PART14:MCHAWI HASSAN TOKA KIGOMA ALIEUA WATU NA KUWAFANYA MISUKULE NA KUIUZA/NYAMA ZA WATOTO/NIMEUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 137

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng9887 3 года назад +6

    Story nzuri sana ✨

  • @jossyayielo7576
    @jossyayielo7576 3 года назад +3

    Asante......twendelee na huu ushuhuda🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mercyetago4020
    @mercyetago4020 Год назад +2

    Yahweh is yhe only God who doesn't need anyone to fight for him. He fights for himself. And He fights for us.

  • @drnow1528
    @drnow1528 3 года назад +6

    Bwana yesu asifiwe

  • @lynnriara8132
    @lynnriara8132 3 года назад +3

    Davista jameni umekatisha kwa wakati nakaribia na kuongeza volume. ANYWAY, thanks for this great testimonies and lessons especially for us awaiting our FATHER and KING JESUS. I understand better how why and when things happen in this life. He also gives me the courage to pray and believe in Every Single Word of GOD. T

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 года назад +9

    WEWE MESHAK NI KAFIRI UNAJITOA AKILI NA KUJIBU HOJA KIUJANJA.
    UMEULIZWA VIPI ULIWEZA KUUWA WATU, KUROGA NA WAKATI UNASWALI...KISHA UNAJIBU KWAMBA IMANI YA UISLAM HAIKATAZI HAYO YANARUHUSIWA.
    HIVI UMETUMWA AU...

    • @faridaahmed680
      @faridaahmed680 3 года назад

      Yani uyu ibilisi yupo ju yakuchafua uwislam😢

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      @@faridaahmed680 kwani nani kakuambia usikilize? Achana na Mtumishi wa Mungu malaika watakatifu wakunyamazishe!!! Naupiga uchawi wako naa maneno yako maovu kwa damu ya Yesu. Nauvunja uchawi wako naukata kwa damu ya Yesu

  • @zeydabdullah8945
    @zeydabdullah8945 3 года назад +6

    Uingereza,Marekani ,Ujerumani, Canada wachawi alama zao ni msalaba na wanaroga Kwa kutumia msalaba na wanaita mashetani kwa kutumia misalaba na kutumia ayanza Biblia
    Huyu ndugu hajaokoka ni mchawi bado na mbona kule Mbeya Kuna makanisa ya mizimu(mashetani) na wanatumia Biblia na misalaba?
    Mbona Manjegeka aliagizwa na mashetani aende kanisani?

    • @morrismo8212
      @morrismo8212 3 года назад

      Na hio misalaba inakaa aje na inanuiwa kufanya, haya mambo ni magumu sana kwako kuelewa

    • @zeydabdullah8945
      @zeydabdullah8945 3 года назад

      @@morrismo8212 Ulifuatilia makanisa ya mizimu Mbeya?Hukuona Biblia?Hukuona msalaba? Je mzimu(majini) hawahudhurii hizo ibada kanisani?
      Ulimuona Manjegeka?Aliyemuagiza.kwrnda kanisani ni nani?
      Ulimuona Yule Mchungaji B Maziwa? Na ulimfuatilia Danny?

    • @morrismo8212
      @morrismo8212 3 года назад

      @@zeydabdullah8945 shetani anamujua Mungu na kama anamujua na anataka kupotosha na kupoteza wanadamu kwa nini asifungue makanisa yake, wengine awafanye wasiamini kuna Mungu(atheist), anaweza kutumia njia zozote ili usiweze kumusogelea na kumuabudu na kumujua Mungu. Hata bibilia inatuonya.

    • @rabilubinza7661
      @rabilubinza7661 3 года назад

      Ni kitabu gani na aya ipi kwenye biblia inatumika kuroga?haipo kabisaa katika biblia.na hoa unaowazungumzia si wakristo ninwapagani wachawi.Mkristo maana yake ni mtu wa kristo aliemuamini Yesu kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yake huyo ndio mkristo.kanisa ni mtu mwenyeje lile lenye jina ni jengo tuu kama lilivyo jengo la shule,ofisi mahakama nk.usichanganye mambo.na wale ni wachawi tuu wanapotosha watu kutumia kanisa .

    • @rabilubinza7661
      @rabilubinza7661 3 года назад

      Pepo hilo agent wa kuzimu katumwa na shetani sio Mungu

  • @satinotino481
    @satinotino481 3 года назад +1

    Inaonekana hata mizimu ilichomwa na huo moto, God is great x

  • @semwandambaza2184
    @semwandambaza2184 3 года назад +1

    Msimuliaji umenichekesha leooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏

  • @mahershalalhashbazi2189
    @mahershalalhashbazi2189 Год назад +1

    Meshack is a man of God,the real christian

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 3 года назад +2

    YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine

  • @ninabizimana6869
    @ninabizimana6869 2 года назад +1

    Roho ya uwesilam Ni uchawi majini ila ningum sana kumbuka Mungu wawo nusufa alikuwaga malaika ndomana maneno ya korowani Yana fanana kama ya Mungu wakweli Yesu ture hem

  • @oscarkibate1913
    @oscarkibate1913 3 года назад

    Everything kachoka kweli. Pole Kwa kazi kidume piga energy.

  • @tracyirene8917
    @tracyirene8917 3 года назад +2

    Weekendi Tunafuatilia !!👍

  • @saidabuda3402
    @saidabuda3402 3 года назад +6

    Elimu Sahihi Yenye Ukweli 100%
    98 SURAH AL-BAYINAH ruclips.net/video/ai1yQhfS9so/видео.html

  • @suleimaniyasri2166
    @suleimaniyasri2166 3 года назад +5

    Wachawii wakristo kibaoo.. Na Wale wa kanisani ambaoo wanaombewa na kutolewa mapeooooo. ..au nao waislam.. Jmn taratibuuu....

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 3 года назад +1

    Safi Sana broo

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣😅😂😂😂Chezea Moto kulipuka kaburini ww yni Ni kma maiti kupiga chafya Lazima mukimbie

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 3 года назад +3

    Muslin always trying to prove a point let us hear this message in peace

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +4

    Huyu boya anaikashifu dini ya Mungu na anamtukana Mungu .ila mwisho wako itakuja kujuta na atakuwa ipi dini ya kweli

    • @Mhandisi2008
      @Mhandisi2008 3 года назад +2

      Mmmmmh sijakuelewa ndg,,,,maana mm naona anapinga uchawi,,,,,hapingi dini ya Mungu maana dini ya Mungu haihusiani na uchawi...

    • @jorumkiungo303
      @jorumkiungo303 3 года назад +1

      Mungu ana dini kumbe,akili ndogo sana ww

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад +1

      Dini gani hiyo ya Mungu au anasema hiyo dini yakufungamana na majini

  • @agnespeter2510
    @agnespeter2510 3 года назад +3

    Kijana mkali sana, mwingi wa vitabu vya kichawi Davista nakuomba JUZU YA AMA kile kitabu cha mwanzo kihifathi wewe mana ni kitabu cha dini ya waislam WAO wanaheshimu Bible yetu nasi tuna heshimu kitabu chao isipokua HIVO VILIVO BAKI VYOTE VICHOMWE MOTO MBELE YA CAMERA asiachiwe kuondoka navo. Power yake iko katika hivo vitabu anaweza kurudia.

    • @zeydabdullah8945
      @zeydabdullah8945 3 года назад +1

      Hivi vitabu alivyovitaja vimetokana na elimu ya Kaballah (Makuhani wa Kiyahudi na wakiristo) na hukumu ya mchawi kwenye Uisilamu ni kukatwa kichwa
      Huyu Mchungaji bado ni Mchawi anadanganya watu kuwa anaoonya kwa jina la Yesu

    • @salambaiya466
      @salambaiya466 3 года назад +2

      Huyo bado ni mchawi , hukumu yake kukatwa kichwa .

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      @@salambaiya466mbona nduguzo wengi wachawi tuu huwakati vichwa? Achana na mtumishi wa Mungu aliyehai!!!!hata kama wakristo tutaenda motoni!!!! Wewe inakuhusu nini unafuatilia ukiristo wa nini mkuu!!! Kama tutaenda kuzimu

  • @billyisadia5651
    @billyisadia5651 Год назад

    Triangle!!! It's never an easy diagram...

  • @jafariemmanuel1694
    @jafariemmanuel1694 3 года назад +2

    Asilimia kubwa ya watu wanaefanya zambi wachawi na watu wanao fanya mambo ya giza huwa wanazugaga kujiweka karibu na mungu ili kuzuga watu kwenye immani ya ngu yakiisilamu tuna waita wanafiq wapo kila dini waswahili wanasema kwenye msafara wa mambo na kenge wapo kwaiyo nikawaida na kulingana na stori nyingi za hapa kwa davista tumekutana na watu waivi wengii .... kwaiyo kwaswali kwa bwana hasani nikawida sana.

    • @johalisemalima6979
      @johalisemalima6979 3 года назад

      Jafar.. wewe bado huja jua maana ya uislam... je?? Makafiri wa makkah waliabudu jiwe?? Je nyie mnalo jiwe??? Makafiri wa makkah walifanya haji kwenye milima?? Je ? Nyie mnafanya au hamfanyi??? Makafiri wa makkah waliizunguka kaaba au la?? Je nyie mnafanya au la??? Then what is different between you and them

    • @saidhamad533
      @saidhamad533 3 года назад

      @@johalisemalima6979 kadome.uelewe

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      @@johalisemalima6979 maswali mazuri sana

  • @Isy9146
    @Isy9146 Год назад

    hahahahaaaaa uyu anatafuta pesa msikilizeni vizuri mtamuelewa cz huyo ni mpigaji

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    pamoja Yesu ndio ngome imara

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад +1

    Mimi ningeomba muache kushambulia kwa nyumba ndogo coz hata kwa wakristo wako waendao kanisani na wanatenda maovu Sana

  • @kakajoss2464
    @kakajoss2464 3 года назад +1

    Davistar andika mahali baada ya mtiririko huu atufunze kuhusu hio stori amekatiza about Freemasons tafadhali

  • @happynesskimt6249
    @happynesskimt6249 3 года назад

    Du, uyouyooooo🤣🤣🤣 vichaa wamepona, Mganga mbio😂😂

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 3 года назад +1

    davistar is always serious

  • @satinotino481
    @satinotino481 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣YESU KRISTO NDIO NENOOO,,SASA MOTO WA YESU NDIO UNAVYOCHOMA WACHAWI
    ASANTE SANA MESHACH XX

  • @ludza32
    @ludza32 3 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂davistar leo mtumishi umepatikana😂😂😂😂😂😂😂😂hapo pa moto just imagine

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 года назад +2

    Hivi uchawi una faida gani? au wanafaidika na nini kuhusu huo uchawi.22.08.21.

  • @mercyetago4020
    @mercyetago4020 Год назад

    Davistar si wajua hata kanisa
    ni kuna wachawi? Si wanasali pia?

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 3 года назад +1

    Bro DM tupia hiyo 15. Weekend hii. Ikiwezekana hata 16.

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng9887 3 года назад

    Mtumishi kwa nini ashidwe kwa jina la yesu

  • @bahuneyohane2193
    @bahuneyohane2193 3 года назад +1

    Tupo pamoja toka cape town

  • @timermedia3509
    @timermedia3509 3 года назад +3

    Je una malengo na nia ya kuacha PUNYETO? Hujachelewa. Mbinu hizi 7 ni mkombozi kwako👇👇.
    ruclips.net/video/iShjDgx0Rmo/видео.html

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha6856 3 года назад +1

    Aliyegundua kuwa Davista ayupo sawa kwenye part hii condoment hapa yaan anainekana Kama anamawazo flan hiv jaman embu tumchangie bas mtot wa watu pengine ata hana pesa ya kula 😪

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 3 года назад

    Together 💪

  • @yaqoobsalim5808
    @yaqoobsalim5808 3 года назад +1

    Jamaa huyu ni Tapeli , katumwa aje kuchafua dini ya uislamu .

    • @morrismo8212
      @morrismo8212 3 года назад

      Yeye anatoa ushuhunda

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      Wewe umetumwa usikilize mbingu ikunyamazishe na damu ya Yesu ipambane na wewe malaika wa BWANA wapambane na wewe milele

  • @beatricemortensen8533
    @beatricemortensen8533 3 года назад +1

    Sio pekee makaburi hata nguo kma kanga za wanawake waganga wa kienyeji awazitaki.

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 3 года назад

    Hahaaaaa. Eti vitoto unavimaliza

  • @achsahcharles6728
    @achsahcharles6728 3 года назад

    Davista, significance ya 7 ni nini katika ulimwengu wa roho maana mostly ni vitu 7, mara 7 nk

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 года назад

    Safi

  • @josephmaganga1931
    @josephmaganga1931 3 года назад

    Alipiga mbio na mpuzu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад

    Wacha nipambane Mimi nautakatifu na kuisoma Bibilia coz hata mwili wako hauchezei hovyo

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim6133 3 года назад

    Na kuuwa watoto ni tiba nayo?

  • @barnabasmajige8473
    @barnabasmajige8473 3 года назад

    Hai

  • @meckylucy215
    @meckylucy215 3 года назад

    Hahahaa chapa Mwendoo

  • @fridachami396
    @fridachami396 3 года назад +1

    Huu ushuhuda unanijenga sana

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 2 года назад

    That story is good but hapo kwakusema Waislam wanaamini majini no no that is not true hakuna Muislam wa kweli anaweza kusema afazali jini ajitokeze awe wakheri ispokuwa mushirikina ndiyo anaweza kuongea hivyo kama gisi wewe ulikuwa mushirikina na huyo Mwalim wako alokufunza hakuwa Muislam kamili alikuwa mushirikina ndiyo maana kakufunza nawewe we mushirikina hakuna Muislam yani health Muslim anae Mjuwa Allah na kumuabudu vilivyo anaweza kuongea hivyo

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim6133 3 года назад +1

    Na kuuwa watoto si dhambi?

  • @aminaally863
    @aminaally863 3 года назад +2

    Waisilam wakristo tutafakari huyu jamaa yupo kimasilahi anataglfuta hela kupitia dini na sio vinginevyo mtu aliookoka hana hulka hizo jamaa anazo kuwa nazo anatafuta pesaa rundwa magere pekee ndio alonyooxha maeelonze na katubu kwali

    • @igurusitv6553
      @igurusitv6553 3 года назад

      Amina acha udini tumia akili, Dunia huijui hii

    • @aminaally863
      @aminaally863 3 года назад

      @@igurusitv6553 we unatumia nini kujibu

    • @aminaally863
      @aminaally863 3 года назад +2

      @@blessedlovedandfavoured4129 we huoni views wamepungua watu wenye akili zao waxhaona hana jipya wamesemba zao

    • @reubenbushiri1753
      @reubenbushiri1753 3 года назад

      @@blessedlovedandfavoured4129 Safi kabisa hataki kuangalia bora aache tu

    • @saidhamad533
      @saidhamad533 3 года назад

      Kabisa simupingi

  • @faridaahmed680
    @faridaahmed680 3 года назад

    Apo unatakakuchafua uwislam eti imaniyangu ilikua inanirisu eti uwislam unaruhusu shirki Allah anakuona ipo siku utaumbuka

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      Na wewe Mbingu za mbingu zinakuona hakika natambua utakuja kujua nguvu za kristo!!!! Malaika wa mbingu za mbingu watapambana na wewe mwanzo mwisho katika jina la Yesu

  • @credo7837
    @credo7837 3 года назад +1

    Wakwanzaa

  • @dallasabinchar5128
    @dallasabinchar5128 3 года назад +2

    Kwenye dini yote kuna wanafiki na wana ingia nyumba za ibada kama kawaida lakini wa shirikina
    sasa wewe kutaka kuchafua sana dini moja unaonekana muongo tena sana mno

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад +1

      YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu,tubu na kumuamini YESU KRISTO, BWANA YESU KRISTO anakupenda karibu Nuruni

    • @dallasabinchar5128
      @dallasabinchar5128 3 года назад +1

      @@marianachriss2444 wewe una ni fanya ni pate kumbukumbu za ndege ambaye ni Pérot baba yangu alinunua nikiwa mdogo yule Denge Pérot alikuwa na uwezo wa ku repeat venye watu wanaongea bila kuelewa maana ya neno ana sema

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@dallasabinchar5128 hakuna mtu anaongea asicho kijua

    • @alexjos7625
      @alexjos7625 3 года назад

      @@dallasabinchar5128 wewe je?

    • @aminaally863
      @aminaally863 3 года назад

      @@marianachriss2444 weee kwa kurukia maada zisinzo kuhusu ka limbukeni nikwambie tu waisilamu sis tumampenda huyo yesu wenu hatumchikii kwatu sis ni nabii issa wee ukiwndika hivyo unahisi unachoma mtu kumbe

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 3 года назад

    15 basi ije nakesha Leo kuingoja

  • @khadijajuma7873
    @khadijajuma7873 Год назад

    Walmishrikina finar jahanam.

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 года назад

    Davstar unasizia

  • @mwakazijuma1607
    @mwakazijuma1607 3 года назад

    Wapiliii

  • @yussufhamad7281
    @yussufhamad7281 3 года назад

    we kwa mauwaji ulofanya hufai hata kusikilizwa

  • @faridaahmed680
    @faridaahmed680 3 года назад

    Yani uyu kaka nimnafki kweli eti waislam wanayakubali majini eti uwislam nidini yamajini pumbafu

  • @merycharles2707
    @merycharles2707 3 года назад

    😂😂😂😂😂

  • @johalisemalima6979
    @johalisemalima6979 3 года назад

    Unajua kunawatu wanakuambia aaa watu wabaya ndo wanatumia majini uislam hauhusiani na uchawi.... swali??? Mazinge shekh kishk na waislam wengine walisema wanafanya dua ili Allah amuuwe afande sele...kwahiyo Allah ndio alikuwa anakuja kumuuwa afande sele au majini???? Kama Allah akitukanywa anatakiwa awauwe waliomtukana..... ni watu wangapi wanamtukana na anawauwa???? Ni watu wangapi hawaamini kuwepo kwa Allah??? Je Allah amewafuta duniani????? Kwakifupi walikuwa wanaita majini sio Allah kwahiyo muislam anapokataa inabidi aangalie mashkh wao wanafanya nn???

    • @saidhamad533
      @saidhamad533 3 года назад

      Hatutaki propaganda za mitandao tunatak point.mmeon uislm tu ndio unauchawi mbona juzi tu apo davitar katok kulionyesha kanisa linalotumia mizimu na bibilia je hao wanatofauti gani na huyo mtoa stori ikiwa aale pia wanashika bibilia na kuingia kanisan na kupandisha majini au wale hamjawain msitokwe na.povu sana tuangalieni point na chimbuko la mtu huyo meshk alitok katik famili za mizimu nae pia ni mchawi na makanisa yanayoyumia bibilia na alam ya msalab yapo mengi na tumeyaon mengi ata kwa davistr na bdo ni washirikina

    • @johalisemalima6979
      @johalisemalima6979 3 года назад

      @@saidhamad533 kwanza inabidi tuwe na akili.. wewe unabiblia kwenye simu yako nyumbani kwako??? Je inafanya kazi ili ifanye kazi lazima uiamini kwahiyo mtu yoyote kitu chochote kinaweza kuibeba na kuishika biblia bila kazi nayo na isifanye kazi hata waganga wachawi wanakwenda kanisa...pia kwahiyo hilo nimekujibu juu ya mchawi au mganga kuwa na biblia...la pili... nenda RUclips..tafuta ule ogomvi wa shekh wa mkoa wa dsm na yule shekh fĺani hivi... shekh wa mkoa anamwambia yule mwenzie alipindishwa mdomo... kwa kutumia kitabu...je??? Ni Allah ndo alifanya kazi hiyo???? Uelewe.... unapotaka kumtuma jini... mkali... lazima umtengeze ili kukamilisha kumtuma lazima usome Quran.... unaelewa???? Pili nenda RUclips.. msikilize shekh kishk akielezea majini na kazi zake??? Je shekh kishk ni muislam au sio muislam???? Alijuaje aina za majini???? Alisoma vitabu je vimo ndani ya quruan???? Havimo je ukitaka kuwaita hao majini unatumia aya gani?? Za Quran.... then unakuja unasema no why???? No... quruan yenyewe kama yenyewe kwa mtu mwenye akili akiisoma unajua kabisa hiki ni kitabu cha kishetani... wazi kabisaaa..... sema kwasababu unajini amekuziba ufahamu

  • @makame3524
    @makame3524 3 года назад +3

    Haka kajamaa anatuona cc wengine ni mabogas et.....nimeskilza tokea mwanzo anawapiga tu kamba vichache sana ndio vya kwel ila vingi ni uongo....et shetan hawapendelei kabur lenye msalaba......ulizeni na nyie

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 3 года назад

      'Jikafiri'

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@shenjamamzingi7950 YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine tubu na kumuamini YESU KRISTO kabla haujachelewa, YESU KRISTO pekee Ndio njia ya kweli na uzima yoyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@mohdbest5859 YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine tubu kabla haujachelewa,kwa YESU KRISTO pekee Ndio Kuna Mungu wa kweli, Haleluyaaaa Haleluyaaaa litukuzwe milele Jina la BWANA wangu YESU KRISTO , Haleluyaaaa

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@mohdbest5859 Huyo ndio Mungu wa kweli uweza wake hautabalika atabiki kuwa Mungu milele na milele, usipomkiri ukiwa duniani utamkiri ukiwa jehanamu tubu kabla haujachelewa.

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@mohdbest5859 BWANA YESU KRISTO akusamehe Sana

  • @pamellahmark4822
    @pamellahmark4822 3 года назад

    devil is a liar

  • @tututz100
    @tututz100 3 года назад

    MCHAWI HASSAN

  • @omanoffroadriders747
    @omanoffroadriders747 3 года назад

    Acha uongo ww umeshaambiwa ushirikina ni dhambi isiyokuwa na msamaha vp unahusisha dini haikatazi ushirikina laanatullah

  • @yussufhamad7281
    @yussufhamad7281 3 года назад

    muongo mkubwa

  • @mahershalalhashbazi2189
    @mahershalalhashbazi2189 Год назад

    Meshack is a man of God,the real christian

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 года назад +5

    WEWE MESHAK NI KAFIRI UNAJITOA AKILI NA KUJIBU HOJA KIUJANJA.
    UMEULIZWA VIPI ULIWEZA KUUWA WATU, KUROGA NA WAKATI UNASWALI...KISHA UNAJIBU KWAMBA IMANI YA UISLAM HAIKATAZI HAYO YANARUHUSIWA.
    HIVI UMETUMWA AU...

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      Kwani sisi wakristo tukienda motoni utachomwa wewe!!! Kama hupendi wakristo achana na imani yetu buana jomba!!!! Ishi maisha yako na fuata imani yako kanda wangu kama kuzimu tutaenda sisi