Davista jameni umekatisha kwa wakati nakaribia na kuongeza volume. ANYWAY, thanks for this great testimonies and lessons especially for us awaiting our FATHER and KING JESUS. I understand better how why and when things happen in this life. He also gives me the courage to pray and believe in Every Single Word of GOD. T
WEWE MESHAK NI KAFIRI UNAJITOA AKILI NA KUJIBU HOJA KIUJANJA. UMEULIZWA VIPI ULIWEZA KUUWA WATU, KUROGA NA WAKATI UNASWALI...KISHA UNAJIBU KWAMBA IMANI YA UISLAM HAIKATAZI HAYO YANARUHUSIWA. HIVI UMETUMWA AU...
@@faridaahmed680 kwani nani kakuambia usikilize? Achana na Mtumishi wa Mungu malaika watakatifu wakunyamazishe!!! Naupiga uchawi wako naa maneno yako maovu kwa damu ya Yesu. Nauvunja uchawi wako naukata kwa damu ya Yesu
Uingereza,Marekani ,Ujerumani, Canada wachawi alama zao ni msalaba na wanaroga Kwa kutumia msalaba na wanaita mashetani kwa kutumia misalaba na kutumia ayanza Biblia Huyu ndugu hajaokoka ni mchawi bado na mbona kule Mbeya Kuna makanisa ya mizimu(mashetani) na wanatumia Biblia na misalaba? Mbona Manjegeka aliagizwa na mashetani aende kanisani?
@@morrismo8212 Ulifuatilia makanisa ya mizimu Mbeya?Hukuona Biblia?Hukuona msalaba? Je mzimu(majini) hawahudhurii hizo ibada kanisani? Ulimuona Manjegeka?Aliyemuagiza.kwrnda kanisani ni nani? Ulimuona Yule Mchungaji B Maziwa? Na ulimfuatilia Danny?
@@zeydabdullah8945 shetani anamujua Mungu na kama anamujua na anataka kupotosha na kupoteza wanadamu kwa nini asifungue makanisa yake, wengine awafanye wasiamini kuna Mungu(atheist), anaweza kutumia njia zozote ili usiweze kumusogelea na kumuabudu na kumujua Mungu. Hata bibilia inatuonya.
Ni kitabu gani na aya ipi kwenye biblia inatumika kuroga?haipo kabisaa katika biblia.na hoa unaowazungumzia si wakristo ninwapagani wachawi.Mkristo maana yake ni mtu wa kristo aliemuamini Yesu kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yake huyo ndio mkristo.kanisa ni mtu mwenyeje lile lenye jina ni jengo tuu kama lilivyo jengo la shule,ofisi mahakama nk.usichanganye mambo.na wale ni wachawi tuu wanapotosha watu kutumia kanisa .
Roho ya uwesilam Ni uchawi majini ila ningum sana kumbuka Mungu wawo nusufa alikuwaga malaika ndomana maneno ya korowani Yana fanana kama ya Mungu wakweli Yesu ture hem
Kijana mkali sana, mwingi wa vitabu vya kichawi Davista nakuomba JUZU YA AMA kile kitabu cha mwanzo kihifathi wewe mana ni kitabu cha dini ya waislam WAO wanaheshimu Bible yetu nasi tuna heshimu kitabu chao isipokua HIVO VILIVO BAKI VYOTE VICHOMWE MOTO MBELE YA CAMERA asiachiwe kuondoka navo. Power yake iko katika hivo vitabu anaweza kurudia.
Hivi vitabu alivyovitaja vimetokana na elimu ya Kaballah (Makuhani wa Kiyahudi na wakiristo) na hukumu ya mchawi kwenye Uisilamu ni kukatwa kichwa Huyu Mchungaji bado ni Mchawi anadanganya watu kuwa anaoonya kwa jina la Yesu
@@salambaiya466mbona nduguzo wengi wachawi tuu huwakati vichwa? Achana na mtumishi wa Mungu aliyehai!!!!hata kama wakristo tutaenda motoni!!!! Wewe inakuhusu nini unafuatilia ukiristo wa nini mkuu!!! Kama tutaenda kuzimu
Asilimia kubwa ya watu wanaefanya zambi wachawi na watu wanao fanya mambo ya giza huwa wanazugaga kujiweka karibu na mungu ili kuzuga watu kwenye immani ya ngu yakiisilamu tuna waita wanafiq wapo kila dini waswahili wanasema kwenye msafara wa mambo na kenge wapo kwaiyo nikawaida na kulingana na stori nyingi za hapa kwa davista tumekutana na watu waivi wengii .... kwaiyo kwaswali kwa bwana hasani nikawida sana.
Jafar.. wewe bado huja jua maana ya uislam... je?? Makafiri wa makkah waliabudu jiwe?? Je nyie mnalo jiwe??? Makafiri wa makkah walifanya haji kwenye milima?? Je ? Nyie mnafanya au hamfanyi??? Makafiri wa makkah waliizunguka kaaba au la?? Je nyie mnafanya au la??? Then what is different between you and them
Aliyegundua kuwa Davista ayupo sawa kwenye part hii condoment hapa yaan anainekana Kama anamawazo flan hiv jaman embu tumchangie bas mtot wa watu pengine ata hana pesa ya kula 😪
That story is good but hapo kwakusema Waislam wanaamini majini no no that is not true hakuna Muislam wa kweli anaweza kusema afazali jini ajitokeze awe wakheri ispokuwa mushirikina ndiyo anaweza kuongea hivyo kama gisi wewe ulikuwa mushirikina na huyo Mwalim wako alokufunza hakuwa Muislam kamili alikuwa mushirikina ndiyo maana kakufunza nawewe we mushirikina hakuna Muislam yani health Muslim anae Mjuwa Allah na kumuabudu vilivyo anaweza kuongea hivyo
Waisilam wakristo tutafakari huyu jamaa yupo kimasilahi anataglfuta hela kupitia dini na sio vinginevyo mtu aliookoka hana hulka hizo jamaa anazo kuwa nazo anatafuta pesaa rundwa magere pekee ndio alonyooxha maeelonze na katubu kwali
Na wewe Mbingu za mbingu zinakuona hakika natambua utakuja kujua nguvu za kristo!!!! Malaika wa mbingu za mbingu watapambana na wewe mwanzo mwisho katika jina la Yesu
Kwenye dini yote kuna wanafiki na wana ingia nyumba za ibada kama kawaida lakini wa shirikina sasa wewe kutaka kuchafua sana dini moja unaonekana muongo tena sana mno
@@marianachriss2444 wewe una ni fanya ni pate kumbukumbu za ndege ambaye ni Pérot baba yangu alinunua nikiwa mdogo yule Denge Pérot alikuwa na uwezo wa ku repeat venye watu wanaongea bila kuelewa maana ya neno ana sema
@@marianachriss2444 weee kwa kurukia maada zisinzo kuhusu ka limbukeni nikwambie tu waisilamu sis tumampenda huyo yesu wenu hatumchikii kwatu sis ni nabii issa wee ukiwndika hivyo unahisi unachoma mtu kumbe
Unajua kunawatu wanakuambia aaa watu wabaya ndo wanatumia majini uislam hauhusiani na uchawi.... swali??? Mazinge shekh kishk na waislam wengine walisema wanafanya dua ili Allah amuuwe afande sele...kwahiyo Allah ndio alikuwa anakuja kumuuwa afande sele au majini???? Kama Allah akitukanywa anatakiwa awauwe waliomtukana..... ni watu wangapi wanamtukana na anawauwa???? Ni watu wangapi hawaamini kuwepo kwa Allah??? Je Allah amewafuta duniani????? Kwakifupi walikuwa wanaita majini sio Allah kwahiyo muislam anapokataa inabidi aangalie mashkh wao wanafanya nn???
Hatutaki propaganda za mitandao tunatak point.mmeon uislm tu ndio unauchawi mbona juzi tu apo davitar katok kulionyesha kanisa linalotumia mizimu na bibilia je hao wanatofauti gani na huyo mtoa stori ikiwa aale pia wanashika bibilia na kuingia kanisan na kupandisha majini au wale hamjawain msitokwe na.povu sana tuangalieni point na chimbuko la mtu huyo meshk alitok katik famili za mizimu nae pia ni mchawi na makanisa yanayoyumia bibilia na alam ya msalab yapo mengi na tumeyaon mengi ata kwa davistr na bdo ni washirikina
@@saidhamad533 kwanza inabidi tuwe na akili.. wewe unabiblia kwenye simu yako nyumbani kwako??? Je inafanya kazi ili ifanye kazi lazima uiamini kwahiyo mtu yoyote kitu chochote kinaweza kuibeba na kuishika biblia bila kazi nayo na isifanye kazi hata waganga wachawi wanakwenda kanisa...pia kwahiyo hilo nimekujibu juu ya mchawi au mganga kuwa na biblia...la pili... nenda RUclips..tafuta ule ogomvi wa shekh wa mkoa wa dsm na yule shekh fĺani hivi... shekh wa mkoa anamwambia yule mwenzie alipindishwa mdomo... kwa kutumia kitabu...je??? Ni Allah ndo alifanya kazi hiyo???? Uelewe.... unapotaka kumtuma jini... mkali... lazima umtengeze ili kukamilisha kumtuma lazima usome Quran.... unaelewa???? Pili nenda RUclips.. msikilize shekh kishk akielezea majini na kazi zake??? Je shekh kishk ni muislam au sio muislam???? Alijuaje aina za majini???? Alisoma vitabu je vimo ndani ya quruan???? Havimo je ukitaka kuwaita hao majini unatumia aya gani?? Za Quran.... then unakuja unasema no why???? No... quruan yenyewe kama yenyewe kwa mtu mwenye akili akiisoma unajua kabisa hiki ni kitabu cha kishetani... wazi kabisaaa..... sema kwasababu unajini amekuziba ufahamu
Haka kajamaa anatuona cc wengine ni mabogas et.....nimeskilza tokea mwanzo anawapiga tu kamba vichache sana ndio vya kwel ila vingi ni uongo....et shetan hawapendelei kabur lenye msalaba......ulizeni na nyie
@@shenjamamzingi7950 YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine tubu na kumuamini YESU KRISTO kabla haujachelewa, YESU KRISTO pekee Ndio njia ya kweli na uzima yoyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa
@@mohdbest5859 YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine tubu kabla haujachelewa,kwa YESU KRISTO pekee Ndio Kuna Mungu wa kweli, Haleluyaaaa Haleluyaaaa litukuzwe milele Jina la BWANA wangu YESU KRISTO , Haleluyaaaa
@@mohdbest5859 Huyo ndio Mungu wa kweli uweza wake hautabalika atabiki kuwa Mungu milele na milele, usipomkiri ukiwa duniani utamkiri ukiwa jehanamu tubu kabla haujachelewa.
WEWE MESHAK NI KAFIRI UNAJITOA AKILI NA KUJIBU HOJA KIUJANJA. UMEULIZWA VIPI ULIWEZA KUUWA WATU, KUROGA NA WAKATI UNASWALI...KISHA UNAJIBU KWAMBA IMANI YA UISLAM HAIKATAZI HAYO YANARUHUSIWA. HIVI UMETUMWA AU...
Kwani sisi wakristo tukienda motoni utachomwa wewe!!! Kama hupendi wakristo achana na imani yetu buana jomba!!!! Ishi maisha yako na fuata imani yako kanda wangu kama kuzimu tutaenda sisi
Story nzuri sana ✨
Asante......twendelee na huu ushuhuda🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yahweh is yhe only God who doesn't need anyone to fight for him. He fights for himself. And He fights for us.
Bwana yesu asifiwe
Amen 🙏
Davista jameni umekatisha kwa wakati nakaribia na kuongeza volume. ANYWAY, thanks for this great testimonies and lessons especially for us awaiting our FATHER and KING JESUS. I understand better how why and when things happen in this life. He also gives me the courage to pray and believe in Every Single Word of GOD. T
WEWE MESHAK NI KAFIRI UNAJITOA AKILI NA KUJIBU HOJA KIUJANJA.
UMEULIZWA VIPI ULIWEZA KUUWA WATU, KUROGA NA WAKATI UNASWALI...KISHA UNAJIBU KWAMBA IMANI YA UISLAM HAIKATAZI HAYO YANARUHUSIWA.
HIVI UMETUMWA AU...
Yani uyu ibilisi yupo ju yakuchafua uwislam😢
@@faridaahmed680 kwani nani kakuambia usikilize? Achana na Mtumishi wa Mungu malaika watakatifu wakunyamazishe!!! Naupiga uchawi wako naa maneno yako maovu kwa damu ya Yesu. Nauvunja uchawi wako naukata kwa damu ya Yesu
Uingereza,Marekani ,Ujerumani, Canada wachawi alama zao ni msalaba na wanaroga Kwa kutumia msalaba na wanaita mashetani kwa kutumia misalaba na kutumia ayanza Biblia
Huyu ndugu hajaokoka ni mchawi bado na mbona kule Mbeya Kuna makanisa ya mizimu(mashetani) na wanatumia Biblia na misalaba?
Mbona Manjegeka aliagizwa na mashetani aende kanisani?
Na hio misalaba inakaa aje na inanuiwa kufanya, haya mambo ni magumu sana kwako kuelewa
@@morrismo8212 Ulifuatilia makanisa ya mizimu Mbeya?Hukuona Biblia?Hukuona msalaba? Je mzimu(majini) hawahudhurii hizo ibada kanisani?
Ulimuona Manjegeka?Aliyemuagiza.kwrnda kanisani ni nani?
Ulimuona Yule Mchungaji B Maziwa? Na ulimfuatilia Danny?
@@zeydabdullah8945 shetani anamujua Mungu na kama anamujua na anataka kupotosha na kupoteza wanadamu kwa nini asifungue makanisa yake, wengine awafanye wasiamini kuna Mungu(atheist), anaweza kutumia njia zozote ili usiweze kumusogelea na kumuabudu na kumujua Mungu. Hata bibilia inatuonya.
Ni kitabu gani na aya ipi kwenye biblia inatumika kuroga?haipo kabisaa katika biblia.na hoa unaowazungumzia si wakristo ninwapagani wachawi.Mkristo maana yake ni mtu wa kristo aliemuamini Yesu kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yake huyo ndio mkristo.kanisa ni mtu mwenyeje lile lenye jina ni jengo tuu kama lilivyo jengo la shule,ofisi mahakama nk.usichanganye mambo.na wale ni wachawi tuu wanapotosha watu kutumia kanisa .
Pepo hilo agent wa kuzimu katumwa na shetani sio Mungu
Inaonekana hata mizimu ilichomwa na huo moto, God is great x
Msimuliaji umenichekesha leooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏
Meshack is a man of God,the real christian
YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine
Roho ya uwesilam Ni uchawi majini ila ningum sana kumbuka Mungu wawo nusufa alikuwaga malaika ndomana maneno ya korowani Yana fanana kama ya Mungu wakweli Yesu ture hem
Everything kachoka kweli. Pole Kwa kazi kidume piga energy.
Weekendi Tunafuatilia !!👍
Elimu Sahihi Yenye Ukweli 100%
98 SURAH AL-BAYINAH ruclips.net/video/ai1yQhfS9so/видео.html
Wachawii wakristo kibaoo.. Na Wale wa kanisani ambaoo wanaombewa na kutolewa mapeooooo. ..au nao waislam.. Jmn taratibuuu....
Safi Sana broo
🤣🤣🤣🤣😅😂😂😂Chezea Moto kulipuka kaburini ww yni Ni kma maiti kupiga chafya Lazima mukimbie
Muslin always trying to prove a point let us hear this message in peace
Huyu boya anaikashifu dini ya Mungu na anamtukana Mungu .ila mwisho wako itakuja kujuta na atakuwa ipi dini ya kweli
Mmmmmh sijakuelewa ndg,,,,maana mm naona anapinga uchawi,,,,,hapingi dini ya Mungu maana dini ya Mungu haihusiani na uchawi...
Mungu ana dini kumbe,akili ndogo sana ww
Dini gani hiyo ya Mungu au anasema hiyo dini yakufungamana na majini
Kijana mkali sana, mwingi wa vitabu vya kichawi Davista nakuomba JUZU YA AMA kile kitabu cha mwanzo kihifathi wewe mana ni kitabu cha dini ya waislam WAO wanaheshimu Bible yetu nasi tuna heshimu kitabu chao isipokua HIVO VILIVO BAKI VYOTE VICHOMWE MOTO MBELE YA CAMERA asiachiwe kuondoka navo. Power yake iko katika hivo vitabu anaweza kurudia.
Hivi vitabu alivyovitaja vimetokana na elimu ya Kaballah (Makuhani wa Kiyahudi na wakiristo) na hukumu ya mchawi kwenye Uisilamu ni kukatwa kichwa
Huyu Mchungaji bado ni Mchawi anadanganya watu kuwa anaoonya kwa jina la Yesu
Huyo bado ni mchawi , hukumu yake kukatwa kichwa .
@@salambaiya466mbona nduguzo wengi wachawi tuu huwakati vichwa? Achana na mtumishi wa Mungu aliyehai!!!!hata kama wakristo tutaenda motoni!!!! Wewe inakuhusu nini unafuatilia ukiristo wa nini mkuu!!! Kama tutaenda kuzimu
Triangle!!! It's never an easy diagram...
Asilimia kubwa ya watu wanaefanya zambi wachawi na watu wanao fanya mambo ya giza huwa wanazugaga kujiweka karibu na mungu ili kuzuga watu kwenye immani ya ngu yakiisilamu tuna waita wanafiq wapo kila dini waswahili wanasema kwenye msafara wa mambo na kenge wapo kwaiyo nikawaida na kulingana na stori nyingi za hapa kwa davista tumekutana na watu waivi wengii .... kwaiyo kwaswali kwa bwana hasani nikawida sana.
Jafar.. wewe bado huja jua maana ya uislam... je?? Makafiri wa makkah waliabudu jiwe?? Je nyie mnalo jiwe??? Makafiri wa makkah walifanya haji kwenye milima?? Je ? Nyie mnafanya au hamfanyi??? Makafiri wa makkah waliizunguka kaaba au la?? Je nyie mnafanya au la??? Then what is different between you and them
@@johalisemalima6979 kadome.uelewe
@@johalisemalima6979 maswali mazuri sana
hahahahaaaaa uyu anatafuta pesa msikilizeni vizuri mtamuelewa cz huyo ni mpigaji
pamoja Yesu ndio ngome imara
Mimi ningeomba muache kushambulia kwa nyumba ndogo coz hata kwa wakristo wako waendao kanisani na wanatenda maovu Sana
Davistar andika mahali baada ya mtiririko huu atufunze kuhusu hio stori amekatiza about Freemasons tafadhali
Du, uyouyooooo🤣🤣🤣 vichaa wamepona, Mganga mbio😂😂
davistar is always serious
🤣🤣🤣🤣🤣🤣YESU KRISTO NDIO NENOOO,,SASA MOTO WA YESU NDIO UNAVYOCHOMA WACHAWI
ASANTE SANA MESHACH XX
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂davistar leo mtumishi umepatikana😂😂😂😂😂😂😂😂hapo pa moto just imagine
Hivi uchawi una faida gani? au wanafaidika na nini kuhusu huo uchawi.22.08.21.
Davistar si wajua hata kanisa
ni kuna wachawi? Si wanasali pia?
Bro DM tupia hiyo 15. Weekend hii. Ikiwezekana hata 16.
Mtumishi kwa nini ashidwe kwa jina la yesu
Tupo pamoja toka cape town
Je una malengo na nia ya kuacha PUNYETO? Hujachelewa. Mbinu hizi 7 ni mkombozi kwako👇👇.
ruclips.net/video/iShjDgx0Rmo/видео.html
Aliyegundua kuwa Davista ayupo sawa kwenye part hii condoment hapa yaan anainekana Kama anamawazo flan hiv jaman embu tumchangie bas mtot wa watu pengine ata hana pesa ya kula 😪
😂😂😂😂😂😂😂 wee unamchezo🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂 wee unamchezo🤣🤣🤣
Together 💪
Jamaa huyu ni Tapeli , katumwa aje kuchafua dini ya uislamu .
Yeye anatoa ushuhunda
Wewe umetumwa usikilize mbingu ikunyamazishe na damu ya Yesu ipambane na wewe malaika wa BWANA wapambane na wewe milele
Sio pekee makaburi hata nguo kma kanga za wanawake waganga wa kienyeji awazitaki.
Hahaaaaa. Eti vitoto unavimaliza
Davista, significance ya 7 ni nini katika ulimwengu wa roho maana mostly ni vitu 7, mara 7 nk
Safi
Alipiga mbio na mpuzu🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha nipambane Mimi nautakatifu na kuisoma Bibilia coz hata mwili wako hauchezei hovyo
Na kuuwa watoto ni tiba nayo?
Hai
Hahahaa chapa Mwendoo
Huu ushuhuda unanijenga sana
That story is good but hapo kwakusema Waislam wanaamini majini no no that is not true hakuna Muislam wa kweli anaweza kusema afazali jini ajitokeze awe wakheri ispokuwa mushirikina ndiyo anaweza kuongea hivyo kama gisi wewe ulikuwa mushirikina na huyo Mwalim wako alokufunza hakuwa Muislam kamili alikuwa mushirikina ndiyo maana kakufunza nawewe we mushirikina hakuna Muislam yani health Muslim anae Mjuwa Allah na kumuabudu vilivyo anaweza kuongea hivyo
Na kuuwa watoto si dhambi?
Waisilam wakristo tutafakari huyu jamaa yupo kimasilahi anataglfuta hela kupitia dini na sio vinginevyo mtu aliookoka hana hulka hizo jamaa anazo kuwa nazo anatafuta pesaa rundwa magere pekee ndio alonyooxha maeelonze na katubu kwali
Amina acha udini tumia akili, Dunia huijui hii
@@igurusitv6553 we unatumia nini kujibu
@@blessedlovedandfavoured4129 we huoni views wamepungua watu wenye akili zao waxhaona hana jipya wamesemba zao
@@blessedlovedandfavoured4129 Safi kabisa hataki kuangalia bora aache tu
Kabisa simupingi
Apo unatakakuchafua uwislam eti imaniyangu ilikua inanirisu eti uwislam unaruhusu shirki Allah anakuona ipo siku utaumbuka
Na wewe Mbingu za mbingu zinakuona hakika natambua utakuja kujua nguvu za kristo!!!! Malaika wa mbingu za mbingu watapambana na wewe mwanzo mwisho katika jina la Yesu
Wakwanzaa
Hongera ndugu
@@mwakazijuma1607 Asantee
@@tracyirene8917 Asanteee
Kwenye dini yote kuna wanafiki na wana ingia nyumba za ibada kama kawaida lakini wa shirikina
sasa wewe kutaka kuchafua sana dini moja unaonekana muongo tena sana mno
YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu,tubu na kumuamini YESU KRISTO, BWANA YESU KRISTO anakupenda karibu Nuruni
@@marianachriss2444 wewe una ni fanya ni pate kumbukumbu za ndege ambaye ni Pérot baba yangu alinunua nikiwa mdogo yule Denge Pérot alikuwa na uwezo wa ku repeat venye watu wanaongea bila kuelewa maana ya neno ana sema
@@dallasabinchar5128 hakuna mtu anaongea asicho kijua
@@dallasabinchar5128 wewe je?
@@marianachriss2444 weee kwa kurukia maada zisinzo kuhusu ka limbukeni nikwambie tu waisilamu sis tumampenda huyo yesu wenu hatumchikii kwatu sis ni nabii issa wee ukiwndika hivyo unahisi unachoma mtu kumbe
15 basi ije nakesha Leo kuingoja
Walmishrikina finar jahanam.
Davstar unasizia
Wapiliii
we kwa mauwaji ulofanya hufai hata kusikilizwa
Naomba yamba yake
Naomba nambar yake
Yani uyu kaka nimnafki kweli eti waislam wanayakubali majini eti uwislam nidini yamajini pumbafu
😂😂😂😂😂
Unajua kunawatu wanakuambia aaa watu wabaya ndo wanatumia majini uislam hauhusiani na uchawi.... swali??? Mazinge shekh kishk na waislam wengine walisema wanafanya dua ili Allah amuuwe afande sele...kwahiyo Allah ndio alikuwa anakuja kumuuwa afande sele au majini???? Kama Allah akitukanywa anatakiwa awauwe waliomtukana..... ni watu wangapi wanamtukana na anawauwa???? Ni watu wangapi hawaamini kuwepo kwa Allah??? Je Allah amewafuta duniani????? Kwakifupi walikuwa wanaita majini sio Allah kwahiyo muislam anapokataa inabidi aangalie mashkh wao wanafanya nn???
Hatutaki propaganda za mitandao tunatak point.mmeon uislm tu ndio unauchawi mbona juzi tu apo davitar katok kulionyesha kanisa linalotumia mizimu na bibilia je hao wanatofauti gani na huyo mtoa stori ikiwa aale pia wanashika bibilia na kuingia kanisan na kupandisha majini au wale hamjawain msitokwe na.povu sana tuangalieni point na chimbuko la mtu huyo meshk alitok katik famili za mizimu nae pia ni mchawi na makanisa yanayoyumia bibilia na alam ya msalab yapo mengi na tumeyaon mengi ata kwa davistr na bdo ni washirikina
@@saidhamad533 kwanza inabidi tuwe na akili.. wewe unabiblia kwenye simu yako nyumbani kwako??? Je inafanya kazi ili ifanye kazi lazima uiamini kwahiyo mtu yoyote kitu chochote kinaweza kuibeba na kuishika biblia bila kazi nayo na isifanye kazi hata waganga wachawi wanakwenda kanisa...pia kwahiyo hilo nimekujibu juu ya mchawi au mganga kuwa na biblia...la pili... nenda RUclips..tafuta ule ogomvi wa shekh wa mkoa wa dsm na yule shekh fĺani hivi... shekh wa mkoa anamwambia yule mwenzie alipindishwa mdomo... kwa kutumia kitabu...je??? Ni Allah ndo alifanya kazi hiyo???? Uelewe.... unapotaka kumtuma jini... mkali... lazima umtengeze ili kukamilisha kumtuma lazima usome Quran.... unaelewa???? Pili nenda RUclips.. msikilize shekh kishk akielezea majini na kazi zake??? Je shekh kishk ni muislam au sio muislam???? Alijuaje aina za majini???? Alisoma vitabu je vimo ndani ya quruan???? Havimo je ukitaka kuwaita hao majini unatumia aya gani?? Za Quran.... then unakuja unasema no why???? No... quruan yenyewe kama yenyewe kwa mtu mwenye akili akiisoma unajua kabisa hiki ni kitabu cha kishetani... wazi kabisaaa..... sema kwasababu unajini amekuziba ufahamu
Haka kajamaa anatuona cc wengine ni mabogas et.....nimeskilza tokea mwanzo anawapiga tu kamba vichache sana ndio vya kwel ila vingi ni uongo....et shetan hawapendelei kabur lenye msalaba......ulizeni na nyie
'Jikafiri'
@@shenjamamzingi7950 YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine tubu na kumuamini YESU KRISTO kabla haujachelewa, YESU KRISTO pekee Ndio njia ya kweli na uzima yoyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa
@@mohdbest5859 YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine tubu kabla haujachelewa,kwa YESU KRISTO pekee Ndio Kuna Mungu wa kweli, Haleluyaaaa Haleluyaaaa litukuzwe milele Jina la BWANA wangu YESU KRISTO , Haleluyaaaa
@@mohdbest5859 Huyo ndio Mungu wa kweli uweza wake hautabalika atabiki kuwa Mungu milele na milele, usipomkiri ukiwa duniani utamkiri ukiwa jehanamu tubu kabla haujachelewa.
@@mohdbest5859 BWANA YESU KRISTO akusamehe Sana
devil is a liar
MCHAWI HASSAN
Acha uongo ww umeshaambiwa ushirikina ni dhambi isiyokuwa na msamaha vp unahusisha dini haikatazi ushirikina laanatullah
muongo mkubwa
Meshack is a man of God,the real christian
WEWE MESHAK NI KAFIRI UNAJITOA AKILI NA KUJIBU HOJA KIUJANJA.
UMEULIZWA VIPI ULIWEZA KUUWA WATU, KUROGA NA WAKATI UNASWALI...KISHA UNAJIBU KWAMBA IMANI YA UISLAM HAIKATAZI HAYO YANARUHUSIWA.
HIVI UMETUMWA AU...
Kwani sisi wakristo tukienda motoni utachomwa wewe!!! Kama hupendi wakristo achana na imani yetu buana jomba!!!! Ishi maisha yako na fuata imani yako kanda wangu kama kuzimu tutaenda sisi