimbali bila shirk dio uganga halali na kuna uganga wa mashaituani na mzimu ambao ni haramu kabisa. sasa baba yako ni uganga wa aina gani ana fanya?
@@shamilakalinga437 mwambie atubu na kumpokea YESU KRISTO kabla hajafa ila akifa Bado yuko mganga hajatubu kuzimu kunamuhusu bila chenga wala kukwepesha
@@dallasabinchar5128 hakuna uganga Hali acha uongo uganga wa aina yoyote ule ni wa kishetani , Mungu hana ushirika na majini (mashetani)uaimdanganye mwenzio,kwa YESU KRISTO pekee Ndio Kuna ukombozi
This guy Is deep..and very conscious...Davistar thumbs up 👍
Davista this is one of the best 👌 interviews. Its a great eye 👁 opener. Yaani I've learnt a lot about the spiritual world . Your guest has really helped me know so many things. I wish akuje mara kwa mara. I would like to learn more. Asante Davista. Unafanya job poa. God bless you so much.
That's true mummy ♥️ let God 🙏 grant them good health so that he may bring more people who will educate us about the worldly secret things
Huyu anafunza elimu ya kiroho, nimejifunza mengi sana 👌
One of the very best.Very deep exposition.
Kazi kwenu wanaume mnaovimba vifua kwa kutembea na wanawake wengi mnajichimbia shimo litakalowafukia mwenyewe.
Anatoa elimu nzuri sema haendi kwenye mtiririko kwenye story ♥
Kwenda Kwenye Mtiririko Anaweza Iwapo Ataruhusiwa Asimulie Bila Kukatizwa Kwa Maswali, Ukisimulia Kwa Njia Ya Kujibu Maswali Ya Ghafla 👉Mtiririko Unatoweka.
SUCH EYE’S OPENER INTERVIEW
Energy drink ni hatari sana kwa afya na kwa ulimwengu wa kiroho ..iache kabisaaa ..
Huyu kijana ni very intelligent na ndio maana shetani alimteka.
Very true anajua kujieleza
Very powerful story
Asante Sana devista mata, kwa kweli inazidi kutupa elimu nakutufungua macho zaidi, Mungu azidi kukubariki na akupe afya ilituzidi kuelemika zaidi
Kweli huyu anajitambua, ana mafunzo mazuri sana. Tumefurahi sana kumleta huyu mtumishi atufungue macho
Best of the best👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🙏❤❤❤❤❤❤❤
Very Deep exposition
Kaka anafundisha vizuri sanaa, sema uzuri watumishi wengi wanajua kujielezea
Asante davista matter,imetufaa sana. This story even though I was scared listening to it Firdaus from 🇬🇧
Kenyans need to hear this coz wengine wameanza kuabudu mungu wa babu zao na kuchinja mbuzi
Inasemwa shetani ana nguvu zaidi na kamili. Atakufanyia vyote vibaya, isipokuwa chombo rahisi Mungu alitupea ni Maombi, haswa Maombi kwa Mungu.
Alhamdulillah mung nilinde nisije nikaenda uko ugangan kwakwel😢😢
Njoo kwa YESU kristo uislam ni ushetani
Njoo kwa Yesu alhamdulilah haitakusaidia wewe
Mungu akubariki ushuhuda ni mzuri , naomba tuwekee namba ya mtumishi Meshack kuna mambo tuulize.
You are a good storyteller my brother
Mungu atuhurumie sana kwakweli
Train ya Kigoma mlikuwa mnaifanya nini tuelezee mtumishi usisahau. Tunajifunza mengi kupitia huu ushuhuda, Mungu akubariki.
SIFA NA UTUKUFU NA ADHAMA NI KWA SHUJAA WA MSALABA BWANA WETU YESU KRISTO🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Mungu utusamehe maana dunia ina mambo mengi ya kutisha
Raha ya alakhera kheri mina aduniya .raha ya alakhera ni nzuri kuliko ya duniyani
Huyu bwana yupo vizuri...tupo pamoja Davister
Mungu tusaidie waja wako. Ndio maana Neno la Mungu linasema wazi. Umeona wapi pepo akamtoa pepo mwenzake. Wapendwa tumrudie Mungu.
Hongera kwa kutomboa siri ndo watu wamtegemee Mungu sio waganga kwa Mungu kuna raha shetani hana lolote nguvu za giza zimeshindwa .
Subhana allah Allah tullinde , tusimamie , tuongeze na tutangulie....
Damu ya Yesu itulinde na wabaya wa duniani
Amen
Hapa ni mafunzo kwueli kwueli, mwuisho mbio 🏃🏃 mpaka kwua kristo
#Davista nilikuwa najiuliza habali zahuyu jamaa zime kwisha kumbe bado yipo inq endelea 💓
Unaibland energy😂😂😂😂 davistar bhn
Davistar aisee huyo jamaa kiboko aisee anaongea point tupu.
Mtumish Shadrack upo vizur
Ninaamini unamjua Mungu wa kweli, shuhuda zako ni fundisho kubwa
Davistar mbane huyu jamaaa atume elimu ya kutosha
Naomba Mungu anikutanishe na huyu mtmsh$ Katekela
Huyu sio katekela
Ukombozi ni kwa BWANA YESU KRISTO pekee, waislamu wampokee YESU KRISTO bila kuchelewa
@@ikabako2454 kama unampenda YESU KRISTO ungekuwa huko , YESU KRISTO hachanganywi na Quran hilo ujue,huko mnadanganywa kuwa issa ndio YESU KRISTO kuwa uongo mnadanganywa YESU KRISTO hana jina lisilo na utukufu, shetani ni muongo ,na ndio uwe upande wa kweli wa KRISTO YESU ili usitimie hayo mafuta
Jameni Huyu Kaka Sauti Yake ya Fanana na ya Kaka Musaa Chesa, Je Wana Uko moja Kaka Davistar 🤔👍🏿👍🏿👍🏿♥️🇰🇪
Mungu mkuuu akubariki sana
Allah tusimamie ktk Dunia hii inayotisha 😢😢😢kwa viumbe hawa wa shetani.
Hili ni zaidi ya darasa tumesikiliza wengi ila huyu 100%
Davistar mungu akubariki san Kwa mtu huyo naomba aongee yote asiruke jambo hata moja Plz! Maan unatuvusha mahali barikia san
Twende Kazi Mr...............
Naomba umuulize kwenye "Part 1 alisema wakati anamchinja njiwa kwenye triangle ya mishumaa mitatu ili kuwaita wale majini wamchezee ustadh na mkewe alikuwa akisoma AYATUL KURSIYU,kwanini aliisoma aya hii ambayo waislam tunaamini ni kinga? Au majini haiwasumbui aya hii?
Uyu jamaa tumecha mgundua alikuwa anataka kuchafua dini tukufu na bora ya kiislamu na maneno ya uongo lakini inaonekana anasoma comments zetu ame changed na tuna mfatiliya karibu sana ikiwa ata anza uongo
Yaan nashangaa Aya kubwa ya kinga kwa mashetwan yasimsumbue mwanadamu eti ndiyo aliitumia🤔
Naam tuendelee kusubiri majibu kutoka Kwa Ustadh wa zamani
Mm nilimgundua tangu alipoanza tu huyu anachafua uislam
naomba nijibu hili swala mimi ni muislam na wala sipingi huyu jamaa kusema alikuwa akisoma aya hii tukufu kwenye huu uchawi wake naomba nitoe elimu kidogo
huwa masheitwani wa kijini lengo lao kwanza ukufuru ndio wakusaidie mfano wanaweza kukuambia ili tukusaidie kwanza mwaga damu ndio tiba wakusaidie wakati mungu anataka tuchinje kwajili yake tu sasa kusoma ayaati qulsiyyuh lengo ni akufuru ndo wale majini wakawasha hiyo mishumaa baada ya kukufuru na ndomsaada wa kuwaleta wale watu ukafanyika ndo mana kunapoint nimemuona yupo correctly saa baada ya kusema usishangae mtu kwenda kuswali baada ya kuamrishwa na jini mbaya hale haswali kwajili ya mungu laa ni kwahofu ya kumuogopa shetani
ila wallah uislam ni dini sahihi sanaa huyu kijana alisoma kwa wale mashekh mchwara wanaofundisha elimu ya nyota na uchawi ila uislam sahihi upo mbali na hiyo elimu na nimefurahi amesema kuwa huyo mwalimu wake amemwambia hii ni elimu dunia na sio elimu ya dini.
Davista huu ushuhuda ni mzuri sana ila unauchelewesha sana. Pia naomba muulize kama alishawahi kwenda KUZIMU, na Je! Anawafahamu watu walioko huko wawe wasanii au viongozi wa dini, na Je! Anamjua Mussa Chessa kwenye kazi zake alishawahi kukutana nae au kufanya naye kazi?! Ahsante!
Mungu atusaidie
Yani muslin are always mad in comments, like let people praise Jesus in peace if u disagree with someone just leave it alone and move on, we Christian be leaving y’all alone, we don’t even bother y’all.
Yaaani hwa Muslim lazima matus Kama inkusingua sio lazma usikize
Davistar Kwann usituambie tupige picha na energy zetu na sisi tukutambie😂
Together Mr everything 💪
Sasa hapo ndio simulizi kifunguwa macho sana davistar poa sana
Mungu tusaidie kweli
Nikweli pepo hawezi kutowa pepo,
Elimu nzuri
Hapa nimeelewaaaa....maana kibiblia kweli watu wa MUNGU walienda kuzimu
Mungu awarinde
Ameeen🤝🤝🤝🤝
@@ayshamahariq6665 🤝🤝
Weka ingine davistar banaa
Eti sio Mimi davistar jamani 🤣🤣🤣
The devil came to kill,steal and destroy..no other way about it
Hyo ya kutembea (kusex) na mtu then anakuachia mikosi yake nimeisikia kwa wengi na hata mama yangu wa kiroho ananiambiaga hyo story kila siku
DALILI ZA MWANAMKE JINI
1.HAUWEZI KUJUA NI LINI ANAENDA PERIOD NA HUTOMUONA AMESHIKA PEDI
2.HAUWEZI KUMUONA ANAENDA HAJA KUBWA WALA HUWEZ KUSIKIA AMEJAMBA
HAWA MAJINI WANANUKIA VIZURI SANA WANA MANUKATO MAZURI
@davister hebu muulize kama anamjua Mussa chesa
Kwa nini wale wote waliekuwa wa shirikina wa na kimbilia ukristo na wanukuwa wa chungaji
Pasipo Kristu Yesu wewe hakuna wokovu,,,,Jesus Christ is the true salvation ukikosea njia mizimu ya kichawi na kiganga inapita na wewe kuokoka ni kwa yesu kristu tu
Wanakwenda kuzidi kuutafuta moto
Fanya umualike mwalim Mgisa Mtebi akueleze mambo ya paradise na kuzimu anayajua kweli
Kuna clip anazungumzia ivyo
Kuna clip anazungumzia ivyo
Davister nilikuwa naomba umtafute @shafii the don please kama itawezekana
Safi
Najifunza Mengi davista
Wa tisa leo 🇰🇪 🇦🇪
Hongera
Amkeni mambo ni moto
tushaamkaaaaaaa wngu 💃💃💃💃
@@ayshamahariq6665 aya wangu
@@philipoluzege3200 🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Wanao penda kuenda kwa waganga oneni kazi vile inafanyika haya habari ndio hii Sasa
Jamani story unatamani ishiishe
💥💥💥💥💥
💃💃💃💃💃💃💃
Huyu jamaaa anaelimu ya kidini kubwa sana
huyu jamaa ni library, ana material hatari juu ya uchawi😂😂😂
Bwana yesu asifiwe
😊
ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH ….. Huu jama mongo kwani Majini si yameumbwa hata kabla ya binaadam …. Na hawakuumbwa majini na binaadam illa kumuabudu Allah peke yake…. Kwani binaadam hamna wabaya? Vile vile na majini kuna wabaya na wazuri sasa jamaa huuu amekuwa anatumiwa na wabaya na vile vile njia zake zimekuwa za shirq… watu kama hao hawajuwi kutofautisha ndiomaana anasema wote wabaya…
Kabisaa, uyu jamaa Aku soma dini tukufu na bora ya kiislamu alikua ana soma uchawi na uganga lakini wote wakisha toka kwenye uganga wanasema nilikuwa mwislamu ile maneno anaongea ni kiislamu kweli?
Tatizo majini waliotupwa na mwenye zimungu wote ni wabaya ni wafuasi wa😲 shetani
ndo hivo hakuna majin mazur msitudanganye, wale maji woot waliotupwa na shetan wote hao ndo malaika wa shetan hufanya kaz ya shetan daima, huyu jmaa yuko sahihi, kwa mungu kuna malaika, na hao majin huwez kusema et kwa mungu kuna majin, tena ametoa mfano mzur, et kwan kuna jambazi mzuri!???
Nuku maneno yake" eti hakuna kiumbe kinachoweza kuku amrisha uswali bimana ukiswali unakuwa unaabudu yule Jini alie kuamrisha umuabudu mwenyezi mmungu" jeee kanisani nyinyi Wa Kristo pasta anapowaambia OMBA jee unamuabudu yeye??? Na vile vile Shetani na malaika zake nitofauti na Majini….maanayake Majini walikuwa duniani kabla hata shetani hajafukuzwa mbinguni….sasa watakuwaaje wamoja??? Illa miongoni mwao pako walio aswi na kufata nyayo zake na ndivyo ilivyo kwa binaadam pako wazuri na wabaya….na huo jamaa amekwenda kujifunza uchawi bimana ni ubaya tuuu ndio anaona si mema
@@DWAYNEKI Mungu hakuumba majini na binadamu mumuabudu pamoja , na hakuna urafiki Kati ya Mungu na majini (mashetani)huko kwenye Quran mnadanganywa,allah sio Mungu wa kweli ni shetani mkubwa audanganye ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehanamu zinduka, njia ya kweli ni YESU KRISTO pekee
Duuh asant rafiki kwakunitaarifu niwah
🤣🤣🤣🤣
@@ayshamahariq6665 unachekaa nn
@@ayshamahariq6665 unachekaa nn
@@credo7837 kuwah🤣🤣🤣
4
Mimi ombi langu ukimaliza story uwe inamwalika mtu au wasikilizaji kama Sisi wenye maswali "MAGUMU"
Nilikuw ndio nalala daaah
pole yko😀
Kafanana na Mussa chesa kasoro Rangi tu
Pole kwa mfano wa lazaro hio ni fundisho sio ufafanuzi kama wasemavyo..Lazaro kama alikuwa motoni ..je alitoa wapi ulimi?ulimi si ni kiungo cha mwili ambacho uoza?.
Eb nikae kwa kutulia.
Wa kwanza
Hongera wngu💃💃💃💃💃
Hongera 💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾
@@ayshamahariq6665 asante wangu🥰🧡🧡🧡
@@pilimusa7770 asantee wangu❤❤
nisaidie nisiende kwa mganga
Huyu broo anaonge ukweli mtupu
Naomba kuuliza hivi sheitwani kazi yake Ni kumtesa mtu au kumpoteza mtu anayefanya ibada ili apotee?
Vyote hivyo ufanya kwa mwanadamu aliye yeyote kwamaana na yeye ataka utawala
Jamaa kafanana na Musa chesa vile🙄
Wote ni waha,wamenyoya staili ya kufanana.
Usiku mwema
shkuran wngu 🤗🤗🤝🤝❤❤
🇰🇪🇸🇪⏰
Bado upo palepale tu
Jaman me mzee Kalinga ni mganga na ni baba yangu kwahiyo akifa anaenda kuzimu?????
Muombee dua mzazi wako Soma quruani utajua nafasi yako
@@huseniomari3990 kusoma dua nasoma sana pia namuomba Allah kila mala ila mpaka sasa yupo kwenye hiyo kazi pia tumezaliwa tumemkuta humo
Uganga uko ayina bili kuna uganga wa elimu ya majani na mti ambao ina saidia magonjwa mbalimbali bila shirk dio uganga halali na kuna uganga wa mashaituani na mzimu ambao ni haramu kabisa.
sasa baba yako ni uganga wa aina gani ana fanya?
@@shamilakalinga437 mwambie atubu na kumpokea YESU KRISTO kabla hajafa ila akifa Bado yuko mganga hajatubu kuzimu kunamuhusu bila chenga wala kukwepesha
@@dallasabinchar5128 hakuna uganga Hali acha uongo uganga wa aina yoyote ule ni wa kishetani , Mungu hana ushirika na majini (mashetani)uaimdanganye mwenzio,kwa YESU KRISTO pekee Ndio Kuna ukombozi
MCHAWI HASSAN
Huyu kijana ni very intelligent na ndio maana shetani alimteka.
Hata wewe kumgundua tu ...upo juu in IQ