Nimeishi miaka 13 Ulaya. Mimi na familia yangu tumeamua kurudi kuishi Tanzania (Part 1)
HTML-код
- Опубликовано: 11 мар 2023
- Lameck ni rafiki yangu na classmate, alienda kusoma Geneva, Switzerland. Baada ya masomo aliendelea kufanya kazi na kuanzisha familia nchini Switzerland. Baada ya kuishi Geneva kwa miaka 15, yeye na familia yake wameamua kuja kuishi Tanzania.
Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.com/store/apps/de...
Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC...
2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS
Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.com/store/apps/details?id=com.dautechnology.ebmscholars
Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
Kuishi nchi za nje ni shida tuu za maisha ya nchi zetu. Za ki AFRICA. Ila maisha ya ulaya ni magumu sana. Na nimaisha ya upweke na unyonge sana kwakwelii. Nyumbani ni nyumbani.
Brother well done.
Ulaya hakuna mpango tena.
Hata mimi natafuta njia baada ya miaka 33.
Unatupa moyo sana
Ni vizuri zaidi Kurudi Nyumbani huku maisha yake inaendelea kua gali sana. Wanachukua hela zetu za kulipa kila kitu direkt kwa banki ya kila mkaaji hapa. Nimependa vile umesema umerudi nyumbani. Nadhani kutakua na mabadiliko Nzuri sana Amina Mungu akabariki wewe na familia yako kuajumla.
Inavutia sana kuona mbongo msomi anacha4qza kiswahili kama hajawahi kuishi mbele wakati wabongo wakipata vijisenti kidogo huzuga hawajui kiswahili
Wa bongo movie
Hahaha kweli kiswahili ndiyo rugha maana
WANA MATATIZO HAO MBONA MIYE NIKO 30 HUKU SWITZERLAND NA KISWAHILI KAMA KAWA😊
Very nice interview I love the way Tanzanians talk very flawless Kiswahili.
Hongera bro
Mungu akusimamie hiyo mipango yako ikafanikiwe na watanzania wengi na taifa kwa ujumla👍👍
Jamaa yupo vizuri sana🙌🏿🙌🏿🙌🏿👏🏿👏🏿👏🏿
.
🇹🇿
Huyu jamaa anatema nondo sana. Big up sana.
Woow, kaka nimependa sana hii interview yako. Well done. Big mind, think big.
Watanzania wastaarabu sana👌
Laja mwenye ndani ya nyumba ngoja nije nikutafute Bongo, nakumbuka siku narudi Bongo wewe ndio mtu wa mwisho kumwaga hhhhaha nitakutafuta mzee wa Friborg na Geneva usisahau kuuwaambia Vijana Maisha vipi Ulaya watu wanakujua kielimu elimu lakini unajua maisha ya watu vijana wanao ishi Ulaya , Baaambie hao umetuwakilisha saaana unajua saaana wakupe kitengo huko Bongo unajua mpaka basi
Shikamo kaka habar za kazi pole na majukumu ...samahani naomba kukuliza Nina kaka yangu Yuko Denmark akitaka kunialika ila majina ya baba ni tofauti ila mama yetu ni mmoja yaani tumezaliwa na mama mmoja baba tofauti je kwenye sehemu ya visa itakubalika ila vigezo vile vyote ulivosema nimekamilisha kasoro jina la baba tu ndio tofauti...asante
Asante sana EBM kwa interview nzuri
Interview nzuri sana.. Keep it up kaka👏🏾👏🏾
Hata mie sasa naangalia huu upande wa kurudi ila mie nafiliria miezi 6 huku miezi 6 bongo just because nina attachement huku ,hata watoto wangu wanapenda bongo
EBM SCHOLARS MAMBO UNAYOFANYA UNATUFUNGUWA MACHO SANA NA MUNGU AKUBARIKI.
Kiongozi hukuweka caption nzuri kwenye haya mahojiano. Kuna vitu vizuri kaviongea lakini nikiri kwamba almanusura ningeipita hii habari. Sorry kama maoni yangu yatakua yamekukwaza ila next time sikiliza tena na tena mahojiano unayofanya kisha utengeneze heading ambayo ina shawishi kusikiliza content... hii nilihisi huyu anajisifia tu hana lolote, kuishi ulaya 13yrs kitu gani? Ila baada ya kumsikiliza nikagundua mengi mazuri. Kumbe alisoma UDOM, political science! Kumbe kuna hiki, kumbe kuna kile, kumbe dah hiki kinaweza fanywa hivi n.k, yote ni mambo niliyojifunza kupitia interview
Kichwa hichi ,chuma kama chuma ❤❤❤❤
Nilikuwa nafikili lini utamleta huyu jamaa nakumbuka alitupa nondo mbaya
Ngara boy.... inspiration...
Asante sana nimekuelewa ,Mimi ni Wa kigoma
Nakuonea huruma sana mambo hayo watawala watakuzingua sana had utarud uswis
I do respect you
JamaaMrambo mwnezangu unapaswa kuwa na nafasi pale Tanzania-Switzealand Chamber of Commerce
EBM event ndugu lini tukiacha app pia tunataka live
Jamaa anaongea point kinoma
Ongera Sana kaka
❤from 🇰🇪, please talk about how you deal with the sexuality thing in states considering their evil ideology in schools. In Africa some topics are abomination
👏🏿👏🏿👏🏿
.
🇹🇿
🔥🔥🔥✊🏽
Kwanza hututa pigua na baridi tena Nyumbani raha.popote huko Afrika sababu kuna joto kutosha.
Huyu anatakiwa kuwa W mbombo nje
Jiandae kunua mishumaa na madumu ya maji.
Back to back season 🔥
Home boys.
Tunashukuru Mungu kwa kuwa na Nchi nzuri Mama Tanzania, wengi hapa Duniani wakipata fursa hii hawarudi makwao na hii sio Wa Africa tu hata baadhi ya Nchi za Ulaya pia wana changamoto ma kwao
Kabisa
Huyu jama yetu angepewa furisa naona angetuleteya maendeleo ila sijui kwa hizi serikali zetu za Afrika ni shida tu
Nchi za AFRIKA watu wanaangaliaga nafasi so kumpa nafasi huyo ina maana kuna mtu atakosa nafasi hiyo so asahau
@@edwardmkwelele anaweza kuisaidia kwa njia tofauti c lazima kuajiriwa na serikali🤔
Kutowa fursa kwa familia yako sawa, Siyo kutowa fursa kwa nchi yako hiyo sahau
Tupe fursa sasa ndugu
Matangazo mengi hatari , story nzuri bro
Karogwa uyo urud tanzania kisa🙄
Wala anajua siri za huku ,huku hakuna maisha
Nyumbani ni nyumbani hata mimi niko nje pia. Sijawahi kutamani kuishi huku naipenda sana nchi yangu
Marekani siyo mbinguni. Sijawahi kuota kuishi ulaya wala Marekani ndoto yangu ni kuingia mbinguni.
Haha Fabi umenipa kicheko. Marekani siyo mbinguni...ni Bora kumtafuta Mungu.
Ana vipaumbele vyake