Hii kazi jeshi🇺🇸kunamda inachekesha. Easy Money 💵

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 33

  • @wazirisimeo9048
    @wazirisimeo9048 3 дня назад

    Nimependa sana komaa brother hiyo ulipangiwa Mungu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 дней назад

    Asante kaka mshana wenye masikio tushasikia.. inshallah kikubwa dua kaka

  • @AzizaHusein
    @AzizaHusein 2 дня назад

    Kaka safi sana unapambana

  • @kevinmushi8209
    @kevinmushi8209 29 дней назад +2

    Uyu bro ana jitambuaga Sana

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 29 дней назад +1

    Kweli brother mshana

  • @omanhh2875
    @omanhh2875 29 дней назад +1

    Allah akufanyie weps kaka kwa kila hali nakuafuatiliasna kaka

  • @nasrinairi9556
    @nasrinairi9556 8 дней назад

    Salute Mwamba 🫡

  • @IbrahimKimath-u9z
    @IbrahimKimath-u9z 29 дней назад +2

    Ayoo sap hap saluti kwako kaka. Nafuatilia nikiwa kariakoo hapa Mr mshana tunakuomba utuunge kwenye group la whassap.

  • @Contentislamic123
    @Contentislamic123 29 дней назад +1

    Big up bro thanks I'm from Burundi ❤❤

  • @BuruhaniOmary-iq5bq
    @BuruhaniOmary-iq5bq 29 дней назад +3

    Nakufatilia since day one tangia unafanya kazi ya restaurant hadi kuwa mjeshi a.k.a konde boy

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 28 дней назад

    Keep moving brother 👊👊👊

  • @alloycemillinga1673
    @alloycemillinga1673 29 дней назад +1

    Safi Sana kaka

  • @omanhh2875
    @omanhh2875 29 дней назад

    Mshanaa ee tupe hizo imel tuombe mungu

  • @Americabeautifulland
    @Americabeautifulland 29 дней назад +1

    Kwema ndugu from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @christopherrobert1948
    @christopherrobert1948 19 дней назад

    bahamas free visa ndio lakini ili kufika lazima upate transit visa ya US ndio uingie bahamas.

  • @BuruhaniOmary-iq5bq
    @BuruhaniOmary-iq5bq 29 дней назад +1

    Mpe hi mama la mama huyo deleva wetu mkuu

  • @BuruhaniOmary-iq5bq
    @BuruhaniOmary-iq5bq 29 дней назад +2

    Nakufatilia nikiwa struis baai Cape town

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 29 дней назад +1

    Nitafutie kazi huko mkuu hata kuchunga mbuzi njaa inaniua mkuu

  • @alikiriba3231
    @alikiriba3231 29 дней назад +1

    Vipi kuhusu millitary departments difference? Yani km vile army, navy, air force, gani wana lipwa hela ya juu zaidi bro?

    • @kevinmushi8209
      @kevinmushi8209 29 дней назад +1

      Mwanangu swali nzuri sana

    • @famoustim64
      @famoustim64 28 дней назад +1

      Wote ni sawa depends na rank yako. From E 1 and more

    • @kevinmushi8209
      @kevinmushi8209 28 дней назад

      @@famoustim64 mana si tuna angalia maslai kama mimi nawa fikiria sana awa federal bereau of investigation FBI

    • @famoustim64
      @famoustim64 28 дней назад

      @@kevinmushi8209 we acha tu mana watu wanajiunga ilikupata uraia na Benefits

    • @clintonjohn4312
      @clintonjohn4312 25 дней назад

      ​@@kevinmushi8209 nipe no Yako boss tuonge

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 28 дней назад

    Kaka huko Australia hiyo VISA ya electronic unaingia ktk web ya ubalozi?

  • @issambela8279
    @issambela8279 29 дней назад

    Sawa bro ila usipaite shithall sas kumbuka uku ndo home 😢

  • @fadhilmgahi1334
    @fadhilmgahi1334 29 дней назад

    Hususani mimi umenifundisha njia nyingine ya kupambana zaid maana hata nikipapambana na kupata visa ni mapambano pia

  • @HassanRashid-y2q
    @HassanRashid-y2q 28 дней назад

    Vip namba namba zako mzee

  • @GraceWilliam-d1w
    @GraceWilliam-d1w 28 дней назад

    Usiwadharau hao ndio wadau wako