Tumefika LA,California. kumejaa watu fake!! Homeless wamejaa road🇺🇸maduka kama Dar. Foleni OMG 😳

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 мар 2024

Комментарии • 46

  • @gudaguda2170
    @gudaguda2170 3 месяца назад +1

    Tatizo la homeless people kwa Marekani Sio la umasikini wa kuzaliwa nao. Wengi walikuwa vizuri kwa kipato ila ndio hivyo walipoteza pesa kwa sababu zao. Kwahiyo umasikini wa huko hausababishwi na serikali unatokana na watu wenyewe

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 4 месяца назад +2

    Ushauri mzuri sana Mzee wa kazi

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 4 месяца назад

    Hongera sn broo kw kutusanua Endelea wl usichoke mkuu kazi mzr sn

  • @salehkhamis3000
    @salehkhamis3000 4 месяца назад +1

    Hahahaha, nimecheka et watu wa ajab wote wako hapo, km South Africa vile

  • @husrisanchez9781
    @husrisanchez9781 Месяц назад

    We jamaa unauzi kitu kimoja punguza kuponda sana eew we hauna hela yakuish LA sasa mongwa ya nini😂

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 4 месяца назад

    Safi sana ndg jitaidi ukutane na Jackson yupo anaishi Los Angeles apo

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 2 месяца назад

    Nakupata sana broo

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 4 месяца назад +2

    LA wazaaneeeee

  • @gudaguda2170
    @gudaguda2170 3 месяца назад

    Welcome to Downtown L. A the City of Angeles

  • @user-cz3cf5wl7k
    @user-cz3cf5wl7k 4 месяца назад

    Unawezaje kuja USA ukiwa mwanafunzi kujiunga na universities ya uko marekani..

  • @annonmnzava728
    @annonmnzava728 4 месяца назад

    Hiyo LA ya Kigoma Bro!....😂😂😂😂

  • @edmondchege7381
    @edmondchege7381 2 месяца назад

    Walae tutawai fika uku bro

  • @Madizizi
    @Madizizi 4 месяца назад +4

    Bro nilitaka kujiunga jeshi la marekani nikaambiwa mpaka ni katae uraiya wa tanzania nikweli maana mzee wangu anakaauko

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  4 месяца назад

      Ndio kwasababu lazima uoneshe uzalendo na 🇺🇸 hasa wanakupa kila kitu and only to be loyal to 🇺🇸

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  4 месяца назад +2

      Good thing hawakuombi kubadili dini yako kk 😃😊

    • @Madizizi
      @Madizizi 4 месяца назад

      Na ninabidi nikae miaka 5 uko ilikujiunga

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  4 месяца назад +2

      @@Madizizi no ukiwa na Green Card tu unaweza kujiungwa mm nimefika hata mwaka cjamaliza na nimejiunga

    • @Madizizi
      @Madizizi 4 месяца назад

      Umenipa hamasa maana niliambiwa kupata green card mpaka nikae miaka 5 😂

  • @ayoubimam7271
    @ayoubimam7271 2 месяца назад

    Kwani mshana unaishi mji gani?

  • @user-hx7tr5iw8p
    @user-hx7tr5iw8p 4 месяца назад +1

    Aisee nauliza tu ww unatokea tzd mkoa gani.

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  4 месяца назад +1

      Dar born and rise. Lakini nilikaa mda flani znz Ila asili yangu ni mpare

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi 3 месяца назад

      Urewedi avae ?🤣🤣​@@mshanatheblacksmith

  • @MkuziSaha-ll6ex
    @MkuziSaha-ll6ex 4 месяца назад

    Huko Kwa wenye mafaranga kaka sio mchezo

  • @avitrugakingirajr1669
    @avitrugakingirajr1669 4 месяца назад

    Mshamba huyu analolote kenge tu

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 3 месяца назад

      Tuache sisi washamba wenzie namakenge wenzie 😡

  • @JuniorMatagi-fp7uk
    @JuniorMatagi-fp7uk 4 месяца назад +1

    Acha ushamba wa kuongea kingereza mbona unakuwa mshamba sana. Alafu kingereza chenyewe cha kawaida sana yaani kibovu

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  4 месяца назад +2

      Angalia Wasafi hawaongei kingereza😂😂

    • @SamiaRashid-up6cg
      @SamiaRashid-up6cg 4 месяца назад +2

      Mbona una makasiriko sana mjomba kwan kingereza ndo nn wee chako kisafi lakin bado upo bongo unakula ugali dagaa

    • @musailimu202
      @musailimu202 4 месяца назад +2

      Acha kukasirikia mafanikio ya watu, kwan ye alihusika kukufanya usiende shule?😢

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 3 месяца назад +1

      ​@@SamiaRashid-up6cg Duu ugali dagaa 🤣🤣🤣🤣

    • @devanse9718
      @devanse9718 3 месяца назад

      Umasikini unatia hasira za kipuuzi sana tafuta hela maana kingereza hata bongo unakiongea ukinywa pombe za bei kali

  • @mbarikiaally2814
    @mbarikiaally2814 22 дня назад

    Wewe tafuta content za kueleweka kazi kuponda tu acha mtu aishi anavyotaka kukaa mji mdogo sio kufanikiwa

  • @mchiziwamtwapa3739
    @mchiziwamtwapa3739 4 месяца назад

    Mbona wateseka bro na maisha ya watu si urudi kwenu uka park gari bure 😂😂

  • @baltazaryjoseph5893
    @baltazaryjoseph5893 4 месяца назад

    kwa hyo unataka kusemaje mangi

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 4 месяца назад +2

    Safi sana ndg jitaidi ukutane na Jackson yupo anaishi Los Angeles apo