Kweli mama Mbona hamsemi diamond na zari sema dogo janja ana umbo dogo na Irene ni kipande cha mtu acheni ujinga kwani wamaza wanaoliwa na vijana mtaani hamwasemi
Mimi nazani si wakati wa kutafakari na kuumiza vichwa juu ya hili. Tujalibu kukumbuka basi japo moja kati ya mashairi ya chege anaposema waache waohowane, hii itatusaidia a see.
Kwanini watu wanapenda kudiss ndoa za watu?? Kila mtu umri, umri, umri wanaoana watu wawili kwa mapenzi yao wenyewe ikiwa wameridhiana kwa kila hali basi wapewe nafasi yao wapumzike waendelee na maisha
Kiukweli Kabisa Mama Janjaro Umejibu Majibu Ambayo Ata Mm Ningekuwa Mtoto Wako Ningefurahi Sana Mama Unajielewa Dahh Hongera Sana. #Mama_NiMama2
Mama kajaaliwa hekima ata kama Kuna kasoro hakupenda kuiongea hongera sana maa
Wow mashalla. Jamani mama jajaro anahekima kweli. Nime kupenda.
From amerca
Mama nimekupenda sana
Wooooooo nmeipendaaaa iyooo, umri namba tyu, wats we need z loveeee
Umri ni namba Tu. Ahsante sana mama kwa nasaha zako....
Sasa hii , umri namba watanzania wezangu iko na uhalisia wakweli ?
Mama uko vizuri sana nieazazi wachache sana.umempookea kweo kwa moyo mmoja nae pia akuheshim na akupende sana
Very nice mama, nimekupendaje?
Safi sana mama janjaro ngarenaro Arifu nimekuelewa sana barikiwa
Hassanova junior karbu kwenye channel yang subscribe na kulike kama nlvofanya kwako
very nice mommy, you have confidence
Majibu ya mzazi yanakubalika na yakuridhisha songa mbele duwa zako ndiyo muongozo wa mtoto.
Afu janjaro kafanana na mamake kwakweli👏👏
Wamerandana hasa
Hassanova junior umeona ee
Kumbi dogo janja anajuwa kifarance😘😍😍
Nakupenda mama Dogo Janja! Ume vunja vidomodomo vya wanafik wanao jidai wanampenda Dogo Janja!
mama nmekupenda sana na dini unaijua alhamdullah
yah mama ni kama ww Asante sana mama wamke hana usitaarabu nakupenda mama wa ndogo
Majibu ya Mama Janjaro unaweza ombea mkopo CRDB
Benedict Sanga yaan umenifanya nicheke kwa sauti
hongera mama una msimamo mungu akubali
Mama mwenje hkma hata akionwea kwenje media anaoqopa sio bi sadra mpenda kuonekana
Mama Mond
Fatma hawa washamba huwezi kuandika bila kutaja familia ya mondi kuna watu kenge kweli
Fatma hawa washamba bi Sandra Subutu wangeipatapat 😂
Ongera dogo janja
Kweli mama Mbona hamsemi diamond na zari sema dogo janja ana umbo dogo na Irene ni kipande cha mtu acheni ujinga kwani wamaza wanaoliwa na vijana mtaani hamwasemi
Hongera mama nimekupenda bureeee
Yaani mama nimekupenda bure mungu akuzidie hekima inaAllah
Yeah age is just a number. Love is what matters.
Nimekupenda mama unajitambua
asante mama fateni yenu APA stori tu umbea nyumbani kwenu
Mama huyu a Namibia mungu sana ndio mana hakutaka mengi sana up juuu
Tanzania tungekua na namama kama ww hata mahari zingepunguzwa asant mama
mama hongera sana unajua💖💖💖💪
Mashaa Allah hongera mama
Hujui kuuliza mama yipo vizuri sana
Hahahah et umri ni namba tu
Nice
mama mzuri sana nimekupendq
Nice mum. Love you so much
Lady Aisha safi sana uyu mama wallah
Tunu Issa nimempenda sana hajaweka kila kitu public. Anaelewa personal issues should be private
Very nice
Mama nimeyapenda majibu yako hongera sana.
Fatma T karbu kwenye channel yang subscribe na kulike kama nlvofanya kwako
Fatma T ?
Point mama janjaroo
Kweli kabisa mama uko vizuri
Wamama wakwe wa hivi Adimu nmekupenda Sana mama wetu umezima wambea kabsaa
umri namba tu 😀😀😀😀
Kapama Dulla 😂😂😂😂
Kapama Dulla Nomaaa sana
safi sanaaaaaaaaaa mamaaaaaaaa
Mimi nazani si wakati wa kutafakari na kuumiza vichwa juu ya hili. Tujalibu kukumbuka basi japo moja kati ya mashairi ya chege anaposema waache waohowane, hii itatusaidia a see.
kwani hujajengewa nyumba mama mbona mazingira mh
Ayo tv nakukubali sana up end habari za kinafki umeamua kumvutia waya mpaka kwake
Ongera mama apendwae namwanao ndie Mkaza Mwana nimependa majibu yako umewakata midomo wambea
Maman uko muyerefu kabisa .nakufurahiya Sana hakuna maman kama weye.
Umrinamba tu asanteee mamaa
Nimeyapenda majibu ya mama dogo kuwa na moyo huwo mama
We mtangazaji ni mpumbavu. unauliza maswali yakijinga sana umekosa maswali yakuuliza, shwain
love you mama janjaroooo
Maumbile yetu ya kufanyia tendo la ndoa, haya umri😎. Ili mradi malishine zina koboa mahindi no problem. Ngoma isambe😆.
Sweet Mama haaaaa
Ndoa hupangwa na mungu kikubwa kujitambua tu
mama wewe kumbe haupo sahihi...unaweza kuolewa na mtoto kama dogo jqnja nawe ikiwa unasema umri hauna tatizo.
Mama nimekupenda muno mama
Hapo sawa mama
mashaallah ndio inavyptakiwa hivyo kumuombea mtt wako
Asante mama umri ni namba tu
Kweli mama umeongea umakini sana
Good news nice
Mama umri Namba tu kweli
mama huo ndiyo msimamo tunao uhitaji sisi safi mama
Wah....io nomaree xana
Dogo janja una mama mzuri, anajua kujielezea.
Umri namba tu mapenzi hayana tatizo
😂😂 hata bi KHADIJA (r.a)alimzidi Muhammad umri namba buana🤗
Mh mama kweli yanatoka moyon
Emanuel John 😆😆 mm anaongea lkn machunguuu😩
hahaha umri ni namba
Kwanini watu wanapenda kudiss ndoa za watu??
Kila mtu umri, umri, umri wanaoana watu wawili kwa mapenzi yao wenyewe ikiwa wameridhiana kwa kila hali basi wapewe nafasi yao wapumzike waendelee na maisha
Iyo ni kweli maman
Vizuri mama Sana tena lakini mama mbona uko kwenye mabati ? Hakujengei kwanza ?
Black Nature pambana na hali yako
Black Nature hawa wasanii bure kabisa.
Black Nature hahahahhhhahh
Black Nature hayo mwachie irine. umri ni namba tu
Nimependa maneno yako maa
Safi mama ,majibu mazuri
"Umri ni namba tu" Nimeipenda hiyo kauli mama.
Kuna mzee namtu mwenye Miaka mingi,,Wenye Akili Kubwa wameelewa hapo
safi sana mm
Pamoja sana
Latifa Ayoub chege
Chegr
mkubwa huyo bhana aaa
nikweli mama
safi sana mm
Ongera mama
kweli.kabisa.mama.mapenzi.sio.umri.kweli.
Uko vizuli Sana kama dogo janja mwanao mmy
😀😀😀😀kweli umri no tu mama we kiboko nimekuelewa
Yani wandishi awaamini bado walitamani amwambie uyo mama apia sema aki yamungu hahaha
Nikiangalia sura ya mama na maongezi km Kuna kitu cha sintofaham ivi, wanasaikolojia washajua nini kilichopo apo
mama naomba umuwashe vibao uyo mtangazaji
Hahahaa,umri ni namba tu
ManshaAllah
umri namba mama daaaah
Mama na majibu mazuli Sana ongera
nice
MashaAllah mama👌
kimah
Big up mama dogo
Kuishi kwingi kuona mengi😅😅😅😅😅😅 nyambaf
nikweli mama nimekupenda bure.
Lov u mama
Nmependa majibu yako mama.... Dogo janja kafanana na mamake hadi kuongea
saf sana mama umri ninamba kwel
ongera mama unajielewa sn
makini mama mwenyewe hata ni mdogo kuliko bibi harusi
We mzazi mapenzi hayana umri lakini sio kwa umri huo.
Hee pole
Yalishapangwa hayo!
Swadakta mama
Maswali mengine bhana waandishi wetu Nao bado sana
😹😹😹😹 asante mama 😹😹😹😹😹😹
tumia akili nyingi kumwelewa Hyu mama.
Ila kwel
mama hana nuksi, nimeyapenda majibu yako
umri namba tuu