Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
UYOKOCHA AFUKUZWE ASILETE UBAGUZI KWENYE MPIRA WA KIMATAIFA TUNATAKA USHINDI TFF IMUONDOWE HUYO KOCHA AWE KOCHA MSAIDIZI
Christiano Ronaldo ana miaka 40 kacheza Euro Mwaka huu
Kwan Hamed moloko n wawapi?
Timu ni nzuri TU ni ujinga WA makocha upangaji WA timu WA hovyo huwezi kutest wajomba zako ktk mechi tuache kumungunya maneno hawafai waachie ujinga
Tff wajitahidi michezo kama hii ichezwe saa kumi ili mashabiki wengi waingie.
Hii tim wangempa Mgunda
Huyu kocha anatakiwa afukuzwe na kuchapwa viboko hadharan kwa upuuzi alioufanya
Kama moroco hafai basi tuchagulie kocha mpya unayeona atatupa ushindi
Hamna kocha hapo kabisaaaa
Kocha atembee mbele jmn hamna kocha
TUNATAKA USHINDI KOCHA ANATUPANGIA MABEKI, TUNGESHINDAJE!
Hakuna kocha
Hatuji tena
😂😂😂😂😂...unasusia timu ya taifa...kama vipi na wewe pasha uingie uwanjani 😂😂😂😂
Tushafeli hakuna kitu tuelezane tu ukweli
Acha uongo ,Ethiopia wamepaki basi wapi
Moroko uwezo mdogo
Kwani Mgunda akuwepo? aliisadia nini timu?
We matako ya bibi yako huyu Mgunda sio kocha mkuu, mwamzi wa kikosi ni kocha mkuu moroco
Timu angepewa mgunda tu
Tmu nzma mabeki hakuna koch'a hapa
UYOKOCHA AFUKUZWE ASILETE UBAGUZI KWENYE MPIRA WA KIMATAIFA TUNATAKA USHINDI TFF IMUONDOWE HUYO KOCHA AWE KOCHA MSAIDIZI
Christiano Ronaldo ana miaka 40 kacheza Euro Mwaka huu
Kwan Hamed moloko n wawapi?
Timu ni nzuri TU ni ujinga WA makocha upangaji WA timu WA hovyo huwezi kutest wajomba zako ktk mechi tuache kumungunya maneno hawafai waachie ujinga
Tff wajitahidi michezo kama hii ichezwe saa kumi ili mashabiki wengi waingie.
Hii tim wangempa Mgunda
Huyu kocha anatakiwa afukuzwe na kuchapwa viboko hadharan kwa upuuzi alioufanya
Kama moroco hafai basi tuchagulie kocha mpya unayeona atatupa ushindi
Hamna kocha hapo kabisaaaa
Kocha atembee mbele jmn hamna kocha
TUNATAKA USHINDI KOCHA ANATUPANGIA MABEKI, TUNGESHINDAJE!
Hakuna kocha
Hatuji tena
😂😂😂😂😂...unasusia timu ya taifa...kama vipi na wewe pasha uingie uwanjani 😂😂😂😂
Tushafeli hakuna kitu tuelezane tu ukweli
Acha uongo ,Ethiopia wamepaki basi wapi
Moroko uwezo mdogo
Kwani Mgunda akuwepo? aliisadia nini timu?
We matako ya bibi yako huyu Mgunda sio kocha mkuu, mwamzi wa kikosi ni kocha mkuu moroco
Timu angepewa mgunda tu
Tmu nzma mabeki hakuna koch'a hapa