Epuka Aina Hizi Za Marafiki Kama Kweli Unataka Kufanikiwa Katika Maisha.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #JoelNanauka #LilianMwasha #Marafiki

Комментарии • 156

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 4 года назад +10

    Kiukweli aina hii ya marafiki imenigusa mno maumivu ya moyon mwangu nilosababishiwa na aina hii, naomba no.kwa ushauri zaidi.Pia hongera kwa kutoa huduma hii.

  • @radiIbrahimnuhu
    @radiIbrahimnuhu 4 года назад +1

    Tazama historia ya mwanajeshi aliyedai kukutana na Mungu...alipigwa risasi 27 na kuendelea kupigana....bofya link 👇🏾ruclips.net/video/3q3bDAqT460/видео.html

  • @rajabualbert1491
    @rajabualbert1491 4 года назад +4

    Kaka Uko sawa kabisa ila huyo Dada mbona hakupi muda wa kuongea anadandia dandia maneno alafu anatangulia neno unalotaka kuongea mbele sijapenda mwambie aache ujuaji

  • @msleny6767
    @msleny6767 4 года назад +12

    Huu ni ukweli mtupu..
    Nashangaa ni vipi umewajua na kuuelezea haya yote🤔
    Nashukuru kwa moyo wangu wote maanake najifunza zaidi kila siku chini yako(God bless you coach) 🙏

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 4 года назад +8

    Kuna marafiki ambao wanapenda kusaidia sana ila sio kwa moyo bali ili waonekane safari hii nimeamua sitaki rafiki tena nitatuma amani tu

  • @rhodamaganga8308
    @rhodamaganga8308 4 года назад +8

    Halafu anawivu hafurahii ninapofanikiwa akiona nimebarikiwa ananinunia

  • @gracezunda3312
    @gracezunda3312 4 года назад +9

    Marafiki wa hivyo wako wengi mno imenifanya nikatae marafiki kabisa hawana maana siwataki!

    • @lameckmachumu7268
      @lameckmachumu7268 4 года назад

      Grace Zunda unakosea Grace still good people wapo ambao unaweza fnya nao urafiki

    • @jaxxjoo1973
      @jaxxjoo1973 3 года назад

      Hata mm chtaj marafk wamenirudsha nyuma sana

    • @sharonerick7729
      @sharonerick7729 3 года назад

      Daaah mim wananiumiza lila siku yani nateseka wananitesa kabisa

  • @hawamatumbo349
    @hawamatumbo349 4 года назад +6

    Aisee mie ninae uyo rafiki wakuchukia mafanikio yangu

  • @samiragillian5972
    @samiragillian5972 3 года назад +2

    Point number too inalenga Europe.jamani mliooa na kuolewa huku.tunajua what our fellow human beings do.let us be strong Africa.Asante brother Joel

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge3817 4 года назад +4

    Hakika Mungu nimkuu mnoo Haya nafundisha Nimakubwa mnoo Na niyamuhimu Saana saana Nimepanda mnoo

  • @hawamatumbo349
    @hawamatumbo349 4 года назад +12

    Aisee mie ninae uyo rafiki wakuchukia mafanikio yangu

    • @faithfaith4782
      @faithfaith4782 4 года назад +1

      Ameen 🙏 mafundisho yakuelimisha sisi njinsi tutanjitenga nawanafiki marafiki wa uongo washindwe in the mighty name of
      God 🙏 thanks so much my dear brother 💖👊👏 💟💖💟💖💟
      God bless you 🙏💖👌 ,hi ninaye hapa kazini masungumzo yooote nimeyasikia Yana mlenga huyu mwenzangu hapa kazini wivu ,fitina,chuki ,,,,,,,,,,, Asante Kaka lakini naamini mungu kwangu alishindwa 🙏 yanamfuata mwenyeweee 👐 ! Pamonja 👏💖💖👊👊 mungu akunjalie mema

    • @michaeljonas7497
      @michaeljonas7497 4 года назад

      Achana nayo

  • @EMANUELMWAKITINYA-vr4ge
    @EMANUELMWAKITINYA-vr4ge 3 месяца назад +1

    Hakika kabisa Nimepata kitu hapa Asante sana Kaka Joel Live More

  • @JacqueM4600
    @JacqueM4600 4 месяца назад

    Dada Lilian jitahidi kumuacha mtu amalize kuongea kwanza ndipo uchangie au kama ni muhimu sana ku interact please do vingine mwache amalize kuongea.

  • @anthonylaban713
    @anthonylaban713 4 года назад +7

    This is so nice from the smartest man, i have ever seen...... Uko blessed sana bazaleee.....

  • @bdraper6036
    @bdraper6036 3 года назад +1

    Kila Hatua, Nazidi kuimarika kupitia Mafundisho yako, Nimepiga hatua Zaidi, na lengo ni kutwaa Tuzo kubwa sana hapa Duniani, nazidi kujifunza siku hadi Siku

  • @kasmirisambala6206
    @kasmirisambala6206 4 года назад +2

    Ni kweli. Nimejifunza kitu kuhusiana na aina ya marafiki ninaohitaji kuwa nao na ambao sihitaji kuwa nao katika maisha. Ni sahihi marafiki wanaweza kukujenga au kukubomoa katika maisha yako.

  • @beatricengalubutu7008
    @beatricengalubutu7008 4 года назад +6

    Awww it's too deep......✊✊

  • @estherkimario2039
    @estherkimario2039 3 года назад

    Umenena kaka umenifundisha kitu hapo kaka joel

  • @NehKonga-wc1ey
    @NehKonga-wc1ey 5 месяцев назад

    Sio rafik tu na ndugu wa haina hao teacher wapo natamani ungefanya somo la hili

  • @MikaMollel-b5y
    @MikaMollel-b5y 3 месяца назад

    Nakushukuru sana sema ili wakome wabadilishe tabia zao

  • @pamelanabokolweojuma1964
    @pamelanabokolweojuma1964 4 года назад +5

    God bless you my brohrs

  • @IbrahimKumbuka
    @IbrahimKumbuka 8 месяцев назад

    Kak umetisha san kwa apo ulipogusa hauna baya thanks bro

  • @rhodamaganga8308
    @rhodamaganga8308 4 года назад +3

    Mbn fupi jamani asante sana lakini nimejifunza ninarafiki mzigo anataka yeye awe anatumia pesa zangu tu halafu za kwake hataki zitumike aaaaah namdelete kabisaaaaa

  • @MikaMollel-b5y
    @MikaMollel-b5y 3 месяца назад

    Ningekua na uwezo ningewa tengenezea dunia yao wenyewe tuone watafanyaje

  • @ramlamussa9144
    @ramlamussa9144 Месяц назад

    Kwa mtindo huu basi watu wengi sana hawana marafiki na hawajui. Wapo marafiki wengi sana wa aina hii.

  • @sarahsoma2150
    @sarahsoma2150 4 года назад +3

    Nimejifunza kitu kikubwa sana kaka Joel, Asante na Mungu akubariki

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 года назад

    They are nonsense. Waende siwahitaji wa hivi

  • @immamadalale3940
    @immamadalale3940 4 года назад +4

    God bless u for ur teaching

  • @raisaafrica0255
    @raisaafrica0255 4 года назад +3

    Kabisssa yani ata ninunuw kitu hafurahiy alafu yeye huwa hanambiy ya kwake ju ya wivu

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 4 года назад +2

    Yaani huu ni ukweli mtupu, shukran Sana, Lilian nakupenda ujue

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 3 месяца назад

    Asante kk kwa somo lako nimejifunza kitu

  • @crecensiaedward2364
    @crecensiaedward2364 4 года назад +3

    hao no 4 nimekutana nao sana

  • @kachimaandrew3354
    @kachimaandrew3354 4 года назад +3

    Asante sana kaka nimekuelewa vuzur sana.

  • @julliethkombe4213
    @julliethkombe4213 4 года назад +3

    Aisee,I got something, thanks alot

  • @philipojustine2541
    @philipojustine2541 4 года назад +3

    Yes crazy do it

  • @MikaMollel-b5y
    @MikaMollel-b5y 3 месяца назад

    Nakukubali kwa marafiki ni kweli

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. 3 года назад +1

    Amen kaka mungu akupe maisha marefu ili uendelee ku tufundisha kaka

  • @zulferabour607
    @zulferabour607 4 года назад +1

    jaman joel leo umenielekeza kitu ....yaan huyu n rafk yang mmoj kazin.....duuuh bt nmejifunza ....joel asante kaka ...joel ubarikiweeee joel mungu azid kukueka ...joel with yu i believe one day ktk stori yang utakuepo

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 4 года назад +2

    Hakika Mungu akuzidishie maarifa, ubunifu na nguvu unayotumiakutuelimisha.

  • @mangesajoseph2142
    @mangesajoseph2142 2 года назад

    Nimejifuza kitu

  • @keflentito8052
    @keflentito8052 4 года назад +2

    Very powerful massage my kaka

  • @anoldkileo1050
    @anoldkileo1050 4 года назад +2

    Powerfull Advice See u at top

  • @neemakisaka5362
    @neemakisaka5362 3 года назад

    Nikwel kabisa

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 3 года назад

    Rililyani

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 2 месяца назад

    Nimejifunza kitu

  • @kingbrand5141
    @kingbrand5141 5 месяцев назад

    Kaka unajuwa sana mkuu

  • @shirqamada3742
    @shirqamada3742 2 года назад

    Y y u

  • @angeltvonline9153
    @angeltvonline9153 4 года назад +3

    Ahsant

  • @blandinavedastus3839
    @blandinavedastus3839 3 года назад

    Marafiki

  • @abdallabundala404
    @abdallabundala404 5 месяцев назад

    Duh kama ulovyoeleza ndio maisha yetu ya sasa ktk URAFIKI , WAUNGWANA NI WACHACHE SANA. LAZIMA TUWE MAKINI KWENYE KUTENGENEZA MARAFIKI

  • @emmanuelpius6387
    @emmanuelpius6387 4 месяца назад

    Toxic people

  • @maxmaxmo5545
    @maxmaxmo5545 4 года назад +1

    Huo ndio ukweli kabla sijawagundua hao marafiki nilipata tabu sana

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 2 года назад

    Nikweli

  • @rehemajuma4656
    @rehemajuma4656 4 года назад +3

    Ahsante kwa somo zr kaka joel
    Allah bless you .

  • @aishakhasim1440
    @aishakhasim1440 4 года назад +2

    Yan kweli kabisa

  • @masegesajoseph2031
    @masegesajoseph2031 2 года назад

    Lafki wakwer ni yesu

  • @anethbuhung7544
    @anethbuhung7544 4 года назад +2

    Kweli kabisa bro

  • @danielmadenyeka4248
    @danielmadenyeka4248 4 года назад +2

    Pa1 sn

  • @raisaafrica0255
    @raisaafrica0255 4 года назад +1

    Barikiwa kaka yngu ninarafikiya yngu hataki kupata kwangu yan kil mara anataka ni following yeye na nime amuwa kuwacana naye

  • @mungupamojanasi2709
    @mungupamojanasi2709 2 года назад

    Nikweli kabisa. Na kunawengine wanapenda kukosoa tu. Ukifanya vizur wao wanakaa kimya. Je hao nao wakoje?

  • @muhsinsalum2305
    @muhsinsalum2305 4 года назад +5

    Hao wa mwisho niwengi saana kaka.
    Nishida kwenye hii dunia

  • @johnmasanja1413
    @johnmasanja1413 4 года назад +1

    Mmmmh ama kwel ni noma sana love it

  • @barakamollel9122
    @barakamollel9122 4 года назад +1

    Asee Ni Kweli 100%√√

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 4 года назад +3

    Kweli TUPU,💯

  • @kungkong7690
    @kungkong7690 5 лет назад +2

    Nice voice.. like radio..

  • @bahathmuro5714
    @bahathmuro5714 4 года назад +1

    Nlishayajua hayo ndio maan nka move on

  • @estherkimario2039
    @estherkimario2039 3 года назад

    Umeongea vizuri sana kaka hilo tatizo mimi ilalipitia naomb unishauri nifanyaj ili niwez kuwa epuka

  • @aash4145
    @aash4145 Год назад

    Aksante kaka nanauka,,, kwakwel umeyufungua,,, tunaishi na marafi kama hawa mzigo,,, yan wanafiki

  • @KulwaJames-n2x
    @KulwaJames-n2x 6 месяцев назад

    Yes kwel kabsa bro

  • @janeplaymwenda4739
    @janeplaymwenda4739 4 года назад +1

    Good video

  • @ZedeJafeti
    @ZedeJafeti 7 месяцев назад

    Very true my brother Aina hii Ya marafiki imefanya Nixhidwe kua Namarafiki kbx

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 Год назад

    Shukran sana . Hakika unanitoa kwenye gza nililowekwa sasa namatumain kwa maneno yako ymenigusa na ni ukwer mno mtu anakushka mkono ukijua n upendo kumbe anakuweka gza ili usitimize malengo yako. Mungu atusaidie sana. Ubarikiwe sana kaka.

  • @mohamedsuleiman7215
    @mohamedsuleiman7215 3 года назад

    mi sipendi marafiki wa ajabu na nashukuru mungu marafik zangu wingi ni matajiri na wananipa msaada wa maneno na vitendo.
    nimejifunza kitu asilimia kuu ya marafiki wajinga,roho mbaya,majungu ni wale tuliozaliwa katika familia za kimasikini.simaanishi kwamba masikini wote waki ivo ila asilimia kuu na simaanishi matajiri wote wako ivo.hamna wako matajiri wa ivo.

  • @vincentombasa
    @vincentombasa 5 лет назад +1

    Good

  • @mwanaharusialifakifaki8716
    @mwanaharusialifakifaki8716 4 года назад

    Jamaniii duniani hapa mtihani tuuuu😭hawa wa kujiskia vibaya wapo wengi kwenye maisha yangu.na hawa wa kuchukua rasilimali nnao kweli ahsante mwalim najifunza mengi duniani hapa .
    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @glorykahabi5830
    @glorykahabi5830 4 года назад +2

    Daah aise kuna wakati huwa naona niwe mwenyewe tu

  • @amilindangi250
    @amilindangi250 3 года назад

    Hayo yananikuta sana najikuta na jiulizasana ilasipati majibu aise

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 4 месяца назад

    Ahsante sana Kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa ,,hakikaa nikwer kabisa nilikuwa na marafiki lakini kila wakati wanapendaa vyakwangu tu lkn hata nikawaa nashida nikimwambiaa ...yani nihatari sanaa 🙏🙏🙏

  • @ikirezijose5741
    @ikirezijose5741 4 года назад

    Nakumbuka kipindi nilikuwa na boyfrnd wa tabiya kama hiyo hakukuwa anakubari kosa,hakosolewe,na alikuwa akikoseya anataka mimi ndiyo nimuombe msamaa😢niliona mapema kama siyo mtu sahihi kwangu nanilikuwa nampenda ila nimemtoka.asante sana kaka Joe umenifunza kitu

  • @AshirackAbdalah
    @AshirackAbdalah Месяц назад

    ❤❤❤❤❤

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 3 года назад

    Nashukuru sana kaka nimejifuza pakubwa sana

  • @jalimadole9605
    @jalimadole9605 2 года назад

    Hakika kaka mafundisho yako ya Hali ya juu sana

  • @amelinajohn1098
    @amelinajohn1098 3 года назад

    Asante kwa somo la leo nimelipenda man nlikua napata shida katika hili

  • @rashidonami2660
    @rashidonami2660 4 года назад

    Kabisa umeongea ukweli iyoshida imeshanipata

  • @benjaminm6479
    @benjaminm6479 4 года назад +1

    nzuri sana hii

  • @jumajamal3391
    @jumajamal3391 4 года назад +1

    Nice one

  • @marwam1511
    @marwam1511 4 года назад

    Omg I like this so much you know my brother please advise me in this matter related to this video. Thanks

  • @elizabethleonard2429
    @elizabethleonard2429 6 месяцев назад

    Barikiwa sana Mwalimu hakika unatupenda

  • @lameckmussa8734
    @lameckmussa8734 4 года назад +1

    Nakukubali joel

  • @lydiadavid8595
    @lydiadavid8595 3 года назад

    Asante sana somo limeniingia sana tena sana

  • @linussngolly2089
    @linussngolly2089 4 года назад +1

    nimekuelewa kaka hasante

  • @judymuthoni6445
    @judymuthoni6445 4 года назад

    Asante kwa mawaidha kwa kuwa umeniokoa kaka yangu

  • @elizabethleonard2429
    @elizabethleonard2429 6 месяцев назад

    Nimeipenda saana ubarikiwe sr.❤

  • @pascalshauri1276
    @pascalshauri1276 4 года назад

    Nimekuelewa haya ndo maisha halisi ya baadhi ya marafiki,ukae na rafiki mzigo au upoteze hatma yako

  • @philemonalex8089
    @philemonalex8089 3 года назад

    Bro this is good class💪

  • @eliasbufula6290
    @eliasbufula6290 4 года назад +1

    Asante munomuno.

  • @makandaigarobi4765
    @makandaigarobi4765 2 года назад

    Perfect

  • @mundiajamesfurahia477
    @mundiajamesfurahia477 4 года назад

    Wawa kabisa

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan1750 4 года назад +2

    Kikweli kabisa.bora kuaza upya usivumilie maumivu

  • @evancelaw7032
    @evancelaw7032 4 года назад

    Intelligent man