MAJI YA SHINGO SE01 Ep 18

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 янв 2025

Комментарии • 67

  • @damasanita
    @damasanita 18 дней назад +27

    Jamanii nani anaona kma hance katapeliwaaa😢kwa ku Saini mkatabaa

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 18 дней назад +1

      Mimi hapa ashatapeliwa kabisaaaaa wale nimatapeli

    • @RajabuSeleman-n7j
      @RajabuSeleman-n7j 18 дней назад

      Namba mbili kalizwa uyo

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 18 дней назад

      Jman kwann yule kaka kamwingiza kubaya vile half yule msimamiz wa nyumbq na yeye ni tapeli kumbe walikuwa wana kuangalia kwa jicho la umeingia cha kike

    • @SophiaMboji
      @SophiaMboji 18 дней назад

      Hance kaingia cha kike jamani

    • @kithaimhotep504
      @kithaimhotep504 18 дней назад +2

      Nimeshtuka kumuona yule mama wa roho mbaya

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 17 дней назад +3

    Clara atakuja kuwa na msaada mkubwa sana kwa hance sema nayeye ameshaanza kujistress kwenye mahusiano hachomoki😢

  • @UnrulyHope-e9j
    @UnrulyHope-e9j 16 дней назад

    Hongera kazi nzuri sana mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @HalimaAdam-r5e
    @HalimaAdam-r5e 12 дней назад

    Uwiiii hanse hapo unatapeliwa na hao matapel tena wana haramu wakubwa hao nakuonea huruma sanaaa

  • @MariamShabani-c1c
    @MariamShabani-c1c 17 дней назад

    Yaaaani namuoneya huruma sana hanche katapeliwa mchana kweupe atalijuwa jiji Lipo je

  • @HalimaAdam-r5e
    @HalimaAdam-r5e 12 дней назад

    Natasha umeyakanyaga hahahhah mdomo utakuponzaaa jirekebishe angalia sasa umekanwa tena unaitwa takatak ndoujuw hawa wanaume ni to much

  • @mwanatumu7012
    @mwanatumu7012 17 дней назад

    Kazi nzuri MashaaAllah 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @neykidoti102
    @neykidoti102 17 дней назад +1

    Dr Hance atapigwa na kitu kizito madame Jane sio mtu ni tapeli aliye kubuhu halafu hata hakamatwi nashangaa

  • @AlistidiaAlistides-c5z
    @AlistidiaAlistides-c5z 18 дней назад +3

    Jamni naomben like namim❤

  • @AminaMwavita
    @AminaMwavita 16 дней назад

    Congratulations keep it up good job 💞❤💕♥️🥰😍😘

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 16 дней назад

    Tabu chizi et ahaa mridanganyana😂😂😂😂😂

  • @HenryAthanas-yr6rn
    @HenryAthanas-yr6rn 18 дней назад +2

    Jamn wakwanza mimi naombein ❤

  • @PiliaPilia-e8k
    @PiliaPilia-e8k 18 дней назад +1

    Ila Tabu wanifurahisha sana😂😂

  • @biggyayush4539
    @biggyayush4539 18 дней назад +3

    Wakwanza nipewe like zangu

  • @FannyMugisha
    @FannyMugisha 16 дней назад

    Mimi Naona Grace kapotea😂😂😂😂😂😂😢😢😢

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 18 дней назад

    Nmependa vyenye davy anamuliwaza mwenziwe,,ama kweli undugu n kufaana n sio kufanana

  • @elyse-wx6of
    @elyse-wx6of 18 дней назад

    Kazi yenu nzuri naipenda kutoka RDCONGO 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ShaltyOs
    @ShaltyOs 18 дней назад +2

    Hance ako na Annah nko nauhakika hawezi kutapeliwa maan annah anajua kikosi chote ni matapeli

    • @MAMAKAGOMA
      @MAMAKAGOMA 18 дней назад

      Lazima atapeliwe kwanza kwasabu ashasaini mkataba manake ashatia pesa kwenye ujenzi wa jengo ilo

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y 18 дней назад

    Daah doctor hance ywasign mkataba na majambazi huyu kwisha, hance umeisha

  • @AlistidiaAlistides-c5z
    @AlistidiaAlistides-c5z 18 дней назад +1

    Goood sana hii move

  • @MAMAKAGOMA
    @MAMAKAGOMA 18 дней назад

    Hansi akitapeliwa badae atakuwa kitu kimoja na Clara kupambana na hao majambazi.. na ndo crala atapata haki na hiyo mijambazi itakuwa ndo mwisho wao ila injinia kaudandia mtumbwi wa vibwengo kitamkuta kitu..atasaidia polisi

  • @ShofaShofaa
    @ShofaShofaa 15 дней назад

    Ht hao matapeli mwisho wao utafika tu

  • @AminaBashiru-qh8fo
    @AminaBashiru-qh8fo 7 дней назад

    Maskini hance hao matapelii

  • @Salama123-iw7hj
    @Salama123-iw7hj 18 дней назад

    Nawapenda wote ❤❤❤❤❤

  • @NuriatNiynzima
    @NuriatNiynzima 17 дней назад

    Eee Mungu amusaidie

  • @y5y5prime58
    @y5y5prime58 18 дней назад

    Masikin hanc utajuta Amakwel kusom siyo njo Akili Wal ujaja😢😢😢😢😢😢

  • @MARNESSYOHALI
    @MARNESSYOHALI 18 дней назад +1

    Leo niko wa pili

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he 18 дней назад

    Kazi tamu

  • @MumbereKisiko
    @MumbereKisiko 17 дней назад

    Nice movie from Drc congo

  • @AnithaNahimana
    @AnithaNahimana 18 дней назад

    Muko poa sana

  • @fannymunezero-m5c
    @fannymunezero-m5c 11 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @UmmyJumaa
    @UmmyJumaa 18 дней назад

    Nzuri Ila duma kiboko 😅

  • @edusingle8597
    @edusingle8597 18 дней назад

    Hemedi asa fundi yaani anavaa Kisha anajuwa kuect

  • @MsMd-y4k
    @MsMd-y4k 18 дней назад

    Jaman ❤❤❤

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 18 дней назад

    Watu wakivurugwa na wanawake Ndio wanakumbuka ndugu zao ila mambo yakiwa Sawa hawajuani bize bize ila Mapenzi ni balaa

  • @MsMd-y4k
    @MsMd-y4k 18 дней назад

    Daaar 😮

  • @RetisiaDeogratiasMashauri
    @RetisiaDeogratiasMashauri 18 дней назад

    Mtu na wifi yake wameshare huku😅😅

  • @mishiabdul2834
    @mishiabdul2834 18 дней назад

    Kweli kabisa katepeliwa

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 18 дней назад

    Hans katepiliwa hao sio watu

  • @maryammaryam7773
    @maryammaryam7773 18 дней назад

    Kikosi chote cha wizi kipo😢

  • @NuriatNiynzima
    @NuriatNiynzima 17 дней назад

    Mm ten vibay

  • @NoahKakuru-v2f
    @NoahKakuru-v2f 18 дней назад +1

    Munipe likes ama ni wapige haraka

  • @juliennealimasi6378
    @juliennealimasi6378 18 дней назад

    Mambo ni damshi

  • @slokidog
    @slokidog 18 дней назад

    mbona siku hizi mwacelewesha sana Filam nzuli

  • @VeronicaBonefácio
    @VeronicaBonefácio 18 дней назад

    Ukitekwa wewe ita ninogea tekwa bwana

  • @rebeccazagabe
    @rebeccazagabe 18 дней назад +1

    🎉🎉

  • @mishiabdul2834
    @mishiabdul2834 18 дней назад

    Next plzz ya 19

  • @mary-cm5je
    @mary-cm5je 18 дней назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @PrincessMaryam-c1r
    @PrincessMaryam-c1r 18 дней назад

    🎉🎉🎉

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 18 дней назад

    ❤❤❤🎉

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 18 дней назад

    🙏🙏🙏🎄🎄🎄

  • @AnifanuroNuro
    @AnifanuroNuro 18 дней назад

    ❤😂❤❤❤😂

  • @elyse-wx6of
    @elyse-wx6of 18 дней назад +1

    Kazi yenu nzuri naipenda kutoka RDCONGO 🎉🎉🎉🎉🎉