Mama Dogo Janja avunja ukimya, aeleza kwanini hakwenda harusi ya Dogo Janja na Uwoya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 209

  • @selletheboyselletheboy6907
    @selletheboyselletheboy6907 7 лет назад +3

    Kiukweli Kabisa Mama Janjaro Umejibu Majibu Ambayo Ata Mm Ningekuwa Mtoto Wako Ningefurahi Sana Mama Unajielewa Dahh Hongera Sana. #Mama_NiMama2

  • @latifahissa1114
    @latifahissa1114 7 лет назад +11

    Mama kajaaliwa hekima ata kama Kuna kasoro hakupenda kuiongea hongera sana maa

  • @iragibarumi8435
    @iragibarumi8435 6 лет назад +1

    Wow mashalla. Jamani mama jajaro anahekima kweli. Nime kupenda.
    From amerca

  • @ahmedhareb1318
    @ahmedhareb1318 7 лет назад +19

    Mama nimekupenda sana

  • @anoldsimanjiro5581
    @anoldsimanjiro5581 6 лет назад +1

    Wooooooo nmeipendaaaa iyooo, umri namba tyu, wats we need z loveeee

  • @eddygonza891
    @eddygonza891 7 лет назад +1

    Umri ni namba Tu. Ahsante sana mama kwa nasaha zako....

    • @daudymussa4620
      @daudymussa4620 2 года назад

      Sasa hii , umri namba watanzania wezangu iko na uhalisia wakweli ?

  • @modestermrogosho3354
    @modestermrogosho3354 7 лет назад

    Mama uko vizuri sana nieazazi wachache sana.umempookea kweo kwa moyo mmoja nae pia akuheshim na akupende sana

  • @happythomas2676
    @happythomas2676 7 лет назад +1

    Very nice mama, nimekupendaje?

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 лет назад +13

    Safi sana mama janjaro ngarenaro Arifu nimekuelewa sana barikiwa

    • @christeknics
      @christeknics 7 лет назад +1

      Hassanova junior karbu kwenye channel yang subscribe na kulike kama nlvofanya kwako

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 7 лет назад +2

    very nice mommy, you have confidence

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 6 лет назад +1

    Majibu ya mzazi yanakubalika na yakuridhisha songa mbele duwa zako ndiyo muongozo wa mtoto.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 лет назад +19

    Afu janjaro kafanana na mamake kwakweli👏👏

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 7 лет назад

    Kumbi dogo janja anajuwa kifarance😘😍😍

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 лет назад +1

    Nakupenda mama Dogo Janja! Ume vunja vidomodomo vya wanafik wanao jidai wanampenda Dogo Janja!

  • @asiakafana636
    @asiakafana636 7 лет назад +2

    mama nmekupenda sana na dini unaijua alhamdullah

  • @saidasalim6372
    @saidasalim6372 6 лет назад

    yah mama ni kama ww Asante sana mama wamke hana usitaarabu nakupenda mama wa ndogo

  • @benedictsanga2560
    @benedictsanga2560 7 лет назад +18

    Majibu ya Mama Janjaro unaweza ombea mkopo CRDB

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 7 лет назад

    hongera mama una msimamo mungu akubali

  • @fatmahawawashamba4120
    @fatmahawawashamba4120 7 лет назад +14

    Mama mwenje hkma hata akionwea kwenje media anaoqopa sio bi sadra mpenda kuonekana

  • @kinglance9816
    @kinglance9816 7 лет назад +3

    Kweli mama Mbona hamsemi diamond na zari sema dogo janja ana umbo dogo na Irene ni kipande cha mtu acheni ujinga kwani wamaza wanaoliwa na vijana mtaani hamwasemi

  • @sufiansalim370
    @sufiansalim370 6 лет назад

    Hongera mama nimekupenda bureeee

  • @samiramrabumrabu6378
    @samiramrabumrabu6378 7 лет назад

    Yaani mama nimekupenda bure mungu akuzidie hekima inaAllah

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 7 лет назад +2

    Yeah age is just a number. Love is what matters.

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 7 лет назад +10

    Nimekupenda mama unajitambua

    • @msauzsanob1217
      @msauzsanob1217 6 лет назад

      asante mama fateni yenu APA stori tu umbea nyumbani kwenu

  • @udcjfjdhdhf8279
    @udcjfjdhdhf8279 6 лет назад

    Mama huyu a Namibia mungu sana ndio mana hakutaka mengi sana up juuu

  • @missnaa1420
    @missnaa1420 7 лет назад +1

    Tanzania tungekua na namama kama ww hata mahari zingepunguzwa asant mama

  • @suleymanmulatto4103
    @suleymanmulatto4103 7 лет назад +1

    mama hongera sana unajua💖💖💖💪

  • @alsomirigg5057
    @alsomirigg5057 7 лет назад

    Mashaa Allah hongera mama

  • @stainasmkoko604
    @stainasmkoko604 6 лет назад

    Hujui kuuliza mama yipo vizuri sana

  • @princemgunda5556
    @princemgunda5556 5 лет назад

    Hahahah et umri ni namba tu
    Nice

  • @fatmaikopoa34
    @fatmaikopoa34 7 лет назад +1

    mama mzuri sana nimekupendq

  • @ladyaisha8248
    @ladyaisha8248 7 лет назад +6

    Nice mum. Love you so much

    • @tunuissa5639
      @tunuissa5639 7 лет назад +1

      Lady Aisha safi sana uyu mama wallah

    • @ladyaisha8248
      @ladyaisha8248 7 лет назад +1

      Tunu Issa nimempenda sana hajaweka kila kitu public. Anaelewa personal issues should be private

  • @majeshingoleka1481
    @majeshingoleka1481 7 лет назад

    Very nice

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 7 лет назад +25

    Mama nimeyapenda majibu yako hongera sana.

  • @shizzlemreal1811
    @shizzlemreal1811 7 лет назад

    Wamama wakwe wa hivi Adimu nmekupenda Sana mama wetu umezima wambea kabsaa

  • @kapamadulla4951
    @kapamadulla4951 7 лет назад +24

    umri namba tu 😀😀😀😀

  • @anamanoni1243
    @anamanoni1243 6 лет назад

    safi sanaaaaaaaaaa mamaaaaaaaa

  • @mr.crisstv8765
    @mr.crisstv8765 7 лет назад +1

    Mimi nazani si wakati wa kutafakari na kuumiza vichwa juu ya hili. Tujalibu kukumbuka basi japo moja kati ya mashairi ya chege anaposema waache waohowane, hii itatusaidia a see.

  • @justinmollel1036
    @justinmollel1036 6 лет назад

    kwani hujajengewa nyumba mama mbona mazingira mh

  • @yaduniaasd8646
    @yaduniaasd8646 7 лет назад

    Ayo tv nakukubali sana up end habari za kinafki umeamua kumvutia waya mpaka kwake

  • @neemamohamedmaryakamaryaka4686
    @neemamohamedmaryakamaryaka4686 6 лет назад

    Ongera mama apendwae namwanao ndie Mkaza Mwana nimependa majibu yako umewakata midomo wambea

  • @mamuthaodette7098
    @mamuthaodette7098 6 лет назад

    Maman uko muyerefu kabisa .nakufurahiya Sana hakuna maman kama weye.

  • @shureaswai69
    @shureaswai69 7 лет назад +2

    Umrinamba tu asanteee mamaa

  • @sarahrosemoses4684
    @sarahrosemoses4684 6 лет назад

    Nimeyapenda majibu ya mama dogo kuwa na moyo huwo mama

  • @shomarysaid5055
    @shomarysaid5055 7 лет назад +1

    We mtangazaji ni mpumbavu. unauliza maswali yakijinga sana umekosa maswali yakuuliza, shwain

  • @laymapeace4538
    @laymapeace4538 6 лет назад

    love you mama janjaroooo

  • @sweetmama3242
    @sweetmama3242 7 лет назад +3

    Maumbile yetu ya kufanyia tendo la ndoa, haya umri😎. Ili mradi malishine zina koboa mahindi no problem. Ngoma isambe😆.

  • @halimambwego8287
    @halimambwego8287 7 лет назад +13

    Ndoa hupangwa na mungu kikubwa kujitambua tu

    • @anjunurdin2763
      @anjunurdin2763 6 лет назад

      mama wewe kumbe haupo sahihi...unaweza kuolewa na mtoto kama dogo jqnja nawe ikiwa unasema umri hauna tatizo.

  • @بدرالشمري-و3خ
    @بدرالشمري-و3خ 7 лет назад

    Mama nimekupenda muno mama

  • @erickshiman7567
    @erickshiman7567 6 лет назад

    Hapo sawa mama

  • @thequ33en65
    @thequ33en65 7 лет назад

    mashaallah ndio inavyptakiwa hivyo kumuombea mtt wako

  • @thauratali3656
    @thauratali3656 7 лет назад +2

    Asante mama umri ni namba tu

  • @angelklistofa4914
    @angelklistofa4914 7 лет назад +2

    Kweli mama umeongea umakini sana

  • @shadiashadia4701
    @shadiashadia4701 7 лет назад

    Good news nice

  • @kidilumstarabu2117
    @kidilumstarabu2117 7 лет назад +3

    Mama umri Namba tu kweli

  • @rechokihaka9898
    @rechokihaka9898 7 лет назад

    mama huo ndiyo msimamo tunao uhitaji sisi safi mama

  • @janetjuniormuthama8219
    @janetjuniormuthama8219 6 лет назад

    Wah....io nomaree xana

  • @dorisandfarook
    @dorisandfarook 7 лет назад

    Dogo janja una mama mzuri, anajua kujielezea.

  • @robsonsadiki
    @robsonsadiki 7 лет назад +3

    Umri namba tu mapenzi hayana tatizo

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 7 лет назад +16

    😂😂 hata bi KHADIJA (r.a)alimzidi Muhammad umri namba buana🤗

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 7 лет назад

    Kwanini watu wanapenda kudiss ndoa za watu??
    Kila mtu umri, umri, umri wanaoana watu wawili kwa mapenzi yao wenyewe ikiwa wameridhiana kwa kila hali basi wapewe nafasi yao wapumzike waendelee na maisha

  • @francinekabwe1211
    @francinekabwe1211 5 лет назад

    Iyo ni kweli maman

  • @blacknature7637
    @blacknature7637 7 лет назад +3

    Vizuri mama Sana tena lakini mama mbona uko kwenye mabati ? Hakujengei kwanza ?

    • @edoell
      @edoell 7 лет назад

      Black Nature pambana na hali yako

    • @aishaelias986
      @aishaelias986 7 лет назад +2

      Black Nature hawa wasanii bure kabisa.

    • @shekhekhandereizer559
      @shekhekhandereizer559 7 лет назад

      Black Nature hahahahhhhahh

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 7 лет назад

      Black Nature hayo mwachie irine. umri ni namba tu

  • @zeevanny7549
    @zeevanny7549 7 лет назад +1

    Nimependa maneno yako maa

  • @stiviemshuza446
    @stiviemshuza446 7 лет назад +1

    Safi mama ,majibu mazuri

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani6964 7 лет назад

    "Umri ni namba tu" Nimeipenda hiyo kauli mama.

  • @latifaayoub5750
    @latifaayoub5750 7 лет назад +12

    Kuna mzee namtu mwenye Miaka mingi,,Wenye Akili Kubwa wameelewa hapo

  • @halimamamuma7314
    @halimamamuma7314 7 лет назад +5

    nikweli mama

  • @gabrielmuya7805
    @gabrielmuya7805 7 лет назад

    safi sana mm

  • @mitchamitcha9404
    @mitchamitcha9404 6 лет назад

    Ongera mama

  • @aaassbb8895
    @aaassbb8895 6 лет назад

    kweli.kabisa.mama.mapenzi.sio.umri.kweli.

  • @vieraleonise2950
    @vieraleonise2950 6 лет назад

    Uko vizuli Sana kama dogo janja mwanao mmy

  • @halimagodbless6349
    @halimagodbless6349 6 лет назад

    😀😀😀😀kweli umri no tu mama we kiboko nimekuelewa

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 7 лет назад

    Yani wandishi awaamini bado walitamani amwambie uyo mama apia sema aki yamungu hahaha

  • @mansourmakame355
    @mansourmakame355 7 лет назад

    Nikiangalia sura ya mama na maongezi km Kuna kitu cha sintofaham ivi, wanasaikolojia washajua nini kilichopo apo

  • @aselaaikarua4180
    @aselaaikarua4180 7 лет назад +3

    mama naomba umuwashe vibao uyo mtangazaji

  • @SuzieMahalu
    @SuzieMahalu 7 лет назад +1

    Hahahaa,umri ni namba tu

  • @allyhassan3580
    @allyhassan3580 7 лет назад +1

    ManshaAllah

  • @mariamjohn570
    @mariamjohn570 7 лет назад

    umri namba mama daaaah

  • @vieraleonise2950
    @vieraleonise2950 6 лет назад

    Mama na majibu mazuli Sana ongera

  • @giftyswedy5445
    @giftyswedy5445 6 лет назад

    nice

  • @kimah9855
    @kimah9855 7 лет назад +2

    MashaAllah mama👌

  • @janethgatoni5981
    @janethgatoni5981 6 лет назад

    Big up mama dogo

  • @linuslivingstone9913
    @linuslivingstone9913 7 лет назад +2

    Kuishi kwingi kuona mengi😅😅😅😅😅😅 nyambaf

  • @magrethabell1190
    @magrethabell1190 7 лет назад +4

    nikweli mama nimekupenda bure.

  • @pendoissanjya5730
    @pendoissanjya5730 7 лет назад

    Lov u mama

  • @tajirimohamed8922
    @tajirimohamed8922 6 лет назад

    Nmependa majibu yako mama.... Dogo janja kafanana na mamake hadi kuongea

  • @aminarashid4474
    @aminarashid4474 7 лет назад +3

    saf sana mama umri ninamba kwel

  • @shamirashomal566
    @shamirashomal566 7 лет назад

    ongera mama unajielewa sn

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 7 лет назад

    makini mama mwenyewe hata ni mdogo kuliko bibi harusi

  • @ignasmwamwenda3154
    @ignasmwamwenda3154 7 лет назад +1

    We mzazi mapenzi hayana umri lakini sio kwa umri huo.

  • @kyandomarry2015
    @kyandomarry2015 7 лет назад +1

    Hee pole

  • @theonlydayonicedionis3294
    @theonlydayonicedionis3294 7 лет назад

    Yalishapangwa hayo!

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba3610 7 лет назад +1

    Swadakta mama

  • @stiviemshuza446
    @stiviemshuza446 7 лет назад +1

    Maswali mengine bhana waandishi wetu Nao bado sana

  • @rechomwaigaga2476
    @rechomwaigaga2476 7 лет назад +7

    😹😹😹😹 asante mama 😹😹😹😹😹😹

  • @habakukikeboya1404
    @habakukikeboya1404 7 лет назад

    tumia akili nyingi kumwelewa Hyu mama.

  • @naominyamoya7615
    @naominyamoya7615 6 лет назад

    Ila kwel

  • @blandina9deo888
    @blandina9deo888 6 лет назад

    mama hana nuksi, nimeyapenda majibu yako

  • @ramadhanicinder7524
    @ramadhanicinder7524 7 лет назад

    umri namba tuu