SAM SIMBA ACHAFUKWA SARE YA TAIFA STARS KWA ETHIOPIA/KOCHA KATUFELISHA/MSUVA ANGEMUITA TU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #azizki #hersisaid #mayele #yangaleo #alikamwe #live_ #yangasc #yanga #yangatv #msuva

Комментарии • 21

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 11 дней назад +2

    UYOKOCHA AFUKUZWE ASILETE UBAGUZI KWENYE MPIRA WA KIMATAIFA TUNATAKA USHINDI TFF IMUONDOWE HUYO KOCHA AWE KOCHA MSAIDIZI

  • @rajenderrobert8605
    @rajenderrobert8605 11 дней назад +1

    Christiano Ronaldo ana miaka 40 kacheza Euro Mwaka huu

  • @MigaboJohn
    @MigaboJohn 10 дней назад

    Kwan Hamed moloko n wawapi?

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132 11 дней назад

    Timu ni nzuri TU ni ujinga WA makocha upangaji WA timu WA hovyo huwezi kutest wajomba zako ktk mechi tuache kumungunya maneno hawafai waachie ujinga

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 10 дней назад

    Tff wajitahidi michezo kama hii ichezwe saa kumi ili mashabiki wengi waingie.

  • @masanjanyaga7722
    @masanjanyaga7722 11 дней назад

    Hii tim wangempa Mgunda

  • @oswardmsigwa5728
    @oswardmsigwa5728 10 дней назад

    Huyu kocha anatakiwa afukuzwe na kuchapwa viboko hadharan kwa upuuzi alioufanya

  • @HASSANABDALLA-uw2ui
    @HASSANABDALLA-uw2ui 10 дней назад

    Kama moroco hafai basi tuchagulie kocha mpya unayeona atatupa ushindi

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 11 дней назад

    Hamna kocha hapo kabisaaaa

  • @user-ro9zj8qe6b
    @user-ro9zj8qe6b 11 дней назад

    Kocha atembee mbele jmn hamna kocha

  • @IddyyFumbwe
    @IddyyFumbwe 11 дней назад +1

    TUNATAKA USHINDI KOCHA ANATUPANGIA MABEKI, TUNGESHINDAJE!

  • @HadijaBatoni
    @HadijaBatoni 11 дней назад

    Hakuna kocha

  • @IssaNdelwa-pz3zl
    @IssaNdelwa-pz3zl 11 дней назад

    Hatuji tena

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 11 дней назад

      😂😂😂😂😂...unasusia timu ya taifa...kama vipi na wewe pasha uingie uwanjani 😂😂😂😂

  • @dismanManota
    @dismanManota 11 дней назад

    Tushafeli hakuna kitu tuelezane tu ukweli

  • @allyuchebe8451
    @allyuchebe8451 11 дней назад

    Acha uongo ,Ethiopia wamepaki basi wapi

  • @thobiasluge9391
    @thobiasluge9391 11 дней назад

    Moroko uwezo mdogo

  • @wazirimagayuka9681
    @wazirimagayuka9681 11 дней назад

    Kwani Mgunda akuwepo? aliisadia nini timu?

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 10 дней назад

      We matako ya bibi yako huyu Mgunda sio kocha mkuu, mwamzi wa kikosi ni kocha mkuu moroco

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian 11 дней назад

    Timu angepewa mgunda tu

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 11 дней назад

    Tmu nzma mabeki hakuna koch'a hapa