Jana mdada wa kenya she get deported kutoka USA 🇺🇸 amepigwa BAN ya kuingia 🇺🇸 forever. Phone😭

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 161

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 6 месяцев назад +31

    Katika nchii ambazo nikizuiliwa kuingia nita jilaumu sana ni kenya , uganda,malawi , na nchi yangu mwenyew Tanzania hizo nyingine wala hazinii shtui

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +3

      That’s good 👍 duniani tupo 8 billion hatuwezi kufanana sehemu tunazotaka kuishi, kusoma au hata kitembea.

    • @getrudemusimbi6115
      @getrudemusimbi6115 6 месяцев назад +1

      Exactly our africa is the best

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 6 месяцев назад +1

      Mother land Africa❤

    • @MamuduAziz-h1z
      @MamuduAziz-h1z 6 месяцев назад +2

      Ukiona ivo maisha yako mazuri ndio maana hauna njaaa na la ungekuwa km sisi weee njaa mbaya mm sitaki kusikia kabisa africa sitaki uraia wa nchi yeyote ile y africa sababu nina njaa alafu siwezi kazi za africa mishahara midogo kwa wasio soma america is the best

    • @danielkullwa1613
      @danielkullwa1613 Месяц назад

      Hii ni kweli kabisa..u may choose any part of the world to dwell. Ngoja niwaambieni sisi wahenga kidogo..America sio kwamba kila kitu kipo perfect hapana..Ni wewe umeenda kufanya nini hapo ndio utatengeneza halo ya kuwa perfect au kinyume chake. Unaweza ukaenda na usi make pesa au u ka make it's upon you ume focus kwenye nini.
      Kingine ni hivi, systems zetu ziliharibiwa na wazungu kupitia watu wetu sisi wenyewe na America ilianza kuji brand kitambo sana so choice ya kwanza ukiambiwa uchague lazima utaanza na America. Walisha ji brand kwenye movies, delta force, strik comando sijui na nyingine nyingi..Dunia inatazama hizo movies, ni stratergic branding..would u think of any other country to run to?
      Sisi wabongo tuna ubinafsi na tuna shida ya kuji brand..

  • @mohammedrajab6514
    @mohammedrajab6514 6 месяцев назад +3

    Report ya huyu chalii haina ukweli.
    Look for another story kwani hao wasee walikuwa wanamu employ hawakumuuliza work permit?

  • @FabianoSinghania
    @FabianoSinghania 6 месяцев назад +2

    Asante kwakueza kunichanua Mungu akinisaidia nikafika huko ntajua cha gufanya

  • @YahyaSaid-nv1ri
    @YahyaSaid-nv1ri 5 месяцев назад +1

    Dah noma sana nimejifunza sana thanks mshana

  • @Kijosh854
    @Kijosh854 6 месяцев назад +17

    Acheni ushamba kwani marekani watu awafi!

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +2

      Kwani nimefungua channel kwajili kufundisha watu kutokufa ukifika US?😂 maana kunavitu vinafurahisha hızı comment🙌🏼

    • @hendricaoduba6028
      @hendricaoduba6028 6 месяцев назад

      Swali nzuri kabisa

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 3 месяца назад +2

      Mbona mnjihisi mko peponi karudishwa kwao hajapelekwa jahanamu acha ushamba😅

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 6 месяцев назад +5

    Sasa hiyo ni taarifa ya muhimu kutuambia? 🇰🇪 Bure kabisa. Inferirioty complex ndiyo inakusumbua kaka.Dada hata hiyo isikubabaishe.Kwani Marekani ndiyo uhai wake ama ndiyo binguni.? Hiyi si kitu kuna kutu kwingi anaeza enda na akaishi ile ndoto alikuwa anafuata.

  • @drsamsonkibona371
    @drsamsonkibona371 6 месяцев назад +3

    Kila aliye na dream nzuri ya kimataifa, Marekani ndilo taifa pekee linalokimbiliwa na mataifa yote chini ya jua weupe kwa weusi yaani sisi.
    Utayajua hayo hata ukikaguwa dunia inavyojaza dv ya green card. Ila kwa asiye na ndoto wala sifa za kuingia taifa kile ndie atakaelisusa na kupuuzia maana mi nishaingia huko mara kadhaa ninalijua taifa lile.
    Niseme Pole kwa dada autumie vizuri mtaji aliochuma huku akijaribu tena kwa njia hizi ulizisagest zinaweza kumrudisha tena kule.
    Hata ungeniconnect nae nitakuwa na cha kummshauri.

  • @iddykwangaya2794
    @iddykwangaya2794 6 месяцев назад +7

    Wakenya wana ushamba sana, haya anarudi tena kenya, kujifunza kingeleza,😅

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 6 месяцев назад +3

      Tusamehe kama tumekukosea ila unatutusi Wakenya wote jamani,heri wewe si mshamba...

    • @rachealkibaiya7593
      @rachealkibaiya7593 6 месяцев назад

      kwani English ninini....do English people know any other language?

    • @mirajiali3926
      @mirajiali3926 6 месяцев назад

      Wakenya wao English ndio maendeleo wanasema wao wanajuwa kizungu

    • @josephinemuringo2453
      @josephinemuringo2453 6 месяцев назад

      Kizungu chao ni Kile cha Oxford. Labda ajifunze jinsi ya kutii Sheria za Marekani.

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 6 месяцев назад

      Kingereza si kingeleza

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 6 месяцев назад +6

    Wakati tukiwa vijana wadogo tuliipenda sana marekani kwasababu ya Hip Hop na Movie zao. Lakini pale baada ya kupata elimu na kujitambua tukagundua one of the wastage thing ni kwenda kuishi tu marekani bila kufata sababu ya msingi. Asilimia kubwa wanaoishi tu mawazo yao yote yapo Tanzania sijajua kwanini yanayoendelea huku bongo mpaka mitaani wao wanayajadili huko marekani. Aiseee nimecahgua jiji La Dar hapa ndio nyumbani 🇹🇿

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini Месяц назад +2

    Sisi wafica tuna shida sana nimepitia comment nyingi naona kama kuna kitu kinawachoma watu rohoni lakini turudi nyuma black the simith hayupp hapa kuonyesha marekani ni nzuri au mbaya wala pepo au nni bali anatupa mbinu na vitu vya kufanya na kuwa makini tunaposafiri kwenda kwenye nchi kubwa kama wewe hujanufaika acha wengine tunufaike kila mtu na plan yake

  • @eduardobabou3022
    @eduardobabou3022 6 месяцев назад +2

    How can you say she was deported whereas she's going back to kenya....i dont understand you😮😮'

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 6 месяцев назад +19

    Marekani, marekani, who is marekani. Marekani is not heaven. It is a country like other countries in the world.

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +4

      And it’s my dream come true country 😃 Alhamdulillah kufika USA✊🏼 stay safe wherever you are

    • @b.3940
      @b.3940 6 месяцев назад +5

      Nimekaa hii marekani 44 years nimeichoka hii nchi nataka kurudi Africa.

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 6 месяцев назад

      ​@@b.3940karibu❤

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 6 месяцев назад +1

      ​@@b.3940
      Pole mimi nipo Uk 23yrs napumulia gas kwa kuchoka nawaza Africa usiku na mchana😂😂😂

    • @b.3940
      @b.3940 6 месяцев назад

      True but not accurate. Huku doctors hawagomi na hakuna Ruto na Gachagua.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 6 месяцев назад +10

    Baada ya Miaka Mitano anaweza saana Hata kama Alikuwa amedeportiwa Wanampa tu ,Tumeshawaona Wengi saana

    • @devidjav3583
      @devidjav3583 6 месяцев назад

      Unless apate mume ambaye ni citizen,ama kama ako na mtoto citizen afanye filling for her,bila iyo 5yrs ban ni ya forever

    • @josephinemuringo2453
      @josephinemuringo2453 6 месяцев назад

      ​@@devidjav3583It is soo unfair. They need to offer a second chance 😢

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 6 месяцев назад +9

    Uswahili na mashauzi ya kitoto marekani ni nchi ya kawaida tuu usitutishe

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 6 месяцев назад +3

    Lakin inawezekana kwa kuja kwa visiting viza na kubaki uko

    • @rama_kajenza.
      @rama_kajenza. 6 месяцев назад

      Inawezekana lkn usikamatwe au ukifika fanya process za ku update io visa

    • @ahmedalfan8075
      @ahmedalfan8075 6 месяцев назад

      @@rama_kajenza. Ahaaa poa bro

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 6 месяцев назад +1

    Humu ndani kuna nyie wengine mna hasira sana mtu anawaelesha hujui kuna siku utasafiri umeshajua ufanye nn 😮😮😮

  • @Joendutitv
    @Joendutitv 6 месяцев назад +1

    🙏🙏kazi ni clean

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 6 месяцев назад +16

    Marekani sio mpinguni pro unavuja watu moyo sana

    • @Gamba81
      @Gamba81 6 месяцев назад +1

      Good good 👍🏾

    • @ashantidesire8635
      @ashantidesire8635 6 месяцев назад +1

      Why ni ukweli sio uwongo.

    • @esnathmdeda
      @esnathmdeda 6 месяцев назад +3

      Havunji moyo tatizo hatupendi kuambiwa ukweli na huo ndo ukweli mie pia ilishanitokea bro 😎 ukienda sehemu na visa ya kutembea lazima iwe hivyo ukifanya kinyume ni kosa

  • @JosephWanjala-t9u
    @JosephWanjala-t9u 6 месяцев назад

    Kwani marekani ni mbinguni..waende huko.

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 3 месяца назад

    Me nikajua mauwa bn😂😂😂

  • @mosesafwilile8786
    @mosesafwilile8786 2 месяца назад

    Inawezekana kuja na transit visa Kisha nikabadilisha status nikiwa huko!?

  • @josephnyanda1512
    @josephnyanda1512 6 месяцев назад +2

    Unaweza ukafanya kazi then ange apply community college angepata visa ya kustay

    • @ericmato9
      @ericmato9 6 месяцев назад +1

      Hairuhusiwi kufanya kazi ila unaweza kuomba kazi na kufanya interview.

  • @SiabaFadhili
    @SiabaFadhili 6 месяцев назад +1

    Hata akishinda green card pia haingii??

  • @karlschrader4026
    @karlschrader4026 2 месяца назад

    Mbona ukiwa unatoka Marekani huwaga hamna maafisa wa uhamiaji? Habari yako ina figisu

  • @JohnRamsey-mp9sr
    @JohnRamsey-mp9sr 6 месяцев назад +3

    Sasa Africa mashariki ni Tanzania na Kenya tu

  • @JacksonMrope-k6b
    @JacksonMrope-k6b 6 месяцев назад

    Vp uyo dada akirudi kenya na kubadirisha jina lake na vyeti vyake vya kuzaliwa na passport VP hatoweza kuingia tena maan kama raia mwingine ?

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 6 месяцев назад +1

    Iv uyu mpumbavu mnamwelewa kweli,mtu alikuwa airport tayari anarudi inchini kwao how come she was deported?.
    Au hujuwi maana ya deport fara ww kweli.
    Unataka ujulikane uko marekani akati ww maskini tu.kuna watu africa wana maisha mazuri ya juu kuzidi ww ulioko marekani

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 6 месяцев назад +4

    Duh hatar

  • @khamisidowany6262
    @khamisidowany6262 6 месяцев назад

    Kwan marekan ndo mbinguni

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd 6 месяцев назад +2

    First world inchi imejaa miteja mbaka aibu inchi chafu

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +2

      Dunia imejaa wajinga na werevu wherever you are so ni maamuzi yako kukaa upande gani, kuna mstari utachagua kuvuka ukae upande gani uwe mlevi na teja ukiwa 🇺🇸 au utumie advantage ya uchumi ujenge maisha yako simple and clear, walimu wanapata shida nyie!

  • @carlmax2221
    @carlmax2221 6 месяцев назад +4

    Hii ni kusema kuwa lazima ujue sheria ya Marekani 🇺🇲 Heri Uingereza 🇬🇧 Ujerumani 🇩🇪Italia 🇮🇹 Ufaransa 🇨🇵 ambapo ukideportiwa unapigwa marufuku ya miaka mitano kuingia hizo nchi za uropa

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 месяцев назад +2

      Hata Africa wanakupiga miaka mitano Hivyo nikawaida miaka mitano

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 6 месяцев назад

      Hata Africa unapigwa miak 5. Marekan wanajisikia sana km hawafi

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 6 месяцев назад

      ​@@Jurbegok

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc 6 месяцев назад +1

    Watu wana wivu hivi ninani hataki American dream life

  • @IbrahimMwadini-hz7ib
    @IbrahimMwadini-hz7ib 6 месяцев назад +2

    Ww mkuu unakatisha watu tamaa ila ww umekwenda Kwa visa Gani ?? Na mbona muko wengi huko Kwa visa ya kutembea mkuu ....

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад

      Kivipi tena nakatisha watu tamaa ktk hii story?

    • @rama_kajenza.
      @rama_kajenza. 6 месяцев назад +1

      @IbrahimMwadini-hz7ib Sasa hio story kama imekukatisha tamaa Basi wewe mbinu zako ni kama huyo dada tu

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 месяцев назад +1

      ​@@mshanatheblacksmith kaka wasikuvunje moyo endelea KAZI yako njema 🙏🙏🙏🙏🇿🇦

    • @joanesjonathan4285
      @joanesjonathan4285 6 месяцев назад +1

      Kaka kaongea kweli !! Mshana ni green card holder ( alishindaga green card )

    • @zaitunisagwa2082
      @zaitunisagwa2082 6 месяцев назад

      Atakua haelewa au hajasikiza video yote.​@@mshanatheblacksmith

  • @hassshoban8206
    @hassshoban8206 6 месяцев назад +1

    Mbona wengi tu wana viza za kutembea na wanafanya kazi. Huyo uhamiaji alikuwa mnoko tu.

  • @timanwainaina323
    @timanwainaina323 6 месяцев назад +1

    Mimi nikiingia na visa ya kutembea nitafanya kazi na nikae chini ya maji bila pupa ya social media. Kiburi ndio hufanya watu washikwe saa zingine. Marafiki wana wivu wanaweza kuchomea pia.

  • @hekimamtazamo4151
    @hekimamtazamo4151 6 месяцев назад +1

    Mshana USA sio ndio mwisho wa maisha ukipata burn hiyo

  • @loicekoster3901
    @loicekoster3901 6 месяцев назад

    Hi, I want to know how did she get the court you know you said one word somebody must snatch or not. Let me know if I'm right because that is not right how she get to court I like your video.❤

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 6 месяцев назад

    Mi ntafia africa. Na pesa napata. Tena opportunity kibao. Msiteseke rudini. Huko jata kuzaa mnaogopa child support. Kazi ku donate spermz tu. Rudini. TANZANIA Tamu jamani

  • @alisuleiman-d7r
    @alisuleiman-d7r 6 месяцев назад

    C
    Kwani ni uko marekani ni peponi nn dada Kula bata kenya

  • @hassshoban8206
    @hassshoban8206 6 месяцев назад

    Nchi ambayo nitaenda kutembea ni UAE na China.

  • @josephinekamau7334
    @josephinekamau7334 6 месяцев назад

    Upusi huyu hakuna kitu Kama huyo stori cha wabunuasi

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 6 месяцев назад

    Marekan Sio Pepo Ndgu Ikiwa Umefungiwa Ushindwe Na Maisha

  • @philiplangat4467
    @philiplangat4467 6 месяцев назад

    Marekani simbingu acha store yako.

  • @sadih5333
    @sadih5333 День назад

    Ulicho kusudia kutuonesha kua umefikia wapi kwa sasa tumejua kua pia una sharia ya kuishi huko ,hio habari ni upuuzi kama wewe mwenyewe.

  • @SiabaFadhili
    @SiabaFadhili 6 месяцев назад

    Aisee huko kiboko nimeona mpikap unapuruza binge la mtrela

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 6 месяцев назад

    Sio mbaya kuna nchi nyingne za kwenda sio lazima Marekan

  • @izzimusic.
    @izzimusic. 6 месяцев назад

    marekani marekan, si mkue mnaenda uko na mkule mali yenu kama mumenyamaza,, shenzi nkt

  • @hamiskidunda9770
    @hamiskidunda9770 6 месяцев назад

    Mwambie arudi nyumbani opportunities ni nyingi..huko Angekuwa second class na kufanya Kazi za ajabu ajabu..

  • @michanoboy8948
    @michanoboy8948 2 месяца назад

    Huo ni ushamba braza umefanya iyo nchi kama ni pepo wakati wengine mmenda kuolewa tu

  • @stonedestone2050
    @stonedestone2050 6 месяцев назад

    Acha ufala..bora hajafukuzwa Kenya..hawa wazungu watawauzia uoga hadi lini...

  • @kwizeramo-white6086
    @kwizeramo-white6086 День назад

    Hi👌👌

  • @stellamarisokoko1073
    @stellamarisokoko1073 Месяц назад

    Weeeeh kali sana

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 6 месяцев назад

    Sasa unajitangaza wakati hujaruhusiwa Badoo ndo faida ya Show Off , simu zinawaumbua

  • @benardmakori4012
    @benardmakori4012 6 месяцев назад +2

    Wewe ni pumbavu sana,kwani kuishi marekani ndii heaven.so wewe uko marekani so what nugu sana

    • @HarunMnaro
      @HarunMnaro 6 месяцев назад

      acha makasiriko wewe, we kaa kijijini kwenu in peace.

  • @blessingsmary
    @blessingsmary 6 месяцев назад +1

    Hiyo sio ajabu kenya it happens na kenya sisi wajaja atarudie tu atabadilisha kila kitu na atapata vyeti mpya na atarudie America akitaka tena sio ajabu kwetu hiyo or shock

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +2

      Hii nchi wanabaki na info zako na fingerprints zako sio rahisi mzee hii sio third world country

    • @blessingsmary
      @blessingsmary 6 месяцев назад +2

      @@mshanatheblacksmith sisi hurudie mpaka europe why not usa a true story am telling you

    • @kanyanyawisdom4680
      @kanyanyawisdom4680 6 месяцев назад +3

      Hii ni usa na sio Europe baboo America fingerprint everything

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +1

      @@kanyanyawisdom4680 bora umenisaidia kumjibu kk😄🤝

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 6 месяцев назад +1

      Huko kwa mashoga wauwaji sio lazima kurudi

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd 6 месяцев назад +1

    Tatizo lenu ni moja tu mnahisi kama marekani ni sehemu ya maraika tu marekani kuna miteja mbaka kelo pumbavu

    • @sizorstartv6168
      @sizorstartv6168 6 месяцев назад +1

      ulishafika kaka? ni first world country ..sio africa ni dunia ya tatu

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 6 месяцев назад +1

      Washamba ndio wanaona peponi mimi nipo huu mwaka wa tatu nanafanya kazi nanilikuja navisa ya kutembea

    • @akleiludovick9853
      @akleiludovick9853 6 месяцев назад

      ​@@fatmafatu1128Mbona hurudi Afrika kama Marekani kuna ujinga?

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 6 месяцев назад

      @@akleiludovick9853 ntarudi sababu huku sio kwetu

  • @KibwayaMsouth
    @KibwayaMsouth 6 месяцев назад +1

    Mshana vp ndugu ebana sijajua jinsi ya kuchat na zile website dating naomba niekekeze jinsi yakutumia

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 6 месяцев назад +1

      Ingia google zipo NYINGI chagua MOJA itakayo Kufaa angalia gharama ZAKE ukizimufu jichamganye

    • @KibwayaMsouth
      @KibwayaMsouth 6 месяцев назад

      @@josephwilliam5813 tatizo sijui jinsi ya kulipia mwanangu kwa sababu sina bank account wala chochote mwana

  • @CrispasMwase
    @CrispasMwase 6 месяцев назад +1

    Kisa hichi kimetupa funzo

  • @mzeemzee4748
    @mzeemzee4748 6 месяцев назад +1

    Daah yaani wewe unawatisha watu na maalezo yako mengine sio ya kweli pia inawezekana mengine ikawa ya kweli lkn sio marekani yote baadhi ya ma state hivyo vitu hakuna kama New York ninapo ishi mm, na hiyo hoja yako ya huyo dada sifikii kama anatoka kisheria haja overstay wampekuwe mambo yote hayo labda walimshuku kitu ndio wakaanza kumuhoji lkn sifikirii unapotoka mda wako wa viza haujesha ukaletewa usumbufu hawana mda huo ila punguza kuvunja moyo wenzio tupo wengi hapa marekani tunaishi sio wewe pekee yako na watu wanafanya kazi kama kawaida

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 6 месяцев назад

      Anachokifanya ni kutahadharisha WATU kunawatu wanajilipua KABISA ila nadhani ni vizuri WATU ku clean uwepo WAO ugenini legally

  • @badisalim4250
    @badisalim4250 6 месяцев назад +1

    We ni choko Acha kuongelea ya watu kolo ww

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +1

      Kwani na ww umekuja kuangalia tukutukane? I think You need mental help.😢

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 6 месяцев назад

    Yaani Na Wewe Ndugu Hatari saana

  • @Ngwalithegreattrainer
    @Ngwalithegreattrainer 6 месяцев назад +3

    That's really bad fellas .let's be serious and work there legally

  • @mahadshekh398
    @mahadshekh398 6 месяцев назад +2

    Ethics za uanasheria zipo sawa Marekani regardless of color.Uwe mweupe au mweusi.Wacha inferiority complex.Ni ujinga tu kuleta assumption kwenye habari kama hii.

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd 6 месяцев назад +1

    Sisi wengine sio wapuuzi kama nyny eti dunia ya 3 yamasimba

  • @MohammedMtoza
    @MohammedMtoza 6 месяцев назад

    Kwan kuna maradhi atayapata kwakuzuiliwa marekan, marekan marekan ndio nn sasa kwan marekan ni pepon

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 6 месяцев назад

      Unafanya KAZI mgahawani Tanzania unalipwa 3000 KWA SIKU unaenda marekani mgahawani unalipwa dollar 12 KWA saa=TSH 30000 KWA saa HALAFU. Unarudishwa,,,KILA MTU na malengo yake HAPA duniani HATA WEWE kunakitu ukikikosa hutkokua SAWA japo KWA mwingine ni oko

  • @jacqlinejames7568
    @jacqlinejames7568 6 месяцев назад

    Sasa kwa nn uhamiaji wamkague ilihali alikuwa anarudi kwao hawa wamarekan nao wanaringia sn nchi yao

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 6 месяцев назад

      Ku overstay HATA SIKU MOJA ni KOSA

    • @luckydubebello1131
      @luckydubebello1131 6 месяцев назад

      Ww na ww lazima ukaguliwe ukideportiwa hata uarabu kas hujui uliza sheria za kila nchi must they search u before they deport u k

  • @dingi-vk1tu
    @dingi-vk1tu 6 месяцев назад

    wewe utakuwa hujui hivi vitu hata ukifuta on whatsapp that info still stays on whatsapp servers so if the feds or authorities need that info they just contact meta ... eti futa lol kufuta is just a placebo but the info still remains

  • @malengaWetuTv2699
    @malengaWetuTv2699 3 дня назад

    Daah

  • @joejoseph4227
    @joejoseph4227 6 месяцев назад

    U.s si peponi na sehemu nzuri ya kutafuta kuingia motoni

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 6 месяцев назад

    Hasara ya kutojua faida na hasara za mitandao 😂😅

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 6 месяцев назад

    Dah,,,vp akiolewa na mmarekani haiwezi kua simple kwa yeye kurudi US

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 6 месяцев назад

    Ok sw bro mshana nimekuelewa sasa huyu Dada ameomba Green Card na akapata pia hawezi kuja hata hiyoo brooo

    • @dorislema2465
      @dorislema2465 6 месяцев назад +1

      Amesema wamemfungia forever so ata akishinda hawez kwenda

    • @joanesjonathan4285
      @joanesjonathan4285 6 месяцев назад

      Hata kama akishinda imekula kwake

  • @CrissManda
    @CrissManda 6 месяцев назад +2

    SASA HUYO DADA ANAKOSA GANI,KWANINI HAO WA AMERICA WASIENDE KUWA KAMATA HAO WALIOMUAJILI

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +2

      Waliokuajiri hawana kosa ww unajua ulipewa visa kwa vigezo gani so usiende kinyume na makubaliano, ni the same thing kama ukiwa mkazi wakudumu (green card holder) huwezi kupiga kura(vote) ukipiga kura wanahaki ya kuku deport

  • @sallescutz
    @sallescutz 6 месяцев назад +2

    Kwaiyo sie iyo story itatusaidia nini

  • @marrypius576
    @marrypius576 6 месяцев назад +1

    Nchi nyingin anawez kwenda ??

  • @nduwimanaLaziz
    @nduwimanaLaziz 6 месяцев назад +2

    Bad news

  • @JeanneLidigu
    @JeanneLidigu 6 месяцев назад

    Kwani are you celebrating this? Uko na udaku. Your tone leaves alot to be desired!

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 6 месяцев назад +1

    Abadilishe jina kila ktu atapata

    • @Maishacanada
      @Maishacanada 6 месяцев назад +4

      Watu hawaangalii jina ni vidole huwezi kubadilisha vidole vyako

    • @KamaalAli-w2c
      @KamaalAli-w2c 6 месяцев назад +3

      Naam mueleze afahamu. Vidole ndio Ishu.

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA 6 месяцев назад +1

      ​@@Maishacanada😂 watu wanabadili vidole vizuri tu

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 6 месяцев назад

      Asijisumbue kubadilisha jina Fingerprint zitamfuga asidhubutuuu

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 6 месяцев назад

      Kidole unaweza toa kimoja

  • @dorcasmukhanji5231
    @dorcasmukhanji5231 6 месяцев назад

    Hu upuzi

  • @whatisyourstorybylucy_diar3806
    @whatisyourstorybylucy_diar3806 6 месяцев назад

    You copy pasted this story from an attorney here in the USA plagiarism.. I will tag this attorney.. the sister was consulting this attorney..lol you are just narrating in TZ swahili... copy right you just changed the language...You Got this content from Brad Show...copy right ✅️

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад

      And that’s why I said the source of the story what you talking bout? I even mentioned him for people to go and watch

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 6 месяцев назад

    shame

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +1

      Shit happens bro ila tunajifunza kwa kosa alilofanya

    • @salumsalum8866
      @salumsalum8866 6 месяцев назад

      @@mshanatheblacksmith dat true

  • @mcback4384
    @mcback4384 6 месяцев назад

    To hell with your toxic America, marekani sucks hakuna maajabu yoyote labda washamba washamba ndio wanapashobokea ila ni eneo la kichoko kichizi

  • @Dorcus-s4r
    @Dorcus-s4r 6 месяцев назад

    Muongo ww

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd 6 месяцев назад

    Marekani few hours unafika then mpuuzi mmoja anasema africa dunia ya 3 so unataka kutuaminisha sisi kama vile white people walivyo kuaminisha wewe acha ukhabith wewe