Am in love with what am learning from this man of God .... Kweli kuna masomo ya shule ya nje ya shule.. God bless you Meshack wacha Mungu azidi kukuvuvia na kukupa kibali utuelimishe🙏🙏
Yesu Kristo aliahidi kuwa hatarudi mpaka injili ienee duniani. Wakati umefika, ukweli wa imani ya Kristo unazidi kuenea kwa njia ya mtandao. Asije mtu akasema amehukumiwa bila hatia siku ya mwisho, YESU anazidi kuwatokea waalimu wengi wa kiislamu akiwaamuru wamfuate, shehe Mnyeshani, Adam Haji na wengine kibao. Waislamu itafuteni kweli, na kweli itawaweka huru. Njooni kwa Yesu
Mi najisomea tu comment nimegundua watu wengi wanampinga uyu jamaa lakin ni wanampinga tu kwa kusema muongo anapotosha bila kusahihisha anachokijua yeye ni sahihi Uyu jamaaa anaongea anachokijua yeye na anasema wazi kama unaisi yeye ni muongo njo na haya inasomea tofauti na yeye anavoongea Sio vizuri kusema tu muongo wakati ww ujui chochote Hii anayotoa apa ni elim kubwa sana chukua ujifunze ila usiache kufatilia kwa kuuliza kwa viongozi wako wa dini wape challenge viongozi wako wa dini lengo ni kujifunza si kwa ubaya
Msisahau neno moja kwamba wapo watakao lia na kusaga meno siku ile ya mwisho, ikiwa nuru ilikuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko nuru. Mungu tuhurumie😢😢😢😢
Ujue jambo moja ni kuwa waislam wanatumia qran kutenda mabaya af mnasema dini ya kweli hivi tangu lini nuru ikachangamana na giza okokeni mumpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu na mwisho muione mbingu ya Jehova Mungu mkuu
na hivyo vitabu nivitabu vilivyo andikwa kiarabu na ni uchawi kwa kiarabu ni shririki sio uisilam kunatofauti na uisiliamu na vitabu vilivyo andikwa kiarabu hapo kuna tofauti kubwa mtu ukisema bismilaah rahma ni rahim .... maana yake ni kwajina la mwenyezi mungu mwingi wa rehem mwenye kurehem........hata wachawi washirikina kila wanacho kifanya wana dai wanamshirikisha mwenyezi mungu haswa haswa wachawi wavitabu nikwajia wanayo itumia kujihalalishia kazi yao nakuficha watu wanaco kifanya nyuma ya pazi sio kana kwamba mtu aikisema bismilah rahmani rahim ni aya katika kur ani ndo uisilam niuchaw la sihivyo ninjia ya washirikina kujihalalishia mambo yao kujiweka watu waone kazi yao nihalali na hata ukisikiliza au ukienda kwa waganga wavitatu wanatumia majini kudhuru au kufanya mambo yao na uchawi lakin ww hawakuambiii wanakuambia ngoja tumshitakie mungu ww utaona upo sehem sahihi lakin kwa upande mwingine umeingizwa katika shirki na kitabu utakacho some au kuoneshwa niicho au hivyo vilivyo andikwa kiarabu na akili za watu wengi wasio jua wanajua kila kiarabu kilicjo andikwa ni uisilam na kukuvuruga zaid wanachanganya na baadhi ya aya kwenye quran na hizo aya hazimaanishi chochote kama anavyo sema bwana meshaki nikukufumba wewe uone ni upo kwenye njia y halali kumbe umepotea zaid bila kujijua na kama mlikuwa makinii nikimnukuu bwana meshaki anasema waganga wanakuingiza mkenge bila kujijua lengo nikusajili watu katika jia ya giza either kuwatupia majini ama kuwai bia nyota na kuwatia katika matatizo bila ya wao kujijua na waganga wengi wa njia yakitabu huwa wanapenda kumsingizia mwenyezi mungu kwenye kazi zao kwakulingana na maelezo ya bwan meshaki na upungufu wake wakujielezea na kuchanganya mambo kwa mimi binafsi naweza nikasema alikutana na walimu walio mpoteza nakumuingiza katika shirki hali yakuwa alikuwa ajui ama anajua na Qur'an alie isoma yeye sio kwajili ya kuijua alipoteza mtu alie soma qur'an vizur nakuijua kwanza yenyewe inakukataza na mabo machafu ana kumshirikisha allah subbuhanau wataala.............................................. na chakuongezea zaid waganga wengi wakitabu huwa wanatumia gia yakumshitakia mungu ilihali wanafanya mabo ya shirki ilikukupoteza ww mteja kujua kuwa haupo kwenye shirk kumbe upo ndani ya shirk........ tumuombe mungu sana atuepushe na haya na tutoe katika giza na atuongoze katika mwanya na katika njia ilionyooka. amin.
Davister kama inawezekana jaribu tutafutie na waliowahi kuwa wakristo kweli kweli then wakabadilisha dini wakawa Waislamu, tusikie nao wanasemaje. MAANA UPANDE WANGU SIJAWAHI KUTANA NAO. Najua haushindwi kitu. Barikiwa!
Amesema vizuri. Kama mtu anapinga maneno yake Meshack basi ni vizuri aje na evidence yake aitumie kumpinga, sio kwa maneno mengi tu pasipo na evidence. God bless you my brother for the important work you do tirelessly of exposing the works of darkness. Truth is watakuchukia sana kwa haya unayofanya lakini Mungu yuko nawe kila hatua unayopiga.
Ndio..,Kama yeye mwenyewe alikuwa Mchawi na ndugu pamoja na Wazazi wake na waliomfundisha Dini. Ukimsikiliza kile anachokilenga ktk Mazungumzo wake ni Kuwaaminisha watu kwamba Uislam ni Upotofu kumbe yeye ndio Kapotea
Majini wanaofunga mwezi wa ramadhani ni majini waislami. Saum yawajibikiwa waislamu na mashetani si waislamu. Meshetamii hawafungi wakati wa ramadhani. Mtume Muhammad (SAW) alisema wakati wa ramadhani wale mashetani wabaya huwa wanafungwa kwa cheni ili wasipate kufanya mabaya yao. Wanafungwa na hawafungi. Hii hoja yako uliyoitowa haingiliki akilini. Ikiwa mashetani wao wanaamini Mungu wao ni Lucifer, kwa nini wafunge ili wamridhishe Mungu wa kweli?
Mungu wa waislamu yaani Allah ni huyo huyo Lucifer, mtaendelea kufungwa ufahamu hadi lini? Amka wewe usinziaye na Nuru ya Mungu wa kweli JEHOVAH ikuzukie.
@@noelashaoona Adui wa kwanza ni Nafsi yako, ukifanya matendo mema unakuwa mwema na ukifanya matendo ya kishetani wewe pia unakuwa Shetani kama mashetani wengine. Ndiomaana kuna mashetani wa kijini na mashetani wakibinaadam. Mwezi Mtukufu Ibilisi anafungiwa na ujue kwamba Ibilisi ni shetani ila sio kila shetani ni Ibilisi....Madhambi unayofanya niwewe na Nafsi yako
Majini pia ni viumbe wa mwenyezi Mungu hilo ni jina kama vile unavyosema binadamu, ushetwani ni sifa ambayo inamaanisha aliye asi, alafu wanadamu pia huasi kama vile wewe ulivyo asi inapaswa pia uitwe shetwani, yatakikana umregelee Mollah wako.
Hapo ndio kitabu unachokitumia kinapo kupotosha najua sio kosa lako ila ni kitabu ulichokiamini.wanafundisha hata binadamu mashetani wapo na majini wapo mashetani na wasafi. Ila huu ni upotofu mkubwa ulitengenezwa ili kuruhusu majini kupata ushirika na wanadamu kimsingi majini ni malaika waasi wakiongozwa na shetani mwenyewe, kama unaushirika na jino yoyote wew umejiunga na kuzimu hata kama hujui.
Majini wote ni wabaya Ni malaika waliomuasi Mungu wakatupwa nje ya mbingu. Mbinu ya shetani ni kuua, kuharibu na kudanganya. Ndio maana uislamu ukaja ili kumpinga Kristo.. shetani (ibilisi) aliahidi kupotosha wanadamu ili aingie nao jehanamu. Uislamu haukutoka kwa Mungu … Msikilizeni mtu mmoja anaitwa Christian Prince kwenye RUclips … mtaondoa ujinga wa Quran
@@abdimohamed3953 kwanza nikwambie kitu kimoja. Watu wanasema koranbna biblia ni vutabu vya Mungu vyote lakini mimi nakuhakikishia kuna tofauti katika maandiko na mengine yana fanana. Mfano Korani inatambua majini wengine ni wazuri na wanamwabudu Allah. Lakino katika Biblia hakuna majini wanao mwabudu Mungu ingawa wana naamini yupo na kutetemeka juu. Kimsingi Majini walikua malaika na lusifer au shetani alikua kiongozi wa kundi la malaika na alitumika katika kazi nyingi badae akajiinua akataka awe kama Mungu, biblia inasema akashawishi theluthi ya malaika wa mbinguni wakamuunga mkono, Mungu akatuma malaika wa vita Michael ambae alipigana nae nakumshinda baada ya hapo wakafujuzwa mbinguni akisubiri adhabu yake siku ya hukumu. Badae Mungu akaumba mwanadamu sasa nakumweka duniani sasa shetani yule yule aliachwa ili kumpima mwanadamu kilichotokea akamdanganya na kumpata ndio chanzo cha majini kuingia kwa wanadamu wengine wakajifanya watii kwa Mungu lakini majini wote agenda yao ni moja wanataka siku ya hukumu wasiwe pekeyao wawe na wanadamu
Koran imekuja miaka 500 baada ya biblia kuwepo ila chaajabu sasakatika korani ndio wale majini wakaanza kuonekana kama sio wote wabaya nibaadhi tu, wanadamu wakaaminishwa hivyo ikawa ndio njia rahisi ya majini kuwashinda wanadamu manaa wamekubaliana nao kiujanja ila wao kama wao bado ni malaika walio asi na wanasubiri hukumu hakuna sehemu katika biblia majini walirudi kutubu na hawana msamaha kwa Mungu. Ila kama unasoma korani huko wamesamehewa sasa wew ndio utumie akili yako hapo
Huyu kaka angetueleza tu story yake mambo ya kueleza vitabu na kuchokonoa mambo mengi ya dini yanaweza kuwachefua watu fulani, story yake ni elimu tosha!
Nikujibu ndugu hapo zamani kulitokea vita kubwa mbinguni katka vita iyo lusifa alishindwa akatupwa ndunian yy pamoja na selusi tatu ya malaika wambingun ambao walimfuata shetani ambaye alikua akiitwa lusfa alikua muimbaji maili wa sauti 12 akiiziimba zote kwa pamoja inamaana kwamba yy alikua kiongozi mkuu wamalaika wote wambingun alipo asi akashushwa duniani nakund kubwa la malaika ao ndio wanaotenda kaz ya shetani mala jin fulan fulan ayo majin ndio miongoni mwa lile kundi la malaika ukisema shetani na jin tofauti wote nimashetan wale wale Waislam kama amumtambui yesu na kua nakaz yakufuga majin mutapotea sana amyajui maandiko zaid kuleta ubishan
Wewe umedai ulikuwa ni muislamu na ulisoma madrasa basi ungejuwa kirahisi kuwa hizo kina abjad sio sehemu ya juzu Amma, Hizo zimewekwa ili kujifunzia kusoma kiarabi. Zimewekwa na binadamu na wala hazikuwekwa na mtume Muhammad (SAW). Na pia kuna uwezekano mkubwa aliyeziweka ameziweka kwa nia mzuri ispokuwa sasa waganga wanaztumia kwa mambo ya kiganga,
Davistar unajali zaidi waislamu watajisikiaje kuliko ukweli wa Kristo katika ushuhuda wa ustaadhi aliyekombolewa kwa damu ya Yesu! Acha ustaadhi ashuke kama roho atakavyo ili mradi hatukani mtu.
Jamaa huyu chenga sna aliyeshusha quran kutoka kwa mungu ni malaika jibril na alishusha mtume Muhammad na quran haijapokelewa na majini tumia akili kuelemisha watu tuambie hao majini walipoiskia quran waliiskia kutoka wapi na ni nan alikuwa akisoma mpka majini wakaiskia na kuamini maneno ya allah acha kupotosha
Msikilize kwa umakini anafafanua vizuri tuu, hawa ndio manabii wanyakati hizi. Mungu mwenye enzi azidi kumbariki na kumlinda aendelee kufungua watu katika ushirikina uliojificha kwenye dini.
Hilo pia ni swali nimeuliza je hawa wachawi wengi tuko nao Kenya haswa ni Christians hawaja kua Muslims nor family Muslims ni ni wachawi hatari haya iweje Islam ndio dini ya wachawi lol atubu bila kuingilia dini Hassan a k a Meshak asituharibu imani a dini kabisaa
Nimeona komenti nyingi zinadai kua Hassan anachanganya mambo Mawili kwa wakati mmoja 1.Elimu ya dini 2.Elimu ya kichawi Anafasiri qur-an kwa kupotosha😎 Lakini wote wanaoyasema hayo yote kuna Mahali naona hawajafikiria vizuri wanaongozwa zaidi na mahaba ya dini! iko hivi Allah ndio jina kamili la Mungu wa kiislamu sio jina la Mungu ama miungu wa kiarabu hapana ni jina la Mungu wa kiislamu likitajwa Mahali popote tunategemea amani ipo,,, Shida yangu iko hapa hilo jina la Allah na baadhi ya majina yake kwanini yametumika kwenye hivyo vitabu vya shiriq???!!! Tena yametumika kwa ajili ya swala na manuizio ya kichawi???!! Naomba aje mtu anijibu kulingana na nilichouliza sitaki brah brah Kama huna hoja Pita kuleee!
shukran sana bwana paul ndoya, kwanza jina la allah tuelewane nijin ala mwenyezimungu kwa lugha yakiarabu ni sawa na jina la yesu kila lugha au taifa enzi izo lina jina lake yesu limetoholewa kutoka luga ya kiingereza jesus na kwaiyo sasa jina allah sio mungu wakiarabu nikutoa fikra potofu allah mung mmoja ambaye hana mshirika ambaye hajazaa wala hajazaliwa ni mwingi wa rehema na mwenyehuruma na dio anaestahiki kuabudiwa na sio kiumbe chochote isipokuwa yeyetu......
@@meisme7540 hata Sheikh kipozeo anaweza akaongea naye lugha moja ya kifalak Hii elimu sio kila Sheikh anayo,ni elimu ya upendeleo sio kila mtu anapewa
Kuhusu waganga umeongea ukweli mtupu, na hao waganga wanao waingilia wangonjwa wapo'' Mimi nikiwa mmoja wao yani yote umeongea yalinikuta nilishawai davista na uyu mganga yupo mpk kesho
@@rosemarry2020 yani dia mi sitak kuamin mpk leo nilikuwa nafanyiwa vitu ukimuuliza anakwambia ndio dawa mizimu yke ndio imemwambia afanye ivo na yule kaka ni mshenz nataman niseme kila kitu
... 😍Mutumishi Davista unaswali muzuri sana ; wa shetani wana funga juu ya nini?? 🤔😮Bizarre ! Wanatubu ?? 🤔 👀..wickedness really... Wanatutshezeya kweli...
Soma bibilia vizuri, shetani huomba sana kwa mungu, mfano yesu alimwambia Peter shetani amekuombea akusage kama Ngano, pia ayub aliomba amharibu, ukielewa maombi Ni nini utajua shetani huomba
Tatizo waisilamu wabinafsi sana wanajiona wao wanahaki yakilakitu kwa MUNGU, mpaka kumuita binadamu mwenzako kafili kazi ya kuhukumu imekuwa yao badala ya muumba
Ungekuwa unafaham mateso wanayoyapitia uliowafunga kizazi apa duniani, usingesema Mungu amekusamehe...akuna mtu anaeongea na Mungu muda mwingi kama mwnamke aliechezewa kizazi.
Na ndio maana aliacha huo uchafu na sasa anawasaidia kuwafungua.... mbona hapo pana uelewa jamani..... huyu ana upako WA Mungu mwenyewe keep up mtumishi
Hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi ,lkn baada ya kutenda dhambi tuaikalibia toba na kuacha yote na kufuata njia iliyonyooka,na amesamehewa Mbele za Mungu maana ametubu na kuacha
Mung amefany hivy kwa MAKUSUD..... Ili auone j unatumiaje kitab chak ch mung...👏 👏 👏.... Kwa kumuabud km ni kwel wat UFANY ivy...... Why mtume alirogwa..... 👏 👏 👏 KWANN hilo
Am in love with what am learning from this man of God .... Kweli kuna masomo ya shule ya nje ya shule.. God bless you Meshack wacha Mungu azidi kukuvuvia na kukupa kibali utuelimishe🙏🙏
Ukimsililiza sana utaona amesoma kazi za uchawi, kwa njia ya kiislaamu. Amepotea sana subhana laah
@@hassanabubakar3001 Mimi amenifunza hio ndo muhimu😂
@@linahmwende8397 sawa kabisaaaaa
@@hassanabubakar3001 sasa ameokoka, ameachana na hizo aya za shetani kwenye hivyo vitabu vyenu …
YESU ni mwamba
@@jimmykazoya1749 Aya za shetani? Kumbe mashetani mna aya zenu?
Yesu Christo asante kwa wokovu pastor meshak Damu ya Yesu Christo ikupikanie na izidi kukutetea maishani pamoja na davistar Amen
YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine, hongera sana meshack
Ni Bwana na wewe Bibi hongera kwa ndoa yako BIBI NA BWANA
Kwa ajili ya mungu wao wanaomwabudu ambaye ni Allah mkuu wa kuzimu
Yesu Kristo aliahidi kuwa hatarudi mpaka injili ienee duniani. Wakati umefika, ukweli wa imani ya Kristo unazidi kuenea kwa njia ya mtandao.
Asije mtu akasema amehukumiwa bila hatia siku ya mwisho, YESU anazidi kuwatokea waalimu wengi wa kiislamu akiwaamuru wamfuate, shehe Mnyeshani, Adam Haji na wengine kibao.
Waislamu itafuteni kweli, na kweli itawaweka huru. Njooni kwa Yesu
Mi najisomea tu comment nimegundua watu wengi wanampinga uyu jamaa lakin ni wanampinga tu kwa kusema muongo anapotosha bila kusahihisha anachokijua yeye ni sahihi
Uyu jamaaa anaongea anachokijua yeye na anasema wazi kama unaisi yeye ni muongo njo na haya inasomea tofauti na yeye anavoongea
Sio vizuri kusema tu muongo wakati ww ujui chochote
Hii anayotoa apa ni elim kubwa sana chukua ujifunze ila usiache kufatilia kwa kuuliza kwa viongozi wako wa dini wape challenge viongozi wako wa dini lengo ni kujifunza si kwa ubaya
Quran wat wanafundishwa uchaw sem..... 👏
nawengi wanaopinga ni waislamu
Huyu mwamba yuko Deep sana🙆♀️🙆♂️(kama mzee waBakora zakimkakati au Musa Chesa)
kama zabron
Uoga ndio ako na mwingi coz hawa wengine hufichua zote
Innalillah wainna ilayhi rajiun..ya allah tustir waja wako mpe uongofu yy na cc..subhanallah
😂😂😂😂😂 pole chamsing muombe mungu akutoe uko ulipo😏😏😏
Hassan funulia watu ukweli bila kuogopa..God is on your side..praying for you.
Very powerful narration... I love this so much... Mungu akubariki sana Davistar....
Nimejifunza mengi Waallah! Kweli twahitaji ufungo wa Neema za Mwenyezi Mungu.
Davistar mtafute na shehe Amiri aliyeokoka pia utapata ushuhuda mwingine mzito zaidi
Noma sana, mpaka mashehe wana okoka! atuletee huyo shehe tujifunze zaidi.
Maskini nakuonea huruma sana kijana kwa kudangyika na ukawacha dini ya haki, pole sana umesha kosa pepo.
Ubishi wako waislam ndio wabinafsi sana kama amumkubar yesu mmepotea mmepotea ata mfanyeje badiliken muokoke
Pole mwanangu, nakuombea wewe uhidike inshaallah
Msisahau neno moja kwamba wapo watakao lia na kusaga meno siku ile ya mwisho, ikiwa nuru ilikuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko nuru. Mungu tuhurumie😢😢😢😢
Davistar hii kazi nzuri sana tupo pamoja mwanzo mwisho na Mr. Shadrack
Bwana Yesu asifiwe sana wa tumishi Wa Mungu,mimi niko Burundi ninge omba mnisaidie number ya huyo Hassani kweli nahitaje mnisaidie number yake.asante
Duuh shetani muongo sana anadanganya ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehanamu,YESU KRISTO ndio njia ya kweli na uzima,
Yesu ni mwamba tosha
Mimi ninachojua Yesu ameniokoa amenisamehe dhambi asant kwa kukujua ww kristo
Bwana yesu asifiwe
Asifiwe Amen.
Ameen
Ujue jambo moja ni kuwa waislam wanatumia qran kutenda mabaya af mnasema dini ya kweli hivi tangu lini nuru ikachangamana na giza okokeni mumpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu na mwisho muione mbingu ya Jehova Mungu mkuu
Asante sana mwalimu 🇰🇪 🇦🇪
Asante AKO vizuri Sana🇰🇪🇰🇪
na hivyo vitabu nivitabu vilivyo andikwa kiarabu na ni uchawi kwa kiarabu ni shririki sio uisilam kunatofauti na uisiliamu na vitabu vilivyo andikwa kiarabu hapo kuna tofauti kubwa mtu ukisema bismilaah rahma ni rahim .... maana yake ni kwajina la mwenyezi mungu mwingi wa rehem mwenye kurehem........hata wachawi washirikina kila wanacho kifanya wana dai wanamshirikisha mwenyezi mungu haswa haswa wachawi wavitabu nikwajia wanayo itumia kujihalalishia kazi yao nakuficha watu wanaco kifanya nyuma ya pazi sio kana kwamba mtu aikisema bismilah rahmani rahim ni aya katika kur ani ndo uisilam niuchaw la sihivyo ninjia ya washirikina kujihalalishia mambo yao kujiweka watu waone kazi yao nihalali na hata ukisikiliza au ukienda kwa waganga wavitatu wanatumia majini kudhuru au kufanya mambo yao na uchawi lakin ww hawakuambiii wanakuambia ngoja tumshitakie mungu ww utaona upo sehem sahihi lakin kwa upande mwingine umeingizwa katika shirki na kitabu utakacho some au kuoneshwa niicho au hivyo vilivyo andikwa kiarabu na akili za watu wengi wasio jua wanajua kila kiarabu kilicjo andikwa ni uisilam na kukuvuruga zaid wanachanganya na baadhi ya aya kwenye quran na hizo aya hazimaanishi chochote kama anavyo sema bwana meshaki nikukufumba wewe uone ni upo kwenye njia y halali kumbe umepotea zaid bila kujijua na kama mlikuwa makinii nikimnukuu bwana meshaki anasema waganga wanakuingiza mkenge bila kujijua lengo nikusajili watu katika jia ya giza either kuwatupia majini ama kuwai bia nyota na kuwatia katika matatizo bila ya wao kujijua na waganga wengi wa njia yakitabu huwa wanapenda kumsingizia mwenyezi mungu kwenye kazi zao
kwakulingana na maelezo ya bwan meshaki na upungufu wake wakujielezea na kuchanganya mambo kwa mimi binafsi naweza nikasema alikutana na walimu walio mpoteza nakumuingiza katika shirki hali yakuwa alikuwa ajui ama anajua na Qur'an alie isoma yeye sio kwajili ya kuijua alipoteza mtu alie soma qur'an vizur nakuijua kwanza yenyewe inakukataza na mabo machafu ana kumshirikisha allah subbuhanau wataala..............................................
na chakuongezea zaid waganga wengi wakitabu huwa wanatumia gia yakumshitakia mungu ilihali wanafanya mabo ya shirki ilikukupoteza ww mteja kujua kuwa haupo kwenye shirk kumbe upo ndani ya shirk........
tumuombe mungu sana atuepushe na haya na tutoe katika giza na atuongoze katika mwanya na katika njia ilionyooka. amin.
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu ,tunafunguliwa
Davista kweli wewe ni mtu makini! Hongera kaka.
Kaka davistar naomba mtafute Adam hajji mwarabu nae ana testimony nzuri san ameokoka na ameuacha uislam
Asante mtu mishi wa mungu maneno mazuri napenda kuskia🙏🙏
Davister kama inawezekana jaribu tutafutie na waliowahi kuwa wakristo kweli kweli then wakabadilisha dini wakawa Waislamu, tusikie nao wanasemaje. MAANA UPANDE WANGU SIJAWAHI KUTANA NAO. Najua haushindwi kitu. Barikiwa!
Hakuna zaidi ya majini ndio walikubali kuslim tu.
Wanao acha ukristo na kua waislamu labda sababu iwe ndoa au kujifunza uchawi tu.
@@michaelbengesi9838 natamani sana cku nikutane na watu hao pia, waje na evidence kama hizi.
@@blessedlovedandfavoured4129 that means KWA YESU KUNA RAHA!?
Wanabadilisha dini kwasababu yakuwa namajini mbona hii hipo wazi
Anaitwa Othman Michael. RUclips anapatikana. Davistar amlete huyo si mazinge
Amesema vizuri. Kama mtu anapinga maneno yake Meshack basi ni vizuri aje na evidence yake aitumie kumpinga, sio kwa maneno mengi tu pasipo na evidence. God bless you my brother for the important work you do tirelessly of exposing the works of darkness. Truth is watakuchukia sana kwa haya unayofanya lakini Mungu yuko nawe kila hatua unayopiga.
Waganga wote wanaswali kwa dini ya kiislam kumbe??? Nimekupata vizuri ndugu yangu
Umeonaeee
Ukiwa na imani dhaifu kwa Allah, huyu jamaaa anaweza kukupotosha.
Ndio..,Kama yeye mwenyewe alikuwa Mchawi na ndugu pamoja na Wazazi wake na waliomfundisha Dini.
Ukimsikiliza kile anachokilenga ktk Mazungumzo wake ni Kuwaaminisha watu kwamba Uislam ni Upotofu kumbe yeye ndio Kapotea
Kweli.... lakini sisi waslamu hatubabaishi na iman zetu....
Kweli kabisa.
+256, Proud to be number 3.
Daah , Mzee Meshack naona 😃😃 unashindwa kumaliza sura Yote ( Surat Jinn). Mbona unaisoma nusu nakufasiri sivyo.
Majini wanaofunga mwezi wa ramadhani ni majini waislami. Saum yawajibikiwa waislamu na mashetani si waislamu. Meshetamii hawafungi wakati wa ramadhani. Mtume Muhammad (SAW) alisema wakati wa ramadhani wale mashetani wabaya huwa wanafungwa kwa cheni ili wasipate kufanya mabaya yao. Wanafungwa na hawafungi. Hii hoja yako uliyoitowa haingiliki akilini. Ikiwa mashetani wao wanaamini Mungu wao ni Lucifer, kwa nini wafunge ili wamridhishe Mungu wa kweli?
Mungu wa waislamu yaani Allah ni huyo huyo Lucifer, mtaendelea kufungwa ufahamu hadi lini? Amka wewe usinziaye na Nuru ya Mungu wa kweli JEHOVAH ikuzukie.
Hata majini wanamtumikia shetani ndo mkuu wao
Mwezi wa Ramadhani Mashetani wote huwa waefungwa na Allah. Sasa kama wamefungwa kazi gani ya kushirikina itafanyika.
Kwani ndo ajali na matendo mabaya yame fungwa
@@noelashaoona swali zuli
@@noelashaoona Adui wa kwanza ni Nafsi yako, ukifanya matendo mema unakuwa mwema na ukifanya matendo ya kishetani wewe pia unakuwa Shetani kama mashetani wengine. Ndiomaana kuna mashetani wa kijini na mashetani wakibinaadam. Mwezi Mtukufu Ibilisi anafungiwa na ujue kwamba Ibilisi ni shetani ila sio kila shetani ni Ibilisi....Madhambi unayofanya niwewe na Nafsi yako
Hii dini kwa maelezo haya ni ya shetani
Kumbe kunatofauti ya Yehova na Allah
Hakika Yehova ni mwingine na Allah ni mwingine
Majini pia ni viumbe wa mwenyezi Mungu hilo ni jina kama vile unavyosema binadamu, ushetwani ni sifa ambayo inamaanisha aliye asi, alafu wanadamu pia huasi kama vile wewe ulivyo asi inapaswa pia uitwe shetwani, yatakikana umregelee Mollah wako.
Hapo ndio kitabu unachokitumia kinapo kupotosha najua sio kosa lako ila ni kitabu ulichokiamini.wanafundisha hata binadamu mashetani wapo na majini wapo mashetani na wasafi. Ila huu ni upotofu mkubwa ulitengenezwa ili kuruhusu majini kupata ushirika na wanadamu kimsingi majini ni malaika waasi wakiongozwa na shetani mwenyewe, kama unaushirika na jino yoyote wew umejiunga na kuzimu hata kama hujui.
Kaka je kuna majini pia ambayo yataenda peponi siku ya kiama?? Naomba jibu mkuu
Majini wote ni wabaya
Ni malaika waliomuasi Mungu wakatupwa nje ya mbingu. Mbinu ya shetani ni kuua, kuharibu na kudanganya. Ndio maana uislamu ukaja ili kumpinga Kristo..
shetani (ibilisi) aliahidi kupotosha wanadamu ili aingie nao jehanamu.
Uislamu haukutoka kwa Mungu …
Msikilizeni mtu mmoja anaitwa Christian Prince kwenye RUclips … mtaondoa ujinga wa Quran
@@abdimohamed3953 kwanza nikwambie kitu kimoja. Watu wanasema koranbna biblia ni vutabu vya Mungu vyote lakini mimi nakuhakikishia kuna tofauti katika maandiko na mengine yana fanana. Mfano Korani inatambua majini wengine ni wazuri na wanamwabudu Allah. Lakino katika Biblia hakuna majini wanao mwabudu Mungu ingawa wana naamini yupo na kutetemeka juu.
Kimsingi Majini walikua malaika na lusifer au shetani alikua kiongozi wa kundi la malaika na alitumika katika kazi nyingi badae akajiinua akataka awe kama Mungu, biblia inasema akashawishi theluthi ya malaika wa mbinguni wakamuunga mkono, Mungu akatuma malaika wa vita Michael ambae alipigana nae nakumshinda baada ya hapo wakafujuzwa mbinguni akisubiri adhabu yake siku ya hukumu. Badae
Mungu akaumba mwanadamu sasa nakumweka duniani sasa shetani yule yule aliachwa ili kumpima mwanadamu kilichotokea akamdanganya na kumpata ndio chanzo cha majini kuingia kwa wanadamu wengine wakajifanya watii kwa Mungu lakini majini wote agenda yao ni moja wanataka siku ya hukumu wasiwe pekeyao wawe na wanadamu
Koran imekuja miaka 500 baada ya biblia kuwepo ila chaajabu sasakatika korani ndio wale majini wakaanza kuonekana kama sio wote wabaya nibaadhi tu, wanadamu wakaaminishwa hivyo ikawa ndio njia rahisi ya majini kuwashinda wanadamu manaa wamekubaliana nao kiujanja ila wao kama wao bado ni malaika walio asi na wanasubiri hukumu hakuna sehemu katika biblia majini walirudi kutubu na hawana msamaha kwa Mungu. Ila kama unasoma korani huko wamesamehewa sasa wew ndio utumie akili yako hapo
mwamb yuko na fact sana anaijua dini vzr
Ewaaaaaa namba 1 leo
Huyu kaka angetueleza tu story yake mambo ya kueleza vitabu na kuchokonoa mambo mengi ya dini yanaweza kuwachefua watu fulani, story yake ni elimu tosha!
Ukweli acha uanikwe tu
Shetani na wafuasi wake lazima waanikwe tu kwenye hadhara
Mjinga sana uyo iko ju yakutukana uwislam
@@faridaahmed680wacha atueremishe ndiyo maana yesu kamuokoa
Davista, nakubali sote tuzungumzie positives /yaani chanya/ mazuri Lakini nakuuliza Davista unajua tofaouti kati ya Jinni na Shetani?
Hilo swala Mr.Fact muulize huo pumbavuu mchawi mkubwa kafiri Wa Roma
Nikujibu ndugu hapo zamani kulitokea vita kubwa mbinguni katka vita iyo lusifa alishindwa akatupwa ndunian yy pamoja na selusi tatu ya malaika wambingun ambao walimfuata shetani ambaye alikua akiitwa lusfa alikua muimbaji maili wa sauti 12 akiiziimba zote kwa pamoja inamaana kwamba yy alikua kiongozi mkuu wamalaika wote wambingun alipo asi akashushwa duniani nakund kubwa la malaika ao ndio wanaotenda kaz ya shetani mala jin fulan fulan ayo majin ndio miongoni mwa lile kundi la malaika ukisema shetani na jin tofauti wote nimashetan wale wale Waislam kama amumtambui yesu na kua nakaz yakufuga majin mutapotea sana amyajui maandiko zaid kuleta ubishan
Huyu jamaa Mungu alimoeleka kujifunza uganga na uchawi iliaje kuwafungua watu macho asiye badirika shauri yake
Wewe umedai ulikuwa ni muislamu na ulisoma madrasa basi ungejuwa kirahisi kuwa hizo kina abjad sio sehemu ya juzu Amma, Hizo zimewekwa ili kujifunzia kusoma kiarabi. Zimewekwa na binadamu na wala hazikuwekwa na mtume Muhammad (SAW). Na pia kuna uwezekano mkubwa aliyeziweka ameziweka kwa nia mzuri ispokuwa sasa waganga wanaztumia kwa mambo ya kiganga,
Davistar unajali zaidi waislamu watajisikiaje kuliko ukweli wa Kristo katika ushuhuda wa ustaadhi aliyekombolewa kwa damu ya Yesu! Acha ustaadhi ashuke kama roho atakavyo ili mradi hatukani mtu.
Mtumishi wa Mungu big up , yaani ninayo yapata hapa hata chuo miaka mia nisinge soma
Namba ya Shekh Kishk Davista Muombe Shekh Mazinge anayoo
Kumbe Hawa majamaa wachawi kweli na dini yao
Jamaa huyu chenga sna aliyeshusha quran kutoka kwa mungu ni malaika jibril na alishusha mtume Muhammad na quran haijapokelewa na majini tumia akili kuelemisha watu tuambie hao majini walipoiskia quran waliiskia kutoka wapi na ni nan alikuwa akisoma mpka majini wakaiskia na kuamini maneno ya allah acha kupotosha
Inasemekana ya kwamba majini na mashetani wote hufungwa jela mwezi wa ramadhani. Sasa bw. Hassan hatuelewi, tufafanulie zaidi
Hiyo ni energy kwel mzee Mbona Kama umelegea sana baada ya kunywa
Davista tafta shekh aje aondowe uchafu wa uyo kaka anachafua uwislam
Huyu kijana anatafsiri mambo anavyotaka yeye, Muulize Je waganga na wachawi duniani ni dini gani?
Msikilize kwa umakini anafafanua vizuri tuu, hawa ndio manabii wanyakati hizi. Mungu mwenye enzi azidi kumbariki na kumlinda aendelee kufungua watu katika ushirikina uliojificha kwenye dini.
Hahahaha anajikanyaga tuuuu
Hilo pia ni swali nimeuliza je hawa wachawi wengi tuko nao Kenya haswa ni Christians hawaja kua Muslims nor family Muslims ni ni wachawi hatari haya iweje Islam ndio dini ya wachawi lol atubu bila kuingilia dini Hassan a k a Meshak asituharibu imani a dini kabisaa
Twende Kazi Mr
Davistar pitiaa comment mapemaa🙏🙏🙏
Mhh duniani jamani kuna mambo tunayofanyiwa ya kuhusudiwa bila kujua.ee Mungu tunusuru na hawa wachawi. 19.08.21.
Big up kijana,Tupe nondo
Cha kushangaza ni kwamba mwislamu atasikia haya yote lakini apuuze. Si kupenda kwake. Ni jini lililo ndani yake!😰😰😰😰😰
Nimeona komenti nyingi zinadai kua Hassan anachanganya mambo Mawili kwa wakati mmoja
1.Elimu ya dini
2.Elimu ya kichawi
Anafasiri qur-an kwa kupotosha😎
Lakini wote wanaoyasema hayo yote kuna Mahali naona hawajafikiria vizuri wanaongozwa zaidi na mahaba ya dini!
iko hivi Allah ndio jina kamili la Mungu wa kiislamu sio jina la Mungu ama miungu wa kiarabu hapana ni jina la Mungu wa kiislamu likitajwa Mahali popote tunategemea amani ipo,,,
Shida yangu iko hapa hilo jina la Allah na baadhi ya majina yake kwanini yametumika kwenye hivyo vitabu vya shiriq???!!!
Tena yametumika kwa ajili ya swala na manuizio ya kichawi???!!
Naomba aje mtu anijibu kulingana na nilichouliza sitaki brah brah Kama huna hoja Pita kuleee!
shukran sana bwana paul ndoya, kwanza jina la allah tuelewane nijin ala mwenyezimungu kwa lugha yakiarabu ni sawa na jina la yesu kila lugha au taifa enzi izo lina jina lake yesu limetoholewa kutoka luga ya kiingereza jesus na kwaiyo sasa jina allah sio mungu wakiarabu nikutoa fikra potofu allah mung mmoja ambaye hana mshirika ambaye hajazaa wala hajazaliwa ni mwingi wa rehema na mwenyehuruma na dio anaestahiki kuabudiwa na sio kiumbe chochote isipokuwa yeyetu......
Ata biblia zipo kwen makanisa ya mizimu na jina linatajwa humohumo...kama unafaham neno drug abuse kaaa ufikirie
DAVISTA BADILISHA KICHWA CHA HABARI
YANI APO MASHETANI WOTE NI WAISLAM NDO MAANA YAKE
We'we umekusudua ufundisha watu uchawi au ni kosa kubwa wewe kujifundisha uchawi wakati Quran imekataza
Lakini huyo keshakuwa upende wapili aje mazinge ndio kaziyake hasani anajuwa kama hamuwezi mazinge na elemu yake ya uchawi
Mazinge hana ilmu..yule nimwanaharakati wa mambo yakiimani tu..
Elimu aitoayo huyu sijawahi kumsikia mazinge akiitamka japo kwa bahati mbaya. In short wana elimu mbili tofauti
Sasa ueye anataka msomi kama yeye sisi tutampata wapi mchawi mwenzie. Inabidi waitwe mashekh tu wamuelimishe. Maana yeye ana masters ya uchawi tu
@@meisme7540 hata Sheikh kipozeo anaweza akaongea naye lugha moja ya kifalak
Hii elimu sio kila Sheikh anayo,ni elimu ya upendeleo sio kila mtu anapewa
@@jotafungo4622 Kama ni hivyo mpigie davister au andika namba yake nimwambie maana sidhani kama kishki kasomea elimu hiyo
Wee davister maswali mengi ambayo tayari ulishapewa maelezo yake,muache huyo mr meshack atitirike
🤣🤣🤣davistar bana et kumkum ya habib
HAAA HAAA
😅😅😅
😃😃😃
Davista maswali yako safi sana ugandi.
Davistar mlete Otkman Michael anaparikana youtube
🔥🔥YESU ANAWEZA 💃 💃 🔥🔥
Alafu iyo tafsiri suratu jini anaytafsiri vibaya ili kupotosha uwislam
Daaa eti mazinge hata elimu ya kiislamu Hana daaa aisee
Kuhusu waganga umeongea ukweli mtupu, na hao waganga wanao waingilia wangonjwa wapo'' Mimi nikiwa mmoja wao yani yote umeongea yalinikuta nilishawai davista na uyu mganga yupo mpk kesho
Mm mwenyewe yamenikuta
@@rosemarry2020 yani dia mi sitak kuamin mpk leo nilikuwa nafanyiwa vitu ukimuuliza anakwambia ndio dawa mizimu yke ndio imemwambia afanye ivo na yule kaka ni mshenz nataman niseme kila kitu
Mm naishi na waislam kwel naskiaga majin nayo yanafunga ramadhan
Duh
... 😍Mutumishi Davista unaswali muzuri sana ; wa shetani wana funga juu ya nini?? 🤔😮Bizarre ! Wanatubu ?? 🤔 👀..wickedness really... Wanatutshezeya kweli...
Soma bibilia vizuri, shetani huomba sana kwa mungu, mfano yesu alimwambia Peter shetani amekuombea akusage kama Ngano, pia ayub aliomba amharibu, ukielewa maombi Ni nini utajua shetani huomba
halafu mara ya pili namuona anakosea kusoma quran sio اننا bali inasema انا سمعنا قرآنا عجبا...tatizo anaona anajua na ndio mtihani kabisa
Tatizo waisilamu wabinafsi sana wanajiona wao wanahaki yakilakitu kwa MUNGU, mpaka kumuita binadamu mwenzako kafili kazi ya kuhukumu imekuwa yao badala ya muumba
@@hassanmaulid2166 Haswaaa🤣
Ruhani haswa ni nini??
Nimechelewa sana dm🕝
Sijachelewa sana
Davista uyo anajifanya anayjua uwislam sana ila uko ju yakuchafua uwislam akheee
Sasa sikunawaislam wenye hawafungi majini pako Wazuri nawabaya ata kwenye waislam wapo wabaya na Wazuri
Wapo waislamu swafi kabisa ila wamepoteaa dada ritadii tafadhal
😂😂😂😂eti eeeh eeeh wazee wa kazi🤣🤣🤣
Hao wazee wa kazi wamekaa kibabe, tayari kwa kazi.
😂😂😂
Kumbe ndio uchawi mkubwa hivi🙄🙄🙄🙄🙄
Amen
Mwezi wa Ramadhani mashetani wanafungwa minyororo hawafungi kama unavyoeleza
HIO JUZUU AMMA NI QURAN....ILA HIZO ABJADI NI ALPHABET SO HUWEZ KUJUA KUSOM BIL KUJUA ALPHABET
Kumbe ndio uchawi mkubwa hivi jamani
Mimi nionavyo mambo za Imani tuwachane nayo Kila mpiga ngoma
Ungekuwa unafaham mateso wanayoyapitia uliowafunga kizazi apa duniani, usingesema Mungu amekusamehe...akuna mtu anaeongea na Mungu muda mwingi kama mwnamke aliechezewa kizazi.
Na ndio maana aliacha huo uchafu na sasa anawasaidia kuwafungua.... mbona hapo pana uelewa jamani..... huyu ana upako WA Mungu mwenyewe keep up mtumishi
Hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi ,lkn baada ya kutenda dhambi tuaikalibia toba na kuacha yote na kufuata njia iliyonyooka,na amesamehewa Mbele za Mungu maana ametubu na kuacha
Ki vinadamu inauma sana. Lkn kusamehe na kuacha maisha yaendelee iyo upo Mungu pia umsamehe aliyemsamee mwenzie ..
@@joycesycherlwy3835 Joyce wew umeelewa hapo humu ndani watu wagm sana kuelewa bigiap mumy
Mung amefany hivy kwa MAKUSUD..... Ili auone j unatumiaje kitab chak ch mung...👏 👏 👏.... Kwa kumuabud km ni kwel wat UFANY ivy...... Why mtume alirogwa..... 👏 👏 👏 KWANN hilo
Huyu jamaa yuko sawa kabisa
Davista uchawi wa aina yoyote haukubaluwi na Uislamu kabisa. Hiyo ni shirki.
Nawaona wazee wa kazi
Anyone mwenye namba ya Davistar please share 🙏
Msikilize mpaka mwisho ataitaja namba yake
Nahisi uangalie kwenye stori zilizopita. Unataka umchambe meshack nini😄Natania tu ila jamaa anachanganyanushirikina na uislam
Mie ninayo ya Hassan, ukitaka nitakupatia. Ila sina ya Davista 😀😀😀
Huyu mtumishi ni msomi tu Sana nimepata elimi KUBWA Sana kwa simulizi yake
Sasa kaokoka vip na amevaa kanzu?
Subiri. Nikwambie..nenda you tube... angalia video ya kishk..anaelezea majini.... na anasema wapo hapa wananisikia
Kuchambua vitabu iwe siku nyingine wewe jikite kwenye ushuhuda tu
Hiyo nistory au ni mdahalo kwan pia c kuna binadam wanaofunga na wasiofunga
Number 0 tena