JINSI gani unaweza kupata PAPERS/GREEN CARD ukija USA kwa visa ya kutembea.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 июл 2023

Комментарии • 51

  • @genophevagasper5006
    @genophevagasper5006 4 месяца назад +2

    Vizuri ungekuwa unaenda straight kwenye point,ukiremba sana unajipunguzia watu wa kufuatilia.wanachoka.

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 4 месяца назад +2

    Nafatilia sana kipindi chako ila sipendi unavyoongea uku unatafuna chakula,mi nafikili ungemaliza kula kwanza kisha ndio uwanze kulikodi

  • @ashimushi6894
    @ashimushi6894 7 дней назад

    Kaka apa umemalizaaaaaaa👏🙌🙌
    Sina Tena swaliiii Wala nini🔥🔥

  • @kakamkuu5383
    @kakamkuu5383 4 месяца назад +1

    Ndugu yangu leo umekidhi kiu yangu nilikuwa naswali hilo mda mrefu Dar hapa hapana kazi ngumu ubarikiwe sana mkuu ngoja nipambane Mungu akijalia nitafika tu maana ndiyo ndoto yangu USA

  • @user-mt9ni2dv5l
    @user-mt9ni2dv5l 2 месяца назад +1

    Naona TV umeiokota Street gani ama ni ile nimeiona pale federal way

  • @bakarymousam126
    @bakarymousam126 4 дня назад

    Je nani atahitaji kujaziwa Ds form ya marekani kwa ajili ya visa na kuombewa appointment ya ubalozini kwa ajili ya interview
    Kama ni wewe basi reply au comment neno "mimi"

  • @fahadkhami1494
    @fahadkhami1494 7 месяцев назад

    Habari kaka

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 11 месяцев назад

    Umetisha sana

  • @kiwopechannel945
    @kiwopechannel945 10 месяцев назад

    Vipi kuhusu exchange program na vipi ulifika unaweza kubadili visa na kubaki? Mfano utafute summer camp counsellor and then ubadili na hiyo summer camp counsellor njia zake ni zipi tupe elimu kaka

  • @iamfrowin7844
    @iamfrowin7844 3 месяца назад

    shukrani kwa hizi info man leo nimejua kuna I-765 form ya kuomba kibali cha kufanya kazi ukienda na visiting visa then I-485 form ya kuomba green card pia ubarikiwe mno

  • @MussaJohn-dz3mu
    @MussaJohn-dz3mu 11 месяцев назад +1

    bro unafunguka kinoma big up,,,1 day yesss

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 5 месяцев назад

    Year apo umsema ukweri ushauri wa kinafk maana nikipata chansi paa usa.aaa iyo imetoka tena.

  • @fahadkhami1494
    @fahadkhami1494 7 месяцев назад

    Kununuwa nyumba naweza kupewa creen card?

  • @shortverses1604
    @shortverses1604 4 месяца назад

    Oya mjomba huwa tunakusikiliza huku bongo sema nini...ongeza sauti au nunua zile myk za kuifanya sauti yako iwe HD coz Mimi samtym huwa nachukua audio tu cyo video huwa tunasikiliza samwhere sa HD ya voice yako ni ndogo sana

  • @ayk20
    @ayk20 11 месяцев назад +2

    Next time kuwa serious kidogo acha kutafuna unapo record video unazingua

    • @MJM52
      @MJM52 11 месяцев назад

      Kwani hujasikia anachokiongea?

    • @frankkataraiha607
      @frankkataraiha607 11 месяцев назад

      ​@@MJM52mkuu swala sio kusikika ishu ni kuongea huku unatafuna kwa uharisia haipendez

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 10 месяцев назад +1

      Ni kweli inapunguza seriousness

    • @davisminja3742
      @davisminja3742 8 месяцев назад +1

      Amezinguaa leo

  • @HamisDotto
    @HamisDotto 6 месяцев назад

    Kaka mambo vp mimi nampango wa kuja malekani Aidia yangu ni dereva ila kama nitapata fulusa yakufka huko kazi yoyote nipo tayali kuifanya

  • @user-qx9yv9co1y
    @user-qx9yv9co1y 11 месяцев назад

    Nawesa je

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 5 месяцев назад

    Yeah mimi nime aplay DV lottery mungu akipenda yes

  • @djumajaymoni1088
    @djumajaymoni1088 11 месяцев назад

    Una zunguusha maneno sana yani una rudiliya maneno Mara 10

  • @jafarikilima368
    @jafarikilima368 9 месяцев назад +2

    Kuhusu kazi za ujenzi

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад

      Zpo, ukipata makaratasi unaweza kufanya job nyingi almost nyingi huhitaji shule ukiingia entry level

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 10 месяцев назад +1

    Hello hongera sana kazi nzuri naweza kuongea na wewe?? mimi nipo USA

  • @djumajaymoni1088
    @djumajaymoni1088 11 месяцев назад +1

    🇺🇸😢

  • @mpigadaud4180
    @mpigadaud4180 11 месяцев назад

    Broo niko napambana saana

  • @lydiajohn6865
    @lydiajohn6865 8 месяцев назад

    Naomba email yako. Mdogo wangu.

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 11 месяцев назад +1

    Kaka nakufuatilia sana nakuelewa sana maana umekaa katika ndoto zangu.

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 11 месяцев назад

    Una akili nyingi mdogo wangu

  • @lydiajohn6865
    @lydiajohn6865 8 месяцев назад

    Arikiwe Sana mdogo wangu mshana, naomba email yako,

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 11 месяцев назад +1

    'MADINI SAFI'👊

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 8 месяцев назад

    Mshana vp kuhusu kusali umemfundisha mkeo? Maana umemsilimisha mkeo kabla hujamuoa! Je? Unamfundisha kuhusu uislam?

    • @mtatapharaoh5174
      @mtatapharaoh5174 6 месяцев назад

      uislam ni dini za kiarabu, kwanini aimfundishe mila na desturi za africa, uislam ni dini mlizorithiwa na waarabu waliowatawala

  • @davisminja3742
    @davisminja3742 8 месяцев назад +1

    Mwanzo ulikuwa unafanya vizuri ila saivi una zingua kama umedhamiria kutoa elimu toa kwa utulivu na hii siyo elimu tuu bali ni biashara kwako hata kama huweki hilo wazi.Too much chewing ina boa ila sijui kwanini Wabongo wakisha anza kunjua goti wanakuwa hivyo

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 Год назад +1

    Hongera sn bro kweli umenijibu vzr sn na nimepata mwangazaa mzr muhimu juhudi ifanyikee kwetu ss tuko pmja sn

    • @binabeid3980
      @binabeid3980 Год назад +1

      Kwl zmn na asv ni tofauti sn zmn ulikuwa ikitaka kusafiri mbele unadandia meli miezi meli haijaondoka port lkn asv technology nimekuja wallah unatipia hapo hapo airport fresh

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  Год назад

      Karibu, tupo pamoja

  • @jafarikilima368
    @jafarikilima368 9 месяцев назад

    Tengeneza video kuhusu Nazi za ujenzi

  • @lobatizabron
    @lobatizabron 10 месяцев назад

    Vipi mshana galama yaviza nishingapi

  • @garmyahmedan2203
    @garmyahmedan2203 6 месяцев назад

    Kiukweli uan stor sana ambazo maelezo machache yan stor mara ulambe lips utulie kwanza kuwa open uwasaidie watu

    • @joeljoseph4646
      @joeljoseph4646 2 месяца назад

      Nachukia sana sana mtu anae ongea na kutafuna tafuna vitu mdomoni