BALAA la WAZIRI SILAA Awasha Moto MBEYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #Waziri #JerrySilaa #Mbeya #Live #subscribe #jaytvtanzania

Комментарии • 42

  • @SaidCannal
    @SaidCannal 5 месяцев назад +6

    Waziri wa ardhi tunamkubari sana nchi yetu ina adhina ya kutosha ya viongozi wazuri yaani wanafaa sana kuwa marais wa baadae

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад

    hii kazi ngumu sana kwa waziri. inabidi afatize kama baba mkwe wa Musa alivomshauri..tunamuomba Mungu Amshushe Roho wake aingie kwa watendaji wote ili kazi ifanyke kwa wepesi na kwa haraka kisha wanchi wote kupata haki zao

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 4 месяца назад

    Nampenda sana waziri Slaa hana longolongo au upendeleo. Mama Samiya ulioteshwa kumweka huyu waziri wa Ardhi? He is fit for this job,tafazali usimtoe hapo.

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 5 месяцев назад +2

    Kaka ismail pole sana,,

  • @MudhiryHassan-pq4se
    @MudhiryHassan-pq4se 5 месяцев назад +1

    Huyu jamaa hawawezi kutoboa kwa huy kka. Na ana kila document

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 5 месяцев назад +2

    Mnununuzi lazima kua makini,na manunuzi ya ardhi,buyer be,,,,,,,,,,

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 месяца назад

    Mweshiwa hawa watu ndio wanao sababishaga vifo vyawafanya biashara.Kwatamaa zao

  • @husseinmachozi6674
    @husseinmachozi6674 5 месяцев назад +4

    Huyu dada hapo mpigaji anavyomkata jicho mlalamikaji😅

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 5 месяцев назад +5

    Kwani maafisa Arizi kwann wasinyongwe

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 5 месяцев назад +1

    Udongo kwa ufongo unanyang'anya udongo bila ya utaratibu wa wizara inayosimamia udongo na udongoni tutarudi kama udongo.... Ardhi ni swala la kiroho

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 5 месяцев назад

    Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)

  • @abdulimecksoni2424
    @abdulimecksoni2424 5 месяцев назад +1

    Nnchii hii daaah wanyonge wanaonewaa snaa

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 5 месяцев назад +1

    Hapo kama wanampa kiwanja basi ni lazima kiwanja ambacho na yeye aridhike sio kumtupa madongo poromoko lazima wizara iwajibike

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 5 месяцев назад +2

    Mashetani watu hao, kuanzia surazao mpaka roho zao, 😏😏😏

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 5 месяцев назад +3

    Hao watu ni mashetani aisee fukuza kazi hao

  • @AliMkumbukwa
    @AliMkumbukwa 5 месяцев назад +1

    Awa wtndj da 😢 yn hwana uluma

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 5 месяцев назад

    Hao wame hukua hela😢😢😢

  • @RehemaChisonjela
    @RehemaChisonjela 5 месяцев назад

    Huyu dada hafai kuwa hata kiongozi,anadharau sn

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 5 месяцев назад

    Watu wanapiga hatia mnawarudisha kwenye umasikini sisi masikin tunateseka hakuna wakutusaida wala wakutusikiliza uuuwi mugutuagalie

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 5 месяцев назад

    hao watu ni matapeli Bw Waziri, kwanini wanambughudhu huyu Ismaili ?

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 5 месяцев назад

    Safari hii uku Makonda uku Silaa hapatoshi lazima haki itapatikana tu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад

    Hawa watu wako wa chini waziri wanataka kukualibia jina lako majambazi fukuza kazi wakalime shamba wezi watupu Ao Mtu Anayo kalatasi zote lisiti zote majambazi Umekahaa nao kulia kwako waziri

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 5 месяцев назад

    Afisa ardhi anavyomsemelea uongo mlalamikaji ni ajabu. Mh

  • @muhammadmassoud3576
    @muhammadmassoud3576 5 месяцев назад +1

    Ulimwambia kama unampa kiwanja kingine

  • @muhammadmassoud3576
    @muhammadmassoud3576 5 месяцев назад +1

    Muogopeni aliye waumba

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 5 месяцев назад

    Hawa viogozi wa ardhi wanajali matumbo yao nafamilia zao magufuli baba upowapi utusaide

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 5 месяцев назад

    Wele jamaa wanapiga makofi ya nini

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 5 месяцев назад

    alafu mbona waislamu wana sikilizwa sana nimefatiliaa sana

    • @saidmohammed1458
      @saidmohammed1458 5 месяцев назад

      kama haki na ukiwa mkristo hausikilizwi? inaangaliwa haki na sio udini wakati mwingine ni coincidence

    • @hassanabdala7383
      @hassanabdala7383 5 месяцев назад +1

      Ww huna akili Wacha uchochezi wanasikilizwa watu walio zulumiwa mchina pia amesikilizwa na haki yake amepewa Wacha chuki ndugu Tanzania hakuna ukabil wala udini

    • @mwinyiadadi1604
      @mwinyiadadi1604 5 месяцев назад

      Mm nakushauri bwana ismail wadai pesa zako hao sio watu wazuri kwako

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 4 месяца назад

      We nae acha udini

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 3 месяца назад

      Acha ushamba wewe

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 5 месяцев назад

    Uyooo munamtoaa mboni yureee mwenyeee gorofaaa mumemuachaaa vp

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 5 месяцев назад

    Nchi ya kitu kidogo.