Hitimisho la mazishi ya Shujaa wetu WOKOVU___MBARIKIWA~MWAKIPESILE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2022

Комментарии • 46

  • @rosekapufi9903
    @rosekapufi9903 Год назад +5

    Pamoja Na magumu haya yote Mungu atabaki kuwa Mungu,Mungu awe faraja kwen

  • @ulimbokaaloyce7528
    @ulimbokaaloyce7528 Год назад +3

    Mungu anawatafuta watu wenye imani kama wewe mchungaji mwakipesile ingawa roho inauma lakini Bado Mungu atabaki kuwa Mungu tu,

  • @rizikivincent5255
    @rizikivincent5255 Год назад +4

    Poleni sana kwa majonzi makubwa mwenyezi mungu ammpumuzishe kwa amani

  • @helenachaula2598
    @helenachaula2598 Год назад +2

    Poleni sana Mungu atabaki kuwa Mungu

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce4330 Год назад +4

    Uwiii...isyesye...umemeza ndugu zetu pumziken wapendwa wetu tupo nyuma😭😭

  • @suleshmacs1286
    @suleshmacs1286 Год назад +1

    Pole kw msiba Bishop mungu akupe faraja kw wakti mgumu huu

  • @kilumiletvonline2001
    @kilumiletvonline2001 Год назад

    Poleni saana MUNGU awatie nguvu

  • @ElizabethObeth-jt7ky
    @ElizabethObeth-jt7ky 9 месяцев назад

    poleni sana familiya ya baba mwakipesile

  • @user-bs5kv1un8y
    @user-bs5kv1un8y 4 месяца назад

    Aliugua au ilikuwaje jamani...

  • @annaelia4065
    @annaelia4065 Год назад +3

    😭😭😭😭😭😭imeniumaa sanaa

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Mungu wangu ata kufuta machozi mtumishi wa mungu

  • @joycegideon8224
    @joycegideon8224 Год назад +1

    Yuko mfariji wa kweli awafariji

  • @mestonianatori7254
    @mestonianatori7254 Год назад +4

    Yohana 3:16
    Ilimbidi YESU mwana pekee wa Mungu Afe kwa ajili ya kuikombowa Dunia..
    Na Shujaa wokovu Alitamani Atangulie kabla ya babà,na kumbe amewafia wengi, Du ramani ya Mungu ni ngum

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Год назад

    Pole dada nimelia Kama nipo karibu inauma Sana dunia tunapita poleni sana

  • @bupekalambo3513
    @bupekalambo3513 Год назад

    Poleni wapendwa Mungu awape faraja ktk magumu haya

  • @Dreamer-wf9or
    @Dreamer-wf9or Год назад

    Nenda shujaa, umeondoka kwa heshima.

  • @mercymutabe8206
    @mercymutabe8206 Год назад

    Haki poleni sana

  • @bahatikyusa8864
    @bahatikyusa8864 Год назад

    Poleni sana

  • @happymbegalo2965
    @happymbegalo2965 Год назад +2

    Duh jmn kifo ni fumboo la imani uwiii😭😭😭😭 tukeshee tukiombaa maana hatujui siku wa la saa

    • @esorfuture
      @esorfuture Год назад

      Aliugua au, ni mdogo jamani

  • @leahbrown591
    @leahbrown591 Год назад

    Pumzika kwa amani wokovu

  • @pendomathayo2667
    @pendomathayo2667 Год назад

    Pole Sana 😌😭

  • @noelmasawe3055
    @noelmasawe3055 Год назад

    Matha mdg wangu pole kwa msiba wa mdg wako pia hongora kwa kazi nzur

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 Год назад

      Aliugua nini huyo mtoto wa Mungu Jamani daah nimelia

  • @linetwanjala4233
    @linetwanjala4233 Год назад

    Poleni

  • @UlimwenguMilenga
    @UlimwenguMilenga Год назад

    Twende mbele.

  • @martinaalphonse2642
    @martinaalphonse2642 Год назад

    Pole sana
    Kwa kumpoteza mpendwa wetyu wokovu mwenyezi Mungu akutie nguvu Kwa kipindi hiki kigumu👏👏😭😭😭😭

  • @deborahdickson8123
    @deborahdickson8123 Год назад

    Huyu mtoto hawakumuaga mara ya mwisho au alkua amearibika jamn

  • @floramkinga2400
    @floramkinga2400 Год назад

    Polen

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Год назад

    😭😭

  • @lucymwaijengo3790
    @lucymwaijengo3790 Год назад

    😭😭😭😭😭

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 Год назад +1

    Poleni sana waumini wote.pamoja.na.pastor..na.mke.wake.inahuzunisha.sana.huzuni isiyo farijika.na.mwanadam yoyote mungu mwenyewe.awafariji awape mioyo.ya ujasiri.kukubali kilichotokea sote. Tumetoka kwake na.kwake tutarudi mungu akujalie kupata wana wengine kama.ayubu. maana njia za mwanadam sio za mungu mungu awajalie .kushinda jaribu.hilo muweze kupita salama pamoja.na kanisa

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Год назад +1

    Mimi hata uniambie Nini, siamini Kama huyu mbarikiwa ni mzima, Mimi naamini huyu jamaa ni mwehu

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 Год назад

      Jamani kwani ana matatizo gani huyu mtumishi?

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Год назад +1

      @@dorisfabian4776 huyu mtu ni mwehu kabisa, Kwanza amekosa adabu, mbarikiwa ni kijitu kisichokuwa na adabu hata kidogo, Kwanza mdomo wake ni mchafu, uwa anatukana watu bila kuogopa, kwa jumla ni kwamba huyu kijana Hana adabu, yupo Kama Teja mvuta bangi,

  • @joanithagidion9796
    @joanithagidion9796 Год назад

    Bwana awatie nguvu katika hili pito ninacho fahamu ipo siku tutaonana na wapendwa wetu waliyo lala katika kristo yesu jipeni moyo ndugu zangu.

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 7 месяцев назад

    😭😭😭

  • @bahatizuberi9265
    @bahatizuberi9265 Год назад

    Sasa hao waombolezaji wanapiga picha za nini? Hawatulii na hizo simu.

    • @kwinikajila7516
      @kwinikajila7516 Год назад

      hayajawafika hao wapo msibani kuchukua matukio

  • @estershenene8787
    @estershenene8787 Год назад

    Poleni sana

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666

    Polen

    • @hellenamdollo1231
      @hellenamdollo1231 Год назад

      Poleni sana wafiwa, mungu awatie nguvi

    • @ommyhossea2176
      @ommyhossea2176 Год назад

      Kipimo cha iman mungu akutie nguvu

    • @anetyjackson3617
      @anetyjackson3617 Год назад

      Maumivu ayaelezeki mungu watie nguvu

    • @rosebrown510
      @rosebrown510 Год назад

      Alikuwa mdogo jamani, Mwendo umeumaliza mtumishi wa Mungu Wokovu