Safari yangu ya kuja 🇺🇸 | siku niliyoenda ubalozi kwa interview🤕 tunatoka mbali Aisee. PART1.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 50

  • @YoungblitzDaBling
    @YoungblitzDaBling 9 месяцев назад +4

    Hiyo ndio peak ya furaha ninayo isubiria hata mm juhudi haziongopi

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад +2

      Huwezi kuelezea maana visa ni uhuru wakutembea and hamna thamani ya kununua uhuru wako, plus tunakuja kujenga maisha bora thank Lord

  • @EliaJohn-l9q
    @EliaJohn-l9q 9 месяцев назад +6

    daah kweli tz sasa kakufukuzia nini kweny bridge😂😂😂 pia umepambana hongera👏you are now in the united states 💪

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад +1

      Tz cjui tunashida gani ndomana tunaisema sana nchi yetu tukiondoka maana lack of exposure nahisi inatufanya wengi tuwe na Tabia za hovyo 😂 hawaruhusu kuchukua video na cm Morocco bridge 😂😂daahh Tz🙌🏼

    • @EliaJohn-l9q
      @EliaJohn-l9q 9 месяцев назад +1

      hizo shelia za tz zinatubana sana mpaka zinakela daah aisee😥

  • @prospermlelwa2186
    @prospermlelwa2186 3 дня назад +1

    Broo i have just passed in your channel this midnight you have inspired me alot! Nimeona interview yako na yule dada about how you got in America and now finally i see you the day you got your visa! Feeling uliyo nayo hapo naielewa sababu nimeomba visiting visa nikakosa so naelewa but i still believe one day ! From today Im your big fan

  • @mohamedsulumwa2941
    @mohamedsulumwa2941 4 дня назад +1

    Kwenye maisha usikate Tamaa

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 9 месяцев назад +2

    Mshana ndugu yangu maisha ni safari alafu mungu anakupa kilaunachotaka ukimuomba.nakukubari sana mungu akubariki sana na mm sikumoja nitakujuza hii safari

  • @stephanoelisha2532
    @stephanoelisha2532 2 дня назад

    U're Very inspiring bro

  • @huludaemmanuel8803
    @huludaemmanuel8803 9 месяцев назад +2

    Aisee video muhimu sana hii

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 9 месяцев назад +3

    Nimekufurahia sana hapo jinsi ulivyofurahia hongera sana enjoy life

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад +2

      Cjui chakusema most of the time but Alhamdulillah 🙏🏻❤️

  • @vailethtitus6462
    @vailethtitus6462 9 месяцев назад +1

    Hongera sana🎉🎉
    And Happy New year

  • @alloycemillinga1673
    @alloycemillinga1673 2 месяца назад +1

    Daah noma mzee

  • @musicthrowbackworld
    @musicthrowbackworld 9 месяцев назад +3

    Daaaah kaka amini IPO siku na mimi nitakuwa uko

  • @SamFakii-kc4hg
    @SamFakii-kc4hg 9 месяцев назад +1

    Hongera mshana maisha yanabadilika

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад

      Kabisa tulipotoka na familia zetu ckuwahi kufikir ila mungu anabadilisha story line

  • @Rojo_Rojo
    @Rojo_Rojo 6 месяцев назад +1

    Karibu marekani mwanagu

  • @Johnson-xe9me
    @Johnson-xe9me 9 месяцев назад +2

    ilikuwa bomba sana bro

  • @RashidiDaudi-w1i
    @RashidiDaudi-w1i 8 месяцев назад

    Unaweza kufanyiwa interview y kiswahili

  • @suzanngowi5223
    @suzanngowi5223 9 месяцев назад +3

    Kaka ulifanya process za viza kwa shingapi??, Natamani kujua Kaka ??

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад +4

      Visa zinatofautiana na visa ya matembezi ndo visa rahisi kupata kwa gharama na mda pia mfupi process yake ila visa yangu ilikuwa ni ya kuhamia USA ndomana ilichukua mda mrufu na pia gharama ilikuwa kama $3000 unalipa kidogokidogo mpaka unapata visa

  • @Thyme938
    @Thyme938 8 месяцев назад +1

    Kaka hakuna anaeelewa io kitu, ila ukiwa ktk mchakato uo, Mungu TU

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 9 месяцев назад +1

    Kwanz kaka hongera sn kwl umepitia msoto mwinyi sn uitafuta hiyoo ki2 but siku tunakuomba utupe short story shemegi m ui mekuta vp mwanzo wake ila sorry plz

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 9 месяцев назад +1

    bonge la pete la ndoa😂😂😂kwa msisitizo

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад

      Unaenda ubalozini na ushahidi Tosha 😂wasije kuchomoa bure na visa ikafa hapo😂😂

  • @HamidSalum-b1z
    @HamidSalum-b1z 9 месяцев назад +1

    😂😂😂 Masha'Allh

  • @YussufJumaHussein
    @YussufJumaHussein 9 месяцев назад +3

    Brother hii ulopata ni visa gani

  • @paulmayombe4336
    @paulmayombe4336 9 месяцев назад +1

    Kaka kwafano mimi nataka nikaombe visas ya kazi je gharama yake itakuwa pesa ngap maana maneno yanasemwa mengi wengine utaskia uniombe visa ya kazi ila omba ya matembezi kisha ukifika USA utaibadili hiii imekaaje nishauri niazie wapi

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  8 месяцев назад

      Kama unaweza kupata kazi ya US. Ukiwa ulipo ni bora zaidi pia ni unaaminika zaidi na ubalozi but otherwise omba ya matembezi ukifika ni rahisi kutafta kazi ukiwa hapa teyari

    • @paulmayombe4336
      @paulmayombe4336 8 месяцев назад

      @@mshanatheblacksmith nashukuru sana

  • @liverpoolvsrangers2273
    @liverpoolvsrangers2273 9 месяцев назад +2

    Kak ulitumia green card kufika USA

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад +2

      Hapana ila niliomba visa ya kuhamia usa

    • @TeacherSanga-hx4hq
      @TeacherSanga-hx4hq Месяц назад

      hello nawish kutumia njia hii unaweza kutoa maelekezo kidgo kuhusu hyo visa ya kuhamia

  • @saiddariyai3617
    @saiddariyai3617 9 месяцев назад +1

    Sifa tuu utakuja kurogwa wwe uswahilini uku😂😂

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад +1

      Sifa gani tena wabongo tunaelimishana hapa YT ningependa ningekaakimya kama wabongo wengine alafu mngeelimikaje kama EBM naye akae kimya kuogopa kurogwa

    • @MuhammadMaulana-p2l
      @MuhammadMaulana-p2l 9 месяцев назад

      Uyumpuuzi Kaka nae anaonekana ni mchawi kuogopakurongwa kisa vs

  • @AnthonyNgowa-cs1uc
    @AnthonyNgowa-cs1uc 9 месяцев назад

    Vip kama naomba number yako naomba kuliza kitu

  • @GraceMona-v5b
    @GraceMona-v5b 2 месяца назад

    Hi mshana habari naomba no yako wasap Kuna kitu nahitaji unisaidie kwa upana kama hutojali

  • @kelvinndege2200
    @kelvinndege2200 8 месяцев назад

    🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @ItechnologyTZ
    @ItechnologyTZ 9 месяцев назад

    Uliogopa hata kupanda boda. Pamoja sana Mungu akujalie uishi salama USA

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 9 месяцев назад +1

    Ulitembea

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  9 месяцев назад

      Yaani hata kuchoka nilikuwa sihisi kabisa kwafuraha 😂

    • @allyabdallah1698
      @allyabdallah1698 9 месяцев назад

      Kaka nakukubali naitwa ally we nimkali nikikutafakari sihishiwe maswali