NJIA ANAZO TUMIA MUNGU KUKUTOA MATIZONI - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 68

  • @ZeneymavoiceVoice
    @ZeneymavoiceVoice 6 месяцев назад +2

    Nimekuelewa Mr definition yanii!! Kama umetumwa na mungu vile!! Ubarikiwe Zaid ya hapo mwalimu mungu akutunze sana

  • @RichardSanga-y6y
    @RichardSanga-y6y Год назад +7

    Perfect said...Kupitia hii na mimi nimejifunza kitu kwan kunamuda naphtha change changamoto ila najikuta changamoto zinajitatua zenyewe Sitaaacha kufatilia nakala zako

  • @UshuhudaKadehe-fb6mg
    @UshuhudaKadehe-fb6mg Год назад +1

    Kaka Joel n MDA mreef Sasa tangu nikufuatilie na natamani as my future nije niwe was level zako kakangu japo Vita yangu naiona kuwa n kubwa Kaka lkn naona heri nikose vingine ving lkn nifike ulipo Kaka. N taarifa tu kka na kuthibitisha hili naomba hili jina Lang licopy sehem nnauhakika utakuja kuniona hata kuniskia baada ya miaka5 mbele. But jua Kuna mtu sehem anataman kuwa Kama WW future. By USHUHUDA ALPHONCE KADEHE . See you at the top.

  • @macksemuyango6108
    @macksemuyango6108 Год назад

    Hakika kweli kabisa nami pia nimepitia na bado napitia,,,,,, hakika unaendelea kugusa maisha ya watu wengi haswa haswa mimi MACK SEMUYANGO RAPHAEL,,,,,umeendelea kugusa maisha yangu na umekuwa mfariji wangu katika maisha na biashara zangu,,,,, MUNGU AKULINDE WEWE NA FAMILIA YAKO!!!!

  • @FELISTERPETER-jf9jv
    @FELISTERPETER-jf9jv Год назад

    Asante Sana Joel nimepata mafanikio Kwa kupitia mafunzo yako.Mungu azidi kukuongoza.

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 Год назад

    Nilikuwa naamini kuwa changamoto mtu atakayopitia anauwezo nayo. ❤

  • @FrankHastrida
    @FrankHastrida Год назад

    Asante sana kaka Wewe ni nguzo ya taifa letu Kwa wale wanaokufuatilia naamini Kila mtu anapokea Kwa namna yake.

  • @langemwepesi
    @langemwepesi 10 месяцев назад

    Nanauka kama joel kila nikimskiza huyu mwamba anajua❤

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Год назад

    Asante san Broo Mungu akubariki sana Aisee maarifa yako yamenijenga sana yan nimefanyia kazi mafundisho yako kila siku napata matokeo makubwa sana Aisee broo kusudi lako linagusa sana maisha yetu Mungu azidi kukubariki sana sana🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️

  • @salmamasood2524
    @salmamasood2524 Год назад

    Asante sana brother Joel mungu kakupa kipaji kama zawadi yetu ushauri wako mzuri tunaomba kufaulu kupitia kwako

  • @sadamofficialtz
    @sadamofficialtz 6 месяцев назад +1

    Ni kweli kabisa JOEL

  • @PaulMalyosi
    @PaulMalyosi Год назад

    Najifunza mengi kupitia wewe kiukweli imebadili hata mtazamo wangu kimaisha, kimahusiano nk Mungu aendelee kukupa maarifa zaidi ya kutuelimisha

  • @janetmbwana553
    @janetmbwana553 5 месяцев назад

    🙏🙏🙏 kwakweli

  • @JoyceMathias-st5xp
    @JoyceMathias-st5xp 3 месяца назад

    Ubarikiwe bro

  • @avirakaguna4593
    @avirakaguna4593 Год назад +1

    Blessings 🙏

  • @ummkolthumkoalthum3271
    @ummkolthumkoalthum3271 Год назад

    HII ni kweli kabisa Nina Ushuhuda anachokisema hajakosea❤

  • @CheedyMgonja-z1m
    @CheedyMgonja-z1m Год назад +1

    Kila jambo ni mipango ya mungu

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 Год назад

    Kaka hongera snaa na ahsante kwakutupa njia yakuweza kufanya mambo makubwa zaid big up sanaa

  • @mwanakheri169
    @mwanakheri169 Год назад +1

    Perfect said 👏

  • @FarajaKusipa
    @FarajaKusipa 11 месяцев назад

    Im blessed

  • @FarajaKusipa
    @FarajaKusipa 11 месяцев назад

    Im blessed

  • @SimonDaudi-v1g
    @SimonDaudi-v1g Год назад +1

    Safi ufafa nuziwako

  • @allysaleh9263
    @allysaleh9263 Год назад

    Kaka Joel uko vzr mungu akusimamie

  • @rahmahussein.5635
    @rahmahussein.5635 Год назад +3

    You talk that right brother..may God help us all..🙏❤️

  • @BarakaMwantengule
    @BarakaMwantengule Год назад

    Nikweli kaka asante kwa ushauri wako ni muhimu kuliko kuendelea kuwaeleza watu tunajifunza tu kwenye cm

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 11 месяцев назад

    Na shukuru sana kwa hilo

  • @BinthamoudAlmauly-fd6cx
    @BinthamoudAlmauly-fd6cx Год назад +1

    Shukran....

  • @ridhiwnmuhidin
    @ridhiwnmuhidin Год назад

    Ahsante sana brother nimejifunza shukran sana

  • @mohamedkudura8114
    @mohamedkudura8114 Год назад

    Shukran Allah bless you

  • @nanotosimon7921
    @nanotosimon7921 Год назад

    Mungu akubariki sikuzote

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago6223 Год назад

    Sijawahi kukosea kuangalia clip zako kila mara naongeza kitu kichwan mwangu, see you at the Top

  • @marryallan716
    @marryallan716 Год назад

    God bless you brother

  • @MariamuChidaga-bp1rr
    @MariamuChidaga-bp1rr Год назад

    Ni kwel kaka ang

  • @Matilda-x2w
    @Matilda-x2w Год назад

    So blessed ❤

  • @neemakimaro6871
    @neemakimaro6871 Год назад

    Asante sana Kwa neno

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo7090 2 месяца назад

    Asante sana

  • @francoiskasangala
    @francoiskasangala 6 месяцев назад

    amen kaka

  • @hellyfridy
    @hellyfridy 11 месяцев назад

    Amen

  • @jumananamwa3104
    @jumananamwa3104 Год назад

    Unatisha mkuu hongera

  • @HeriethSylvester-dm3nb
    @HeriethSylvester-dm3nb Год назад

    Ahsante kaka 🙏

  • @samwelmsemwa-w5y
    @samwelmsemwa-w5y Год назад

    Be blessed

  • @GODFREYNDABATEZE-vn9fn
    @GODFREYNDABATEZE-vn9fn 5 месяцев назад

    See you at the top

  • @warrenmuller128
    @warrenmuller128 Год назад

    Imenigusa sana

  • @eliamartine4720
    @eliamartine4720 Год назад +1

    Natama kila mtu asikie hii wengine wamepotea kwa kuto kutambua hili

  • @ezekiamahenge6519
    @ezekiamahenge6519 Год назад

    Nikweli kaka

  • @angelnjunwa1964
    @angelnjunwa1964 6 месяцев назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @JoelyMwakalukwa
    @JoelyMwakalukwa Год назад

    Amen.

  • @pmabatimsouthtraders105
    @pmabatimsouthtraders105 Год назад

    Be blessed

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 11 месяцев назад

    Za.leomkaka. mimi ninaomba kuwa nanunua video za semina zako. Maana niko nje ya tanzania sasa kuna semina huwa unafundisha sehemu mbalimbali ila.unpost video fupi. Kuna mengi nina miss

  • @JWanted-vf1en
    @JWanted-vf1en 7 месяцев назад

    Nikwer kabis😂😂

  • @mirajikombo5413
    @mirajikombo5413 Год назад

    Imenigusa Mno Kiongozi
    See you at the top!

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Год назад

    UBARIKIWE

  • @GodfreyButiku
    @GodfreyButiku Год назад

    Asante 🙏

  • @beatriceresiato3308
    @beatriceresiato3308 Год назад

    Perfect

  • @bushambalvenasbushambal-ot3eh
    @bushambalvenasbushambal-ot3eh Год назад

    iyo kweli kaka

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад

    Asante sana

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Год назад

    Kabisa

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 Год назад

    Thanks

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 Год назад

    Amen

  • @zephaniahnkombe1607
    @zephaniahnkombe1607 Год назад

    Amen

  • @Mr.Nyingi
    @Mr.Nyingi Год назад

    Amen🙏

  • @robbyman6213
    @robbyman6213 Год назад

    Amen

  • @Saidmarez
    @Saidmarez Год назад

    Thanks

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    🙌🏿🙌🏿

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed6687 Год назад

    Hakika