Diamond aomba kukutana na mzee huyu tajiri aliyefirisika, aandika haya na kuweka video yake

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 26

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 часа назад +6

    Asanteni kwa kumkumbuka baba yetu Diamond wewe ni binadamu asante mdogo wetu

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 2 часа назад +5

    Huyo Mzee makosa ..anavitu vikubwa kichwani...

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 2 часа назад +5

    Mzee alishapanda miti 5000 Mwingine mpaka Leo inatupatia hewa safi na kivuli kizuri..Manspaa ya Iringa

  • @Ali-gq3fb
    @Ali-gq3fb 2 часа назад +12

    Hii TMA si ishaisha ondoeni izo adds

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 2 часа назад +7

    Kajifunze kitu apo Diamond

  • @MeleniaKalekana
    @MeleniaKalekana 2 часа назад +3

    Mungu fundi

  • @StephenKudaka
    @StephenKudaka 28 минут назад

    hilo ni swala zuri ila ingekua sawa Dianmond angemfuta Iringa huyo mzee

  • @hemedytz9013
    @hemedytz9013 2 часа назад +1

    Daaaa pole sana mzeee wangu

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Час назад +1

    Halikuwa na hospital zake pia

  • @JamesWisdomtz
    @JamesWisdomtz 24 минуты назад

    Kwahiyo mzee yeye anasemaje
    Mwamba jitahidi ukamusadie baba yako

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 2 часа назад +3

    Mungu tu uyo pesa haimalizi kwakuwapa wanawake tu wakati una makampunzi yanaingiza pesa mungu tu kaamuwa

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 2 часа назад +3

    Huyo mzee namfahamu sana na yote aliyosema ni kweli SINA MAKOSA kweli duuh

  • @DoubleD69114
    @DoubleD69114 Час назад

    kwaiyo TMA ina endelea au

  • @Kibabe2024
    @Kibabe2024 43 минуты назад

    Kiba tayari alishaimba .yakarimu ...Mack muga yeye mond bado atafata nyao za kiba

  • @yuahahmad6651
    @yuahahmad6651 4 минуты назад

    Ata nyie sns mnapaswa kumpigania huyu mzee yaan da had huruma aisee

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 11 минут назад

    Mwambino hajui kuimba

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 2 часа назад +2

    Naskia Goodluck Gozbert ameshuka kimuzik baada ya kupokea gari alilopewa na Geodav

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 29 минут назад

    Ads TMA inatosha sasa tuzo zimepita

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 2 часа назад

    ANATAKA KUKUYANA NA MAITI KHAAAAAAAA

  • @bushiridems
    @bushiridems Час назад

    Kumbe waliwahi kutana
    ruclips.net/video/64Yw2sLdxGQ/видео.htmlsi=JJpvNinQ9pMvkcJO