Hujui hata kuandika, kama Mada huelewi nyamaza, Urusi wanatupambania tuwe huru na Mataifa ya Magharib kikubwa Ni kumuombea PUTIN, humpendi au nawe umo kwenye kile Chama ? Maana Mapunga wengi hawampemdi Putin
Nigayabakwe kweli,Amka Wewe Dogo,bado unasinzia Wewe vip,acha ubata Wewe,kitugani Putine hakufanya ili vita ya Ukrene istokei kitugani? Alizunguka Dunia ili wamwambie zelenski aache kabisa kuchukua nnchi ya Ukrene kuipeleka muwazungu ile ni kipande cha Ufalme wa Urusi hakuskia,M'paka akafika hadi Vatican kwa Bénédicte papa hawakutaka kumuelewa mtu wa mwisho kuonanae ili amueleweshe zelenski aliku ni macron apo Sasa ndio ilikua mwisho ,ikabidi wamdharau aaaah Mtama ilibidi Awakate Mtama fasta Jeshi wapiga mziki Laki tatu wakaterem wakafanya kweli,ndio hayo leo Unayo yaona Ukrene
Putin 🎉
Change we need❤❤❤
jaman mbona traore simuoni mkutanoni
𝑾𝒂𝒇𝒂𝒏𝒚𝒆 𝒉𝒂𝒍𝒂𝒌𝒂
Marekani ata mupiga muda siyo murefu
Ampige nani?
@@Mkubwa_jrAchana nae huyo ismailbagayabakwe inaonekana Uwelewa wake ni mdogo na wala hajui dunia ilipo kwasasa zaidi ya kukariri movie za rambo
Wewe maimai wamekuchanganya
@@stevenlugojeremia2323 movie za rambo tena hahahahah
@@Mkubwa_jrWajinga Hawa tuaache tu sikuhiz Wapo tu mazombi😂 wanaburutwa
Hakika wameganikiwa na wataibalance DUNIA, iwe ya hiyari kuelekea mashariki au kuelekea magharibi
Musiwaze kama urusi ndiyo iko sawa kwa duniya ni muvamizi ndani ya ichi ya ukrenie ata ongoza nini
Zumbukuku usiyejua kitu umeona akiua raia nawakt raia wa ukren kawapa makazi nchini Urusi ila hiy serikal ndio mtihan
Hujui hata kuandika, kama Mada huelewi nyamaza, Urusi wanatupambania tuwe huru na Mataifa ya Magharib kikubwa Ni kumuombea PUTIN, humpendi au nawe umo kwenye kile Chama ? Maana Mapunga wengi hawampemdi Putin
Nigayabakwe kweli,Amka Wewe Dogo,bado unasinzia Wewe vip,acha ubata Wewe,kitugani Putine hakufanya ili vita ya Ukrene istokei kitugani? Alizunguka Dunia ili wamwambie zelenski aache kabisa kuchukua nnchi ya Ukrene kuipeleka muwazungu ile ni kipande cha Ufalme wa Urusi hakuskia,M'paka akafika hadi Vatican kwa Bénédicte papa hawakutaka kumuelewa mtu wa mwisho kuonanae ili amueleweshe zelenski aliku ni macron apo Sasa ndio ilikua mwisho ,ikabidi wamdharau aaaah Mtama ilibidi Awakate Mtama fasta Jeshi wapiga mziki Laki tatu wakaterem wakafanya kweli,ndio hayo leo Unayo yaona Ukrene
ww unachuki tu na mrusi