Salama Na OMMY DIMPOZ SE6 EP31 | ELEGANT PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
HTML-код
- Опубликовано: 21 авг 2022
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kama kukiwa kuna mkutano wa Chama cha Watanashati hapa Africa na pengine Duniani basi Ommy Dimpoz anaweza kuwa mmoja wa viongozi wa juu kabisa wa Chama hiko na pengine anaweza kuwa hata Mwenyekiti. Hakuna swali juu ya utanashati wake kuanzia vivazi hadi nywele na hata kuongea. Anakumbuka utanashati wake ulianza toka alipokua mdogo sana, na wakati anakua si kama kila kitu alichokua anakitaka alikua anakipata ila alihakikisha vile vile vichache alivyokua navyo alihakikisha vinakua visaaafi na vinamkaa kweli kweli. Na tabia hiyo ya kujipenda na kuvaa vizuri ndo inamtambulisha Ommy Dimpoz kuwa ni mmoja wa wasanii wanaovaa vizuri zaidi hapa barani Afrika.
Omary amekua analelewa na Bibi yake baada ya Mama yake kufariki akiwa mdogo. Anakumbuka mapenzi ambayo amekua akimuonyesha toka zamani, ni kweli kama mtoto lazima utakua unamkumbuka Mama yako, ila Bibi yake alihakikisha anapata vile vyote ambavyo mtoto anakua anahitaji.
Mimi na Omary ni mtu na Rafiki yake kwahiyo mazungumzo haya zaidi yalikua ni kwaajili yako, uweze kumuelewa na kuifahamu milima na mabonde ambayo ameyapitia mpaka leo hii unamuona kasimama imara.
Kama mtoto siku zote unakua unataka kumjua Baba yako na haikua tofauti kwa Ommy pia. Shuleni watoto huitwa na wazazi wao, ukiwaona wenzako wanawaleta Baba zao na wewe hujawahi kumuona au pengine ni kwa nadra sana lazima likutie unyonge. Anakumbuka Mama yake alivyofariki na jinsi ambavyo Mzee wake alikata mawasiliano ki lazima kabisa, anakumbuka kwamba Mzee wake tayari alikua na familia nyengine lakini kama mtoto anaamini na yeye pia alikua na haki ya kupata mapenzi hata kidogo tu kutoka kwake.
Miaka ya hivi karibuni Mzee wake ameonekana kuutaka ukaribu nae kwa kasi kubwa sana ila kwa Omary huo umekua kama mtihani hivi, ana kinyongo nae bado na anaamini kwamba Mzee wake anataka kuwa karibu na yeye kwasababu tu ameona mwanae amekua maarufu na pengine anaonekana mambo yake mazuri. Hapo ndo panapo mtatiza yeye maana anaamini huo si upendo wa dhati, na hiyo ni sababu ya yeye kuendelea na maisha yake bila ya Baba yake. Pengine kuna siku itafika wawili hawa wataacha tofauti zao zipite na pengine watafahamiana vizuri na kuyafanya mahusiano kama Baba na mwana yastawi.
Pia tunafahamu kwamba miaka miwili na nusu au mitatu iliyopita Ommy aliumwa sana, na baadhi ya watu walithubutu kusema pengine hata kuimba inaweza isiwezekane tena ila kwa Rehma za Mwenyezi Mungu alimponya na kazi yake ya muziki anaendelea kuifanya kama kawaida. Nimekua nikispend nae muda mwingi kipindi ambacho tumekua tukifanya Bongo Star Search msimu wa kumi na mbili mimi na yeye, na kwasababu tumekua tukifahamiana kwa muda nimemuona kabisa hayuko 100% ila mimi na yeye tunamshkuru Mungu kwa hali alonayo sasa maana mitihani aliyopitia ni mingi sana. Haya maisha ambayo anaishi sasa ni zawadi kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na hatuna budi kumshukuru yeye kwa kumpa watu kwenye maisha yake ambao walihakikisha anapata matibabu yote ya hali ya juu ili maisha yake yaweze kurudi kama zamani.
Huku hilo hatukulizungumzia sana maana limeshaongelewa sana, ila tume ongea suala la ukuaji wake na mahusioano yake na familia. Urafiki wake na TID na jinsi walivyokutana. Urafiki wake na Ally Kiba, maisha yake ya shuleni na jinsi alivyokua. Urafiki wake na Diamond Platnumz na nini kilitokea kati yao. Muziki wa kizazi kipya na faida ambazo watu wana pata sasa na mahusiano yake na Chriatine ‘Seven’ Mosha na nini ambacho kimemfanya yeye afanye nae kazi. Pia tumezungumzia kutofahamiana kwake na meneja wa Diamond Platnumz Bwana Sallam Sharaff na Ommy emetuambia pia wawili hao maneno hasa yalianza kutoka wapi.
Yangu matumaini uta enjoy maongezi haya na utaokota mawili matatu pia ambayo yatakusaidia kwenye maisha yako ili mambo yazidi kuwa mswano.
Tafadhali Enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Развлечения
😂😂😂😂😂😂 nilivyoona tuu salama na ommy nilijua leo nikuchekaaa saana na kujifunza saanaaa one love ❤️ salama❤️❤️❤️❤️❤️
One thing Salama Gonna do is keep her Notes!!!
Salama thanks so much for inviting him actually he is a very nice guy very handsome and Ana kaa mpele na heshima zaka ata the way he talks he is very polite person I like him so much he is one of celebrities na mkubali sana👌🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰❤️♥️💋🌹🌹❤️♥️🥰🥰
Salama naomba siku moja umhoji joel nanauka motivational speaker 🔊 👏
Hapo hata me nakuunga mkono tutapata mengi sana ya muhimu
😂🤣🤣🤣 Omi anazingua sana ujue
The best podcast in East Africa, no cap. Salute 😊
Mungu nimwema Sana nimeuona ukuu waMungu kupitia Ommy nakuombea usimuache Mungu endelea kumuamini kila siku nakumtumikia
Rockeeee
Nakuona bwana LAVEES
Hiyo juice ya baridi vipi nawe una tatizo la Koo?!
Hiyo ya Pele v Neymar.. binafsi naona tofauti .. Pele alifanya yale maajabu kwenye mfumo duni; ingekua sasa hivi, with all stuff related to soccer, angekua even better .. way better than Neymar
Salama naomba ombi moja.. naomba umlete Joel Arthur Nanauka.. mwandishi na mhamasishaji, anamengi ya kutujuza... Much love..
Afi.. from Spain 🌻
Ni yeyeeeeee watoto wadogoooo hahahahaha napenda sana vibweka vya T.I.D
For sure salama muda hautoshiiiiii..............tuongezee muda wa interview jmn...we need moreeeee
Ommy Dimpos much love from Kenya
Salama Binti Jabir Show Zako Hazijawahi niangusha Big Up Kila Hatua Zaidi#Bigup
Shangazi naomba mlete na p funk majani
Kweli nimeanza ku kupenda kupitia nai nai 😍 na mpaka leo iko kati ya nyimbo zangu pendwa duniani🤗🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Salama na haujawahi niangusha big up sana madam 👊👊👏
Salama fight basi tuwe tunakuona na Azam kipindi chako ni kizur sana
Mungu Amrehemu "napenda sana Salama anavojali"
nimpendae
Watching from Seychelles
mlete nanauka
More appreciation to you salama....
*Dimpoz* umenichekesha😀😀😀, na kutembea pia nikujifunza
Great interview salama from zanzibar
Salama ni mmoja
Kipindi kizurii sana🇹🇿❤
🤩🤩🙏🏻
Napenda sana kipindindi chako I love you Salama
Pozi kwa pozi
🌟
mchiz ana unyama
💯
My favourite ❤ yahstone town
Mlete abby chams
🤣🤣🤣🤣🤣 ati Testar 😉❤ 🇹🇿🇨🇭
Swali la Neymar na Pele. Ommy kali jibu kisomi naki technical zaidi… safi. Exposure nzuri.. angekua mwingine hapo ange leta tantalita nyiiingiii.
I SEE THAT OMMYDIMPOZ IS IN BIG RISK OF HIS HEALTH.
I DONT DEE HIM IS IN GOOD CONDITION
🔥🔥🔥
Mlete nanauka
Is true this is interview Doctar dre alihangaika
salama tuongeze muda
🚀
Ana jua kuimba ila sio mwandishi mzuri
Uko vzr sana dada, dada, Yesu anakupenda sana na anakuita uje kwake
😮😮😮
napenda sana vipindi chako sana watching from Qatar Doha nakubali sana
Jah bress you mungu akubaliki
huko pande gani Fatma...mm niko Wakra
Kwangu Pia From Doha
@@stevewanga957 mi niko umm salal Muhammad Al kheesa
Mambo vp
Ommy akili kubwa.
Ommy dimpoz guy never disappoint
🤣🤣🤣🤣🤣
Ommy😅😅😅🤣🤣🤣
dimpoz hiyo album unaanda miaka sita 😂😂
Kipindi nikizuri
uyu demu mzuri mashaallah, nipeni number plz nitowe mahari kwa uyu mtoto wakizanzibar💙💙
Maliza kwenye lipa namba hapo juu tukale pilau mwanangu
Ommy dimpoz aliposema diamond ananunuwa views diamond alipanic nakumtuka ommy matusi ya laana but ommy twajuwa kuwa ulikuwa unatetea mziki wa tanzania na east African one day watu wengi watakupa respect unayo deserves huyo diamond ni mwizi wa views na subscribers feki ni times ya basata kumwita huyu mwizi maana anakandamiza wanamziki watanzania na east African yeye mondi anajibostia views wamilioni 50,00000+ karibu kila video na wasanii wake anawabostia 20,000000 na hizo views humpelekea apate nomination kwenye awards za nje ya nchi na kualikwa kwenye vile vitamasha lkn shows zake huko London or marekani anaparfome kwenye kitchen party kama harmonize.
Usikubali kubebeshwa chuki, chuki maisha yote humiathiri mtu aliokuwa nayo
Kwanini diamond akipata views kidogo hausemi kitu,akipata nying kanunua, akikosa tunzo husem kitu,akipata nyingi kanunua, akijaza show show sio yake,
Mungu amempa diamond na nafas yake anaitumia vizuur
Punguza chuki
NB Jambo lolote unaloliona linakuletea maslahi kwa maisha yako basi lifanye
Kama kweli anafanya hivo kwa kuona maslahi basi mwache afanye na hao wengine kama wanataka kufanya basi wafanye
@@saidjumasaid3924 sasa wewe brother una IQ ngapi ? Maana haujiulizi huyo mondi ana views kuliko burna boy, wizkid, davido hata uwaunganishe watatu hawamfiki kwa views na kama hiyo haiku surprised anampita hata Kanye West kwa views 😀 but show zake huko marekani na London anaparfome kwenye kitchen party lkn hao wenye views na subscribers kidogo wanaparfome kwenye o2 arena London siku 3 mfululizo watu 20,000 tena tickets dakika 2 zishaisha, na unaposema wasanii wengine wanunue nao ! are you serious? Au unajipumbaza? Wasanii watanzania wengi kupata ile pesa ya kushoot video ni tabu alafu umwambie atoe pesa nyengine ya kuboost views ili nyimbo na video yake iyonekane imeenda mjini! Suluhisho ni hao wizi wa views wakatazwe kuiba.
@@user-sp3gg7id8q huna kingine zaid ya chuki kaka
Hicho sio kipimo cha kusema kuwa ananunua views
Hoja hizi ndio unajiona una IQ kubwa
Hizi hata mtoto mdogo anakujibu ati
🤣🤣
Kipindi nikizuri