KAMANDA MBARIKIWA MWAKIPESILE AUWANGA MWILI WA MTOTO WAKE KISHUJAA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 211

  • @AllyHassanJoho
    @AllyHassanJoho 4 месяца назад +6

    Wew ni shujaa mbarikiwa mimi kwa haraharaka nisingeweza

  • @julyanashedrack2725
    @julyanashedrack2725 8 месяцев назад +4

    Chozi la mwenye haki litalipwa na Mungu

  • @prophetdanielmwebrania
    @prophetdanielmwebrania Год назад +7

    Mungu yupo mtetezi wa MWISHO KILA MTU atalipwa kwa MATENDO YAKE tutakutana siku moja kwa BABA Amen

  • @lucymwaijengo3790
    @lucymwaijengo3790 2 года назад +16

    Kuna watu Mungu hujivunia kumsimangia Shetani 😭😭😭😭😭
    Mungu pekee awafariji😭😭😭😭

  • @graceemmanuel3072
    @graceemmanuel3072 11 месяцев назад +5

    Hallelujah hakika Mungu hujivunia watu kama hawa

  • @gracerugayi530
    @gracerugayi530 Год назад +6

    Jamaa jasiri Sana inahitajika nguvu ya mungu Sana kustahimili msiba mzito kama huu hakika unafaa kuingwa umeufariji umati mkubwa Sana kwa nyimbo nzuri za kumsifu mungu.

  • @cornelgwarda3849
    @cornelgwarda3849 2 года назад +6

    Mbarikiwa unauheri kwa kazi unayofanya natamani ningewez

  • @marymtoni5723
    @marymtoni5723 2 года назад +14

    Hakika Mungu amewatia nguvu bila neema ya Mungu huwezi kweli Yesu ni namba 1

  • @LucresherGerald
    @LucresherGerald 10 месяцев назад +3

    MUNGU WA MBINGUNI asimame nanyi katika kipindi hiki nawaombea pia Kwa MUNGU awapiganie Sanaa🙏

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 2 года назад +23

    Hakika sifa na utukufu kwa Mungu!! Amewapa moyo wa ushujaaa, kusistahimil maumivu makali kama haya!! Ni lazima uwe umejitoa kwel kwel kwa Mungu wako!! Mungu azid kuwatia nguvu ktk kaz yake watumishi wa Mungu!! Hakika mmeokoka kwel kwel , weng tunashindwa matukio kam haya huwa tunaona kama Mungu amekuacha!! Tunasahau inatubid kushukuru kwa kila jambo, hakika nimebarikiwa na iman yenu kwa Mungu!! Mmenitia nguvu, Mungu wa mbinguni azid kuwainua kweny viwango vingine !! Amen amen!! Tutaonana mbingun mdog wangu Wokovu!! Safar yako umeimaliza!!

    • @AlfayoEliahu
      @AlfayoEliahu 11 месяцев назад +2

      wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni autatikisika waakaa milele jinsi bwana anavyouzunguka yerusalem ndivyo anavyowazunguka watu wake.zaburi 125:1-5

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 года назад +12

    Huyu ndo AYUBU wa Leo💪💪💪💪

  • @anethjackson512
    @anethjackson512 17 дней назад

    Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu😭😭

  • @josephmasudi6001
    @josephmasudi6001 2 года назад +5

    Ndugu zangu poleni sana, nimebarikiwa sana na ibada hii, nawaombeni namba za mtumishi huyu tafadhali kama ina wezekana, dada pumzika kwa amani tupo nyuma yako.

  • @victoriakhatibu2288
    @victoriakhatibu2288 Год назад +13

    Mungu akupe mapacha watatu kwa jina la Yesu,Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 9 дней назад

    IT'S 🆗 MR AND MRS MBARIKIWA!!!""IT'S 🆗 "🙏🙏🙏

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h 22 дня назад

    Aisee yataka ujasili mkubwa sana na nguvu ya mungu

  • @oscarmkumbo7451
    @oscarmkumbo7451 2 года назад +19

    Hakika ujasiri ulionao ni imani kubwa uliyonayo kwa Mungu wako " Mungu akupe nguvu Mch.

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 21 день назад

    Pole sana kaka

  • @ShangweWaziry
    @ShangweWaziry Месяц назад

    😭😭😭😭kama duh ningum sana bila msaada wa MUNGU ni jambo gum sana Hilo Mungu awape nguvu🙏🎂

  • @lemajackson372
    @lemajackson372 2 года назад +3

    Mtumishi umeongea mambo mengi kuhusu shule,najiuliza kama kweli kuna umuhimu wa Mtumishi wa Mungu kwenda shule,na huko shule anaenda kusoma nini,nikajiuliza kama Paulo alikuwa na elimu na Je wakina Petro walikuwa na elimu gani?inawezekana wanafunzi wa Yesu walipelekwa shule miaka mitatu na Yesu mwenyewe,lakini Mtumishi piga ua tunahitaji kwenda shule kw dhumuni kubwa la kijfunza jinsi ya kumsaidia binadamu ambaye ana matatizo lukuki,,,nakuunga mkono sana na kazi yako unayofanya lakini vilevile ukienda shule utafanya kazi AMungu kitaalamu zaidi,ni hoja yangu ninayowaza moyoni

  • @JanethRobati-s2k
    @JanethRobati-s2k 29 дней назад

    Hakuna anaeweza hilo baba unaushujaa wakutosha basi ivoivo mungu akushindie vita hiyo we nyamaza aseme baba pole sana mungu akutie nguvu

  • @victoriarichard8761
    @victoriarichard8761 Год назад +3

    kwa imani hii Mungu atawapa mwingine. Mungu azidi kuwatia nguvu na kuwafariji mtumishi

  • @gib3888
    @gib3888 11 месяцев назад +2

    Mungu wetu uko wapi simama na mtumishi wako 🧎‍♂️🧎‍♂️🤲🤲🤲😭😭😭😭

  • @user-jl6en6rr8m
    @user-jl6en6rr8m 9 месяцев назад +3

    Mtumishi Wa Mungu Wacha Mungu akukumbuke

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 10 месяцев назад

    Mama ni mama tuu,,,,,anaumia mno,,,,Mungu ni faraja tosha❤

  • @immanuelpascal8131
    @immanuelpascal8131 2 года назад +3

    Najifunza mengi San kwako baba ktk tukio hili maan mungu kakupa ujasir usio wakawaida

  • @nurumbongo7556
    @nurumbongo7556 2 года назад +6

    Ubarikiwe baba Linda imani ni kipimo chaji

  • @June-dq6pr
    @June-dq6pr 11 месяцев назад +2

    No matter wat they do it cannot bring our faith down he will still be God the powerful God

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 6 месяцев назад

    Mungu ni mwema Imani ni nguzo ya Maisha hakika mbarikiwa umetufunza kuwa na Iman ya kiroho

  • @user-mj9xw3qc3j
    @user-mj9xw3qc3j 23 дня назад

    Aisee... sijawah ona iman ya namna hij😢

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h 22 дня назад

    Mungu ndie mtenda yote wale wote waliofanya hivi mungu atalipa polen sana

  • @bahatimgaya4045
    @bahatimgaya4045 3 месяца назад

    Aisee huyu Mungu tumwache aitwe Mungu; kamanda wa Yesu sipati picha kama ningekuwa mimi sijui kama ningeweza kweli.

  • @aberydanny9608
    @aberydanny9608 9 дней назад

    Huyu ndugu ana kifua kipana sana

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 Месяц назад

    Huyu ni mtumishi wa mungu kweli kweli ❤

  • @jacksonmbena5410
    @jacksonmbena5410 Год назад

    Mungu wa mbinguni anataka akupeleke level... Azime achakate Imani yako mtumishi

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis1960 Год назад +2

    Niseme tu si Kwa nguvu zenu ila ni MUNGU WETU WA MAJESHI amewatia nguvu mbarikiwe sana.

  • @monamweni1579
    @monamweni1579 2 года назад +2

    Baba mtumishi na mama mtumishii mungu awatie nguvu na awafariji kwa kipindi kingumu mnachokipitia

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Год назад +3

    😭😭😭😭 Mungu Ni mwema Kila wakati hachelewi wala hawai ndiyo alivyo Mungu wetu

  • @danielkalungwana5404
    @danielkalungwana5404 Год назад

    Niwachachesana wenye ujasili wakuagamsiba mzitokama huutena wamtoto kuagakwanamnahii nimtupekeemwenyeimani ndoanaweza Mungu akutie nguvu

  • @sekelajackob2905
    @sekelajackob2905 2 года назад +4

    Poleni sana familia ya Mtumishi wa Mungu,hakika kuna Watu Mungu anajivunia

  • @harrietajiambo229
    @harrietajiambo229 10 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu Mungu awafunge mkanda na awafute machozi ila uko na Imani thabithi naye Mungu anasema tushukuru kwa kila jambo

  • @GeorgeEbake
    @GeorgeEbake 10 месяцев назад +3

    Sijawai kuona. Mungu ni mwema

  • @jeremiahwilliam1452
    @jeremiahwilliam1452 2 года назад +1

    Hakika we Ni kamanda wa yesu kwa uhodari ushujaa pia na Imani pamoja natumaini kuu

  • @furahamwatwinza9560
    @furahamwatwinza9560 11 месяцев назад

    Inahitaji nguvu sana ya Mungu mahali kama hapa,,,watumishi poleni,kaeni kimyaa

  • @kishepuonlinetv
    @kishepuonlinetv Год назад +1

    Mungu nimwema kwahili nakwa yote tuyapitiayo asante yesu😭😭😭

  • @user-fs7ff7qo1z
    @user-fs7ff7qo1z 11 месяцев назад +1

    Pole kaka yangu umeniliza

  • @estershenene8787
    @estershenene8787 2 года назад +3

    Nimejifuza vitu ving sana kupitia wewe mutumish mung wa mbinguni aendelee kukulinda uwe na maisha maref ili cku moja hata mimi uniokoe ipasavyo

  • @dottounique7184
    @dottounique7184 Год назад +3

    Ameeen Mtumishi Ubarikiwe,siliitena Asantee nimejivuza kitu kikubwa kwako 🙏🤍💝❤️💛

  • @josephenerika5891
    @josephenerika5891 Год назад +1

    Eeehhh Roho wa Mungu wafariji na ujidhihirishe kwao siku zote za maisha yao.

  • @florabenjamin8306
    @florabenjamin8306 Год назад +1

    Pole sana mtumishi mungu akutie nguvu Kwa utukufu wake

  • @Kefa-yw3jy
    @Kefa-yw3jy 7 месяцев назад

    Kilajambo linalipwa apapa duniani kwaimani natokee geleezani amen

  • @mako331
    @mako331 2 года назад +1

    This is a way of mourning too, Pole mtumishi

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 10 месяцев назад

    Hawa ndio watu Mungu anajivua kumsimangia shetani kwani kujaribiwa kwao kuna mpa mungu utukufu

  • @petlomalamla2314
    @petlomalamla2314 2 года назад +1

    Pole Sana kaka mungu akufumnge mkanda tu dunian tuwapitaji

  • @re.emmanuelmdoe3345
    @re.emmanuelmdoe3345 Год назад +1

    Utukufu Kwa Mungu JUU Amina 🔥🔥🙌

  • @user-xh9dm3ni4k
    @user-xh9dm3ni4k Месяц назад

    Utalipwa na Mungu

  • @flowinmyamba950
    @flowinmyamba950 Год назад

    Kwa kweli unaheri mno mtumishi wa Mungu unajua kuchukua maumivu na magumu du. Mungu akupe wepesi.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 года назад

    Aiseeeeeeee ni Mungu ajitwalie utukufu wake kwa mtumishi wake

  • @felisternjeru9196
    @felisternjeru9196 Год назад

    Pole sana mtumishi...twakupenda sana. Ako salama amemuona Yesu

  • @joelmoses3789
    @joelmoses3789 2 года назад

    Hii inahiyajika nguvu kubwa sana kutoka kwa Mungu Mungu Mungu wetu wa mbingini JEHOVAH. Sio kitu rahisi sana kibinadamu. Barikiwa sana mtumishi. Na ndugu yetu apate pumzika salama penye heri kuu.

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj 2 месяца назад

    Mungu akusaidie kubariki kama alipo sidii kubariki

  • @greysonmalila1296
    @greysonmalila1296 Год назад

    Huyu jamaa anauchu sana but njia anayotumia kuomboleza itamgariku sana mbeleni heri angelia uchungu upoe kiasi but hivo ataumia milele kuna siri kubwa sana kwenye kicheko cha uchungu😢😢😢😢 nashauri tu

  • @costasignol6505
    @costasignol6505 11 месяцев назад

    Shujaa wa Imani,mungu akubariki.ayubu wa leo

  • @dianajohn8520
    @dianajohn8520 Год назад

    hakika Kila nafsi itarudi kwa aliyeiumba , bwana ametoa na bwana ametwaa, amina

  • @RoseMapunda-pd6vg
    @RoseMapunda-pd6vg 10 месяцев назад

    Siwezi mimi nime fiwa hvi juz na mtoto wangu hata kumzika sijaweza hari yangu ilikuwa mbaya mno hongera wewe

  • @happinessamaro1565
    @happinessamaro1565 Год назад

    Pole sana Mungu awatie nguvu hakika ndani yenu yupo roho Mt

  • @puritydaudi9752
    @puritydaudi9752 Год назад

    😭😭😭😭duh sina la kusema ila Mungu awafariji😭😭😭😭😭😭 can't believe this😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 2 года назад

    Pole sn mtumishi. Mungu akusimamie na akupatie Nguvu

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Год назад

    POLE SANA,,,BWANA YESU alipokea mali yake hakika🙏

  • @Praiseandgift4181
    @Praiseandgift4181 Год назад

    Furaha gani mungu kumpa mtumishi wake nguvu ya kummuomboleza mwanae,pumzika kwa amani

  • @SikujuaEmmanuel-fj4mg
    @SikujuaEmmanuel-fj4mg 10 месяцев назад

    Duuuu!!!kweli kukaa na yesu ni kizuri hufariji faraja ya kweli,😭

  • @user-zs7hm1xh6f
    @user-zs7hm1xh6f 4 месяца назад

    Pole mungu awafunge kamba ya kipekee

  • @mariamthomas3902
    @mariamthomas3902 2 года назад +2

    Amen baba nimejifunza

  • @dorakiyao4509
    @dorakiyao4509 Год назад +1

    Pole sana baba

  • @masavumwende
    @masavumwende Год назад

    Mungu akupe watoto wengine kama Job

  • @mariacharles4698
    @mariacharles4698 2 года назад

    Kwa kibinadamu ni ngumu wapendwa mungu anajua kusudi Hilo pole mtumishi wa Mungu

  • @user-ys4md3gg6o
    @user-ys4md3gg6o 5 месяцев назад +1

    Polen sana jaman 😢😢

  • @2012SporahVenance
    @2012SporahVenance 2 года назад +1

    Ujasiri wa ki Mungu ulionao usipungue daima.

  • @neemawidisony5903
    @neemawidisony5903 2 года назад +9

    Polen Sana usione inje anachangamka ila ndani ya moyo anaumia

  • @noahpaulo3845
    @noahpaulo3845 22 часа назад

    Duuuuh huyu ndio nabii wa kwer

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Год назад

    Pole ila simama kama mchungaji achana na siasa mungu hapendi michanganyo

  • @zawadikwalazi6213
    @zawadikwalazi6213 Месяц назад +1

    😢😢😢polen sana..❤❤❤

  • @masaluleonardrobert57
    @masaluleonardrobert57 11 месяцев назад

    Hakika MUNGU akikaa ndani yako hushindwi na jambo lolote, Yesu azidi kukupigania baba Mwakipesile

  • @indalesiohenery6124
    @indalesiohenery6124 11 месяцев назад +1

    Sijawahi kuona mtumishi wa MUNGU mwenye ujasili kama huyu hakika ,

  • @norasaid600
    @norasaid600 Год назад

    Hakika leo nimeona kitu cha kujifunza mungu watie nguvu

  • @sarahmollel8458
    @sarahmollel8458 2 года назад

    Daaah pole Sanaa mtumishi wa mungu

  • @LogiruSaitabau-pm8gf
    @LogiruSaitabau-pm8gf 7 месяцев назад

    Inauma sana 😭😭😭

  • @amosjohn-of5sb
    @amosjohn-of5sb Год назад

    Pole mtumishi

  • @user-sk4mt4hd2b
    @user-sk4mt4hd2b 11 месяцев назад +1

    Anahitaji kukaa na mwanasaikolojia kumuweka sawa mchungaji hiyo siyo furaha amechanganyikiwa mwenzenu

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct 3 месяца назад

    Mungu yupo ndan yako

  • @kankillian6090
    @kankillian6090 Год назад

    Eeeh wokovu wa kweri upo jmn ni mtu mwenye tumaini😭

  • @husa8849
    @husa8849 4 месяца назад

    Mungu nimwema kwawujasili uliwonao

  • @elinathanikunguni-gi2tn
    @elinathanikunguni-gi2tn Год назад

    Pole sana mchungaji

  • @isdoryhenry-bh5kk
    @isdoryhenry-bh5kk Год назад

    poleni sana inaumiza sana

  • @MarySimoni-tz3fm
    @MarySimoni-tz3fm 10 месяцев назад

    Poleni mungu awatangulie

  • @giftsokolo3
    @giftsokolo3 Год назад

    Japo it's soo painful 😭💔 mweee Mungu n mwema always

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 Год назад

    Pole Sana wanafamilia

  • @HappyHappy-bz2bv
    @HappyHappy-bz2bv 2 года назад

    Mungu akubalik sana na pole sana

  • @lylychris6553
    @lylychris6553 8 месяцев назад

    To God be all the glory.

  • @chademaelfhasmolell
    @chademaelfhasmolell 11 месяцев назад

    Mungu yupo atakulipaa