Uliona mwanamke anakuangalia Huku Bongo kimbia kabla hujaambiwa, baby Kuna kitu nataka nikuambie kama hutojali, Nadaiwa Kodi, cjala, TV, saboofer, napenda Gari Heee😂😂😂 kimbia kabla hujafa
Yupo anaeonyesha kunipenda ila anaishia kuwahadithia marafiki zake tu wala hanipi muda wa kuwa na yeye 😢 naumia mno coz na mimi nampenda ila naogopa kumwambia
Mimi kuna mkaka huwa anakuja hapa home kuchukua chakula anakipeleka dukan kila hakiĵa huwa anapenda sana kuniangalia usoni hata nikimpa chakula mkonon anagusa mkonon na anapenda sana kunisogerea sana sielewi jaman ushauli plz🙏
Weeee,sio kila anae kupenda atakutazama sana,kuna mwengine anaweza akakutazama nawe ile bahati mbaya,ukimtazama then anakupa bonge la sonyo au ana benua midomo kana kwamba wamchefua!😢
No1 ku like na kukomenti 😁
🔥🔥🔥
Naomba uandike hapo chini mm kiziwi
Mimi zote nimeziona kwang ❤❤❤
Pia
Kwani likes zinafaida gani jamn? Naomben na mm like moja😂
Sawa chukua hoyo
Fafanuo media sina cha kuwalipa ila kweli mmenifanya dunia iwe rahisi kwangu
🤝🤝🤝
Uliona mwanamke anakuangalia Huku Bongo kimbia kabla hujaambiwa, baby Kuna kitu nataka nikuambie kama hutojali, Nadaiwa Kodi, cjala, TV, saboofer, napenda Gari Heee😂😂😂 kimbia kabla hujafa
Asante sana kaka 💙💙💙
Beautiful friend
upo vzur kwnye simuliz
Bravo ukovizur🎉🎉🎉
Noma Sana jamani😁😁😁😁kina kibiti hapa basi tuu mungu ana jua 👏👏👏👏👏
😂😂😂😂😂😂😂 siunde
Your voice in ever convincing bro. 😍😍😊😊😂
Shida unakuta mwingine a nakupenda lakini ukimtongozq tu mnakuwa maadui anaanza aibu aibu za ajabu
kwel kabisaaa❤❤
Kwa bongo ukimwangalia mtu sana huyo mtu anajua unamchukia
Duh ni kweli kabxaaaa
Thanks
Naipenda hiyo
Kuna MTU nampenda sana basi tu
Yupo anaeonyesha kunipenda ila anaishia kuwahadithia marafiki zake tu wala hanipi muda wa kuwa na yeye 😢 naumia mno coz na mimi nampenda ila naogopa kumwambia
zubaa utajiju
Wewe ni mwanaume usiogope mwambie2
😆😆😆😆
EEE hiv kumbe mwanaume hatakiwi kuogopa eee😮😮😮😮😮
Ukweli kabisa
Excellent
🍓🍒 Ukiona kiashiria hiki ujue anakupenda ila anashindwa kukwambia
Aah
@@ghaniyyatkinyogoli8214 kabisa
🎉kipi
Daaaah mekumbuka olevel😂😂😂😂😂
Saizi baba kipengereeee saizi unarogwaaaa
😂😂😂😂😂😂
Mimi sijaona ishala yoyote ile kwangu😂😂😂
Nce bro
Mimi kuna mkaka huwa anakuja hapa home kuchukua chakula anakipeleka dukan kila hakiĵa huwa anapenda sana kuniangalia usoni hata nikimpa chakula mkonon anagusa mkonon na anapenda sana kunisogerea sana sielewi jaman ushauli plz🙏
Huyo anakutaka asee tena kimahaba mazitoooo😎🖕🙌😜😎💤❤❤❤but hakuambiii 2
Anguka nae
Anakipenda chakula ya mfatilie
😢😢
Uyo mkakaa ndo mm
Absolutely true 👌🤣🤣Hve fallen in love with someone but it's hard to express my feelings to him🤪am madly in love with him 😝lyk seriously
😂😂😂🎉🎉🎉
Hhh
Aaahhh kibongobongo ukiangaliwa sana ujue kichambo kinakuhusu 😀!
Da utakuta wadada wawili Kila siku nikipita lazima wanitazame hao hao yaani Hadi sie lewi yani
@@IsmailKisoma hahaha sasa hapo kaka una homework yakufanya 😀 itabidi utafute njia ili upate kujua kwanini wanakuangalia kila ukipita!
Uhakika lazm usemwe
@@estermsafiri2940 na ukiruhusu hili la "sijui wananisema ama vipi" litakuvuruga 🙂 bore kufokasi namambo yako!
😂😂😂😂iyo buza iyo
😅Safi iyo
Nikweli kabisa kuna aibu na unamwanhalia kwa kumwibia akiwa around unatamani asiondoke japo una story nae uwepo wake tu unanenepa
Wap
Nice
Kueli kabisa
Saihh kak
😅😅Dah,,sio kweli nwenyew nimeziona sana hizo ishara.
Mwajuma uwa anaongea sana
Weeee,sio kila anae kupenda atakutazama sana,kuna mwengine anaweza akakutazama nawe ile bahati mbaya,ukimtazama then anakupa bonge la sonyo au ana benua midomo kana kwamba wamchefua!😢
😂😂😂 dah!
Halow Mimi sijawahi kupenda Wala kupendwa mapenzi yauaa
Really
unaongelea tabia ya mtu mmoja sio wote wapo hivyo
Mmmmh,ok
Uongo
Imenigusa hyo namba 6
Kaka, dada, and Baba 😂😂😂😂😂
Duuuh! Sa suluhisho ni nn, au tutumie njia gani ili kufikisha ujumbe kama kusema tunashindwa.❤😢
Barua sms kibubububu
Wewe ni mdada usithubutu😂😂😂
Penda penda usimpende Mume/Mke wa mtu 🙅🙅🙅
Good
Kweli
waoooo❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂hiyo nayo maybe zama za kale sio sahi ukiona unaangaliwa sana maybe unakosolewa ama ukiitwq mpenzi inamaanisha wewe ni kipenzi kitazamaji😂😂😂
Ww kahaba ndio michezo yako
😂😂😂😂😂😂
😂😂❤
@@SkippersSecurity-k9k ukweli
😂😂😂😂
Kweli😋😋😋😋
Kwl kk?
Pitia kwangu nausubscribe
Iyo ni kweli kaka
Ni kweli kabisa
siyo watoto wa 2000
Hao maokoto tu!
Kuna mtoto wa mtu ananichanganya 🎉
Sijawa kuona mm 😮
Mimi sijawahi ona hata moja kwangu niujinga mtupu😂😂😂
toka nimezaliwa nna miaka 26 sasa wallah sjawahi kuona mtu ananipenda 😂😂😂😂😂
Labda huinekanibmdo maanaa😂😂😅
@@MerlinaKubadesha 🤣😂
Duh hatuchekani kumbe😂😂😂
Basimimi najikupendea😢😮😮😅😅😂😂❤❤
😂😂😂 viapo ivo ujue 😂😂😂
🙋🏼♀️🙋🏼♀️🙏🙏🙏🙏jamani
12 ni kweli nimeyaona kwangu
Dahh mapenzi n??
Begup man
❤❤❤❤❤❤
Broo sikuhizi pesa tu mana kilakona Kuna njaa
😮😮
KWELII KABISA KUNA MTOTO WA MTU ANANIPENDA ALAFU ANAOGOPA KUNIAMBIAAA AKINIONA ANANTIZAMA
Je kama unampenda alafu yeye akupendi utafanyaje ili akupende
Kama haujapendwa pumzika wako atakuja😂
@@tashashabackumeongea bro
Kivipi
Je nitafutie
Ukweli mtupu!!!?😂😂😂😂😂😂
SIJUI JMN MM NAONA SIPENDWII
Acha kukoleza watu, Je! kama anakuangalia nishari?
Bas kuna mkaka nampenda mweeeh naogopa kumwambia jmn
Ni mm hapa😋
Mimi pia jaman🥰
@@angelathanas5993 nipe no zak za wtsp tuzungumze kidg
Mwambie shoga yangu usipomwambia itakutesa milele ata kama utakuja kuolewa utakua unamuwaza yeye tu, tafuta namba yake ukiipata mtumie sms
zubaa utajiju utakuja kupishana
Kila Ishara ina sambu zake
Like
Mimi anaye nipenda simpendi sijui kwa nini
Acha nitafute pesa tu mapenzi yataniua
Shukrani
😋😋😋😋
Simi duke rmx
nawapenda sana
🤐🤐🤐oy nimeamini maskin hakipata uwa anabadilika jamani😚🤔😚
Kweli kabisa
😮
😢😢😢
Ukweli kabisa
haya mamb ya kwli au
😮😮😮😮😮
Hiyo ni kweli kbsa
Mimi iyo yakwanza mpaka ya 3 niyangu.
Kkwangu Mimi hao Ni wengi wananitaka rakll llll
Go direct to the point unajizungusha SANAAA shenziiiiiii🗿
Kumb
Wasoma comment tujuane
😂😂
Sasa nini cha kufanya, maana unaweza kumtongoza akakuzingua
Akikuzingua hakutaki😂😂😂
'namba moja picha yako
Asee kuna manz inanielewa sana lakin inaogapa kuniambia.
Mwambie wewe
Blood vZr cn
Video zenu zimenifunza mengi
Good
Hiyo ni kweli kbsa