Tumezamia Canada🇨🇦 OMG 😳 nirahisi kuingia Canada ukitokea USA 🇺🇸, Tz🇹🇿 flag to the world 💪🏻

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 мар 2024

Комментарии • 69

  • @bernardmunuo2137
    @bernardmunuo2137 3 месяца назад +7

    Bro hiyo furaha sio yako tuu umefanya hata mimi nimefurahi pia... hongera sana na huwa naangalia sana contents zako na hii roadtrip toka video ya kwanza unapanga mbaka huko safarini ni nzuri na imejaa details za kutosha umuwachi muangaliaji awe alone. Bro niko safarini na nyie ingawa naangalia kwenye simu. May God protect you

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад +2

      This is great comment ever nimefurahi kwa comment yako kk, mungu akubariki🙏🏻

  • @dinnahdavid
    @dinnahdavid 3 месяца назад +1

    Na Mimi nimefurahi Sana jamani hongera Sana bro 🇹🇿 to the world

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 3 месяца назад +2

    Nakukubari San brow

  • @YahyaSaid-nv1ri
    @YahyaSaid-nv1ri 2 месяца назад

    Dah pw sana hiyo

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 3 месяца назад +4

    mmeingia BRITISH COLUMBIA.ALBERTA aisee mmetembea ❤

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад

      Mzee ushafikaga nn? Exactly 👍

    • @salumsalum8866
      @salumsalum8866 3 месяца назад +3

      @@mshanatheblacksmith teh ni dream yangu kufika US and Canada so Map ya Us na state zake zote zipo kichwan Awadh.InshaaAllah 1day ntakukumbusha hii msg

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 3 месяца назад

      ​@@salumsalum8866kaka tuwasiliane

  • @trommyx
    @trommyx 3 месяца назад +1

    good job

  • @EmmanuelKibavu
    @EmmanuelKibavu 3 месяца назад +2

    Polee kwa mafua lakin

  • @nasrinairi9556
    @nasrinairi9556 3 месяца назад +2

    Umetisha sana Bro

  • @JumaHabibu-ki7hu
    @JumaHabibu-ki7hu 3 месяца назад

    Jamaa anainjoy sana

  • @blacksingapore
    @blacksingapore 3 месяца назад +2

    Nakubali kaka 🔥🔥

  • @Teslin_Tv
    @Teslin_Tv 3 месяца назад +2

  • @mahatamohamed5144
    @mahatamohamed5144 3 месяца назад +2

    SAFI SANA, NIMEIPENDA HII

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 3 месяца назад

    Daaa..raha aiseee

  • @user-lj7mu1tk2b
    @user-lj7mu1tk2b 3 месяца назад +2

    Safisana brooo

  • @IbrahimMwadini-hz7ib
    @IbrahimMwadini-hz7ib 3 месяца назад +1

    Mshana naomba please 🙏🙏 no zako za whps sio story tupu..

  • @mamab8900
    @mamab8900 3 месяца назад +2

    Umeipeperusha bendera ya TZ vizuri sana

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад

      Tunatangaza nchi yetu na utalii wetu, Asante 🙏🏻

    • @Mariam-zh4bf
      @Mariam-zh4bf 3 месяца назад +1

      Yaani ameipeperusha bila hiana

  • @ntayega.a.hamissi9760
    @ntayega.a.hamissi9760 3 месяца назад +3

    Green card holder anaingia Canada bila visa

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад

      Yes kk upo sahihi tume research now na wamesema unahitaji USCIS card(Green card)✊🏼

  • @htx1873
    @htx1873 3 месяца назад

    I been there done that , 4 years ago, I went to the park that is divided into two one part of the park iko usa na one side iko Canada so it was fun and cool to experience ila nothing special, and it’s BORING !!!!!!

  • @Bongomastermind
    @Bongomastermind 3 месяца назад +2

    Brouh ukiwa na greencard canada unaingua bila visa ,,, fatila tuu then utaelewa

  • @saidimega9615
    @saidimega9615 3 месяца назад +2

    Mzee umeona mzungu

  • @hussenkarigo4496
    @hussenkarigo4496 2 месяца назад

    Kumbe nirahisi sana kuinga Canada kutokea US

  • @OmarVuru
    @OmarVuru 3 месяца назад +1

    Kaka abari Yako nisaidie mpango yote Mimi sitaki kazi ofisni kazi mashambani mm nguvu kazi sichagui kazi sepa kidogo ninayo kaka naomba namba ya sm

  • @OmaryKaniki-hs5mz
    @OmaryKaniki-hs5mz 3 месяца назад +1

    Yaani mwamba Leo umenifuraisha sana

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад

      Kwanini? 😃

    • @OmaryKaniki-hs5mz
      @OmaryKaniki-hs5mz 3 месяца назад +1

      @@mshanatheblacksmith yaani umeingia na bendela yatanzania mbaka kwenye maboda yawatu bila uwoga wowote

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад

      @@OmaryKaniki-hs5mz 😂😂 tunatangaza nchi 😂😂

    • @OmaryKaniki-hs5mz
      @OmaryKaniki-hs5mz 3 месяца назад

      @@mshanatheblacksmith kweli unajitahidi

  • @rahmapesazangu934
    @rahmapesazangu934 3 месяца назад +1

    Siku moja uende Canada Kwa ma mkubwa

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 3 месяца назад +1

    Canada ni nchi ya 2 duniani kwa ukubwa kisha marekani ni nchi ya 3 duniani kwa ukubwa ya kwanza ni Russia ya 4 ni china

  • @juniorbrown2019
    @juniorbrown2019 3 месяца назад

    Ukiwa na green card hauhitaji visa kuingia Canada kwasababu marekani na Canada ni nchi pacha ambazo zinamaelewano mazuri. Na wana histori moja wote na waliowakoloni ni wamoja na pia ni bara moja ya amerika kaskazini 🇺🇸🇨🇦

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 3 месяца назад

    mate tu yanatoka ila one day tutakuja huko japo ni nchi za ahadi ..basi tu hadi maneno yanaishia hapo

  • @Maishacanada
    @Maishacanada 3 месяца назад +1

    Karibu Canada mkuu

  • @mahatamohamed5144
    @mahatamohamed5144 3 месяца назад +1

    Sasa ikiwa nataka kuja marekani kimaisha akini pia nikawa nahitaji niwe sehemu ambapo swala tano Msikitini napenda, inawezekana au ni kishidashida? niambie Bro wangu

    • @salehramio.680
      @salehramio.680 3 месяца назад

      Do swala Tano msikitini ??? Kaka Bora ubaki Tanzania kwani Canada n'a Amérique Ama Europe iyo la swala 5 sahau

    • @PureSoul-rf4xd
      @PureSoul-rf4xd 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Zuu673
    @Zuu673 3 месяца назад +1

    Jamani tusaidieni tusio soma tupate kuja kazi za usafi😢

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 3 месяца назад +1

    Tibu mafua kwanza hayo 😂😂😂

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад +1

      Mafua it’s because ya baridi hii ni North mwa dunia sio bongo mafua ni ugonjwa,😀

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 3 месяца назад +2

      @@mshanatheblacksmith kweli ila mimi niko suoth Africa pia tuna barafu nasasa baridi imeanza 🇿🇦🇿🇦🙏😂😂

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад +1

      @@user-nb6yh2bn9y wabongo kama hawajatoka Dar hawaelewi, ukiwa huku hasa ukiwa nnje mda mrefu it’s so cold unajikuta unamafua alafu pia kuna miti inasababisha allergy ya mafua

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 3 месяца назад

      @@mshanatheblacksmith asante kaka tuko moja nikweli kabisa 🙏🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 3 месяца назад +1

    We una mafua halafu unaride na Mtu kwenye gari moja huku vioo vimefungwa kwasababu ya Baridi kumwabukiz tuu mafua mtu mwingine. Kwanini usingesubiri Ukapona Mafua yako?

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 Месяц назад

      Hata mimi nimeliona hilo jamaa ana mafua makali sana

  • @ibrahimsaguti7470
    @ibrahimsaguti7470 3 месяца назад +1

    Vipi ukizamia USA kupitia the Bahamas?

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад +1

      Ni kisiwa ndugu sio kama 🇨🇦 just a border unaweza kuvuka kwa kutembea 2, like upo Znz na unataka kuja Dar kwa kuzamia

    • @ibrahimsaguti7470
      @ibrahimsaguti7470 3 месяца назад +1

      @@mshanatheblacksmith nmekupata kaka that means ni bora niapply visa ya Canada na USA ili kama nkikosa ya USA nkapata ya Canada utakuwa rahisi zaidi kuingia USA kuliko Bahamas, nmekuelewa

    • @user-cu9fe5ev5x
      @user-cu9fe5ev5x Месяц назад

      @ibrahimsaguti7470, ni aje, em nipe namba zako mkuu

    • @user-cu9fe5ev5x
      @user-cu9fe5ev5x Месяц назад

      mkuu em nipe mwasiliano yako

  • @user-mf2jf6dp7z
    @user-mf2jf6dp7z 3 месяца назад +3

    Mbona auja tuonyeshe Washington kutoka Oregon pale Eugene kaka

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  3 месяца назад

      Msijali video nzima inakuja itakuwa P3 hii ni short video tu kwasababu i was happy kuingia Canada 🇨🇦 Ila Asante kwa kuuliza 🙏🏻

    • @user-mf2jf6dp7z
      @user-mf2jf6dp7z 3 месяца назад

      Nakubali sana kaka chukua maua yako kutoka mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹🌹🌹🌹

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 3 месяца назад

      ​@@mshanatheblacksmithkaka naomba kujuwa ulitumia njia gani kufika huko?

  • @pongwermastory6715
    @pongwermastory6715 3 месяца назад

    Naomba email yako brother