Nimeishi miaka 13 Ulaya. Mimi na familia yangu tumeamua kurudi kuishi Tanzania (Part 1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 мар 2023
  • Lameck ni rafiki yangu na classmate, alienda kusoma Geneva, Switzerland. Baada ya masomo aliendelea kufanya kazi na kuanzisha familia nchini Switzerland. Baada ya kuishi Geneva kwa miaka 15, yeye na familia yake wameamua kuja kuishi Tanzania.
    Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.com/store/apps/de...
    Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC...
    2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS

Комментарии • 55

  • @EBMSWAHILI
    @EBMSWAHILI  Год назад +3

    Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.com/store/apps/details?id=com.dautechnology.ebmscholars
    Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Год назад +7

    Kuishi nchi za nje ni shida tuu za maisha ya nchi zetu. Za ki AFRICA. Ila maisha ya ulaya ni magumu sana. Na nimaisha ya upweke na unyonge sana kwakwelii. Nyumbani ni nyumbani.

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or Год назад +12

    Brother well done.
    Ulaya hakuna mpango tena.
    Hata mimi natafuta njia baada ya miaka 33.
    Unatupa moyo sana

  • @billian1914
    @billian1914 Год назад +3

    Ni vizuri zaidi Kurudi Nyumbani huku maisha yake inaendelea kua gali sana. Wanachukua hela zetu za kulipa kila kitu direkt kwa banki ya kila mkaaji hapa. Nimependa vile umesema umerudi nyumbani. Nadhani kutakua na mabadiliko Nzuri sana Amina Mungu akabariki wewe na familia yako kuajumla.

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Год назад +15

    Inavutia sana kuona mbongo msomi anacha4qza kiswahili kama hajawahi kuishi mbele wakati wabongo wakipata vijisenti kidogo huzuga hawajui kiswahili

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Год назад +3

      Wa bongo movie

    • @TPW_FLUXY
      @TPW_FLUXY Год назад

      Hahaha kweli kiswahili ndiyo rugha maana

    • @saudasieber2082
      @saudasieber2082 Год назад

      WANA MATATIZO HAO MBONA MIYE NIKO 30 HUKU SWITZERLAND NA KISWAHILI KAMA KAWA😊

  • @Temboz
    @Temboz Месяц назад

    Very nice interview I love the way Tanzanians talk very flawless Kiswahili.

  • @gracemihayo9416
    @gracemihayo9416 Год назад +1

    Hongera bro
    Mungu akusimamie hiyo mipango yako ikafanikiwe na watanzania wengi na taifa kwa ujumla👍👍

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 Год назад +3

    Jamaa yupo vizuri sana🙌🏿🙌🏿🙌🏿👏🏿👏🏿👏🏿
    .
    🇹🇿

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +5

    Huyu jamaa anatema nondo sana. Big up sana.

  • @luluafrica
    @luluafrica Год назад +2

    Woow, kaka nimependa sana hii interview yako. Well done. Big mind, think big.

  • @diid17
    @diid17 Год назад +7

    Watanzania wastaarabu sana👌

  • @AIInsights23
    @AIInsights23 Год назад +1

    Laja mwenye ndani ya nyumba ngoja nije nikutafute Bongo, nakumbuka siku narudi Bongo wewe ndio mtu wa mwisho kumwaga hhhhaha nitakutafuta mzee wa Friborg na Geneva usisahau kuuwaambia Vijana Maisha vipi Ulaya watu wanakujua kielimu elimu lakini unajua maisha ya watu vijana wanao ishi Ulaya , Baaambie hao umetuwakilisha saaana unajua saaana wakupe kitengo huko Bongo unajua mpaka basi

  • @habibarnabas
    @habibarnabas Год назад

    Shikamo kaka habar za kazi pole na majukumu ...samahani naomba kukuliza Nina kaka yangu Yuko Denmark akitaka kunialika ila majina ya baba ni tofauti ila mama yetu ni mmoja yaani tumezaliwa na mama mmoja baba tofauti je kwenye sehemu ya visa itakubalika ila vigezo vile vyote ulivosema nimekamilisha kasoro jina la baba tu ndio tofauti...asante

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Год назад +1

    Asante sana EBM kwa interview nzuri

  • @flaziaisack4038
    @flaziaisack4038 Год назад

    Interview nzuri sana.. Keep it up kaka👏🏾👏🏾

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 Год назад +2

    Hata mie sasa naangalia huu upande wa kurudi ila mie nafiliria miezi 6 huku miezi 6 bongo just because nina attachement huku ,hata watoto wangu wanapenda bongo

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 Год назад +1

    EBM SCHOLARS MAMBO UNAYOFANYA UNATUFUNGUWA MACHO SANA NA MUNGU AKUBARIKI.

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Год назад +2

    Kiongozi hukuweka caption nzuri kwenye haya mahojiano. Kuna vitu vizuri kaviongea lakini nikiri kwamba almanusura ningeipita hii habari. Sorry kama maoni yangu yatakua yamekukwaza ila next time sikiliza tena na tena mahojiano unayofanya kisha utengeneze heading ambayo ina shawishi kusikiliza content... hii nilihisi huyu anajisifia tu hana lolote, kuishi ulaya 13yrs kitu gani? Ila baada ya kumsikiliza nikagundua mengi mazuri. Kumbe alisoma UDOM, political science! Kumbe kuna hiki, kumbe kuna kile, kumbe dah hiki kinaweza fanywa hivi n.k, yote ni mambo niliyojifunza kupitia interview

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 Год назад +2

    Kichwa hichi ,chuma kama chuma ❤❤❤❤

  • @mohamedialliy1974
    @mohamedialliy1974 Год назад +1

    Nilikuwa nafikili lini utamleta huyu jamaa nakumbuka alitupa nondo mbaya

  • @bonifacesembago4957
    @bonifacesembago4957 Год назад +1

    Ngara boy.... inspiration...

  • @adolfinaandrea5234
    @adolfinaandrea5234 Год назад +1

    Asante sana nimekuelewa ,Mimi ni Wa kigoma

  • @didasmilengo4323
    @didasmilengo4323 Год назад

    Nakuonea huruma sana mambo hayo watawala watakuzingua sana had utarud uswis

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    I do respect you

  • @amosicronery7730
    @amosicronery7730 Год назад

    JamaaMrambo mwnezangu unapaswa kuwa na nafasi pale Tanzania-Switzealand Chamber of Commerce

  • @mohamedialliy1974
    @mohamedialliy1974 Год назад +1

    EBM event ndugu lini tukiacha app pia tunataka live

  • @mkohoexperience7322
    @mkohoexperience7322 Год назад

    Jamaa anaongea point kinoma

  • @ayubkakore8581
    @ayubkakore8581 Год назад

    Ongera Sana kaka

  • @joywambui9330
    @joywambui9330 Год назад +3

    ❤from 🇰🇪, please talk about how you deal with the sexuality thing in states considering their evil ideology in schools. In Africa some topics are abomination

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 Год назад +1

    👏🏿👏🏿👏🏿
    .
    🇹🇿

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 Год назад

    🔥🔥🔥✊🏽

  • @billian1914
    @billian1914 Год назад

    Kwanza hututa pigua na baridi tena Nyumbani raha.popote huko Afrika sababu kuna joto kutosha.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Год назад

    Huyu anatakiwa kuwa W mbombo nje

  • @haarunsaidabdillahi5267
    @haarunsaidabdillahi5267 Год назад

    Jiandae kunua mishumaa na madumu ya maji.

  • @JoeinGermany
    @JoeinGermany Год назад

    Back to back season 🔥

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    Home boys.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад

    Tunashukuru Mungu kwa kuwa na Nchi nzuri Mama Tanzania, wengi hapa Duniani wakipata fursa hii hawarudi makwao na hii sio Wa Africa tu hata baadhi ya Nchi za Ulaya pia wana changamoto ma kwao

  • @mohdnasser894
    @mohdnasser894 Год назад +3

    Huyu jama yetu angepewa furisa naona angetuleteya maendeleo ila sijui kwa hizi serikali zetu za Afrika ni shida tu

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele Год назад

      Nchi za AFRIKA watu wanaangaliaga nafasi so kumpa nafasi huyo ina maana kuna mtu atakosa nafasi hiyo so asahau

    • @mkohoexperience7322
      @mkohoexperience7322 Год назад +1

      ​@@edwardmkwelele anaweza kuisaidia kwa njia tofauti c lazima kuajiriwa na serikali🤔

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Год назад +1

    Kutowa fursa kwa familia yako sawa, Siyo kutowa fursa kwa nchi yako hiyo sahau

  • @iddramadhani7497
    @iddramadhani7497 Год назад

    Tupe fursa sasa ndugu

  • @cleopatrahenry7541
    @cleopatrahenry7541 Год назад +1

    Matangazo mengi hatari , story nzuri bro

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Год назад

    Karogwa uyo urud tanzania kisa🙄

    • @teamallyracing1780
      @teamallyracing1780 Год назад

      Wala anajua siri za huku ,huku hakuna maisha

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 Год назад +4

      Nyumbani ni nyumbani hata mimi niko nje pia. Sijawahi kutamani kuishi huku naipenda sana nchi yangu

    • @rubefabi8366
      @rubefabi8366 Год назад

      Marekani siyo mbinguni. Sijawahi kuota kuishi ulaya wala Marekani ndoto yangu ni kuingia mbinguni.

    • @mutalemwabugeza1489
      @mutalemwabugeza1489 Год назад

      Haha Fabi umenipa kicheko. Marekani siyo mbinguni...ni Bora kumtafuta Mungu.

    • @anithasemwano8276
      @anithasemwano8276 Год назад

      Ana vipaumbele vyake