Doohh! Kakah ni kweli kabsaa it's Soo emotional, mfano binafsi nikifikiria safar Yako kutoka Tz safari iliyojaa na simulizi nyingi snaa,safar AMBAYO binafsi naweza ianzee KWNEY daraja la Morocco pale amapo nakumbuka ulipand akweny daraja lile na kujichukua mara Baada ya kupata visa ya marekani, na baadae askari aankuja nakukutoa " kijana hawarusu kufanya HİVYO apo... Don't d that" .. ila yote ilikua kwajili ya FURAHA tü na ndo Kama kipindi hiki kuwa ni kipindi CHA majonzi ambacho unatoka sehem MMOJA ambayo watu walikuzoea na kupiga story na wewe lakn now unawaacha ...kwaajili tü ya life .. ilii maisha yasonger mbelee...keep it 💪 broih!! Don't feel like quitting😢.. Mungu akutangulie na akupe moyo WA kuoam WA kupambana broih!!💪. Tunafata nyayo Zako...but me Nina maswali ma 3 tü....1. JE unadhani ni changamoto gani Kübwa ILIKUA face UKIWA hapo kazıni,kiais Cha KUFANYA uwaze na hata pengine kuamua kuachana na iyo kazı...2. Kwa experience uliyoipata hapo Je unadhani Mfano lkn🤔, UNAWEZA kurudi tz na ukatoa walau kwa uchache tuuH Kwa kile ulichojifunza na kidogo kikaleta Faida ingawa sio Kwa ukubwa huo!?.... 3. Na JE USHAURI WAko ni Nini Kwa w bongo na wakenya ambao WAPO marekani bado wameganda kwenye kazı Moja tü kwa muda mrefu?.... Şhukrn kakah💪🙏 your my influencer ... Good luck Kwa maisha mapya🎉😍🔥🔥🔥🔥💪🙏
Hii Comment ni 🔥 kwanza asante kwakunisapoti every time and in every situation, pili haya maswali uliouliza ni mazuri sana itakuwa vizuri nikujibu kwa video ndefu kuliko comment tu🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Yeah maisha yanabadilika kaka na uwenda kutoka apo mungu kakuandalia kaz bora zaid ya iyo. Bro nlikua nakuuliza naweza kuja kwa visiting Visa na nikabaki huko
Nikwasababu nimeanza ku save tangu mwaka jana nilipofika 🇺🇸 so nikifanya masaa Machache now nipo sawa na kwakuwa pia naacha kazı naingia kwenye Carrier
Doohh! Kakah ni kweli kabsaa it's Soo emotional, mfano binafsi nikifikiria safar Yako kutoka Tz safari iliyojaa na simulizi nyingi snaa,safar AMBAYO binafsi naweza ianzee KWNEY daraja la Morocco pale amapo nakumbuka ulipand akweny daraja lile na kujichukua mara Baada ya kupata visa ya marekani, na baadae askari aankuja nakukutoa " kijana hawarusu kufanya HİVYO apo... Don't d that" .. ila yote ilikua kwajili ya FURAHA tü na ndo Kama kipindi hiki kuwa ni kipindi CHA majonzi ambacho unatoka sehem MMOJA ambayo watu walikuzoea na kupiga story na wewe lakn now unawaacha ...kwaajili tü ya life .. ilii maisha yasonger mbelee...keep it 💪 broih!! Don't feel like quitting😢.. Mungu akutangulie na akupe moyo WA kuoam WA kupambana broih!!💪. Tunafata nyayo Zako...but me Nina maswali ma 3 tü....1. JE unadhani ni changamoto gani Kübwa ILIKUA face UKIWA hapo kazıni,kiais Cha KUFANYA uwaze na hata pengine kuamua kuachana na iyo kazı...2. Kwa experience uliyoipata hapo Je unadhani Mfano lkn🤔, UNAWEZA kurudi tz na ukatoa walau kwa uchache tuuH Kwa kile ulichojifunza na kidogo kikaleta Faida ingawa sio Kwa ukubwa huo!?.... 3. Na JE USHAURI WAko ni Nini Kwa w bongo na wakenya ambao WAPO marekani bado wameganda kwenye kazı Moja tü kwa muda mrefu?.... Şhukrn kakah💪🙏 your my influencer ... Good luck Kwa maisha mapya🎉😍🔥🔥🔥🔥💪🙏
Hii Comment ni 🔥 kwanza asante kwakunisapoti every time and in every situation, pili haya maswali uliouliza ni mazuri sana itakuwa vizuri nikujibu kwa video ndefu kuliko comment tu🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@@mshanatheblacksmith SAWA kakh!! Nasubiri majibu kakah!! Kila hatua başı jua TUko pamoja🔥💪
Yeah maisha yanabadilika kaka na uwenda kutoka apo mungu kakuandalia kaz bora zaid ya iyo. Bro nlikua nakuuliza naweza kuja kwa visiting Visa na nikabaki huko
Sorry brother you will get another one just be strong
I appreciate bro🙏🏻
Congratulations 🎉🎉🎉@mshana the blacksmith.
Mshana your life history is amazing
Inshallah allah atakuwa pamoja na ww hatua kwa hatua kufkia malengo yako allahumma ameen
Amin 🙏🏻 Na kwa sote hapa 🤲🏾
na leo nmekua wa kwanza tena gonga likes babuuuu😂🫡...all the bst bro
Good luck ndugu yangu
Asante sana sana Dada🙏🏻
Nimejifunza mengi kupitia kwako... kazi nzuri kaka
Asante
I feel ya bro such emotional feelings u seen
🙏🏻🙏🏻
Good luck brother🤝
Asante sana kk🙏🏻
Daah oi mshana jackson hapa kuomba visa ni kuna garam au ni bure
Mtu bay ndani ya jeshi nakubar brow
boot camp hio Allah akufanyie weped
Amin brother 🤲🏾
But what i know bru is going to join to be American army so he has to resign there. Good step ahead 😊
Jeh ukiapat visa ya family unawez ku extend ukiwa nje
Ndio
Mshana kama umefanya kaz shift moja and you sustained life what about two shifts🤪😋
Nikwasababu nimeanza ku save tangu mwaka jana nilipofika 🇺🇸 so nikifanya masaa Machache now nipo sawa na kwakuwa pia naacha kazı naingia kwenye Carrier
@@mshanatheblacksmith All the best humble man🙏👍
umenisubribia ama ni mimi tu kukusupport?
Support yako 🙏🏻
Kwahyo unaenda wapi sasa mbona husemi?
Si alisema anajiunga na jeshi au mimi ndio sijaelewa
Mkuu huwa ninakubali sana content zako
@@neemayatosha1618Asante kwa kumjibu ni sahihi 🙏🏻🙏🏻🤝🤝
Naitaji mail yako tutaongea zaidi
awadhmshana624@gmail.com alafu kunawatu wanatuma email nazipata nikikaa vzri na muda nitaanza kujibu msijali