Yohana 3:16 Ilimbidi YESU mwana pekee wa Mungu Afe kwa ajili ya kuikombowa Dunia.. Na Shujaa wokovu Alitamani Atangulie kabla ya babà,na kumbe amewafia wengi, Du ramani ya Mungu ni ngum
Poleni sana waumini wote.pamoja.na.pastor..na.mke.wake.inahuzunisha.sana.huzuni isiyo farijika.na.mwanadam yoyote mungu mwenyewe.awafariji awape mioyo.ya ujasiri.kukubali kilichotokea sote. Tumetoka kwake na.kwake tutarudi mungu akujalie kupata wana wengine kama.ayubu. maana njia za mwanadam sio za mungu mungu awajalie .kushinda jaribu.hilo muweze kupita salama pamoja.na kanisa
@@dorisfabian4776 huyu mtu ni mwehu kabisa, Kwanza amekosa adabu, mbarikiwa ni kijitu kisichokuwa na adabu hata kidogo, Kwanza mdomo wake ni mchafu, uwa anatukana watu bila kuogopa, kwa jumla ni kwamba huyu kijana Hana adabu, yupo Kama Teja mvuta bangi,
Pamoja Na magumu haya yote Mungu atabaki kuwa Mungu,Mungu awe faraja kwen
Pole sana kaka
Mungu anawatafuta watu wenye imani kama wewe mchungaji mwakipesile ingawa roho inauma lakini Bado Mungu atabaki kuwa Mungu tu,
Poleni sana kwa majonzi makubwa mwenyezi mungu ammpumuzishe kwa amani
Poleni sana Mungu atabaki kuwa Mungu
Uwiii...isyesye...umemeza ndugu zetu pumziken wapendwa wetu tupo nyuma😭😭
Pole kw msiba Bishop mungu akupe faraja kw wakti mgumu huu
Poleni saana MUNGU awatie nguvu
poleni sana familiya ya baba mwakipesile
Aliugua au ilikuwaje jamani...
😭😭😭😭😭😭imeniumaa sanaa
Mungu wangu ata kufuta machozi mtumishi wa mungu
Yuko mfariji wa kweli awafariji
Yohana 3:16
Ilimbidi YESU mwana pekee wa Mungu Afe kwa ajili ya kuikombowa Dunia..
Na Shujaa wokovu Alitamani Atangulie kabla ya babà,na kumbe amewafia wengi, Du ramani ya Mungu ni ngum
Pole dada nimelia Kama nipo karibu inauma Sana dunia tunapita poleni sana
Poleni wapendwa Mungu awape faraja ktk magumu haya
Nenda shujaa, umeondoka kwa heshima.
Haki poleni sana
Poleni sana
Duh jmn kifo ni fumboo la imani uwiii😭😭😭😭 tukeshee tukiombaa maana hatujui siku wa la saa
Aliugua au, ni mdogo jamani
Pumzika kwa amani wokovu
Pole Sana 😌😭
Matha mdg wangu pole kwa msiba wa mdg wako pia hongora kwa kazi nzur
Aliugua nini huyo mtoto wa Mungu Jamani daah nimelia
Poleni
Twende mbele.
Pole sana
Kwa kumpoteza mpendwa wetyu wokovu mwenyezi Mungu akutie nguvu Kwa kipindi hiki kigumu👏👏😭😭😭😭
Huyu mtoto hawakumuaga mara ya mwisho au alkua amearibika jamn
Polen
😭😭
😭😭😭😭😭
Poleni sana waumini wote.pamoja.na.pastor..na.mke.wake.inahuzunisha.sana.huzuni isiyo farijika.na.mwanadam yoyote mungu mwenyewe.awafariji awape mioyo.ya ujasiri.kukubali kilichotokea sote. Tumetoka kwake na.kwake tutarudi mungu akujalie kupata wana wengine kama.ayubu. maana njia za mwanadam sio za mungu mungu awajalie .kushinda jaribu.hilo muweze kupita salama pamoja.na kanisa
Mimi hata uniambie Nini, siamini Kama huyu mbarikiwa ni mzima, Mimi naamini huyu jamaa ni mwehu
Jamani kwani ana matatizo gani huyu mtumishi?
@@dorisfabian4776 huyu mtu ni mwehu kabisa, Kwanza amekosa adabu, mbarikiwa ni kijitu kisichokuwa na adabu hata kidogo, Kwanza mdomo wake ni mchafu, uwa anatukana watu bila kuogopa, kwa jumla ni kwamba huyu kijana Hana adabu, yupo Kama Teja mvuta bangi,
Bwana awatie nguvu katika hili pito ninacho fahamu ipo siku tutaonana na wapendwa wetu waliyo lala katika kristo yesu jipeni moyo ndugu zangu.
😭😭😭
Sasa hao waombolezaji wanapiga picha za nini? Hawatulii na hizo simu.
hayajawafika hao wapo msibani kuchukua matukio
Poleni sana
Polen
Poleni sana wafiwa, mungu awatie nguvi
Kipimo cha iman mungu akutie nguvu
Maumivu ayaelezeki mungu watie nguvu
Alikuwa mdogo jamani, Mwendo umeumaliza mtumishi wa Mungu Wokovu