Tz cjui tunashida gani ndomana tunaisema sana nchi yetu tukiondoka maana lack of exposure nahisi inatufanya wengi tuwe na Tabia za hovyo 😂 hawaruhusu kuchukua video na cm Morocco bridge 😂😂daahh Tz🙌🏼
Broo i have just passed in your channel this midnight you have inspired me alot! Nimeona interview yako na yule dada about how you got in America and now finally i see you the day you got your visa! Feeling uliyo nayo hapo naielewa sababu nimeomba visiting visa nikakosa so naelewa but i still believe one day ! From today Im your big fan
Mshana ndugu yangu maisha ni safari alafu mungu anakupa kilaunachotaka ukimuomba.nakukubari sana mungu akubariki sana na mm sikumoja nitakujuza hii safari
Visa zinatofautiana na visa ya matembezi ndo visa rahisi kupata kwa gharama na mda pia mfupi process yake ila visa yangu ilikuwa ni ya kuhamia USA ndomana ilichukua mda mrufu na pia gharama ilikuwa kama $3000 unalipa kidogokidogo mpaka unapata visa
Kwanz kaka hongera sn kwl umepitia msoto mwinyi sn uitafuta hiyoo ki2 but siku tunakuomba utupe short story shemegi m ui mekuta vp mwanzo wake ila sorry plz
Kaka kwafano mimi nataka nikaombe visas ya kazi je gharama yake itakuwa pesa ngap maana maneno yanasemwa mengi wengine utaskia uniombe visa ya kazi ila omba ya matembezi kisha ukifika USA utaibadili hiii imekaaje nishauri niazie wapi
Kama unaweza kupata kazi ya US. Ukiwa ulipo ni bora zaidi pia ni unaaminika zaidi na ubalozi but otherwise omba ya matembezi ukifika ni rahisi kutafta kazi ukiwa hapa teyari
Sifa gani tena wabongo tunaelimishana hapa YT ningependa ningekaakimya kama wabongo wengine alafu mngeelimikaje kama EBM naye akae kimya kuogopa kurogwa
Hiyo ndio peak ya furaha ninayo isubiria hata mm juhudi haziongopi
Huwezi kuelezea maana visa ni uhuru wakutembea and hamna thamani ya kununua uhuru wako, plus tunakuja kujenga maisha bora thank Lord
daah kweli tz sasa kakufukuzia nini kweny bridge😂😂😂 pia umepambana hongera👏you are now in the united states 💪
Tz cjui tunashida gani ndomana tunaisema sana nchi yetu tukiondoka maana lack of exposure nahisi inatufanya wengi tuwe na Tabia za hovyo 😂 hawaruhusu kuchukua video na cm Morocco bridge 😂😂daahh Tz🙌🏼
hizo shelia za tz zinatubana sana mpaka zinakela daah aisee😥
Broo i have just passed in your channel this midnight you have inspired me alot! Nimeona interview yako na yule dada about how you got in America and now finally i see you the day you got your visa! Feeling uliyo nayo hapo naielewa sababu nimeomba visiting visa nikakosa so naelewa but i still believe one day ! From today Im your big fan
@@prospermlelwa2186 karibu ktk channel yetu💪🏻
Kwenye maisha usikate Tamaa
Mshana ndugu yangu maisha ni safari alafu mungu anakupa kilaunachotaka ukimuomba.nakukubari sana mungu akubariki sana na mm sikumoja nitakujuza hii safari
U're Very inspiring bro
Aisee video muhimu sana hii
Nimekufurahia sana hapo jinsi ulivyofurahia hongera sana enjoy life
Cjui chakusema most of the time but Alhamdulillah 🙏🏻❤️
Hongera sana🎉🎉
And Happy New year
Daah noma mzee
Daaaah kaka amini IPO siku na mimi nitakuwa uko
Your lord will help you.
Hongera mshana maisha yanabadilika
Kabisa tulipotoka na familia zetu ckuwahi kufikir ila mungu anabadilisha story line
Karibu marekani mwanagu
ilikuwa bomba sana bro
✌🏼
Unaweza kufanyiwa interview y kiswahili
Kaka ulifanya process za viza kwa shingapi??, Natamani kujua Kaka ??
Visa zinatofautiana na visa ya matembezi ndo visa rahisi kupata kwa gharama na mda pia mfupi process yake ila visa yangu ilikuwa ni ya kuhamia USA ndomana ilichukua mda mrufu na pia gharama ilikuwa kama $3000 unalipa kidogokidogo mpaka unapata visa
Kaka hakuna anaeelewa io kitu, ila ukiwa ktk mchakato uo, Mungu TU
Kwanz kaka hongera sn kwl umepitia msoto mwinyi sn uitafuta hiyoo ki2 but siku tunakuomba utupe short story shemegi m ui mekuta vp mwanzo wake ila sorry plz
bonge la pete la ndoa😂😂😂kwa msisitizo
Unaenda ubalozini na ushahidi Tosha 😂wasije kuchomoa bure na visa ikafa hapo😂😂
😂😂😂 Masha'Allh
🙏🏻🤲🏾❤️
Brother hii ulopata ni visa gani
Visa ya ukaazi au ya ndoa na raia wa usa
Kaka kwafano mimi nataka nikaombe visas ya kazi je gharama yake itakuwa pesa ngap maana maneno yanasemwa mengi wengine utaskia uniombe visa ya kazi ila omba ya matembezi kisha ukifika USA utaibadili hiii imekaaje nishauri niazie wapi
Kama unaweza kupata kazi ya US. Ukiwa ulipo ni bora zaidi pia ni unaaminika zaidi na ubalozi but otherwise omba ya matembezi ukifika ni rahisi kutafta kazi ukiwa hapa teyari
@@mshanatheblacksmith nashukuru sana
Kak ulitumia green card kufika USA
Hapana ila niliomba visa ya kuhamia usa
hello nawish kutumia njia hii unaweza kutoa maelekezo kidgo kuhusu hyo visa ya kuhamia
Sifa tuu utakuja kurogwa wwe uswahilini uku😂😂
Sifa gani tena wabongo tunaelimishana hapa YT ningependa ningekaakimya kama wabongo wengine alafu mngeelimikaje kama EBM naye akae kimya kuogopa kurogwa
Uyumpuuzi Kaka nae anaonekana ni mchawi kuogopakurongwa kisa vs
Vip kama naomba number yako naomba kuliza kitu
Hi mshana habari naomba no yako wasap Kuna kitu nahitaji unisaidie kwa upana kama hutojali
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Uliogopa hata kupanda boda. Pamoja sana Mungu akujalie uishi salama USA
Amin
Ulitembea
Yaani hata kuchoka nilikuwa sihisi kabisa kwafuraha 😂
Kaka nakukubali naitwa ally we nimkali nikikutafakari sihishiwe maswali