Mwanzo Mwisho alichozungumza Lissu Morogoro Aprili 30, 2024
HTML-код
- Опубликовано: 29 апр 2024
- Alikuwa akizungumza na wananchi wa Morogoro katika mkutabo wa hadhara uliyofanyika baada ya maandamaono yaliyofanyika mkoani humo yenye lengo la kuishinikiza Serikali kusikiliza kero za wananchi ambazo ni pamoja na Katiba Mpya na Maisha magumu ambapo kwa mujibu wa CHADEMA ndio hoja kubwa za kitaifa kwa sasa na ni vyema wananchi kusikilizwa.
Katika mfululizo huu wa maandamano mheshimiwa Tundu Lissu amabaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa ameongoza maandamao kwenye Mikoa mitatu ambayo ni Manyara, Dodoma na leo Morogoro.
Hata hivyo CHADEMA wamesema maandamano haya hayano kikomo mpaka pale Serikali itakaposikiliza hoja zao ambao ndio matamanio ya wananchi wengi wa Tanzania.
Kwa maoni yangu naona itakuwa jambo jema sana. Tundu Lissu ajengewe sanamu kwa kazi nzuri ya kuitetea Tanganyika yetu. Basi Kama tutakubaliana mm nitachangia 100000
Nakubali
Ni wazo jema kabisa. Tuko pamoja tuma tu huo mchango wako.
tundu lissu unaibua mambo mazito kwenye nchi hii mungu aendelee kukupa,ujasili na afya
Sawa MH tundu Antipace lissu
Daaha, huyu Mwamba ana madini mengi kichwani.
VIVA CHADEMA....VIVA COMRADE LISSU....WATANZANIA BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUWAUNGE MKONO....WANAPIGANIA NJIA KUU ZA UCHUMI NA RASILIMALI ZA NCHI KUWA CHINI YA UMMA....NA SIYO KUWAPA WAGENI NA MAWAKALA WAO NA MAKUWADI WAO WA NDANI.
Hapo sawa. Nimekuelewa kweli kweli.
Hotuba hii ni nzito
Haya madai ya katiba niyamsingi sn,ila watanzania wengi hatuna ufahamu,hapa unatupa Elimu,Mungu akubariki na akupe nguvu uendee kutuelimisha.
Nakubaliana na ww tuna shinda ya mfumo ambao msingi wake ni katiba yetu , rushwa imeanzia kwenye chama cha ccm ambacho ni chama tawala , inakuwa ngumu rushwa kuisha wakati iko ndani ya chama tawala ambacho ndo kinaunda serikali
Mussaisa mzimu wa Nyerere(katiba) ndio unatutafuna kupitia midomo ya warithi wake ccm...
ccm daima..... ccm mbele mbele yaoooo.
Sasa hivi tuko barabarani, tunaletewa abuud kuwatisha bodaboda wasiandamane watanyang'anywa Toyo walizopewa kwa mkopo kama kiziba mdomo wasidai haki zao za kudai katiba mpya!.
pambana jembe letu tupo nyuma yako
uongozi ni kubeba mizugo ya watu
Hata Marekani Rais anaweza kupinga mswada au kuukubari. Hivi ndani ya chadema unaweza pitisha chochote pasina Mbowe kuruhusu?
Mzee Lissu, wakumbushe kuwa Kati ya wale waliopita bila kupingwa yupo Job Dungai, Spika aliefukuzwa pungent kama Spika kwa dhiaka kubwa, na hili lipo ktk katiba, RAIS MFALME!!
Mzimu wa Nyerere(katiba) unatutafuna kupitia midomo ya warithi wa serikali ya chama chake ccm! Huyo ndiye chanzo tumwache namnagani?! Hii ni laana ya baba zetu,nao hawapo tena, tunapigwa tu!
Kuzalisha nni
hasa nape haana akili kupewa uwazili imekua kila anacho zungumza nikumkingia kufua mzanzibari huyu. hivi tunajuaje kama nape sio mzanzibari kweli? huyu.
*Punguza uzito kwa kutembea; punguza kiasi cha mlo wa siku!*
Acha kudanhanya watu,acha wakafanye kazi ya kuzalisha waweze kula,hajawahi tokea kwa nchi yoyote ile ikawawwkea pesa mfukoni.
Kikokotoo unakijua ww au ww sio mtumishi wa umma
Mmh itakuwa umeandika hyo sms ukiwa wodin pale milembe sio bure.
Jitu moja akili zimehamia nyuma hujitambui kabishane kwenye mipira huko
Ww ni punga hujielewi,unafanya kazi huku katiba imeweka mirija ya unyonyaji utanufaika na nini
Chawa ztoo😂😂