Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nimependa sana komaa brother hiyo ulipangiwa Mungu
Asante kaka mshana wenye masikio tushasikia.. inshallah kikubwa dua kaka
Kaka safi sana unapambana
Uyu bro ana jitambuaga Sana
Kweli brother mshana
Allah akufanyie weps kaka kwa kila hali nakuafuatiliasna kaka
Salute Mwamba 🫡
Ayoo sap hap saluti kwako kaka. Nafuatilia nikiwa kariakoo hapa Mr mshana tunakuomba utuunge kwenye group la whassap.
Big up bro thanks I'm from Burundi ❤❤
Nakufatilia since day one tangia unafanya kazi ya restaurant hadi kuwa mjeshi a.k.a konde boy
Keep moving brother 👊👊👊
Safi Sana kaka
Mshanaa ee tupe hizo imel tuombe mungu
Kwema ndugu from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
bahamas free visa ndio lakini ili kufika lazima upate transit visa ya US ndio uingie bahamas.
Mpe hi mama la mama huyo deleva wetu mkuu
Nakufatilia nikiwa struis baai Cape town
Nitafutie kazi huko mkuu hata kuchunga mbuzi njaa inaniua mkuu
😂😂 akuna anae penda maisha mabaya mzee
Vipi kuhusu millitary departments difference? Yani km vile army, navy, air force, gani wana lipwa hela ya juu zaidi bro?
Mwanangu swali nzuri sana
Wote ni sawa depends na rank yako. From E 1 and more
@@famoustim64 mana si tuna angalia maslai kama mimi nawa fikiria sana awa federal bereau of investigation FBI
@@kevinmushi8209 we acha tu mana watu wanajiunga ilikupata uraia na Benefits
@@kevinmushi8209 nipe no Yako boss tuonge
Kaka huko Australia hiyo VISA ya electronic unaingia ktk web ya ubalozi?
Sawa bro ila usipaite shithall sas kumbuka uku ndo home 😢
Hususani mimi umenifundisha njia nyingine ya kupambana zaid maana hata nikipapambana na kupata visa ni mapambano pia
Vip namba namba zako mzee
Usiwadharau hao ndio wadau wako
Nimependa sana komaa brother hiyo ulipangiwa Mungu
Asante kaka mshana wenye masikio tushasikia.. inshallah kikubwa dua kaka
Kaka safi sana unapambana
Uyu bro ana jitambuaga Sana
Kweli brother mshana
Allah akufanyie weps kaka kwa kila hali nakuafuatiliasna kaka
Salute Mwamba 🫡
Ayoo sap hap saluti kwako kaka. Nafuatilia nikiwa kariakoo hapa Mr mshana tunakuomba utuunge kwenye group la whassap.
Big up bro thanks I'm from Burundi ❤❤
Nakufatilia since day one tangia unafanya kazi ya restaurant hadi kuwa mjeshi a.k.a konde boy
Keep moving brother 👊👊👊
Safi Sana kaka
Mshanaa ee tupe hizo imel tuombe mungu
Kwema ndugu from mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
bahamas free visa ndio lakini ili kufika lazima upate transit visa ya US ndio uingie bahamas.
Mpe hi mama la mama huyo deleva wetu mkuu
Nakufatilia nikiwa struis baai Cape town
Nitafutie kazi huko mkuu hata kuchunga mbuzi njaa inaniua mkuu
😂😂 akuna anae penda maisha mabaya mzee
Vipi kuhusu millitary departments difference? Yani km vile army, navy, air force, gani wana lipwa hela ya juu zaidi bro?
Mwanangu swali nzuri sana
Wote ni sawa depends na rank yako. From E 1 and more
@@famoustim64 mana si tuna angalia maslai kama mimi nawa fikiria sana awa federal bereau of investigation FBI
@@kevinmushi8209 we acha tu mana watu wanajiunga ilikupata uraia na Benefits
@@kevinmushi8209 nipe no Yako boss tuonge
Kaka huko Australia hiyo VISA ya electronic unaingia ktk web ya ubalozi?
Sawa bro ila usipaite shithall sas kumbuka uku ndo home 😢
Hususani mimi umenifundisha njia nyingine ya kupambana zaid maana hata nikipapambana na kupata visa ni mapambano pia
Vip namba namba zako mzee
Usiwadharau hao ndio wadau wako