EXCLUSIVE: EZDEN JUMANNE AFICHUA KUWA na WAKE WAWILI - "MSIMTIE UBAYA DIDAH, SIKULOGWA" I MAPITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • EXCLUSIVE: EZDEN JUMANNE AFICHUA KUWA na WAKE WAWILI - "MSIMTIE UBAYA DIDAH, SIKULOGWA" I MAPITO
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 49

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +3

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @Ayshalumuli
    @Ayshalumuli 9 месяцев назад

    MashaAllah Allah akulipe kwa nia yako kuhama kwa ajili ya Deen❤

  • @djumakarim8274
    @djumakarim8274 Год назад

    Kaka big up sn mungu akupe mwisho mwema na pia akupe Afya njema yakuendelea kutupa vipindi vizuri kwenye jami

  • @VeeVeronica-fz8bp
    @VeeVeronica-fz8bp Год назад +2

    Huyu jamaa ana roho nzuri sana . Achana na mbele ya kamera, hajifanyishi ni MTU safi hata ktk maisha ya kawaida.

    • @eliazere
      @eliazere 10 месяцев назад

      Yeah kweli kbs

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 Год назад +2

    Mashaallah Allah akutangulie Inshaallah

  • @mrsab303
    @mrsab303 Год назад +2

    MashaAllah Allah make easy for you ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @fatmaameer5333
    @fatmaameer5333 Год назад +1

    Brother uko vizuri halafu huna majivuno

  • @SHECK177
    @SHECK177 Год назад

    Maa sha Allah, he is so fine

  • @leoncealex7343
    @leoncealex7343 Год назад

    Ezden nampenda saana!! Kwa maigizo ya gafra katika kuongea , year !! Kipaji kipo hapa!! Kweli

  • @salmoomorefeelingproductio1744
    @salmoomorefeelingproductio1744 Год назад +2

    Mungu akujaalie EZdEN,mimi ni salmoo nimsanii uliwahi nisaport ukiwa kiss fm,kwa sasa nami nimebreak kwa sababu za kiimani kama ulivyo wewe,ninastudio ila nitaanza kurekodi muziki wa jamii wenye faida na si kupotosha na matusi,

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 Год назад +3

      Hakuna mziki wenye faida akhy mziki ni kharam kwa namna yyte ala za muziki ni kharam fuatilia kwa makin kwa masheikh wakubwa wenye elimu ya kutosha sio watu wa madufu, tafuta ambacho kina faida dunian na akhera, tumuombe Allah atuongoze njia iliyonyooka

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي Год назад

    Mashaallah, huyu kaka anaeleweka anachoongea tunajifunza kwakweli

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 Год назад

    Hiii pia imenijenga Sana Sanaa

  • @felistersmejumaa
    @felistersmejumaa Год назад

    Mashallah Jamaa mzuri kweli

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Год назад

    Edzen upo vizur balaaa

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 Год назад

    Thanks my brother

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад +1

    Mtangazaji swiiii habbari yote ameimaliza ezden haha wewe unatishaa tunakushukuru sana juma nne unaelimisha sana

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Год назад +7

    Nikweli ukisha fikisha miaka 40 akili ndio Zina komaaa zaidi hata kimaendeleo

    • @angellugendo3373
      @angellugendo3373 Год назад +1

      Kwa kwel😀😀😀😀😀😀

    • @shabanibussara8454
      @shabanibussara8454 Год назад +1

      Hata Mwenyezi Mungu Huleta mvua kwa 7bu ya makundi mawili (i) Wanyama - kwa ajili ya malisho na maji (ii) Watu wenye umri kuanzia miaka 40
      Mwenyezi Mungu Ndiye Mjuzi zaidi

    • @pendo8082
      @pendo8082 Год назад

      Yan mm nilipo fika 25 akili ilikua kubwa

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Год назад

    Wee mtangazaji muongo Sana.

  • @christinenere1790
    @christinenere1790 Год назад +1

    Kwakweli unaongea eeh 😊

  • @fatmaameer5333
    @fatmaameer5333 Год назад

    Huyu mtangazaji naye hajui kuuliza maswali

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Год назад

    Mtu handsome

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +2

    Duh 🥺 kumbe Ezden aliwahi kuwa mume wa didah Duh Mungu atunusuru

    • @deboramartin8111
      @deboramartin8111 Год назад +2

      Huyu ndie aliezaa na dida mtoto mmoja samira

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Год назад +1

      @@deboramartin8111 mbona mitandaoni wanasema huyu niwa 3 duh Mungu atukinge

    • @deboramartin8111
      @deboramartin8111 Год назад

      @@khadidjasuleiman8006 dida ameolewa mala nne huyu ni wa kwanza baba samira kwa jina kamilo mchopsi

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Год назад

      @@deboramartin8111 mungu anilinde na kuachika achika🥺🥺

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Год назад +5

      ​​​@@deboramartin8111 Acha uongo dada kucomment usichokijua na Mchops nae kazaa nae mtoto gani loh 🤣🤣🤣
      Ndoa ya ķwanza ni Baba yake Samira Kuna Dida wa Mchops
      Kuna Dida wa G
      Kuna Dida wa Ezdon Mkisi
      Mwisho Dida wa Kumbi la Moto
      Haya mama mliozaliwa juzi muulize msikurupuke kujibu msivyovijua