Ndugu yangu leo umekidhi kiu yangu nilikuwa naswali hilo mda mrefu Dar hapa hapana kazi ngumu ubarikiwe sana mkuu ngoja nipambane Mungu akijalia nitafika tu maana ndiyo ndoto yangu USA
Je nani atahitaji kujaziwa Ds form ya marekani kwa ajili ya visa na kuombewa appointment ya ubalozini kwa ajili ya interview Kama ni wewe basi reply au comment neno "mimi"
Vipi kuhusu exchange program na vipi ulifika unaweza kubadili visa na kubaki? Mfano utafute summer camp counsellor and then ubadili na hiyo summer camp counsellor njia zake ni zipi tupe elimu kaka
shukrani kwa hizi info man leo nimejua kuna I-765 form ya kuomba kibali cha kufanya kazi ukienda na visiting visa then I-485 form ya kuomba green card pia ubarikiwe mno
Oya mjomba huwa tunakusikiliza huku bongo sema nini...ongeza sauti au nunua zile myk za kuifanya sauti yako iwe HD coz Mimi samtym huwa nachukua audio tu cyo video huwa tunasikiliza samwhere sa HD ya voice yako ni ndogo sana
Mwanzo ulikuwa unafanya vizuri ila saivi una zingua kama umedhamiria kutoa elimu toa kwa utulivu na hii siyo elimu tuu bali ni biashara kwako hata kama huweki hilo wazi.Too much chewing ina boa ila sijui kwanini Wabongo wakisha anza kunjua goti wanakuwa hivyo
Kwl zmn na asv ni tofauti sn zmn ulikuwa ikitaka kusafiri mbele unadandia meli miezi meli haijaondoka port lkn asv technology nimekuja wallah unatipia hapo hapo airport fresh
Vizuri ungekuwa unaenda straight kwenye point,ukiremba sana unajipunguzia watu wa kufuatilia.wanachoka.
Nafatilia sana kipindi chako ila sipendi unavyoongea uku unatafuna chakula,mi nafikili ungemaliza kula kwanza kisha ndio uwanze kulikodi
Kaka apa umemalizaaaaaaa👏🙌🙌
Sina Tena swaliiii Wala nini🔥🔥
Ndugu yangu leo umekidhi kiu yangu nilikuwa naswali hilo mda mrefu Dar hapa hapana kazi ngumu ubarikiwe sana mkuu ngoja nipambane Mungu akijalia nitafika tu maana ndiyo ndoto yangu USA
Naona TV umeiokota Street gani ama ni ile nimeiona pale federal way
Je nani atahitaji kujaziwa Ds form ya marekani kwa ajili ya visa na kuombewa appointment ya ubalozini kwa ajili ya interview
Kama ni wewe basi reply au comment neno "mimi"
Habari kaka
Umetisha sana
Uko poa sn
Vipi kuhusu exchange program na vipi ulifika unaweza kubadili visa na kubaki? Mfano utafute summer camp counsellor and then ubadili na hiyo summer camp counsellor njia zake ni zipi tupe elimu kaka
shukrani kwa hizi info man leo nimejua kuna I-765 form ya kuomba kibali cha kufanya kazi ukienda na visiting visa then I-485 form ya kuomba green card pia ubarikiwe mno
bro unafunguka kinoma big up,,,1 day yesss
🙏🙏
Year apo umsema ukweri ushauri wa kinafk maana nikipata chansi paa usa.aaa iyo imetoka tena.
Kununuwa nyumba naweza kupewa creen card?
Oya mjomba huwa tunakusikiliza huku bongo sema nini...ongeza sauti au nunua zile myk za kuifanya sauti yako iwe HD coz Mimi samtym huwa nachukua audio tu cyo video huwa tunasikiliza samwhere sa HD ya voice yako ni ndogo sana
Next time kuwa serious kidogo acha kutafuna unapo record video unazingua
Kwani hujasikia anachokiongea?
@@MJM52mkuu swala sio kusikika ishu ni kuongea huku unatafuna kwa uharisia haipendez
Ni kweli inapunguza seriousness
Amezinguaa leo
Kaka mambo vp mimi nampango wa kuja malekani Aidia yangu ni dereva ila kama nitapata fulusa yakufka huko kazi yoyote nipo tayali kuifanya
Nawesa je
Yeah mimi nime aplay DV lottery mungu akipenda yes
Una zunguusha maneno sana yani una rudiliya maneno Mara 10
Kuhusu kazi za ujenzi
Zpo, ukipata makaratasi unaweza kufanya job nyingi almost nyingi huhitaji shule ukiingia entry level
Hello hongera sana kazi nzuri naweza kuongea na wewe?? mimi nipo USA
Asante ni DM insta
🇺🇸😢
Broo niko napambana saana
Naomba email yako. Mdogo wangu.
Kaka nakufuatilia sana nakuelewa sana maana umekaa katika ndoto zangu.
😍Asante sana kwa upendo
Una akili nyingi mdogo wangu
Arikiwe Sana mdogo wangu mshana, naomba email yako,
'MADINI SAFI'👊
Mshana vp kuhusu kusali umemfundisha mkeo? Maana umemsilimisha mkeo kabla hujamuoa! Je? Unamfundisha kuhusu uislam?
uislam ni dini za kiarabu, kwanini aimfundishe mila na desturi za africa, uislam ni dini mlizorithiwa na waarabu waliowatawala
Mwanzo ulikuwa unafanya vizuri ila saivi una zingua kama umedhamiria kutoa elimu toa kwa utulivu na hii siyo elimu tuu bali ni biashara kwako hata kama huweki hilo wazi.Too much chewing ina boa ila sijui kwanini Wabongo wakisha anza kunjua goti wanakuwa hivyo
Maringo
Anatafuna tafuna . Analamba lips anatumalizia bmb ZETU tu
Hongera sn bro kweli umenijibu vzr sn na nimepata mwangazaa mzr muhimu juhudi ifanyikee kwetu ss tuko pmja sn
Kwl zmn na asv ni tofauti sn zmn ulikuwa ikitaka kusafiri mbele unadandia meli miezi meli haijaondoka port lkn asv technology nimekuja wallah unatipia hapo hapo airport fresh
Karibu, tupo pamoja
Tengeneza video kuhusu Nazi za ujenzi
Vipi mshana galama yaviza nishingapi
Visa zipo Aina tofauti tofauti
Kiukweli uan stor sana ambazo maelezo machache yan stor mara ulambe lips utulie kwanza kuwa open uwasaidie watu
Nachukia sana sana mtu anae ongea na kutafuna tafuna vitu mdomoni