MCHAWI HASSAN TOKA KIGOMA ALIEUA WATU NA KUWAFANYA MISUKULE NA KUIUZA/NYAMA ZA WATOTO/NIMEUA WENGI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 251

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard4392 3 года назад +12

    Ahsante Yesu wangu kwakua nimetambua nguvu yako mapema....!

  • @bobkariz5663
    @bobkariz5663 3 года назад +10

    Davistar Mr everything the don good work mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mikarubisha3331
    @mikarubisha3331 3 года назад +5

    Yes!!! Salute xana mr Dm...huyu jamaa ni qonky xana katika elimu dunia...nice story tutajfunza mengi🙋🙌

  • @paschazianestorymatunda5972
    @paschazianestorymatunda5972 Год назад +1

    Ubarikiwe sana Bwana Hassan Mungu ni mwema ... Now Meshack... Mungu azidi kukutunza na kukubariki sana daima

  • @mickeytv3691
    @mickeytv3691 3 года назад +3

    Aiseee watu wa kigoma ni best story tellers

  • @barnabasmajige8473
    @barnabasmajige8473 3 года назад +13

    Elimu hii ni kubwa sana ktk maisha ya wanaopenda mambo ya ushirikina na uchawi.

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 3 года назад

      Kweli kabisa maneno yako Barnabas Majinge, Allah amhidi huyo kijana pamoja na huyo ustadh wake

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 3 года назад +7

    Falaq ni ilimu ya kishirikina. Haifa kuitumia ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu. Ametukuka Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na Ardhi.

  • @raiszongo4136
    @raiszongo4136 7 дней назад

    Mashallah elimu na story Mpaka raha ...

  • @santawinny9946
    @santawinny9946 3 года назад +1

    Davistar ungeweka number yako ilimtu akigushwa akutumia hata kitu kidogo ........aki I love you my brother maana najua sai mahali niko niko mahali sahihi Asante Yesu wangu .....kama unaelewa huyu jamaa nipeni like na mimi leo😋

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 3 года назад +6

    Kigoma noma sana.....watumishi mnajitahidi kuchafua uislam’ Lkn tatizo kuna mambo mnadanganya Watu...Shetani Sio kiumbe bali ni sifa...Kiumbe hapo ni Jini ‘ majini ni viumbe walioumbwa ‘ wana familia zao’ wana serikali zao’ Na ni viumbe wasioonekana na tunaoishana nao wakiwa wamevaa uhusika wwt wanaotaka...!
    Hawa majini Wapo tofauti kitabia ‘ Ndio maana Hata kipindi Cha Yesu kuna wale waliokua kila wakimuona wanaanguka na kumtukuza’ Na Sio mara moja ‘ Yaani kila walipomuona ‘ walifanya hivyo’ Na Yesu aliwakataza wasimwambie mtu kwamba yy ni mwana wa MUNGU...!...Lkn pia yupo jini mkuu ambae alimchukua Yesu mpk Juu ya mlima na akamwambia amsujudie atampa milki zote za Dunia’ Yesu akamwambia imeandikwa msujudie BWANA MUNGU wako peke yake’ Kwa hivyo hawa majini ni kweli Wapo tofauti kitabia ‘ Na wanaadam tumeamrishwa tusifanye ushirika na majini ‘ haijalisi ana tabia gani..!...Jambazi ni yuleyule hakuna Jambazi mzuri’ Lkn majambazi wengine hujificha kwenye kivuli Cha ibada ‘ wengibe hutoa misaada’ wengine huwa ni viongozi na hawajulikani ‘ japo siku akiuwawa kwenye tukio ’ Watu wengine husikitika na kusema dah jamaa alikua mtu wa Watu anatoa misaada ‘ au mchungaji’ au mtu wa ibada Lkn kumbe alikua Jambazi’ alikua mtu mzuri sana..!...Sasa unapoambiwa kuna majini wazuri na wabaya haimaanishi ushirikiane nao au uone sawa’ waache na Dunia yao na mambo yao’ ...!...ukitaka kusomea hata umalaya duniani hapa vyuo hivyo vipo na wabafundishwa binaadam sisi wenyewe...Sasa ni hiyari yako kuchagua upande..!..fanya Hayo kesho UKAWE KUNI ZA JAHANNAM..!

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 3 года назад

      @@benjathekingofficialshows ......Tatizo la ndugu nyie ushabiki’ hakuna anaekatazwa kuongea’ Lkn Kwa wanaojua mtu anapoongea Tofauti anasahihishwa...!...Sio kila anachoongea yupo sawa..!
      Sasa ww unaamini kwamba baadhi ya majini walikua malaika..?...Kwa imani ya dini yako Ndio inavyosema..?...Malaika wameumbwa Kwa nuru....Binaadam wameumbwa Kwa udongo....Majini wameumbwa Kwa moto..!
      Malaika hawali ‘ hawanywi..hawalali...hawafanyi mapenzi...hawaendi Choo...hawazeeki...Na toka wameumbwa hawajawahi kumuasi MUNGU’ wao ni Kumtii na kufuata wanavyoamrishwa na MUNGU...!...leo anatokea mtu anawaambia Malaika ni majini au malaika akizeeka anakuwa shetani unashabikia ‘ ...hilo Ndio Tatizo imani bila maandiko..!
      Binaadam anayafanya yote’ anakula...analala..anaenda choo...anafanya mapenzi...Anazeeka...anachoka...analala...anaasi...wanazaa....na mengineyo..!
      Majini na binaadam mambo yao yanafanana ‘ Na majini wamezidi uwezo zaidi ‘ hawaonekani na wana familia zao pia...!...Na ni viumbe wa Ajabu ambao wameumbwa na MUNGU ‘ hawajajiumba wenyewe ‘ MUNGU katupa uwezo binaadam wa kumiliki kila kilichopo duniani ‘ Lkn usifikiri una uwezo wa kumdhibiti jini bila kuwa na kinga ya MUNGU ‘ Na Ndio maana wana uwezo wa kuangamiza na kuharibu maisha ya binaadam...!
      Waislam huwa hatukubali mtu abwabwaje Bila maandiko au aongee kufurahisha Watu’ na uislam hauruhusu UCHAWI wala Kushiriki na majini’ ukiona hivyo ujue huyo ni MUISLAM aliyekengeuka na Sio UISLAM unavyotaka.!..hata wanasayansi na Elimu zao leo wanaangamiza Binaadam wenzao ‘ ...Kwa hivyo aongee ila akiongea tofauti anarekebishwa ‘ ww wa kusikiliza kila linalozungumzwa hata kama Sio endelea kuamini..’...SOMENI muelewe ‘ Sio M’BURUZWE..!

    • @meisme7540
      @meisme7540 3 года назад +1

      @@benjathekingofficialshows Unaelimishwa alafu unampa pole anayekuelimisha daah! POLE SANA Nawe piaa. Maana hujui ulitendalo. Hata bm maziwa aliongea pia mbona hakubanwa. Pole pole pole sanaaa@Asumani Benjamin

    • @meisme7540
      @meisme7540 3 года назад

      @@ismailyusuph740 Asante ndugu yangu

    • @just_this_way
      @just_this_way 3 года назад

      Hz stor huwa jamaa wanazitunga. Fatilia stor nyingi utaona mwisho wake ETI MTU KAOKOKA. uongo mtupu. Anzia ile stori ya Mussa Chesa.

    • @just_this_way
      @just_this_way 3 года назад

      @@benjathekingofficialshows ubarikiwe na nani ❓ fix tu hizo.
      Yaani kuna stori ukianza kusikiliza tu, unaona kabisa kuna uongo wa wazi. Dini ya Ukristo imeundwa na uongo mtupu. Kuanzia uungu wa Yesu mpaka mafundisho yote ya paulo. Uongo mtupu. 😏
      Eti unaniuliza nlitaka asilimu, 😳 una akili timamu ❓ kwani muislamu anasilimu tena ❓

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 года назад +2

    Asanteni sana kwa kutuletea simulizi hizi kwani tunajifunza tusioyajua yanayoendelea kwenye dunia hii. 18.08.21.

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 3 года назад +2

    Yesu ni kimbilio tosha..

  • @abubakarwadi5773
    @abubakarwadi5773 3 года назад +3

    More fire

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 3 года назад +9

    Ulipo nipo Davistar mata,sikuachi Bora nishinde njaa lakini nipate bando kwa ajiri yako😁❤️ ilimradi tu nipate elimu ambayo hata uwe na PhD huwezi ipata.

    • @adrianoscar1974
      @adrianoscar1974 Год назад

      Kweli hii haipatikani kwa kuwa na mavyeti mengi

  • @FrankIlenga
    @FrankIlenga Месяц назад

    Mungu ni wa ajabu Sana maarifa yake hayachunguziki

  • @zawadianagabriel9768
    @zawadianagabriel9768 3 года назад +1

    Daah davistar mungu akubariki ushuhuda mzuri sana naomba asiruke chochote aeleze kila kitu

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 3 года назад

    Kali sana big up kaka davista watching from Qatar 🇶🇦

  • @jamesoseko6245
    @jamesoseko6245 2 года назад +1

    Yesu ni mkuu

  • @chazgunda5823
    @chazgunda5823 3 года назад +3

    HIII NAYO NI ZILE MIONGONI MWA KALI MNOOO💥💥💥

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад +1

    elimu ni nzuri sana ina mafunzo mengi

  • @djmtengwatz1099
    @djmtengwatz1099 3 года назад +1

    Twende Kazi Mr....

  • @davidkizito6900
    @davidkizito6900 3 года назад +1

    +256, proud to be number 90

  • @mbwanaomary4504
    @mbwanaomary4504 3 года назад +3

    Namba moja

  • @mohamudeyiman1815
    @mohamudeyiman1815 3 года назад

    Story nzuri Sana laki atu onyesha vitabu Kama Abu maasharal falak

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 3 года назад +2

    Hii sasa machine 🤣🤣

  • @badymsuya6093
    @badymsuya6093 3 года назад +4

    Nilikua nataman umtafute sana huyu jamaa na hata shekhe Amiri ambaye Naye ameokoka maana Hawa wote niliona interview zao Lakin fupi sana waandishi wanakaa nyuma ya camera Kwa Hyo no question Ila hapa najua tutajifunza vingi sana👌🏾

  • @fahadissa5621
    @fahadissa5621 Год назад

    Huyo mchungaji hakuwa mwiislam bali alikuwa mshirikina wa uislaam haumfanani hata!!Pole sana rafiki yangu na dini hukuisoma kwa ajili shekh;ustadh n.k bali wewe njia ya mali kwa ajili ya manufaa yako.Wa hukutafta mungu na uliona kwamba uislaam nikuitoa nafsi yako kwaajili ya mungu si kwaajili ya watu na manufaa yao.Sasa ndg wachngaji mmezidi nyinyi na miujiza properganda makanisa na mali na hujui maana ya shirki aloikusudia mungu.We kafiri mkubwa na unachezea shimo la moto wa jahannam.

  • @LadislausOdilo
    @LadislausOdilo Год назад

    Davister umetisha kwa maswali

  • @venahsithole6463
    @venahsithole6463 3 года назад +1

    Yesu tu ndie mkombozi wangu

    • @hanifamasudi9732
      @hanifamasudi9732 3 года назад

      Yesu sio mkombozi wa kiumbe chochote zaidi ya mungu ndio kiongozi wetu sisi nayesu

    • @venahsithole6463
      @venahsithole6463 3 года назад

      Kwetu sisi wakristo ndivyo tunavyo amini kuwa Yesu kristo ndie mkombozi wetu alitumwa na baba yake ambaye ni Mungu kutuokoa sisi wakosefu hata tukifa tunaamini kuwa Yesu ndie ataipokea roho yangu kuipeleka kwa Mungu baba

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 3 года назад

    Safi Sana broo

  • @jongoathumani3690
    @jongoathumani3690 3 года назад

    Brother hood Davista Mata mr Dm ni Jongo boy hapa from Tz bongo pamoja sana kaka

  • @isayajerad
    @isayajerad Год назад

    Mimi Ni washauri ware mnao taka kumfuta mungu kupitia yesu yesu ndiyo hjia ya kweri na uzima IRA Kama mnataka kujifuza umganga na m

  • @adjafamkungilwa1154
    @adjafamkungilwa1154 3 месяца назад

    Ushuhuda mzuri sana ila mbaya nikwamba unongea siri zote adi unafundisha uchawi ndugu

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 3 года назад +4

    et kuna mt anasema yy kasoma madrasa hakufundishwa hayo hahahahaaa ndo ujue ww ulisomeshwa vitu vzr au vichache lkn huo ndo ukwel maan huyu hivyo vitabu anavovitaja vipo na mnavijua au wengine hamvijui kwakuwa haviwahusu elimh ya mle, lkn bado mtu anapuuuza

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад +1

      Mshenzi atabaki kua mshenzi na hataerevuka hata sku moja. So atadanganya wapumbavu waliozoea kuburuzwa na wasiojua kusoma wala sio wenye akili zao. Hasara kwake haounguz wala kuongeza katika uislamu

  • @oscarkibate1913
    @oscarkibate1913 3 года назад +2

    Ushuhuda mzuri. Naomba lakini awe makini Kuna watu wenye nia mbaya asije akawapa elimu ya Bure. Bana maelezo Kwa kiwango kidogo

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 3 года назад +2

    huyu jmaaa ana elim kubwa sana, et hakuna jambazi mbaya na jambaz mzuri, jin ni jini tu ila anakuja kwa uzur ili umwabud bila kujua hahahahaaaa elim ni nzur sana sana,

  • @beingkeemie26
    @beingkeemie26 3 года назад +5

    Those who follow horoscope.. Be very keen with deception from the devil.

  • @hamisfakih4739
    @hamisfakih4739 3 года назад

    Noma sana 💥💥💥💥

  • @kakajoss2464
    @kakajoss2464 3 года назад +1

    Davista mwambie awe akitafsiri kwa maana wengine hatuelewi Kiarabu

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад +2

    Yani huyo ndogo bado ni mdogo lakini alio yafanya ni mengi kweli

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 года назад +2

    Pili Musa Vipi huyu, 🤔 kazi nzuri bro

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Simtaki . Tumpe Aysha huyu1🤣🤣🤣

    • @somoeawadh7774
      @somoeawadh7774 3 года назад +1

      @@pilimusa7770 Afadhali maana pia mm simtaki hata Bure 😂😂😂

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@somoeawadh7774 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @philipoluzege3200
      @philipoluzege3200 3 года назад +1

      Mbna mkaka wa watu mzuri tu jaman

  • @adrianoscar1974
    @adrianoscar1974 Год назад

    Naona davistar unagonga energy kidogo kuchaji maana hiyo kazi sio ya kitoto ni nzito

  • @suleimaniyasri2166
    @suleimaniyasri2166 3 года назад +2

    Davistar huyu jamaaa... Dah qurooan jaman....raha xnaa elimu kubwa xnaa

  • @isayajerad
    @isayajerad Год назад

    Mimi niwashauri tu ware mnaotaka kumfata mungu kupitia yesu ndio Sasa mda huu na Kama mnataka kumfata shetani na kujifuza umganga uisiram upo kwa njia ya mhamani uko utafundishwa kufuga majin kuwa mganga kuwa na mapepo kuwa gaidi kuwa muuaji iri update sawabu kwa shetani kuwa mrevi na Kira uchafu kwa mhamad

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 3 года назад +1

    Pamoja saana dm for another one💪

  • @OmaryMasambiro
    @OmaryMasambiro 2 месяца назад

    Huyu jamaa ana njaa Kali kivumbi,hata marehem mwaipopo Mungu amlaze mahala pema peponi.mwaipopo alikua mkristu alie wahi kusoma qruan ili aangamize uislam,akajiulize kumbe waislam wana ukweli katika dini yao,akajiuliza na kwanini nitoe ushuhuda wa uongo kama huyo jamaa.Tunaijua iyoo

  • @saidhamad533
    @saidhamad533 3 года назад

    Noma noma

  • @AhmedMohamed-so7db
    @AhmedMohamed-so7db 3 месяца назад

    Yaan hata haya haoni aibu hana huo ni mswiba mkubwa yumuachie mungu ndoo atamhukumu

  • @phionamoe9003
    @phionamoe9003 3 года назад +1

    Npe namb ya hassan

  • @huseniomari3990
    @huseniomari3990 3 года назад +2

    Duh! Huyu jamaa anasema amemaliza juzuu 30 alafu anasoma Hadith vibaya hivi.ila kwa uongo huu utapiga hela sana.maana wakristu wanaamini Sana historia nakujua huyu Ni mkweli.kwenye uislam niharam kutaja maovu walioyafanya

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      Nyinyi kila kitu ni wajuzi wakupinga pale tu mtu kati yenu anapokengeuka

    • @theblackandrew4119
      @theblackandrew4119 3 года назад

      Ushaleta dini kwenye story
      Acha uzezeta wewe hii ni story

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 3 года назад

      Acha awanyoe wachawi wajirudi kwa Mungu msing'ang'anie udini wakati huo ndo ukweli, Okokeni Yesu anarudi na walio jitambua ndio hao wamerudi kundini nyie komaeni kiama kiwakute muingie motoni

    • @kamgomoli3650
      @kamgomoli3650 3 года назад

      Nyie ni km Chadema tumewazoea

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo9091 3 года назад +1

    Hii story kali naamini mbeleni huko

  • @SalimRajabu-zn6ib
    @SalimRajabu-zn6ib 11 месяцев назад

    Acha ujinga hujawahi kuwahi kua muislam icho kiarabu umejifunza wakati unatafuta kua mchungaji ili kuongopa ulikua muislam wew ni mkilistu toka mtoto kigoma ulikua unakaa Masanga tena haikua kwenu ulikua umechukuliwa kama yatima kwenu kujijin hali ngumu ACHA UONGO

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 3 года назад +1

    Ngoja nibaki Kwa mchaw wanaotusumbua ucku🙄🙄

  • @sasamama7934
    @sasamama7934 3 года назад

    S.a jamani mm nina swala moja hivi hawa watu wanao ua watu kula watu na watoto hivi toba yao ina kubaliwa roho zote walizo una bila ya ithm yoyote yani bila makosa bila hatiya

    • @fahadjinni5845
      @fahadjinni5845 3 года назад

      ALLAH NI MWING WA REHMA HUSAMEHE KILA AINA YA DHAMBI KWA YULE MKOSAJI NA ALIEKIRI KUKOSA .....TOBA YA KWELI NDIO INAYOHITAJIKA

  • @deodatusmaliti7790
    @deodatusmaliti7790 3 года назад +1

    Kuna madini hapa tafadhali yashushe haraka!

  • @credo7837
    @credo7837 3 года назад +1

    Dakika za leo ndogo 🤣umetupunjaa

  • @adamsafari7657
    @adamsafari7657 3 года назад +1

    mchawi meshack ingekaa poa

  • @abdimohamed3953
    @abdimohamed3953 3 года назад +2

    Tupo kupata mafunzo kama nawaona ndugu zangu vile #WagangaWakitabu hatar kweli kweli

    • @alexkayagula4797
      @alexkayagula4797 3 года назад +2

      Wapi sule, wapi mazinge, wapi mwaipopo, wapi mashehe wangu. Jamani naomba mumpe YESU maisha. Duuuuu.???!!!...

  • @aprilking8250
    @aprilking8250 3 года назад

    Eeh Atari sana kijana!

  • @SalimRajabu-zn6ib
    @SalimRajabu-zn6ib 11 месяцев назад

    Punguzeni uongo uyo jamaa hajawahi kuwa mganga ni tapeli alikua anakaa MASANGA na hajawahi kua muislam toka mtoto ni mkilistu

    • @johngerald4677
      @johngerald4677 10 месяцев назад

      Acha uongo alikua muislamu na amewahi kuwachaleji kina simba ulanga mwanga sokoni

  • @djmtengwatz1099
    @djmtengwatz1099 3 года назад

    Twende Kazi

  • @yusufuwadi4256
    @yusufuwadi4256 3 года назад +1

    Davista punguza maswali

  • @maspro6294
    @maspro6294 3 года назад +1

    Huyu jamaa muongo anatafuta kiki za kisenge

  • @wambuapeter5132
    @wambuapeter5132 3 года назад

    Pamoja devista

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +2

    Huyu jamaa katika mavi kakanywga mkojo

    • @kamgomoli3650
      @kamgomoli3650 3 года назад +1

      Kwanini mkuu,dini ni maamuzi ya mtu. unajuaje km hapo unapoabudu ni sahihi?

    • @atugonzalugemalila5142
      @atugonzalugemalila5142 3 года назад

      @@kamgomoli3650 Dini siyo hiali ya mtu lazima utafte dini inayomwabudu Mungu wa kweli na sio miungu

    • @kamgomoli3650
      @kamgomoli3650 3 года назад

      @@atugonzalugemalila5142 Kwahiyo we unajuaje km dini aliyoichagua si sahihi na yako ndio sahihi?

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 3 года назад

    Dunia ina mambo aisee!!!

  • @kendrickmakaveli1619
    @kendrickmakaveli1619 3 года назад +3

    Bonge la story

  • @mpandamohamedmsoke9722
    @mpandamohamedmsoke9722 3 года назад +1

    Davista vip content zimeisha nini usituletee watu waongo hapa

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  3 года назад +4

      Tuletee wewe stori yako ya ukweli!

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад +1

      @@DavistarMataMediaDM... Kwendaaaa hukoo na huyo mbuz mwenzio. Akadanganye wajinga. Kwanzaa mwambie ajipange tutamuita kwa muhadhara. Ati amesomo kamaliza juzuu 30.kusoma kwenyewe na Kiarabu hajui. Yy kaenda somea uchawi Bali sio uislamu. Katka uislamu hakuna siri. Ndio maana Mwenyezi Mungu alisema. Amewakamilishien dini yeni. Na uislamu ndio dini ya haki. Nyoooo Quran ni moja. Labda katunga yake yakichawi kwenda kutafta wajinga wampe sadaka. Mwambie hasara kwake. Hajapunguza wala kuongeza chochote katka uislamu. Adanganye kondoo na wala mashonde wenziwe

    • @just_this_way
      @just_this_way 3 года назад

      @@raiyaaaraiyaa6054 bora ndugu yangu na wewe umesema. Mi huyu @Davistar nlianza kumshtukia siku nyingi tu, kuanzia stor ya Mussa Chesa, yaani kila anaesimulia mwisho utasikia ameokoka. Wanauchafua sana uislamu ila HAWATAWEZA In Shaa Allah

    • @just_this_way
      @just_this_way 3 года назад

      @@DavistarMataMediaDM Br mi ni shabiki wako mnooo, nakufatilia sana ila baadhi ya stori zimekaa KIKRISTO kiasi cha kufanya kuenea chuki kwa dini nyingine, mfano stor ya Mussa Chesa, Shkh Omari wa Tanga, huyu mjinga mwingine wa leo, dada yule alozoeshwaga kunywa damu za watu na Ali, hizo zoote zina uongo. In fact, mi stor mbili tu ndo zimenifunza :- 1. Zabron Mwita.
      2. Lwanda Magere.
      Hizo ndo zina ukweli ila hizo nyingine ni POROJO NA FITNA.
      You are loosing fans kwa stori hizo za UONGO.

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 3 года назад

    DAVISTA MUULIZE HUYO HASSAN MAANA YA DUA YA KUCHINJIA KUKU MBUZ AU NG'OMBE AU MNYAMA YEYOTE

  • @khadijabintmohammadbintmoh8026
    @khadijabintmohammadbintmoh8026 3 года назад +2

    Huyo jamaa mungewakutanisha pamoja na sheikh mazinge siku moja plzz davista

    • @johalisemalima6979
      @johalisemalima6979 3 года назад

      Sikia hakuna shekh unae mjuwa wewe asiejua elimu hiyo na si haramu kwa mujibu wa uislam kuijua kwasababu lazima ukiwa shekh uwe na utambuzi wa majini na elimu hiyo inaanzia hapo na lazima ujuwe kwasababu msikitini...wanaingia na lazima awajue sawa

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 3 года назад

      Huo mdahalo wa Mazinge unakuja nadhani tarehe 20/8/2021 hapo ndio utajua Mazinge anawadanganya watu bali ukweli utaupata hapo mdahalo utakao fanywa na Mapastar kutoka Kenya paster Chande wa Biblia Nuru ya Dunia

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад

      Sio kitambo. Watu wa njaa km Hawa ndio twawataka katka mihadhara. Na wakitwa hawaendi

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад

      @@johalisemalima6979... Funga domo lako km jambo huna elmu nalo kaa kado sio kuropokwa

    • @johalisemalima6979
      @johalisemalima6979 3 года назад

      @@raiyaaaraiyaa6054 kwann??? Wewe unahisi ananjaa????

  • @dallasabinchar5128
    @dallasabinchar5128 3 года назад +2

    Ulikuwa una fundishua uchawi na si islam ambayo ni dini tukufu na bora ya Mungu , and you need to tell people that ulikuwa uchawi tupu ulikuwa unafanya si islam

  • @kijahnikwelinyalinga1740
    @kijahnikwelinyalinga1740 3 года назад +1

    Da swaiba kumbe ulikuaga mchawi una kuja nyumbn ,dah kagoma 🙄🙄 misiamini mbona hatukuwahi kuskia pale mtaani

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 3 года назад

    Iyo ya kutaja alivyowafanyia watu wanaweza kufanya kwa chuki zao.

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 года назад

    Naam huyu uislam anaujua.
    Hivi abdallah inaanza Kwa herufi alifu au ain?
    Humu kuna elimu kubwa sana
    Ahsante

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 3 года назад +1

      Huyu hajuwi uislam na hana lake moja laiti angelijuwa uislam asinge fikia hapo alipo, hana imaan katika uislam yeye pamoja na ustadh wake, wame potea njia asa yaarab Mwenye Enzi Mungu awa hidi wote

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 Год назад

      Ubishi Mwingine Ni Sifa Za Kijinga, Kama Umeweza Kuacha Kunyonya Maziwa Ya Mama Yako Mzazi Sembuse Kuacha Dini Ya Mila Za Kiarabu?!

  • @credo7837
    @credo7837 3 года назад +1

    Wamwishoo 😥😥

    • @mwajumaselemani5370
      @mwajumaselemani5370 3 года назад

      Hata mm naona 😂

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      @@mwajumaselemani5370 🤣🤣usinifanyie roho mbaya

    • @mwajumaselemani5370
      @mwajumaselemani5370 3 года назад

      @@credo7837 mm mwenyewe ndo naiskiliza sasa

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      @@mwajumaselemani5370 aisee sikuhiz umekuwa busy

    • @mwajumaselemani5370
      @mwajumaselemani5370 3 года назад

      @@credo7837 acha tu niko busy sana na pia nalala baadae

  • @maryamomar2844
    @maryamomar2844 3 года назад

    Sasa baada ya kuua watu wote hao si afungwe na amekubali aliyafanya hayo

  • @husseinshadhily9329
    @husseinshadhily9329 3 года назад

    Kama umeua sheria inasemaje

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 3 года назад

    Title umeikosea huwez ukaandika mchawi wakati mtu anahudumu madhabahuni. ....bora ungeandika aliyekuwa mchawi kigoma

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 года назад

    Hii ni elimu

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 2 года назад

    Kuna wahuni watasema huyu ni mamluki hakuwa muslim???

  • @chakitv1241
    @chakitv1241 3 года назад +1

    Pili musa uje Mambo yamewaka uku

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Ndiyo nimefika kipenzi changu. Asante sana ❤❤❤❤❤🙏🤝😘

    • @chakitv1241
      @chakitv1241 3 года назад +1

      @@pilimusa7770 karibu🤣🤣👍👍❤️ Nilikua sukuoni ndani rafiki

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@chakitv1241 u busy kidogo.❤

    • @chakitv1241
      @chakitv1241 3 года назад +1

      @@pilimusa7770 swadakta kazi nadawa👍

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 года назад

    Wa mwisho

  • @cecycecy3610
    @cecycecy3610 3 года назад

    bandika bandua davstar weyeree

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      Hivi ile imeisha

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 3 года назад

    Huyu jamaaa nimuongo balaaa kabisa

    • @maryngosha8296
      @maryngosha8296 Год назад

      Unavyompinga uwe na hoja ya msng sio sio kusema uongo bila hoja nitakuelewa vp

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 года назад +1

    Maskini hasara yako kijana, usipo rudi katika nuru ya Allah,basi ngoja moto wa jahannam, Allah atu hidi wote ameen

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 3 года назад +1

      @@benjathekingofficialshows yesu ni binadamu kama wewe na mimi, yeye ni nabii kama manabii wengine, na huyo murtadi ni hasara yake yeye pamoja na wewe

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 3 года назад

      @@benjathekingofficialshows asa yaarab

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 3 года назад

      @@benjathekingofficialshows furahia maisha ni ya kupita tu

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 3 года назад

      @@benjathekingofficialshows uta ipata pata ukifika huko tunapo kwenda uta juwa kuna the
      raha au karaha. Alie kuda nganya ni nani alie kwambia kuwa ali owa mtoto wa miaka 9 ?basi we kaa na ujinga wako kumu abudu binadamu alie umbwa na udongo

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 3 года назад

      @@benjathekingofficialshowshuyo yesu mnae muabudu hapa basi ata waruka futi 100 siku ya kiama ni bora yako uta fute ukweli ulipo

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 3 года назад

    Jamani

  • @stanleyifaini6224
    @stanleyifaini6224 Год назад

    I fear Tanzanians now weeh

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 года назад

    Ustadh wako alikuwa mshirikina

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 3 года назад

    Mchawi badae utasikia na yeye kawa mchungaji ana ubiria watu

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij 3 года назад

      😁

    • @florencerose859
      @florencerose859 3 года назад

      Mbona nyie waislamu mtu akihamia dini akawa mkristo munamkosoa?Wakristo wawana shida atakama mwenzao amehamia Islamic Wana chukwua ni sawa tu, achane roho chafu🏃🏃🏃

    • @admerarobert3485
      @admerarobert3485 3 года назад

      Kaokolewa na YESU na ww kimbia huko uliko YESU ndiye njia na kweli na uzima.

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад +3

    Wewe ni mnafiki mkubwa Sana muongo. Mm nmesoma madrasa na sikuona ustadha wangu akisema ati Kuna siri katka uislamu. Hakuna siri katka uislamu. Muogope Allah. Km ustadh wako alikua mchawi hayo ni yenu. Km ulienda kwa ukrsto kwa njaa Zako. Wewe ni muongo. Njaa yakusumbua

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад +1

      @@blessedlovedandfavoured4129... Atadanganya wapumbavu km wewe

    • @somoeawadh7774
      @somoeawadh7774 3 года назад +1

      @@blessedlovedandfavoured4129 njaa mbaya my dear bora tu muache

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 3 года назад +1

      @@blessedlovedandfavoured4129 kabisa asituharibie dini huyu labdq huyo sheikh nayy lao lilikua moja wasisingizie uislam

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 3 года назад

      @@blessedlovedandfavoured4129 mejitu yahivi me nasukiaga hata uvivu kuifatilia

    • @kijahnikwelinyalinga1740
      @kijahnikwelinyalinga1740 3 года назад +1

      Nimuongo mi na mjua huyu kenge mkubwa jina lake ana itwa kagoma na utstaz alie mfundisha na mfahamu nimuongoo

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 2 года назад

    Mi napendaga sana kukuta story imeisha kbsa nachofanya ni kunext tu kama natazama movies za kikorea hakuna cha itaendelea wala nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥KWA KIFUPI NDO NAANZA KUICHEKI HII SIMULIZI LEO HAHAHAHAHAHAHAHAAHAH RAHA SANAAAAAAAAA

  • @kalssambaboo9932
    @kalssambaboo9932 3 года назад

    Ndug wa chessa nn mbona wanataka kufann

  • @mpandamohamedmsoke9722
    @mpandamohamedmsoke9722 3 года назад

    Atakusoma kwenyewe hajui anajifanya kasoma uchawi

    • @kamgomoli3650
      @kamgomoli3650 3 года назад

      Kwanini na wewe usitunge story tukusikilize if it is as simple as that? Udini ndio unaokusumbua km story haikuhusu kaa kimya!!!

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад

      Mapanda Mohamed. Asante kwa kuelewa mm nmemsikiza kwa Makin mpaka mwisho nikajua hata kusoma. Hajui. Ati amehifadhi juzuu 30.na kusoma hajui. Umemsikia vizur alivyoisoma AYATI QURSI.

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад

      @@kamgomoli3650... Wala mashonde km wewe ndio mtadanganywa

    • @kamgomoli3650
      @kamgomoli3650 3 года назад

      @@raiyaaaraiyaa6054 Basi tuambie ukweli unaojua ili na wewe tukusikilize.Dini ni hiari ya mtu, subiri siku ya mwisho ndo utajua km ulichokiamini ni sahihi au ulichochola.

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад

      @@benjathekingofficialshows.. Anae omoa ni Mwenyezi Mungu wala sio Yesu. Yes ni mtume km mitume wengine.

  • @mpandamohamedmsoke9722
    @mpandamohamedmsoke9722 3 года назад

    Huyu jamaa keshatolewa nishai mara nyingi tu lakini sababu ndio anatafuta ugali anafosi uyoo

    • @barnabasmajige8473
      @barnabasmajige8473 3 года назад

      Ww tulia tujue ukweli wa hayo majini hayo mambo ya ugari kamwmbie mkeo

    • @happnesmatende6271
      @happnesmatende6271 3 года назад

      Mpanda kamwulize ostaz Amiri ndugu yako,Mungu ni zaidi ya uisilam.hakuna maslahi kwa Mungu Bali useme ukweli maana ukweli unakuweka huru.

    • @mpandamohamedmsoke9722
      @mpandamohamedmsoke9722 3 года назад

      @@barnabasmajige8473 sasa mke wangu anaingia wapi hapa unaweza kuta watu wazima and dizaini yako ni wale walicheza na maisha ndio wanaingilia ata msg sio zao pumbavu

    • @barnabasmajige8473
      @barnabasmajige8473 3 года назад

      Msenge

    • @barnabasmajige8473
      @barnabasmajige8473 3 года назад

      Msenge

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 года назад

    🇰🇪🇸🇪⏰

  • @fatmamucha4419
    @fatmamucha4419 3 года назад

    Mussa chesa wa pil kafika

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 3 года назад

    Naogopaaaa😠

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Muoga huyoo🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️

    • @thumnathumna5946
      @thumnathumna5946 3 года назад

      @@pilimusa7770 acha kabisa. Usimuogope simba ogopa mtu karne imebadilika😀😀😀😀😀

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад +1

      @@thumnathumna5946 kabisaaa.

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      Polee

  • @mbwanaomary4504
    @mbwanaomary4504 3 года назад +2

    Namba moja