Dogo Janja aonyesha nyumba aliomjengea Mama yake, 'Vipi Mrembo aliemficha'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 577

  • @bgfujomwakinyata8815
    @bgfujomwakinyata8815 5 лет назад +2

    Dogo umenifurahisha sana nakupa bg up sana Dogo janja *Janjaro* mungu akuzishie km mnamkubari dogo janja weka like hapa zakutosha

  • @annamlay6088
    @annamlay6088 5 лет назад +117

    Hongera sana kumjali mama. nimefurahia sana kitendo ulichomfanyia mama yako mzazi. Allah akujalie mara dufu

    • @noakipajiacademy
      @noakipajiacademy 5 лет назад +1

      ruclips.net/video/iDANHgLtEXs/видео.html Hi I'm Baisa Mhela
      Asking for your support to grow my channel subscribe and I will humble

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 5 лет назад +2

    Maasha'Allah dogo janja, Allah akupe zaidi na zaidi..nimekupendaje kwa kumuenzi mama yako

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 5 лет назад +62

    Mashaallah. Umefanya jambo la kheri sana kumsitiri mama ako. Mungu akubarik. Jambo zuri sana ulilofanya. Alhamdulillah

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn5162 5 лет назад +87

    Ila madee ana real love kinyama
    Madee mungu akubless daima

  • @consolatamaarufu58
    @consolatamaarufu58 5 лет назад +201

    mungu akuzidishie dogo hata mimi natamani sana nimjengee mama yangu

    • @Queen-be1uf
      @Queen-be1uf 5 лет назад +10

      Mungu atakuwezesha in sha Allah kwa nia yako. Na wewe utamjengea in sha Allah . Akae afurahi kabla mungu hajakuhitaji wewe au yeye. Dua zetu ziko kwa kila mwenye kumtakia kheri mzazi wake.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 5 лет назад +1

      INSHALLAH atakujalia

    • @latifalatifa6460
      @latifalatifa6460 5 лет назад +1

      Consolata Maarufu ...

    • @amryzubery1051
      @amryzubery1051 5 лет назад +2

      Consolata Maarufu tafuta wanaume kama ss iri mama yako apate mjengo tuma namba yako

    • @noakipajiacademy
      @noakipajiacademy 5 лет назад +1

      ruclips.net/video/iDANHgLtEXs/видео.html Hi I'm Baisa Mhela
      Asking for your support to grow my channel subscribe and I will be thankful

  • @promessek.m4433
    @promessek.m4433 5 лет назад +121

    Eh Mungu nakuomba nisaidiye niweze kumjengeya mama yangu pia 🙏

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 4 года назад +1

    Hongea mama yako anajivunia wewe Mtoto mwema kwa kumjengea mama nyumba nzuri mungu akulinde na kukuingezea kipato chako

  • @sameeral-ghafri627
    @sameeral-ghafri627 5 лет назад +6

    Dogo Janja i heard a very wise statement from you bro. “Mimi ndio natakiwa nimshukuru mama sio yeye anishukuru mimi” God bless you fam weka spirit yako juu kama ulivovisema leo. Usije kuishi kwa majivuno

  • @bettybesa6565
    @bettybesa6565 5 лет назад

    Mwenyenzi mungu akuzidishie dogo janja.

  • @siamollel9725
    @siamollel9725 5 лет назад +4

    Hongera sana Dogo,,,Mungu akuzidishie na akuongoze,,,Umemuheshimisha Mama Nawe uheshimiwe

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 5 лет назад +1

    MashaAllah fatabarakallah kwadogo janjaro muhimu leo umefanya kitu na vtu vya busara ...masaAllah

  • @ahmadsayyeid1740
    @ahmadsayyeid1740 5 лет назад

    Asante dogo janja nnachokupendea mimi hauna majigambo haupendi umaarufu kutaka kuonekana wewe ni wewe unaongea ukweli mungu akuongoze katika kheri mama ni mama hauwezi kubadilishana mama

  • @asselascarion5257
    @asselascarion5257 5 лет назад +62

    Kuna mtu unamfichaficha hutaki tumweke kwenye kamera ndo mtu wako au. Allhamdurillah namxhukuru mungu dua imemalizika salama gonga like hap twende sawa kama umemkubali janjaro

  • @fadhilifredrick4115
    @fadhilifredrick4115 5 лет назад

    Hongera sana dogo janja hayo ndo maendeleo Mungu akubariki

  • @praxedadominic9864
    @praxedadominic9864 5 лет назад +10

    Hayo ndo mambo ya msingi hakuna km mama big up sana janjaro

  • @fatmarashim6353
    @fatmarashim6353 5 лет назад +5

    Hongera dogo Allah akujalie uzima uzidii kutimiza malengo yko

  • @abuuharuna4278
    @abuuharuna4278 5 лет назад +62

    MPE hongera sana kijana dogo janjalo

  • @ramamambo4082
    @ramamambo4082 5 лет назад +29

    Nakukubali dogo. Jitahid xana na Mungu atzd kukuxaidia

  • @bimkubwamussajuma5356
    @bimkubwamussajuma5356 5 лет назад

    Allah akuzidixhie dogo janja inshallah

  • @jumakapora2691
    @jumakapora2691 5 лет назад

    Dogo. janjaro. umeongea. maneno. mazuli. sana. mungu. akubaliki. sana. ''''''

  • @zainabuyasin8189
    @zainabuyasin8189 5 лет назад +30

    dah honger sana janjaroo kwa kumjali mama yako

  • @amosamos6078
    @amosamos6078 5 лет назад

    Hongera saaana dogo langu Mungu akujalie

  • @meshackkulinda9397
    @meshackkulinda9397 5 лет назад +12

    umenifurahisha kwa majibu ya akir zaid umesema we ndo wa kumshukuru mama kweli kabsa dogo umenena vyema

  • @maryammarym4437
    @maryammarym4437 5 лет назад +10

    Mashaa allah Mola amfanyie wepes

  • @jaybchaponda6886
    @jaybchaponda6886 5 лет назад +1

    Umefanya lamaana kabisa mzee baba ,amna kama wazazi duniani ,,mungu amlaze mahali pema baba

  • @leahjoram7693
    @leahjoram7693 5 лет назад +12

    Mm hucheka tu yaani Irine alitaka kufinya katoto Ka mama aka. Dogo janja. Hongera dogo

  • @sharifachacha978
    @sharifachacha978 5 лет назад

    Hongera dogo hiyo ni hatua sema yule kahaba wa kichaga amekutafunia sanaa

  • @aminajuma787
    @aminajuma787 5 лет назад

    MaashaAllaah!!!dogo janja Allah azidi kkupa neema na usimsahau mama abadan

  • @chrispinelwoga4182
    @chrispinelwoga4182 5 лет назад +14

    MashaAllah
    hakika hakuna kama mama hongera sana

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 5 лет назад +14

    Safi baba Mungu akuzidishie

  • @leiylaomar9318
    @leiylaomar9318 5 лет назад

    Mashaallah mungu akuzidishie inshaallah... Ewe mola nijalie nami niweze kumjengea Mmangu kipenzi yarabi.

  • @lashymreal6555
    @lashymreal6555 5 лет назад +1

    Madee Madee madee Una golden hrt a friend anyone can wish to have live long God bless kw kusimama na Janjaro

  • @ahmadkibamba7245
    @ahmadkibamba7245 5 лет назад

    Nami pia mungu anipe riziki ya halali niweze kumfanyia wema mama yangu kumjengea nyumba nzuri

  • @hadija846
    @hadija846 5 лет назад +1

    Safi sana ndugu yangu Janja M/mungu awe nawe wakati wote. Amiin 🙏 Na pia salamu kwa mama na family mzima😘👍🎉🎊💕👏

  • @annewanjiku52
    @annewanjiku52 5 лет назад

    Natamani ni mjengee mama yangu mungu nikumbuke ni mbariki my mom congrats young man

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад +33

    Masha Allah..hongera..hio nyumba ni nzuri sana

  • @hawata7614
    @hawata7614 5 лет назад

    Daaaaah kaka ang mungu akutangulie na mwisho mwema akujaalie yarabbiy

  • @pelusemanueli858
    @pelusemanueli858 5 лет назад +6

    hongera sana. dogo janja MUNGU AKUBALIKIA san

  • @wemakalam3233
    @wemakalam3233 5 лет назад +11

    Mwenyeezi mungu akuzidishie kingi inshaallah.

  • @70SIXER7
    @70SIXER7 5 лет назад +1

    Hongera Bro...ni Thawabu kwa Mungu…..alafu we mtangazaji kumuuliza mtu nyumba sh ngapi kwani mnashindana?...jitahidi uwe na mipaka ya maswali sio kazi kuchunguza Maisha ya watu tu.

  • @nicenice413
    @nicenice413 5 лет назад +4

    Janjaroo umeniliza, nimejikuta namkumbuka marehemu mama yangu. Mungu akubariki sana

  • @alshabje7185
    @alshabje7185 3 года назад

    Mungu akubariki inshaallah Mungu awazidishie furaha daima 🤲🙏inshaallah

  • @jvhkbvjnvjkbcjbvcj2822
    @jvhkbvjnvjkbcjbvcj2822 5 лет назад

    Mashaallah dogo ukovizuli.naunajitambua Sana mashaallah .l love you

  • @ashnaomi2385
    @ashnaomi2385 5 лет назад

    Mungu akubariki. Mana nikidogo Lakini Uka mkumbuka mama. Mwanaume jasir. Sket ikichanika Utapata mpya kwa uweza wa mungu.

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza9415 5 лет назад +4

    MashaAllah dogo janja mungu akubariki

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 лет назад

    Hongera sana Dogo janga kwakumjali Mama yako Mungu azidi kukupa juhudi na nguvu ktk utendaji wako wa kazi.

  • @wemapingu8937
    @wemapingu8937 5 лет назад +1

    Mungu akuongezee riziki dogo janja kwa hili la kumjengea mama nyumba. Kuna mastaa wengi wanaishi nyumba nzur za kupanga lkn mama zao vijijini wanakaa kwenye majumba mabovu

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 лет назад +1

    Dogo umenifuraisha sana big up lazima ukumbuke nyumbani na familia kwa ujumla. Lazima ukumbuke wazee waliotangulia mbele ya haki kwa dua kama hivyo safi sana.

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu6682 5 лет назад

    Mungu akuzdishie dogo

  • @ibrahimzuberi1029
    @ibrahimzuberi1029 5 лет назад +1

    unaakili sana janjaro,long live janja allah amuhifadhi mzee wetu

  • @hawaafrica803
    @hawaafrica803 5 лет назад +20

    Vizur sana bora mamaako ale kuliko kuhonga😃😃

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 лет назад +1

    Mashaallah kweli dogo wwe una akili pole kwa kuondokewa na bba mungu amlaze pema peponi duwa zko zikibaliwe amen

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 5 лет назад +1

    Hongera unaakili sana,mungu atakubariki zaidi katika maisha yako

  • @aminaabubakar4383
    @aminaabubakar4383 5 лет назад +1

    Mashaallah dogo Allah akupe moyo uzidi kumpenda mamako mama ni mungu Wako wa pili .very good very good am proud of u

  • @eyfdfhuf1830
    @eyfdfhuf1830 5 лет назад +15

    Mashaallah hakuna km mama

  • @abrahamuisrael6161
    @abrahamuisrael6161 5 лет назад

    big up sn janjaroo kwan mama ni kila KTU ktk maisha yetu

  • @mwanaibaaroni2818
    @mwanaibaaroni2818 5 лет назад

    mwenyezimungu akufanyiwe wepesi katika maisha yake na akuongeze ridhki na pia akupe ridhki yahalali

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis2461 5 лет назад +12

    Masha Allah Allah akbarki

  • @user-oh8bn3vg2w
    @user-oh8bn3vg2w 5 лет назад +7

    Mashaallaah mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo mm ndo mpango mzima

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 5 лет назад +3

    Hongera dogo sio jambo dogo kuwakumbuka waliotangulia mbele za hakii Allah akusimamie insha allah 👏👏

  • @africapersonperson9804
    @africapersonperson9804 5 лет назад +2

    Daah safi sana abduli azizi 💪💪👏👏👏

  • @haudhatijuma3625
    @haudhatijuma3625 5 лет назад

    Hongera sana allah akuzidishie

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 5 лет назад

    mashaalah dogo janja mungu akuzidishie inshaalah umtimizie mama

  • @saidaabdallah4320
    @saidaabdallah4320 5 лет назад +1

    Wengi wanatamani ...ikiwa Mungu amekuwezesha sema Alhamdhulilah..congratulation..

  • @zainabujuma4278
    @zainabujuma4278 5 лет назад

    Mungu akubarik dogo, tunamuomba allah akuzidishie ulipotoa inshaallah.

  • @najumnassoro7773
    @najumnassoro7773 5 лет назад

    Ongera sana izo baraka kwako mungu amtupi mja wake kwl.

  • @frolaerick3054
    @frolaerick3054 5 лет назад

    Hongera sana dogonjanja ni wachache wenye akili hiyo

  • @Sifam634
    @Sifam634 5 лет назад +5

    Mungu aliye juu akubariki Dogo jaja

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis997 5 лет назад

    Allahu Akbar,
    Mwenyezi azidi kukuongoza dogo janja, na Akuzawadie uadilifu zaidi

  • @jojmoo3340
    @jojmoo3340 5 лет назад +1

    Hongera kwa kumjengea mama na mama ndo kila kitu Allah akuzidishie in shaa Allah

  • @estherboke782
    @estherboke782 5 лет назад

    Wow pongez sna dogo acha wakutukane lkn we uwaonyeshe kw vitendo mungu abariki kazi ya mikono yko🙏

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 5 лет назад +1

    Madee Mungu akupe Moyo huo wa Khekima. Dogo Janja pia Muheshimu sana huyu Jamaa ni Kaka Yako Mzuri sana

  • @tauhidahussein3091
    @tauhidahussein3091 5 лет назад

    big up janjaa ww ni janja kweli Allah akuzidishie mapenz kwa mama

  • @saadsalum3253
    @saadsalum3253 5 лет назад +3

    Kama umeona dogo janja kaachwa na iren uwoya hayupo gonga like hapa

  • @aminasuliman2923
    @aminasuliman2923 5 лет назад

    Hongela sana yaniwewe nizaidiyamtoto kwahicho ulichokifanya mangutujaalie watotowema

  • @hashimumtamike3607
    @hashimumtamike3607 5 лет назад +4

    Big up Sana dogo mungu akubaliki Sana

  • @user-qr2gj3jp9l
    @user-qr2gj3jp9l 5 лет назад +1

    Ongera dogo janja ata mimi pia nilimjrngea mamaangu nyumba baada ya kuamia tu ata miez mi 3 haijafika mamaangu amefaliki 😭😭😭😭😭😭😭😭 natamani mamaangu akekuepo atimie nguvu zangu kwan alinea kwa shida mamaangu 😭😭 na babaangu Kuniacha nikiwa mdogo na kwenda kuoa mke mwenzangu mamaangu ndio alikua babaangu na tuliishia maisha ya shidah sana leo nimefanikiwa mwanae ya yeye anaondoka duniani 😭😭😭😭😭😭😭😭 Al hamdullilla allha malehem mamaangu 🙏🙏

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 5 лет назад +9

    Mashallah umependeza

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea4908 5 лет назад

    Hongera sana dogo

  • @umarsaid9912
    @umarsaid9912 5 лет назад +12

    Mashallah Abduli

  • @jullytengelas6355
    @jullytengelas6355 5 лет назад

    mama ndo kola ki2 janjaro big up mm binafsi nawapenda wamama wote

  • @happyswai2106
    @happyswai2106 5 лет назад +17

    Hongr kwakumjal mama

  • @hollanddutch-day
    @hollanddutch-day 5 лет назад

    Allah anaona kazi ya mikono yako then pongezi sana Dogo Janja 🙌🙌

  • @estherjoshua2250
    @estherjoshua2250 5 лет назад

    Hongera sana mdogo wangu, Mungu akubariki sana, muwekee na geti kuwakomesha shilawadu

  • @zainabhassan4511
    @zainabhassan4511 5 лет назад

    umefanya la msingi sana Dogo...big up tu sana

  • @halimamwanga3514
    @halimamwanga3514 5 лет назад

    Hongera sana Janjaro, Na mimi namuomba Allah anifanyie wepesi nimjengee mama yangu mjengo.

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer559 5 лет назад +30

    safi Sana janja unaongea kwa ekima sana afu umetulia sana ktk maongezi yako pia unafanana na bi mkubwa asee

  • @beckarluhanga8421
    @beckarluhanga8421 5 лет назад

    Hongera dogo Mungu akubariki sana kila la kheri "bora hukumjengea uwoye umefanya la maana ku building bi mkubwa

  • @dalalimollelarusha7151
    @dalalimollelarusha7151 5 лет назад +22

    Safi sana janjaro .... Janjaro unakumbuka lile geto letu ngarenaro tunawekeana miguuu juu kitanda MTU sitaaa😁😁😁😁😁

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 5 лет назад +1

    Penda Sana janjaroo Mungu akuzidishie broo

  • @mzunguemmanuel7899
    @mzunguemmanuel7899 5 лет назад

    very constructive one ...dogo janjaro leo umenifanya nikubar and you deserve to be role model of fighters ....

  • @happynescharles1511
    @happynescharles1511 5 лет назад

    Hongera xn janjaro, inshallah baraka zitazidi kuongezeka kwa icho ulichomfanyia mama

  • @belinafinias9611
    @belinafinias9611 5 лет назад

    Mungu akubariki sana DJanja

  • @pelioman1674
    @pelioman1674 2 года назад

    madee mungu akubariki sana yaani ni mtu wapekee kwa huyu dogo

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 5 лет назад

    Hongera sana Dogo, Mungu akujalie nakupenda sana

  • @omanoman728
    @omanoman728 5 лет назад

    mabruk janjaro yech yech😘😘ushaajifungulia mlango wa peponi mung azid kukupa moyo wa kutoa inshaallah

  • @furahanabaruma6239
    @furahanabaruma6239 5 лет назад +11

    Hongera kijana kumjali mama

  • @TRAVELANDTASTETANZANIA
    @TRAVELANDTASTETANZANIA 5 лет назад

    Hongera Janjarooo!

  • @munirabdi5827
    @munirabdi5827 5 лет назад

    Mashallah ... Allah Ibarikh... Hio Ni Pepo Umejenga Kamanda Wangu