MNARA WA 5G WAMCHANGANYA AKILI OMMY DIMPOZ MBELE YA GSM/AMUIMBIA WIMBO WA HERI YA KUZALIWA LIVE.
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Leo tarehe Novemba 19 ni kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa ya Rais wa GSM Group of Companies pamoja na Mwekezaji wa Yanga, Ghalib Said Mohamed katika ukumbi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road Dar es salaam.
Mpenja Tv tunakuletea mfululizo wa matukio yote muhimu katika tukio hili kubwa.
HBD BOSS KUBWA WA GSM&YANGA Sc. ISHI TU BABA HUNA BAYA WEWE🍼🎂🍽🍾🍻
Happy birthday GSM 🎉🎉🎉mwenyezimungu akupe maisha marefu yenye afya njema na furaha Aamiin 🙏
Mola akupebaraka zaidi Mr ghalib
Jamaa ni tajiri ila yupo simple sn
Happy Birth Day GSM Mungu akujalie maisha marefu
Happy birthday 🎉🎉 mungu akupe maisha marefu
Ongera sana GSM,unajua kurudisha kwa jamii. Mungu aendelee kukubariki
MASHAALLAH.
ALLAH akuzidishie palipo punguza.
Hbd GSM
Kla la kher GSM "
Hbd boss
Ommy dimpoz anamaumivu ya gori 5
Yani yanga Sasa tuna watu hadi raha nikikumbuka tulikotoka. Yanga ya bakuli. Ni jambo la kumshukuru mungu
Happy birthday Boss 🎂 🥳 🎉 🎈
Happy birthday 🎂 mr ghalib
Ibalikiwe na bwana GSM,amen
Tutafute pesa jaman
Happy Birthday boss
Miaka buku mungu twamuomba akupe huna baya
Mamae boss wa mpira ndio huyu sasa nisikie ubishi tena kibao 😏😏😏
Wallec anafanya nn hapo huyo
Kwahiyo kati ya hao niyupi aliyemuweka ndani mtoto wa mzee nyembo?
😂😂😂😂😂😂 yanga bingwa🎉🎉🎉🎉🎉😅😅
huyo karia wa nn hapo
Ommy vp maumivu bado
Wallece kalia anafanya nn hapo mchaw tu
😂😂🔥
Hbd GSM