NJIA ZA KUKUPA FURAHA NA AMANI MAISHANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 486

  • @aishamaulidi4679
    @aishamaulidi4679 Год назад +5

    Nakupata nikiwa oman 🇴🇲
    Shukrani sana kwa mafunzo yako kwa kila unapoposti video mpya
    Mimi ni mmoja wa member wako
    Ubarikiwe zaid katika kipaji chako cha kutuelimisha jamii

  • @issaibrahim8796
    @issaibrahim8796 Год назад +18

    Jambo lingine ambalo linaweza kumfanya mtu kuwa na furaha na Amani ni kumtanguliza Mungu mbele kwa kila jambo hii itakufanya uwe ni mwingi wa kuridhika ktk kila unalolipitia na ukiwa na iman kwamba litakishwa ukiwa na spirit hiyo basi furaha uja yenyewe kwasbb unakuwa na Imani Mungu yupo na atakuongoza na kukusaidia.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Год назад +3

      Maa sha Allah...hivi hili sikulisema eeh. Nashukuru sana Kwa ukumbusho Al akhy, jambo kubwa zaidi hili.

    • @issaibrahim8796
      @issaibrahim8796 Год назад +3

      @@successpathnetwork Hili ulisahahu kuliweka bro Allah nikitulizo cha Nafsi pia nimefurah sana kuona umejibu comment yangu Baraka llahu fiika

    • @umruqayya9569
      @umruqayya9569 Год назад

      💯

    • @patrickdotto2136
      @patrickdotto2136 Год назад +1

      Hii ndio ninayoiishi yakumtegemea mungu na imenibadilishia sana maisha

    • @Thumaommy
      @Thumaommy Год назад

      Nfurah kuckia nasaha zako ..Allah akuzdshie ...much ❤4rom saudi

  • @arafaselemani5033
    @arafaselemani5033 Год назад +7

    Kumkumbuka mungu,ukiswali kwa ufahamu kuelewa unachokisema kwake na kujua yeye ndiyo kaumba kila kitu mfano bahari,milima vyote kwaajili yetu,tunavitumiaje lazima tuwe na afya na amani

  • @fatumaabdallah-ui7pj
    @fatumaabdallah-ui7pj Год назад +4

    Shukran brother from Mombasa ❤

  • @abshirohassen5
    @abshirohassen5 Год назад +7

    Huwezi amini, this page was one of the things ime treat my brain and life discipline. Asante Sana

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 Год назад +4

    Kuamini Mungu na kumtanguliza kwa kila jambo inasaidia kupunguza uzito wa jambo linalo kukosesha raha au stress so pia iyo ni njia nzuri sana ya kupunguza tress

  • @abshirohassen5
    @abshirohassen5 Год назад +2

    Yeah mm I am one of the people huwa napenda kutoa vitu ambavyo huwa vimenizidi "For help" Am blessed with that strength maana nikikaa na the hard thoughts huwa naumia sana.

  • @johnsonmerere3821
    @johnsonmerere3821 Год назад +3

    from Uganda🇺🇬

  • @karimurashidi3095
    @karimurashidi3095 Год назад

    Aisee ndugu Yako wa damu hapa Niko mtwara nakupata vizur sana kaka nimenufaika vitu vingi sana kutoka kwako mungu akujalie sana Yan katika wanafunzi wako waliofanikiwa angalau kidogo na mm nipo❤❤

  • @anamarymapunda6085
    @anamarymapunda6085 Год назад +2

    Asante naenda masomo yako

  • @muntanidham2314
    @muntanidham2314 9 месяцев назад +2

    Umesahau mungu pia lazima umfikirie kila asaaa utafurahi

  • @placidovintan6996
    @placidovintan6996 Год назад +2

    Mungu akubarriki- NJOMBE

  • @saidallykopa90
    @saidallykopa90 Год назад +2

    Asante sana ndugu yangu kwa kufanya kazi kubwa sana zaididi ya sana mimi nakufatilia sana na umekuwa mchango mkubwa sana kwangu mungu akubariki,mimi niko France

  • @chrismurithi155
    @chrismurithi155 Год назад +2

    Mungu abariki kazi yako, nakufuatilia nikiwa Nairobi

  • @JoyceHaule-v7t
    @JoyceHaule-v7t Год назад +2

    Ahsante sana jambo la nane fanya ibada

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 Год назад +2

    Mungu akubariki sana iringa

  • @SylviaCornelyBalemba-ne8ti
    @SylviaCornelyBalemba-ne8ti Год назад +2

    Nipo Dar, nakufuatilia sana bro, uko vzr sana, nifundishe na mm kujiamini

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Год назад +1

      Njoo What'sApp niandikie hiyo comment yako kule. Chukua namba kwenye description

  • @MakaraniSuleiman
    @MakaraniSuleiman Год назад +2

    Allah ndio kilakitu katika maisha ya mwanadam tuache aliyoyakataza na tufanye aliyoyaamrisha ukashikamana na ibada utakua na furaha na amani kubwa

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo 7 месяцев назад +1

    Mwanza ❤❤❤❤

  • @AroniMnyuda
    @AroniMnyuda Год назад +1

    Issa ally. Niko Singida shukuran ndugu na elimu unaoitoa, aah ukweli umenifungua mantiki sana. M, mungu akujalie afya na maarifa. p

  • @gidionherman4683
    @gidionherman4683 Год назад +2

    From ARUSHA, TANZANIA. THANK YOU.

  • @Ruthmpoa-sv9ul
    @Ruthmpoa-sv9ul Год назад +2

    From kenya, napenda funzo chako.asante sana

  • @MosesOtien0-y6i
    @MosesOtien0-y6i 3 месяца назад +1

    Asante sana ndugu am from Nairobi

  • @SamuelMaina-q4o
    @SamuelMaina-q4o Месяц назад

    Mungu akubariki zaidi ki

  • @SeliliaAlly
    @SeliliaAlly 8 месяцев назад +2

    Nipo mbeya❤🎉

  • @aishaafricanas7519
    @aishaafricanas7519 Год назад +1

    Asante san Burundi ❤🇧🇮🇧🇮

  • @shuaiblale8741
    @shuaiblale8741 Год назад +2

    Am from Kenya kaka nakupata vzr Alhamdulilah

  • @janviervenasi
    @janviervenasi Год назад +1

    Mwenyezi mungu akubariki kaka kutupa somo sahihi ubarikiwe naendeleya kufatiliya makala Yako

  • @SubiraUmmer-ds3sw
    @SubiraUmmer-ds3sw Год назад +2

    From Oman 🇴🇲

  • @WoindeNgusa
    @WoindeNgusa Год назад +1

    Mungu akubariki brother,nakufatilia kutoka masasi Mtwara

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 Год назад +2

    Nakupata Sanaa bro kutoka Tanga

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Год назад +2

    Kaka yangu mwenyezi Mungu akubariki ,Nakufatilia nikiwa Dubai 🤝

  • @safinaamutabi2843
    @safinaamutabi2843 Год назад +2

    Thanks listening from Kenya Nairobi

  • @oscarirankunda8269
    @oscarirankunda8269 Год назад +1

    Bujumbura Burundi napenda vdio zako Saaanta Mungu akubariki

  • @leilalusekelo153
    @leilalusekelo153 Год назад +2

    Makini sana kaka

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 Год назад +2

    Nakupata vizuri kutoka Arusha

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Год назад +2

    MUNGU AKUBARIKI umejibu comments nyingi sana,hii inaonesha ni jinsi gani unajali, hii inampa msikilizaji morality, next tm tutakua wengi zaidi,barikiwa kaka kwa kazi njema.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Год назад +3

      Nashukuru sana kwa kuona effort zinazofanyika. Karibu sana

  • @ikizakubuntukelvin5839
    @ikizakubuntukelvin5839 Год назад

    Nafurahi sana kutoka inchini German🇩🇪❤❤❤kusikia ushauri wako kaka

  • @aserymzava3868
    @aserymzava3868 Год назад +2

    Barikiwa kaka nipo Kilimanjaro

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 9 месяцев назад

    shukran sana

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz 6 месяцев назад +1

    Mwanza🎉🎉🎉

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe Год назад +1

    ❤Bahareen

  • @majidsudi2324
    @majidsudi2324 Год назад +1

    Kagera bukoba salute u brother!

  • @isamalmahrouqi8006
    @isamalmahrouqi8006 Год назад +3

    I am enjoying this sound from oman🇴🇲🇴🇲

  • @neemaemanuel7715
    @neemaemanuel7715 Год назад +1

    Mie natokea Zanzibar ahsante kwa kutuelimisha

  • @swalhaomar9963
    @swalhaomar9963 Год назад +1

    Listening from Kenya Mobasa

  • @SubiraHassan-m4n
    @SubiraHassan-m4n Год назад +1

    Zanzibar 🇹🇿 Allah akubariki

  • @munaali7718
    @munaali7718 Год назад +1

    From Netherlands 🇳🇱

  • @abshirohassen5
    @abshirohassen5 Год назад +2

    8. Smiling/ laughing pia is on among it.

  • @methodjasson2159
    @methodjasson2159 Год назад +1

    Hey man Ezden you made me to have a good day so well bro,I got u,Thanks

  • @cleopatraadolf6492
    @cleopatraadolf6492 Год назад +1

    Natazama video hii nikiwa kyerwa, kagera, nakuelewa sana kaka ezden

  • @martinmadimilo8593
    @martinmadimilo8593 Год назад +2

    Bro your the one among of my favourite influencer honesty

  • @jinalangu2606
    @jinalangu2606 Год назад +3

    From South Africa, Allah akuongoz vyema ktk juudi zako, ongera sana

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 11 месяцев назад

    Ni kwer kabsaaa ukifanya kitu chako mwenyewe unachokpenda utakuwa na Aman . Jambo mhm kuwa na Iman na Allah atakusaidia. Ukiwa na Yakin na Allah kila kitu kitaenda sawa Inshaallah

  • @FurahaMasha-q2o
    @FurahaMasha-q2o 5 месяцев назад

    Saudi Arabia from Kenya 🇰🇪

  • @MaikoGodfrey-xp9de
    @MaikoGodfrey-xp9de Год назад +2

    nawatazama kutoka chalnze kwakwer tunabalkiwa sana nakaz yako kaka

  • @MzeeMkoloni
    @MzeeMkoloni 9 месяцев назад

    Uko vizuri bro

  • @SarafinaSamwel
    @SarafinaSamwel Месяц назад

    Nipo Dar

  • @Boasmwale-on6gt
    @Boasmwale-on6gt Год назад +2

    Nawatakia nguvu kwasababu video zenu zinanijenga vizur kierimu nikiwa zambia Lusaka 🇿🇲

  • @djbonfigkby
    @djbonfigkby Год назад +2

    We love your content from, USA Texas

  • @MohamedOmary-s9n
    @MohamedOmary-s9n Год назад

    Mm niko somalia 🇸🇴Muqdisho .mm ni Mtanzania bro asante kwa kumuelimisha 💯🤝🙏

  • @LilianIsmail-os8kw
    @LilianIsmail-os8kw 3 месяца назад

    Mwanza nyegez🎉

  • @SrTinaVedaTibenda
    @SrTinaVedaTibenda Год назад +1

    Asante natazama tokea Italy

  • @aishahamis1609
    @aishahamis1609 Год назад +1

    Aslm alykm kaka , nakuangalia kutoka Omani asante sana

  • @anethchacha8860
    @anethchacha8860 Год назад +2

    Omani ❤❤

  • @JimmyWarom-b3b
    @JimmyWarom-b3b 2 месяца назад +1

    Drc Congo

  • @AbdullahSaid-xb8qn
    @AbdullahSaid-xb8qn 9 месяцев назад

    Ohhhhh kaka mungu akulinde xanaaaaaaa.......❤

  • @WilondjaPrince
    @WilondjaPrince 6 месяцев назад

    Congo kk

  • @feisalakbar4759
    @feisalakbar4759 11 месяцев назад

    Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla

  • @josephtheophilo9472
    @josephtheophilo9472 Год назад +1

    Geita

  • @zainabuzainabu4160
    @zainabuzainabu4160 Год назад +1

    Asalaam Aleykhum kaka shukrani nipo Omani

  • @castolkapanga3100
    @castolkapanga3100 Год назад

    Nimefurah

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Год назад +1

    Nakupenda Ezden 🎉

  • @AbdallahFahm
    @AbdallahFahm 10 месяцев назад

    Niko pemba upembani mashallah unaupiga mwingi

  • @Bertha-zw8fn
    @Bertha-zw8fn Год назад

    Somo zuri,, nimefaidika na soma hili nikiwa italia

  • @faqueabudo161
    @faqueabudo161 Год назад +1

    Moçambique 🎉

  • @jacklinekanini1213
    @jacklinekanini1213 4 дня назад

    Niko Saudi Arabia ❤❤

  • @victorvickyboy1865
    @victorvickyboy1865 4 месяца назад +1

    Kenya mombasa

  • @SrTinaVedaTibenda
    @SrTinaVedaTibenda Год назад +1

    From Italy

  • @yasminsalim291
    @yasminsalim291 Год назад +2

    Asalam Alaykum Nipo Hawasa Ethiopia

  • @Its_nathan_350.5
    @Its_nathan_350.5 Год назад +1

    3:35 I'm watching you my brother from, Bhago Majra_ INDIA

  • @BarisoChame
    @BarisoChame Год назад +1

    Asanti Sana buro

  • @ediissa9837
    @ediissa9837 Год назад +1

    Habari yako kaka mm nipo zanzibar

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 11 месяцев назад +1

    Kombolela,,,,nakumbuka utoto ila sawa

  • @mpendajrtz7460
    @mpendajrtz7460 Год назад +1

    Nakupata sana bro nikiwa DSM🇹🇿

  • @JosephineMassawe-ow2dv
    @JosephineMassawe-ow2dv Год назад +1

    nipo arusha

  • @RuthieNjeri-yp8hq
    @RuthieNjeri-yp8hq Год назад

    From Saudi Arabia

  • @fridolinribatiro4064
    @fridolinribatiro4064 Год назад +1

    Kutoka BURUNDI 🇧🇮 Nakufuatilia 5/5✍️

  • @gavvie-k4l
    @gavvie-k4l 4 месяца назад +2

    Mwanza

  • @andrewkatana7919
    @andrewkatana7919 Год назад

    Kenya Mombasa wattamu big up bro unanielimisha

  • @joachimlema
    @joachimlema 7 месяцев назад

    Nikweli ibada ni ya muhimu sana lakin Mungu kaweka maarifa kwa watu kwa ajili ya watu

  • @nasrahshabany-cr7ok
    @nasrahshabany-cr7ok Год назад +1

    am in dar es salaaam

  • @merishaolemepurda
    @merishaolemepurda Год назад

    Arusha juu.

  • @mrpath.6992
    @mrpath.6992 Год назад +1

    Us 🇺🇸 hapa na kukubali sana 🔥

  • @sarahsamson9362
    @sarahsamson9362 Год назад +1

    Asante 🇴🇲

  • @ZakariaHaji-j1h
    @ZakariaHaji-j1h 5 месяцев назад +1

    Nipo zanziber

  • @abdulrahimmushi8198
    @abdulrahimmushi8198 Год назад +3

    From moshi kilimanjaro

  • @NezaMerry434
    @NezaMerry434 Год назад +1

    Lakini kikubwa kuliko vyote ni kumtanguliza mungu na kusali toka Leo mpaka mwisho wangu navyo vinasaidia🙏🇷🇼

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +1

    Asante

  • @skullyk254
    @skullyk254 Год назад +1

    Nyeri Kenya 🇰🇪