Ukiona ivo maisha yako mazuri ndio maana hauna njaaa na la ungekuwa km sisi weee njaa mbaya mm sitaki kusikia kabisa africa sitaki uraia wa nchi yeyote ile y africa sababu nina njaa alafu siwezi kazi za africa mishahara midogo kwa wasio soma america is the best
Hii ni kweli kabisa..u may choose any part of the world to dwell. Ngoja niwaambieni sisi wahenga kidogo..America sio kwamba kila kitu kipo perfect hapana..Ni wewe umeenda kufanya nini hapo ndio utatengeneza halo ya kuwa perfect au kinyume chake. Unaweza ukaenda na usi make pesa au u ka make it's upon you ume focus kwenye nini. Kingine ni hivi, systems zetu ziliharibiwa na wazungu kupitia watu wetu sisi wenyewe na America ilianza kuji brand kitambo sana so choice ya kwanza ukiambiwa uchague lazima utaanza na America. Walisha ji brand kwenye movies, delta force, strik comando sijui na nyingine nyingi..Dunia inatazama hizo movies, ni stratergic branding..would u think of any other country to run to? Sisi wabongo tuna ubinafsi na tuna shida ya kuji brand..
Sasa hiyo ni taarifa ya muhimu kutuambia? 🇰🇪 Bure kabisa. Inferirioty complex ndiyo inakusumbua kaka.Dada hata hiyo isikubabaishe.Kwani Marekani ndiyo uhai wake ama ndiyo binguni.? Hiyi si kitu kuna kutu kwingi anaeza enda na akaishi ile ndoto alikuwa anafuata.
Kila aliye na dream nzuri ya kimataifa, Marekani ndilo taifa pekee linalokimbiliwa na mataifa yote chini ya jua weupe kwa weusi yaani sisi. Utayajua hayo hata ukikaguwa dunia inavyojaza dv ya green card. Ila kwa asiye na ndoto wala sifa za kuingia taifa kile ndie atakaelisusa na kupuuzia maana mi nishaingia huko mara kadhaa ninalijua taifa lile. Niseme Pole kwa dada autumie vizuri mtaji aliochuma huku akijaribu tena kwa njia hizi ulizisagest zinaweza kumrudisha tena kule. Hata ungeniconnect nae nitakuwa na cha kummshauri.
Wakati tukiwa vijana wadogo tuliipenda sana marekani kwasababu ya Hip Hop na Movie zao. Lakini pale baada ya kupata elimu na kujitambua tukagundua one of the wastage thing ni kwenda kuishi tu marekani bila kufata sababu ya msingi. Asilimia kubwa wanaoishi tu mawazo yao yote yapo Tanzania sijajua kwanini yanayoendelea huku bongo mpaka mitaani wao wanayajadili huko marekani. Aiseee nimecahgua jiji La Dar hapa ndio nyumbani 🇹🇿
Sisi wafica tuna shida sana nimepitia comment nyingi naona kama kuna kitu kinawachoma watu rohoni lakini turudi nyuma black the simith hayupp hapa kuonyesha marekani ni nzuri au mbaya wala pepo au nni bali anatupa mbinu na vitu vya kufanya na kuwa makini tunaposafiri kwenda kwenye nchi kubwa kama wewe hujanufaika acha wengine tunufaike kila mtu na plan yake
Havunji moyo tatizo hatupendi kuambiwa ukweli na huo ndo ukweli mie pia ilishanitokea bro 😎 ukienda sehemu na visa ya kutembea lazima iwe hivyo ukifanya kinyume ni kosa
Iv uyu mpumbavu mnamwelewa kweli,mtu alikuwa airport tayari anarudi inchini kwao how come she was deported?. Au hujuwi maana ya deport fara ww kweli. Unataka ujulikane uko marekani akati ww maskini tu.kuna watu africa wana maisha mazuri ya juu kuzidi ww ulioko marekani
Dunia imejaa wajinga na werevu wherever you are so ni maamuzi yako kukaa upande gani, kuna mstari utachagua kuvuka ukae upande gani uwe mlevi na teja ukiwa 🇺🇸 au utumie advantage ya uchumi ujenge maisha yako simple and clear, walimu wanapata shida nyie!
Hii ni kusema kuwa lazima ujue sheria ya Marekani 🇺🇲 Heri Uingereza 🇬🇧 Ujerumani 🇩🇪Italia 🇮🇹 Ufaransa 🇨🇵 ambapo ukideportiwa unapigwa marufuku ya miaka mitano kuingia hizo nchi za uropa
Mimi nikiingia na visa ya kutembea nitafanya kazi na nikae chini ya maji bila pupa ya social media. Kiburi ndio hufanya watu washikwe saa zingine. Marafiki wana wivu wanaweza kuchomea pia.
Hi, I want to know how did she get the court you know you said one word somebody must snatch or not. Let me know if I'm right because that is not right how she get to court I like your video.❤
Mi ntafia africa. Na pesa napata. Tena opportunity kibao. Msiteseke rudini. Huko jata kuzaa mnaogopa child support. Kazi ku donate spermz tu. Rudini. TANZANIA Tamu jamani
Hiyo sio ajabu kenya it happens na kenya sisi wajaja atarudie tu atabadilisha kila kitu na atapata vyeti mpya na atarudie America akitaka tena sio ajabu kwetu hiyo or shock
Daah yaani wewe unawatisha watu na maalezo yako mengine sio ya kweli pia inawezekana mengine ikawa ya kweli lkn sio marekani yote baadhi ya ma state hivyo vitu hakuna kama New York ninapo ishi mm, na hiyo hoja yako ya huyo dada sifikii kama anatoka kisheria haja overstay wampekuwe mambo yote hayo labda walimshuku kitu ndio wakaanza kumuhoji lkn sifikirii unapotoka mda wako wa viza haujesha ukaletewa usumbufu hawana mda huo ila punguza kuvunja moyo wenzio tupo wengi hapa marekani tunaishi sio wewe pekee yako na watu wanafanya kazi kama kawaida
Ethics za uanasheria zipo sawa Marekani regardless of color.Uwe mweupe au mweusi.Wacha inferiority complex.Ni ujinga tu kuleta assumption kwenye habari kama hii.
Unafanya KAZI mgahawani Tanzania unalipwa 3000 KWA SIKU unaenda marekani mgahawani unalipwa dollar 12 KWA saa=TSH 30000 KWA saa HALAFU. Unarudishwa,,,KILA MTU na malengo yake HAPA duniani HATA WEWE kunakitu ukikikosa hutkokua SAWA japo KWA mwingine ni oko
wewe utakuwa hujui hivi vitu hata ukifuta on whatsapp that info still stays on whatsapp servers so if the feds or authorities need that info they just contact meta ... eti futa lol kufuta is just a placebo but the info still remains
Waliokuajiri hawana kosa ww unajua ulipewa visa kwa vigezo gani so usiende kinyume na makubaliano, ni the same thing kama ukiwa mkazi wakudumu (green card holder) huwezi kupiga kura(vote) ukipiga kura wanahaki ya kuku deport
You copy pasted this story from an attorney here in the USA plagiarism.. I will tag this attorney.. the sister was consulting this attorney..lol you are just narrating in TZ swahili... copy right you just changed the language...You Got this content from Brad Show...copy right ✅️
Marekani few hours unafika then mpuuzi mmoja anasema africa dunia ya 3 so unataka kutuaminisha sisi kama vile white people walivyo kuaminisha wewe acha ukhabith wewe
Katika nchii ambazo nikizuiliwa kuingia nita jilaumu sana ni kenya , uganda,malawi , na nchi yangu mwenyew Tanzania hizo nyingine wala hazinii shtui
That’s good 👍 duniani tupo 8 billion hatuwezi kufanana sehemu tunazotaka kuishi, kusoma au hata kitembea.
Exactly our africa is the best
Mother land Africa❤
Ukiona ivo maisha yako mazuri ndio maana hauna njaaa na la ungekuwa km sisi weee njaa mbaya mm sitaki kusikia kabisa africa sitaki uraia wa nchi yeyote ile y africa sababu nina njaa alafu siwezi kazi za africa mishahara midogo kwa wasio soma america is the best
Hii ni kweli kabisa..u may choose any part of the world to dwell. Ngoja niwaambieni sisi wahenga kidogo..America sio kwamba kila kitu kipo perfect hapana..Ni wewe umeenda kufanya nini hapo ndio utatengeneza halo ya kuwa perfect au kinyume chake. Unaweza ukaenda na usi make pesa au u ka make it's upon you ume focus kwenye nini.
Kingine ni hivi, systems zetu ziliharibiwa na wazungu kupitia watu wetu sisi wenyewe na America ilianza kuji brand kitambo sana so choice ya kwanza ukiambiwa uchague lazima utaanza na America. Walisha ji brand kwenye movies, delta force, strik comando sijui na nyingine nyingi..Dunia inatazama hizo movies, ni stratergic branding..would u think of any other country to run to?
Sisi wabongo tuna ubinafsi na tuna shida ya kuji brand..
Report ya huyu chalii haina ukweli.
Look for another story kwani hao wasee walikuwa wanamu employ hawakumuuliza work permit?
Asante kwakueza kunichanua Mungu akinisaidia nikafika huko ntajua cha gufanya
Dah noma sana nimejifunza sana thanks mshana
Acheni ushamba kwani marekani watu awafi!
Kwani nimefungua channel kwajili kufundisha watu kutokufa ukifika US?😂 maana kunavitu vinafurahisha hızı comment🙌🏼
Swali nzuri kabisa
Mbona mnjihisi mko peponi karudishwa kwao hajapelekwa jahanamu acha ushamba😅
Sasa hiyo ni taarifa ya muhimu kutuambia? 🇰🇪 Bure kabisa. Inferirioty complex ndiyo inakusumbua kaka.Dada hata hiyo isikubabaishe.Kwani Marekani ndiyo uhai wake ama ndiyo binguni.? Hiyi si kitu kuna kutu kwingi anaeza enda na akaishi ile ndoto alikuwa anafuata.
Ama kwani Hana kwao?
Kila aliye na dream nzuri ya kimataifa, Marekani ndilo taifa pekee linalokimbiliwa na mataifa yote chini ya jua weupe kwa weusi yaani sisi.
Utayajua hayo hata ukikaguwa dunia inavyojaza dv ya green card. Ila kwa asiye na ndoto wala sifa za kuingia taifa kile ndie atakaelisusa na kupuuzia maana mi nishaingia huko mara kadhaa ninalijua taifa lile.
Niseme Pole kwa dada autumie vizuri mtaji aliochuma huku akijaribu tena kwa njia hizi ulizisagest zinaweza kumrudisha tena kule.
Hata ungeniconnect nae nitakuwa na cha kummshauri.
Wakenya wana ushamba sana, haya anarudi tena kenya, kujifunza kingeleza,😅
Tusamehe kama tumekukosea ila unatutusi Wakenya wote jamani,heri wewe si mshamba...
kwani English ninini....do English people know any other language?
Wakenya wao English ndio maendeleo wanasema wao wanajuwa kizungu
Kizungu chao ni Kile cha Oxford. Labda ajifunze jinsi ya kutii Sheria za Marekani.
Kingereza si kingeleza
Wakati tukiwa vijana wadogo tuliipenda sana marekani kwasababu ya Hip Hop na Movie zao. Lakini pale baada ya kupata elimu na kujitambua tukagundua one of the wastage thing ni kwenda kuishi tu marekani bila kufata sababu ya msingi. Asilimia kubwa wanaoishi tu mawazo yao yote yapo Tanzania sijajua kwanini yanayoendelea huku bongo mpaka mitaani wao wanayajadili huko marekani. Aiseee nimecahgua jiji La Dar hapa ndio nyumbani 🇹🇿
Sisi wafica tuna shida sana nimepitia comment nyingi naona kama kuna kitu kinawachoma watu rohoni lakini turudi nyuma black the simith hayupp hapa kuonyesha marekani ni nzuri au mbaya wala pepo au nni bali anatupa mbinu na vitu vya kufanya na kuwa makini tunaposafiri kwenda kwenye nchi kubwa kama wewe hujanufaika acha wengine tunufaike kila mtu na plan yake
Das trou bro
How can you say she was deported whereas she's going back to kenya....i dont understand you😮😮'
Marekani, marekani, who is marekani. Marekani is not heaven. It is a country like other countries in the world.
And it’s my dream come true country 😃 Alhamdulillah kufika USA✊🏼 stay safe wherever you are
Nimekaa hii marekani 44 years nimeichoka hii nchi nataka kurudi Africa.
@@b.3940karibu❤
@@b.3940
Pole mimi nipo Uk 23yrs napumulia gas kwa kuchoka nawaza Africa usiku na mchana😂😂😂
True but not accurate. Huku doctors hawagomi na hakuna Ruto na Gachagua.
Baada ya Miaka Mitano anaweza saana Hata kama Alikuwa amedeportiwa Wanampa tu ,Tumeshawaona Wengi saana
Unless apate mume ambaye ni citizen,ama kama ako na mtoto citizen afanye filling for her,bila iyo 5yrs ban ni ya forever
@@devidjav3583It is soo unfair. They need to offer a second chance 😢
Uswahili na mashauzi ya kitoto marekani ni nchi ya kawaida tuu usitutishe
😂🤣🤣 Sawa
Lakin inawezekana kwa kuja kwa visiting viza na kubaki uko
Inawezekana lkn usikamatwe au ukifika fanya process za ku update io visa
@@rama_kajenza. Ahaaa poa bro
Humu ndani kuna nyie wengine mna hasira sana mtu anawaelesha hujui kuna siku utasafiri umeshajua ufanye nn 😮😮😮
🙏🙏kazi ni clean
Nakubali kk🙏🏻
Marekani sio mpinguni pro unavuja watu moyo sana
Good good 👍🏾
Why ni ukweli sio uwongo.
Havunji moyo tatizo hatupendi kuambiwa ukweli na huo ndo ukweli mie pia ilishanitokea bro 😎 ukienda sehemu na visa ya kutembea lazima iwe hivyo ukifanya kinyume ni kosa
Kwani marekani ni mbinguni..waende huko.
Me nikajua mauwa bn😂😂😂
Inawezekana kuja na transit visa Kisha nikabadilisha status nikiwa huko!?
Unaweza ukafanya kazi then ange apply community college angepata visa ya kustay
Hairuhusiwi kufanya kazi ila unaweza kuomba kazi na kufanya interview.
Hata akishinda green card pia haingii??
Mbona ukiwa unatoka Marekani huwaga hamna maafisa wa uhamiaji? Habari yako ina figisu
Sasa Africa mashariki ni Tanzania na Kenya tu
Cjataja nchi yako? Unetokea nchi gani?
Mi ni mburundi ninaishi Singapore Nili uliza tu
Vp uyo dada akirudi kenya na kubadirisha jina lake na vyeti vyake vya kuzaliwa na passport VP hatoweza kuingia tena maan kama raia mwingine ?
Iv uyu mpumbavu mnamwelewa kweli,mtu alikuwa airport tayari anarudi inchini kwao how come she was deported?.
Au hujuwi maana ya deport fara ww kweli.
Unataka ujulikane uko marekani akati ww maskini tu.kuna watu africa wana maisha mazuri ya juu kuzidi ww ulioko marekani
Duh hatar
Kwan marekan ndo mbinguni
First world inchi imejaa miteja mbaka aibu inchi chafu
Dunia imejaa wajinga na werevu wherever you are so ni maamuzi yako kukaa upande gani, kuna mstari utachagua kuvuka ukae upande gani uwe mlevi na teja ukiwa 🇺🇸 au utumie advantage ya uchumi ujenge maisha yako simple and clear, walimu wanapata shida nyie!
Hii ni kusema kuwa lazima ujue sheria ya Marekani 🇺🇲 Heri Uingereza 🇬🇧 Ujerumani 🇩🇪Italia 🇮🇹 Ufaransa 🇨🇵 ambapo ukideportiwa unapigwa marufuku ya miaka mitano kuingia hizo nchi za uropa
Hata Africa wanakupiga miaka mitano Hivyo nikawaida miaka mitano
Hata Africa unapigwa miak 5. Marekan wanajisikia sana km hawafi
@@Jurbegok
Watu wana wivu hivi ninani hataki American dream life
Ww mkuu unakatisha watu tamaa ila ww umekwenda Kwa visa Gani ?? Na mbona muko wengi huko Kwa visa ya kutembea mkuu ....
Kivipi tena nakatisha watu tamaa ktk hii story?
@IbrahimMwadini-hz7ib Sasa hio story kama imekukatisha tamaa Basi wewe mbinu zako ni kama huyo dada tu
@@mshanatheblacksmith kaka wasikuvunje moyo endelea KAZI yako njema 🙏🙏🙏🙏🇿🇦
Kaka kaongea kweli !! Mshana ni green card holder ( alishindaga green card )
Atakua haelewa au hajasikiza video yote.@@mshanatheblacksmith
Mbona wengi tu wana viza za kutembea na wanafanya kazi. Huyo uhamiaji alikuwa mnoko tu.
Mimi nikiingia na visa ya kutembea nitafanya kazi na nikae chini ya maji bila pupa ya social media. Kiburi ndio hufanya watu washikwe saa zingine. Marafiki wana wivu wanaweza kuchomea pia.
Mshana USA sio ndio mwisho wa maisha ukipata burn hiyo
Hi, I want to know how did she get the court you know you said one word somebody must snatch or not. Let me know if I'm right because that is not right how she get to court I like your video.❤
Mi ntafia africa. Na pesa napata. Tena opportunity kibao. Msiteseke rudini. Huko jata kuzaa mnaogopa child support. Kazi ku donate spermz tu. Rudini. TANZANIA Tamu jamani
C
Kwani ni uko marekani ni peponi nn dada Kula bata kenya
Nchi ambayo nitaenda kutembea ni UAE na China.
Upusi huyu hakuna kitu Kama huyo stori cha wabunuasi
Marekan Sio Pepo Ndgu Ikiwa Umefungiwa Ushindwe Na Maisha
Marekani simbingu acha store yako.
Ulicho kusudia kutuonesha kua umefikia wapi kwa sasa tumejua kua pia una sharia ya kuishi huko ,hio habari ni upuuzi kama wewe mwenyewe.
Aisee huko kiboko nimeona mpikap unapuruza binge la mtrela
Sio mbaya kuna nchi nyingne za kwenda sio lazima Marekan
marekani marekan, si mkue mnaenda uko na mkule mali yenu kama mumenyamaza,, shenzi nkt
Mwambie arudi nyumbani opportunities ni nyingi..huko Angekuwa second class na kufanya Kazi za ajabu ajabu..
Huo ni ushamba braza umefanya iyo nchi kama ni pepo wakati wengine mmenda kuolewa tu
Acha ufala..bora hajafukuzwa Kenya..hawa wazungu watawauzia uoga hadi lini...
Hi👌👌
Weeeeh kali sana
Sasa unajitangaza wakati hujaruhusiwa Badoo ndo faida ya Show Off , simu zinawaumbua
Wewe ni pumbavu sana,kwani kuishi marekani ndii heaven.so wewe uko marekani so what nugu sana
acha makasiriko wewe, we kaa kijijini kwenu in peace.
Hiyo sio ajabu kenya it happens na kenya sisi wajaja atarudie tu atabadilisha kila kitu na atapata vyeti mpya na atarudie America akitaka tena sio ajabu kwetu hiyo or shock
Hii nchi wanabaki na info zako na fingerprints zako sio rahisi mzee hii sio third world country
@@mshanatheblacksmith sisi hurudie mpaka europe why not usa a true story am telling you
Hii ni usa na sio Europe baboo America fingerprint everything
@@kanyanyawisdom4680 bora umenisaidia kumjibu kk😄🤝
Huko kwa mashoga wauwaji sio lazima kurudi
Tatizo lenu ni moja tu mnahisi kama marekani ni sehemu ya maraika tu marekani kuna miteja mbaka kelo pumbavu
ulishafika kaka? ni first world country ..sio africa ni dunia ya tatu
Washamba ndio wanaona peponi mimi nipo huu mwaka wa tatu nanafanya kazi nanilikuja navisa ya kutembea
@@fatmafatu1128Mbona hurudi Afrika kama Marekani kuna ujinga?
@@akleiludovick9853 ntarudi sababu huku sio kwetu
Mshana vp ndugu ebana sijajua jinsi ya kuchat na zile website dating naomba niekekeze jinsi yakutumia
Ingia google zipo NYINGI chagua MOJA itakayo Kufaa angalia gharama ZAKE ukizimufu jichamganye
@@josephwilliam5813 tatizo sijui jinsi ya kulipia mwanangu kwa sababu sina bank account wala chochote mwana
Kisa hichi kimetupa funzo
Kabisa tujifunze 🤝
Daah yaani wewe unawatisha watu na maalezo yako mengine sio ya kweli pia inawezekana mengine ikawa ya kweli lkn sio marekani yote baadhi ya ma state hivyo vitu hakuna kama New York ninapo ishi mm, na hiyo hoja yako ya huyo dada sifikii kama anatoka kisheria haja overstay wampekuwe mambo yote hayo labda walimshuku kitu ndio wakaanza kumuhoji lkn sifikirii unapotoka mda wako wa viza haujesha ukaletewa usumbufu hawana mda huo ila punguza kuvunja moyo wenzio tupo wengi hapa marekani tunaishi sio wewe pekee yako na watu wanafanya kazi kama kawaida
Anachokifanya ni kutahadharisha WATU kunawatu wanajilipua KABISA ila nadhani ni vizuri WATU ku clean uwepo WAO ugenini legally
We ni choko Acha kuongelea ya watu kolo ww
Kwani na ww umekuja kuangalia tukutukane? I think You need mental help.😢
Yaani Na Wewe Ndugu Hatari saana
That's really bad fellas .let's be serious and work there legally
Smart saying
Ethics za uanasheria zipo sawa Marekani regardless of color.Uwe mweupe au mweusi.Wacha inferiority complex.Ni ujinga tu kuleta assumption kwenye habari kama hii.
Sisi wengine sio wapuuzi kama nyny eti dunia ya 3 yamasimba
Kwan kuna maradhi atayapata kwakuzuiliwa marekan, marekan marekan ndio nn sasa kwan marekan ni pepon
Unafanya KAZI mgahawani Tanzania unalipwa 3000 KWA SIKU unaenda marekani mgahawani unalipwa dollar 12 KWA saa=TSH 30000 KWA saa HALAFU. Unarudishwa,,,KILA MTU na malengo yake HAPA duniani HATA WEWE kunakitu ukikikosa hutkokua SAWA japo KWA mwingine ni oko
Sasa kwa nn uhamiaji wamkague ilihali alikuwa anarudi kwao hawa wamarekan nao wanaringia sn nchi yao
Ku overstay HATA SIKU MOJA ni KOSA
Ww na ww lazima ukaguliwe ukideportiwa hata uarabu kas hujui uliza sheria za kila nchi must they search u before they deport u k
wewe utakuwa hujui hivi vitu hata ukifuta on whatsapp that info still stays on whatsapp servers so if the feds or authorities need that info they just contact meta ... eti futa lol kufuta is just a placebo but the info still remains
Daah
U.s si peponi na sehemu nzuri ya kutafuta kuingia motoni
Hasara ya kutojua faida na hasara za mitandao 😂😅
Dah,,,vp akiolewa na mmarekani haiwezi kua simple kwa yeye kurudi US
Anaweza kurudi akiolewa na raia wa US.
Ok sw bro mshana nimekuelewa sasa huyu Dada ameomba Green Card na akapata pia hawezi kuja hata hiyoo brooo
Amesema wamemfungia forever so ata akishinda hawez kwenda
Hata kama akishinda imekula kwake
SASA HUYO DADA ANAKOSA GANI,KWANINI HAO WA AMERICA WASIENDE KUWA KAMATA HAO WALIOMUAJILI
Waliokuajiri hawana kosa ww unajua ulipewa visa kwa vigezo gani so usiende kinyume na makubaliano, ni the same thing kama ukiwa mkazi wakudumu (green card holder) huwezi kupiga kura(vote) ukipiga kura wanahaki ya kuku deport
Kwaiyo sie iyo story itatusaidia nini
Nchi nyingin anawez kwenda ??
ndiyo
Bad news
Bad luck
Kwani are you celebrating this? Uko na udaku. Your tone leaves alot to be desired!
Abadilishe jina kila ktu atapata
Watu hawaangalii jina ni vidole huwezi kubadilisha vidole vyako
Naam mueleze afahamu. Vidole ndio Ishu.
@@Maishacanada😂 watu wanabadili vidole vizuri tu
Asijisumbue kubadilisha jina Fingerprint zitamfuga asidhubutuuu
Kidole unaweza toa kimoja
Hu upuzi
You copy pasted this story from an attorney here in the USA plagiarism.. I will tag this attorney.. the sister was consulting this attorney..lol you are just narrating in TZ swahili... copy right you just changed the language...You Got this content from Brad Show...copy right ✅️
And that’s why I said the source of the story what you talking bout? I even mentioned him for people to go and watch
shame
Shit happens bro ila tunajifunza kwa kosa alilofanya
@@mshanatheblacksmith dat true
To hell with your toxic America, marekani sucks hakuna maajabu yoyote labda washamba washamba ndio wanapashobokea ila ni eneo la kichoko kichizi
Muongo ww
Marekani few hours unafika then mpuuzi mmoja anasema africa dunia ya 3 so unataka kutuaminisha sisi kama vile white people walivyo kuaminisha wewe acha ukhabith wewe