Kiukweli aina hii ya marafiki imenigusa mno maumivu ya moyon mwangu nilosababishiwa na aina hii, naomba no.kwa ushauri zaidi.Pia hongera kwa kutoa huduma hii.
Tazama historia ya mwanajeshi aliyedai kukutana na Mungu...alipigwa risasi 27 na kuendelea kupigana....bofya link 👇🏾ruclips.net/video/3q3bDAqT460/видео.html
Kaka Uko sawa kabisa ila huyo Dada mbona hakupi muda wa kuongea anadandia dandia maneno alafu anatangulia neno unalotaka kuongea mbele sijapenda mwambie aache ujuaji
Huu ni ukweli mtupu.. Nashangaa ni vipi umewajua na kuuelezea haya yote🤔 Nashukuru kwa moyo wangu wote maanake najifunza zaidi kila siku chini yako(God bless you coach) 🙏
Ameen 🙏 mafundisho yakuelimisha sisi njinsi tutanjitenga nawanafiki marafiki wa uongo washindwe in the mighty name of God 🙏 thanks so much my dear brother 💖👊👏 💟💖💟💖💟 God bless you 🙏💖👌 ,hi ninaye hapa kazini masungumzo yooote nimeyasikia Yana mlenga huyu mwenzangu hapa kazini wivu ,fitina,chuki ,,,,,,,,,,, Asante Kaka lakini naamini mungu kwangu alishindwa 🙏 yanamfuata mwenyeweee 👐 ! Pamonja 👏💖💖👊👊 mungu akunjalie mema
Kila Hatua, Nazidi kuimarika kupitia Mafundisho yako, Nimepiga hatua Zaidi, na lengo ni kutwaa Tuzo kubwa sana hapa Duniani, nazidi kujifunza siku hadi Siku
Ni kweli. Nimejifunza kitu kuhusiana na aina ya marafiki ninaohitaji kuwa nao na ambao sihitaji kuwa nao katika maisha. Ni sahihi marafiki wanaweza kukujenga au kukubomoa katika maisha yako.
Mbn fupi jamani asante sana lakini nimejifunza ninarafiki mzigo anataka yeye awe anatumia pesa zangu tu halafu za kwake hataki zitumike aaaaah namdelete kabisaaaaa
jaman joel leo umenielekeza kitu ....yaan huyu n rafk yang mmoj kazin.....duuuh bt nmejifunza ....joel asante kaka ...joel ubarikiweeee joel mungu azid kukueka ...joel with yu i believe one day ktk stori yang utakuepo
Shukran sana . Hakika unanitoa kwenye gza nililowekwa sasa namatumain kwa maneno yako ymenigusa na ni ukwer mno mtu anakushka mkono ukijua n upendo kumbe anakuweka gza ili usitimize malengo yako. Mungu atusaidie sana. Ubarikiwe sana kaka.
mi sipendi marafiki wa ajabu na nashukuru mungu marafik zangu wingi ni matajiri na wananipa msaada wa maneno na vitendo. nimejifunza kitu asilimia kuu ya marafiki wajinga,roho mbaya,majungu ni wale tuliozaliwa katika familia za kimasikini.simaanishi kwamba masikini wote waki ivo ila asilimia kuu na simaanishi matajiri wote wako ivo.hamna wako matajiri wa ivo.
Jamaniii duniani hapa mtihani tuuuu😭hawa wa kujiskia vibaya wapo wengi kwenye maisha yangu.na hawa wa kuchukua rasilimali nnao kweli ahsante mwalim najifunza mengi duniani hapa . 😭😭😭😭😭😭😭😭
Ahsante sana Kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa ,,hakikaa nikwer kabisa nilikuwa na marafiki lakini kila wakati wanapendaa vyakwangu tu lkn hata nikawaa nashida nikimwambiaa ...yani nihatari sanaa 🙏🙏🙏
Nakumbuka kipindi nilikuwa na boyfrnd wa tabiya kama hiyo hakukuwa anakubari kosa,hakosolewe,na alikuwa akikoseya anataka mimi ndiyo nimuombe msamaa😢niliona mapema kama siyo mtu sahihi kwangu nanilikuwa nampenda ila nimemtoka.asante sana kaka Joe umenifunza kitu
Kiukweli aina hii ya marafiki imenigusa mno maumivu ya moyon mwangu nilosababishiwa na aina hii, naomba no.kwa ushauri zaidi.Pia hongera kwa kutoa huduma hii.
Tazama historia ya mwanajeshi aliyedai kukutana na Mungu...alipigwa risasi 27 na kuendelea kupigana....bofya link 👇🏾ruclips.net/video/3q3bDAqT460/видео.html
Kaka Uko sawa kabisa ila huyo Dada mbona hakupi muda wa kuongea anadandia dandia maneno alafu anatangulia neno unalotaka kuongea mbele sijapenda mwambie aache ujuaji
Huu ni ukweli mtupu..
Nashangaa ni vipi umewajua na kuuelezea haya yote🤔
Nashukuru kwa moyo wangu wote maanake najifunza zaidi kila siku chini yako(God bless you coach) 🙏
Kapitia si mwanadamu kwani ?au ni malaika ?
Kuna marafiki ambao wanapenda kusaidia sana ila sio kwa moyo bali ili waonekane safari hii nimeamua sitaki rafiki tena nitatuma amani tu
Halafu anawivu hafurahii ninapofanikiwa akiona nimebarikiwa ananinunia
Nina rafiki wa iv
Marafiki wa hivyo wako wengi mno imenifanya nikatae marafiki kabisa hawana maana siwataki!
Grace Zunda unakosea Grace still good people wapo ambao unaweza fnya nao urafiki
Hata mm chtaj marafk wamenirudsha nyuma sana
Daaah mim wananiumiza lila siku yani nateseka wananitesa kabisa
Aisee mie ninae uyo rafiki wakuchukia mafanikio yangu
Point number too inalenga Europe.jamani mliooa na kuolewa huku.tunajua what our fellow human beings do.let us be strong Africa.Asante brother Joel
Hakika Mungu nimkuu mnoo Haya nafundisha Nimakubwa mnoo Na niyamuhimu Saana saana Nimepanda mnoo
Aisee mie ninae uyo rafiki wakuchukia mafanikio yangu
Ameen 🙏 mafundisho yakuelimisha sisi njinsi tutanjitenga nawanafiki marafiki wa uongo washindwe in the mighty name of
God 🙏 thanks so much my dear brother 💖👊👏 💟💖💟💖💟
God bless you 🙏💖👌 ,hi ninaye hapa kazini masungumzo yooote nimeyasikia Yana mlenga huyu mwenzangu hapa kazini wivu ,fitina,chuki ,,,,,,,,,,, Asante Kaka lakini naamini mungu kwangu alishindwa 🙏 yanamfuata mwenyeweee 👐 ! Pamonja 👏💖💖👊👊 mungu akunjalie mema
Achana nayo
Hakika kabisa Nimepata kitu hapa Asante sana Kaka Joel Live More
Dada Lilian jitahidi kumuacha mtu amalize kuongea kwanza ndipo uchangie au kama ni muhimu sana ku interact please do vingine mwache amalize kuongea.
This is so nice from the smartest man, i have ever seen...... Uko blessed sana bazaleee.....
Kila Hatua, Nazidi kuimarika kupitia Mafundisho yako, Nimepiga hatua Zaidi, na lengo ni kutwaa Tuzo kubwa sana hapa Duniani, nazidi kujifunza siku hadi Siku
Ni kweli. Nimejifunza kitu kuhusiana na aina ya marafiki ninaohitaji kuwa nao na ambao sihitaji kuwa nao katika maisha. Ni sahihi marafiki wanaweza kukujenga au kukubomoa katika maisha yako.
Awww it's too deep......✊✊
Umenena kaka umenifundisha kitu hapo kaka joel
Sio rafik tu na ndugu wa haina hao teacher wapo natamani ungefanya somo la hili
Nakushukuru sana sema ili wakome wabadilishe tabia zao
God bless you my brohrs
Kak umetisha san kwa apo ulipogusa hauna baya thanks bro
Mbn fupi jamani asante sana lakini nimejifunza ninarafiki mzigo anataka yeye awe anatumia pesa zangu tu halafu za kwake hataki zitumike aaaaah namdelete kabisaaaaa
Ningekua na uwezo ningewa tengenezea dunia yao wenyewe tuone watafanyaje
Kwa mtindo huu basi watu wengi sana hawana marafiki na hawajui. Wapo marafiki wengi sana wa aina hii.
Nimejifunza kitu kikubwa sana kaka Joel, Asante na Mungu akubariki
They are nonsense. Waende siwahitaji wa hivi
God bless u for ur teaching
Kabisssa yani ata ninunuw kitu hafurahiy alafu yeye huwa hanambiy ya kwake ju ya wivu
Yaani huu ni ukweli mtupu, shukran Sana, Lilian nakupenda ujue
Asante kk kwa somo lako nimejifunza kitu
hao no 4 nimekutana nao sana
Asante sana kaka nimekuelewa vuzur sana.
Aisee,I got something, thanks alot
Yes crazy do it
Nakukubali kwa marafiki ni kweli
Amen kaka mungu akupe maisha marefu ili uendelee ku tufundisha kaka
jaman joel leo umenielekeza kitu ....yaan huyu n rafk yang mmoj kazin.....duuuh bt nmejifunza ....joel asante kaka ...joel ubarikiweeee joel mungu azid kukueka ...joel with yu i believe one day ktk stori yang utakuepo
Hakika Mungu akuzidishie maarifa, ubunifu na nguvu unayotumiakutuelimisha.
Nimejifuza kitu
Very powerful massage my kaka
Powerfull Advice See u at top
Nikwel kabisa
Rililyani
Nimejifunza kitu
Kaka unajuwa sana mkuu
Y y u
Ahsant
Karibu kaka
Marafiki
Duh kama ulovyoeleza ndio maisha yetu ya sasa ktk URAFIKI , WAUNGWANA NI WACHACHE SANA. LAZIMA TUWE MAKINI KWENYE KUTENGENEZA MARAFIKI
Toxic people
Huo ndio ukweli kabla sijawagundua hao marafiki nilipata tabu sana
Nikweli
Ahsante kwa somo zr kaka joel
Allah bless you .
Yan kweli kabisa
Lafki wakwer ni yesu
Kweli kabisa bro
Pa1 sn
Barikiwa kaka yngu ninarafikiya yngu hataki kupata kwangu yan kil mara anataka ni following yeye na nime amuwa kuwacana naye
Nikweli kabisa. Na kunawengine wanapenda kukosoa tu. Ukifanya vizur wao wanakaa kimya. Je hao nao wakoje?
Hao wa mwisho niwengi saana kaka.
Nishida kwenye hii dunia
Mmmmh ama kwel ni noma sana love it
Asee Ni Kweli 100%√√
Kweli TUPU,💯
Nice voice.. like radio..
Nlishayajua hayo ndio maan nka move on
Umeongea vizuri sana kaka hilo tatizo mimi ilalipitia naomb unishauri nifanyaj ili niwez kuwa epuka
Aksante kaka nanauka,,, kwakwel umeyufungua,,, tunaishi na marafi kama hawa mzigo,,, yan wanafiki
Yes kwel kabsa bro
Good video
Very true my brother Aina hii Ya marafiki imefanya Nixhidwe kua Namarafiki kbx
Shukran sana . Hakika unanitoa kwenye gza nililowekwa sasa namatumain kwa maneno yako ymenigusa na ni ukwer mno mtu anakushka mkono ukijua n upendo kumbe anakuweka gza ili usitimize malengo yako. Mungu atusaidie sana. Ubarikiwe sana kaka.
mi sipendi marafiki wa ajabu na nashukuru mungu marafik zangu wingi ni matajiri na wananipa msaada wa maneno na vitendo.
nimejifunza kitu asilimia kuu ya marafiki wajinga,roho mbaya,majungu ni wale tuliozaliwa katika familia za kimasikini.simaanishi kwamba masikini wote waki ivo ila asilimia kuu na simaanishi matajiri wote wako ivo.hamna wako matajiri wa ivo.
Good
Jamaniii duniani hapa mtihani tuuuu😭hawa wa kujiskia vibaya wapo wengi kwenye maisha yangu.na hawa wa kuchukua rasilimali nnao kweli ahsante mwalim najifunza mengi duniani hapa .
😭😭😭😭😭😭😭😭
Daah aise kuna wakati huwa naona niwe mwenyewe tu
Hayo yananikuta sana najikuta na jiulizasana ilasipati majibu aise
Ahsante sana Kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa ,,hakikaa nikwer kabisa nilikuwa na marafiki lakini kila wakati wanapendaa vyakwangu tu lkn hata nikawaa nashida nikimwambiaa ...yani nihatari sanaa 🙏🙏🙏
Nakumbuka kipindi nilikuwa na boyfrnd wa tabiya kama hiyo hakukuwa anakubari kosa,hakosolewe,na alikuwa akikoseya anataka mimi ndiyo nimuombe msamaa😢niliona mapema kama siyo mtu sahihi kwangu nanilikuwa nampenda ila nimemtoka.asante sana kaka Joe umenifunza kitu
❤❤❤❤❤
Nashukuru sana kaka nimejifuza pakubwa sana
Hakika kaka mafundisho yako ya Hali ya juu sana
Asante kwa somo la leo nimelipenda man nlikua napata shida katika hili
Kabisa umeongea ukweli iyoshida imeshanipata
nzuri sana hii
Nice one
Omg I like this so much you know my brother please advise me in this matter related to this video. Thanks
Barikiwa sana Mwalimu hakika unatupenda
Nakukubali joel
Asante sana somo limeniingia sana tena sana
nimekuelewa kaka hasante
Asante kwa mawaidha kwa kuwa umeniokoa kaka yangu
Nimeipenda saana ubarikiwe sr.❤
Nimekuelewa haya ndo maisha halisi ya baadhi ya marafiki,ukae na rafiki mzigo au upoteze hatma yako
Bro this is good class💪
Asante munomuno.
Perfect
Wawa kabisa
Kikweli kabisa.bora kuaza upya usivumilie maumivu
Intelligent man