MTOTO AUAWA ROMBO BAADA YA MJOMBA KUKOSA MILIONI 6 YA KUWATUMIA WATEKAJI "WAUAJI WAMEACHIWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 177

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 2 дня назад +36

    Polis Tutawaogopa sasa maana nyinyi mmekuwa Wahalifu sasa

  • @dazuujuma778
    @dazuujuma778 День назад +17

    Kama unaamini haki ya kweli inapatikana Kwa Mungu tu gonga like apa

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 2 дня назад +16

    Police wa Tanzania hebu muogopeni Mungu

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 2 дня назад +21

    Police wa Tanzania hawajasoma yaani waliofell form 4 ,,wao wanawazaga pesa tu na kutumia nguvu

    • @Taito-brand
      @Taito-brand 14 часов назад

      Ukisoma ww inatosha kaka hat bakhera ajasoma😂😂😂😂

  • @mohamedchrispin7148
    @mohamedchrispin7148 2 дня назад +18

    KAMA UNASOMA COMMENT HII MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU 🙏

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 дня назад +16

    Hakuna haja ya kuwa na jeshi la police kwa kinacho endelea hapa Tanzania Mungu atulinde waja wake japo ni wakosefu

  • @ahmedalasmi8005
    @ahmedalasmi8005 2 дня назад +8

    WAFANYIENI POLICE KAMA HAMZA ALIVYO FANYA WATA KOMA

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 2 дня назад +26

    Duuuh aya raisi yko anapongeza jeshi lake kw kazi nzuri

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 День назад +1

      Na anaongea ujinga kns eti kifo ni jambo la kawaida na kinapangwa naungu yn uyu samia uyu

    • @AshiruKimaro
      @AshiruKimaro День назад +1

      hii nchi haina raisi hata

    • @faithkaganda-k3s
      @faithkaganda-k3s 13 часов назад +1

      Anasema m2 kuuawa kikatiri inakuwa imepangwa na Mungu aiseee huyu mama cjui alienda leba kweli?😢maan huruma hana🤷‍♀️😢😢🙌🙌

    • @RespiciusiRaphaelia
      @RespiciusiRaphaelia 10 часов назад

      jino Kwa jino ndivyo walivyo​@@faithkaganda-k3s

  • @swalehaltooq5233
    @swalehaltooq5233 День назад +6

    Sio usalama wa taifa ni hatari ya taifa wanaua watu kitengo hicho kitolewe ni njia ya watu kujaza Matumbo yao na kuumiza raia watu wanafanyiwa uhalifu wa kibinaadamu

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 2 дня назад +9

    Ila jamani ni laana au ni nini??? 17 years old??? God have mercy 😢😢😢 poleni jamani 😢

  • @emmanuelanthony3496
    @emmanuelanthony3496 День назад +2

    NILICHO GUNDUA SIKU HIZI KUFA NI RAHISI SANA KULIKO KUISHII....MWENYEZI MUNGU ATUJAALIE MWISHO MWEMA 🙏

  • @ashakomba8034
    @ashakomba8034 2 дня назад +16

    Wanatuuwa wanatuulia watoto miyoyo yetu imekufa amani hakuna tukisema tuandamane sirikali inasema machafuko ivi machafuko niss wananchi au machafuko nyinyi mlioshika dola ??😢😢😢Mimi nakuvunjia chungu mnakufa nyinyi mliofanya tukio nafamilia zenu mmbwa nyinyi

  • @EzekielKandonga
    @EzekielKandonga 2 дня назад +19

    Serikali ya Tanzania Takataka,hasa ya huyu Mama Samia😮

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 дня назад

      Mama hana shida ngazizachini wanamuangusha kilakitu mama samia hatafanya mangapi

    • @wadantz123
      @wadantz123 2 дня назад +1

      Una mwanasheria wa uhakika

    • @samiraabdimahamed4449
      @samiraabdimahamed4449 2 дня назад

      @@wadantz123😂😂😂😂😂😂 karibuni utasikia ametekwa na kupotea katika hali ya kutatanisha

    • @tatuwaziri6122
      @tatuwaziri6122 День назад

      Acha matusi wewe ila ila yamama ako maji safi ndio mana akili huna

    • @valentineevarist
      @valentineevarist 16 часов назад

      Shida mama wana mharibia watu wake wa chini

  • @AngelMazola
    @AngelMazola 2 дня назад +8

    What😢😢😢😢😢 yani ina maana wauwaji wameachiwa kabisaaaaaaaaa!!!😢😢😢😢😢😢😢 khaaaaa!!! Hii nchi mbona imekuwa ngumu sana😢😢😢😢😢😢 jamani mungu atuhurumie na kesho zetu tusizozijuwa😢😢

  • @TheDonny-e2v
    @TheDonny-e2v 2 дня назад +5

    Serikali yetu ndo hiii ambayo inatangaza ina aman ya kutosha😅😅Jaman ni bora ijulikane tu kuwa kuna udctator tuuu

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l День назад +9

    LAZIMA NITAMUUA MAMA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN KWA MIKONO YANGU. Alafu nimfire Vibaya Sanaaana MKISIKIE MAMA SAMIA AMEKUFA MJUE NI MIMI NIMEMUUA

    • @ZaiduGillah
      @ZaiduGillah День назад

      Asee

    • @ZaiduGillah
      @ZaiduGillah День назад

      Bangi zitakuponza ww

    • @claudia1500
      @claudia1500 День назад

      Pole ila punguza hasira,maana ukipotea utawapa shida ndugu zako

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz День назад

      Huyu jamaa Bonge la msela Tanzania nzima hakuna Msela kama huyu. Ila kwa hii Comment yako Ubebe na Pempers na dawa ya kupunguza maumivu. Wewe ni msela jiandae unaenda kukutana na masela ulio wazidi ila wao uta wakuta wana kesi za rabal lkn sio kesi ya kijinga kama yako ndg zako watakukataa. Pole sana. Bangi kule Jamaica zina wasaidia kuimba Rage na kurusha rusha Rasta. Tz ni tofauti kidogo Bangi za Tanzania zina washa Matakoni beba Pempers kabisa.

    • @MichaelKibera-u6b
      @MichaelKibera-u6b День назад

      Ohoooooh ngoja tuitazamee hii movie

  • @lilianpuka218
    @lilianpuka218 2 дня назад +4

    Daaah family poleni mungu awa tie nguvu kwa mungu mnayo pitia😢😢😢

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 2 дня назад +3

    Hakuna Lenye Mwanzo lisilokosa Mwisho Mungu tetea hii nchi inaangamia

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 День назад +4

    Sikuhizi tanzania inalekea kuainchi bure wanajali pesa kuliko maisha yaninadamu😢😢😢inatakakua kama inchiyetu congo😢😢

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 День назад +1

    Mamma Samia yeye ana wapongeza polisi ana sema ni mahodari wa kazi tena wa pandishwe madaraja haraka sana

  • @yohanakateko
    @yohanakateko 2 дня назад +13

    Kwa maelezo Aya inamaana Kuna vyombo viwili vinakamata watu au

  • @RichardMassawe-ss7cy
    @RichardMassawe-ss7cy 2 дня назад +4

    Namwona mama kital hapo diwani wetu mstaafu

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d День назад +4

    Nasem ten hii nchi inanitia ofu kubwa mno moyon mwangu jaman daah

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883 День назад +2

    NO one is above the law,Tanzanian government must take action..

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 2 дня назад +2

    Usalama wa taifa ni wauaji wa taifa mungu atusaidie

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 дня назад +8

    DAH WAZAZIÌ😢😢😢😢😢POLENI SANA MWENYE ENZI MUNGU AENDELEE KUTIA NGUVU

  • @SelestinaHamis-dw1gs
    @SelestinaHamis-dw1gs 2 дня назад +11

    Ccm kumamake zenu

  • @barakalema4358
    @barakalema4358 День назад +4

    enough is enough

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 2 дня назад +3

    Jmn mama Samia mbona unaruhusu mauwaji hivo????😭😭😭😭😭 Tnaumia wanaichi watoto wetu wanauliwa ata kama mwizi bc sukuma ndani lkn cio kuuwa 😭😭😭😭😭😭😭 roho inauma

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 День назад +2

    Aise Hivi tuko Tanzania kweli,hii amani iko wapi kama raia wanatendewa hivi

  • @allansk1035
    @allansk1035 День назад +3

    Nchi yakuongozwa na mwanamke matkeo ndo hayo sasa 😢😢

  • @aminamareta9297
    @aminamareta9297 2 дня назад +3

    Tanania yatu atuna hamani jani
    Maana tunauwana kama wanyama wauwaji wanabebana tu ndiyo maana mauwaji yamenzidi mchi yetu tunaiyogopa

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 2 дня назад +2

    Nchi imekuwa na mambo mengi yakutisha hii siyo hali ya kawaida mungu tusaidie 😢😢😢😢

  • @dianacornely4600
    @dianacornely4600 2 дня назад +4

    Dahh my country😢😢

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 День назад +3

    Yaani poris sasa hivi wakija kukukamata kuna mawili aidha wakufikishe salama au wakuue

  • @Daniella249
    @Daniella249 День назад +1

    Kwahyo wauwaji wameachiwa ili waendelee kuuwa watu wengine 😢😢😢 sijui nihamie nchi gani maana kila mahali ni matukio tu mungu tusaidie sisi watoto wako ni huzini

  • @MengiMeng-fd7sq
    @MengiMeng-fd7sq День назад +3

    R l P magufuri we stir remembering ❤❤❤❤

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 2 дня назад +2

    Kweli saivi mm naona hamna haja ya kusumbuana na polisi wala mahakama nashauri watz twende kuvunja chungu tu kilammoja ana mitambiko yao sasa wale wanaokesha baa mchana wanajiira walokole 😅😅😅😅 nasheria hawazijui nakutambika hawataki ohoooo😊

  • @Josephmkutu13-zo7qd
    @Josephmkutu13-zo7qd 2 дня назад +3

    Kila siku mambo haya na mama yenu mzushi anasingizia uchunguzi, kiufup nchi imemshinda atupishe

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 День назад +2

    Watu wamekosa hofu. Sasa kweli mnamuua mtu kwa sababu ya utapeli wa Fedha!

  • @EinsteinFromEastern-vh6lo
    @EinsteinFromEastern-vh6lo День назад +2

    Sio kwamba mzee kujieleza hajui,hapana,ila anahasira na damu ya kijana wake

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 2 дня назад +4

    Sasa hayo yote why msishirikishe ndugu wa mtuhumiwa?

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d День назад +2

    Alafu unasikia eti kabis wauwaj wameachiw kweli jaman daah uku tunapoelekea bora wananchi kuchukuw sherea mkon tyu bwana 😢😢😢

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 День назад +2

    Yani tanzania sikuhizi mtu akipotea lazima apatikane na ameuliwa na akipatikana hai lazima atakua amemwagiwa tindikali

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l День назад +3

    MIMI nawaahidi WATANZANIA WOTE HASA MASKINI NITAWASAIDIA WOTE HASA WANAOTESEKA.. nawaahidi

  • @Sheisparis
    @Sheisparis 2 дня назад +4

    Polisi ndowanaogoza kupoteza haki za watu, watu polisi wanatishwa wakubali makosa hawajafanya

  • @mlebesitv2628
    @mlebesitv2628 День назад +1

    police wote ni vilaza njaa sana utekaji huwezi kuisha Tz

  • @beatricesamwel6136
    @beatricesamwel6136 2 дня назад +2

    Tanzania ni hii au tumebadirishiwa😭😭😭

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji День назад +3

    Binadam jmni da mtt mdog hivi mnamktish uhai wake khaa

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 День назад +2

    Hata huyo naye muuzajiii wamilunge😂😂😂😂😂😂kaziii nzuli.Afande....muwapunguzeee wanahalibu vijana😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @leonardAmbokile
      @leonardAmbokile 4 часа назад

      Mbwe wewe angekuwa dugu yako omba yasikukute

  • @richardrichope3528
    @richardrichope3528 День назад +3

    Hiyo mirungi ndo ili wawuwa.
    Mpaka familia iliona makosa ndo mana wakatuma hiyo pesa kwahio ata asingekufa angekuwa jela somo sasa vijana epuka ma dawa ya kulevya tafuta kwa jasho

  • @navioma4882
    @navioma4882 2 дня назад +6

    Tanzania ya mauwaji🇹🇿😭😭😭

  • @FrenkMushi-i7f
    @FrenkMushi-i7f 2 дня назад +2

    Mama anazidi kupongeza tu uku matukio yanazidi tu Yani mama ana hurum kabisaaa

  • @DrDaniel-w5y
    @DrDaniel-w5y 2 дня назад +3

    Tanzania ,Mungu tuokoe

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 2 дня назад +2

    Wewe kamanda ndugu yupi alikuwa mahakamani naakaelewa huo uzibitisho
    Acheni viswahili vya komito hapo

  • @adrianmnzava8165
    @adrianmnzava8165 2 дня назад +2

    Naiogopa Tanzania

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 2 дня назад +2

    Inalilah wainaillah rajion inauma kweli

  • @HOSEAHALLAN-tt3gx
    @HOSEAHALLAN-tt3gx День назад +2

    Utalatibu sekalini vituko

  • @hawahussein9055
    @hawahussein9055 2 дня назад +2

    Duuuuuu police jamani kama siyo nyie jisafisheni sasa tuwajue wauaji

  • @Asha-yn4bu
    @Asha-yn4bu 14 часов назад

    Subhanallah 😢😢😢😢poleni sana kwa hili pigo mungu awapatieni subra

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 День назад +2

    Mi police nikiwakuta maahali mh au ngoja ninyamaze ttu

  • @EliasJoseph-cb6zc
    @EliasJoseph-cb6zc 2 дня назад +1

    Hii nchi jmn mungu tusaidie

  • @ahmedmeddy6022
    @ahmedmeddy6022 День назад +2

    Hii taarifa Ina pande mbili sikiliza kwa makini

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 2 дня назад +2

    Inalilah wainalilah rajuuni

  • @ritamaro5444
    @ritamaro5444 День назад +2

    Hii nchi hamna Haki,Pesa ndiyo zinatafutwa.Sio police tuu,hata mahakamani

  • @elizabethmwafongo7829
    @elizabethmwafongo7829 День назад +2

    Kuna wakati inabidi tujiogope sana maana saizi ata panya tu akipita tunaogopa

  • @sadamissa5687
    @sadamissa5687 День назад +2

    Sasa police tu police tu sema police kituo gani au kituo Cha wapi kaka😢😢watanzania tujue

  • @VionaMuthoni289
    @VionaMuthoni289 День назад +1

    Kenya tuko na umaskini lkn hijafikia kwenye tumeanza kuiba watu wakiwa hai tukiitisha pesa,ni kama kuuza binadmu,Kenya police wakikuchukua kama umekosa hawaitishi pesa maybe uuliwe au upigwe wakwachilie lkn tz imezidi sasa,na police ndio ufanya na mjue hakuna kitu president wenu hajui,yuwajua kila kitu

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 День назад +1

    Mishara wanalipwa kwa kodi zetu ila wana tuua Siro alisema ipo siku na wao watakuwa raia wa kawaida tu

  • @bahatibushiri1610
    @bahatibushiri1610 19 часов назад

    Mjomba bora ungegoma kuzika mpk haki itendeke inaelekea walikuharakisha ili wazme kesi pole sana

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o 2 дня назад +3

    NCHI IPO SALAMA ,IPO SHWARI KABISAA CCM OYEEEEH😅

  • @KamugishaSupe
    @KamugishaSupe 2 дня назад +2

    Duh jamani

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg День назад +1

    Huyo siyo usalama wa taifa ni gaidi namba aliyoitumia waifuatilie na hao polisi wawajibishe hiyo imepinda kabisa

  • @MerryJohny-m9i
    @MerryJohny-m9i День назад

    Jaman mungu atulinde maan cjui

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl 2 дня назад +2

    Mmh mtoto bado mdogo

  • @allyahahmed1091
    @allyahahmed1091 2 дня назад +2

    Hawa walivyoona hio laki nne imetoka kirahisi ndo wakafemand ml 6 mweeh jamani

  • @gilbertoisso
    @gilbertoisso День назад +1

    Ila warombo bwana kiswahili chamotu bana chechekesha

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 День назад

    Samia must Go

  • @hawahussein9055
    @hawahussein9055 2 дня назад +1

    Kalibu kigoma

  • @petermassawe-x5q
    @petermassawe-x5q 4 часа назад

    Sema kaka

  • @AloisMosha-uv2fu
    @AloisMosha-uv2fu 2 дня назад +4

    Tukifa mtawalinda Nani

    • @sadiomane124
      @sadiomane124 День назад

      Kwan saiv anakulinda nani 😅

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 День назад +2

    Ss ukinzi waraiya uko wp ikiwa hao askar ndo walinzi waraiya qmauwa raiya daa i nchi ss ivi jmn alafu yule bibi anaongea upuuzi kbs

  • @pilisilakilawila5657
    @pilisilakilawila5657 15 часов назад

    Wanataka kutuletaa laana ya sodoma na gomora mungu akileta makasiriko juu ya nchi kwa maovu yetu damu ikimwagika katika nchi uwa ni laana mungu tusamee

  • @VeronicaShabani
    @VeronicaShabani 2 дня назад +1

    Jamani

  • @BaadayazkFalaja
    @BaadayazkFalaja 5 часов назад

    Mungu kasilika leta t snami tufe wote tz

  • @eliambowe2576
    @eliambowe2576 День назад +1

    Yan mtukanyimwa haki police na mahakama nayo ikamnyima haki yak

  • @AllyMasterKitali
    @AllyMasterKitali День назад

    Kweli hii sio haki tunaomba serikali hawa walifu wapewe adhabu kali ili namwingine asijaribu kuwa watu hovyo pamoja nahuyo polic

  • @FatumaKilongozi
    @FatumaKilongozi День назад +1

    cjui tunaelekea wapi duuh😭😭

  • @SwalafyAct-ks5gz
    @SwalafyAct-ks5gz 10 часов назад

    Anamshukuru mams anga alisema sitaki mwanangu ufanye kz ya police na mm nilitimiza hlo

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 16 часов назад +1

    Suala hili linahitaji uchunguzi wa kina.

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 День назад +1

    Dah 😢😢

  • @FatumaAli-y3y
    @FatumaAli-y3y День назад

    💔Poleni wafiwa hakika inasikitisha jamani,jamani,jamani nyiye mnaona kuua nafsi ni jambo rahisi kumbukeni kuna mungu na mungu amekataza kuua nafsi hata kama kakosa mtakwenda jibu nn mbele ya mungu 😭😭😭

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 День назад

    Tanzania ya mauaji polisi mnakosea jamii sana

  • @DicksonJaphet-fq7ov
    @DicksonJaphet-fq7ov День назад

    Kwa Hali hii Wote tutaisha😢 Ee mwenyezi MUNGU Tunakuomba utusaidie

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 2 дня назад +5

    Kazi ipo😢

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 День назад

    Tusidanganyane,HATUPO SALAMA,HAIJALISHI INAFANYA SERIKALI,CCM,CHADEMA AU WATU BINAFSI,ILA UKWELI WA MAMBO HATUPO SALAMA

  • @saraphinermassare3330
    @saraphinermassare3330 День назад

    Huwa napata hasira sana hiv watu mnaowatendea mabaya wenzenu hamjui kuna Mungu na kuna kesho?

  • @AgnesMakunege
    @AgnesMakunege День назад

    Tunasaidiwa nani wanaotulinda ndowanaotuteka 2mwachie mungu😢😢😢

  • @NEWENERGIESFREIGHTSERVICESLOGI
    @NEWENERGIESFREIGHTSERVICESLOGI День назад

    Bora kuishi Ukraine sio Tanzania 😮

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 День назад +1

    Heeeee😢😢😢😢😢😢