MTOTO WA MANDOJO AMUOMBA RAIS SAMIA AMSAIDIE MAMA YAKE APATE KAZI SERIKALINI, AFUNGUKA NJE YA BUNGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 30

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 10 дней назад +3

    Rfikiyake naye pia ni mtu anyejitambua, hongera sana!.
    Mungu awatunze ❤

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga 10 дней назад +5

    Kilio chako mama you pamoja nawe mh doctor Samia RAIS mckivu atamsaidia mama

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga4350 9 дней назад +2

    Wapo wengi wa hivo Mama awatazame kwa jicho la pili ndugu zetu

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 10 дней назад +2

    Pole Sana kwa kumpoteza Mzee wako I see dogo langu
    Maisha haya bwana 😢

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 10 дней назад +3

    Lakini sawa labda kachukua Kwa mama,, lakini Huyo kaka yake Devi mbona haonekani

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 10 дней назад +2

    Jamani si mngetoa namba zao tuwachangie niwachangie ingawa hawakuomba msaada

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 10 дней назад +1

    Mungu mbariki huyu mtoto mtunze

  • @jpmugishapps
    @jpmugishapps 10 дней назад +5

    Mtoto sharp sana 💎

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce4330 10 дней назад +4

    Raisi ukimuajiri uniajiri na Mimi sina wa kunisemea😢

  • @KeroseneKimbunga
    @KeroseneKimbunga 10 дней назад +1

    ❤❤😂kweli kbs

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 10 дней назад +1

    Kaka Yao huyu dogo hajawai onyeshwa ktk mtandao Au so wa mama huyo Maama hapo inaonekana ukristo na uislam na Huyo ni Devi Au ndio sababu

  • @TonyMasterog
    @TonyMasterog 5 дней назад

    Safi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 9 дней назад

    Mtoto anaonekana ana akili sana!

  • @mashaka-zi8ot
    @mashaka-zi8ot 9 дней назад

    Wapo wengi wa hivi, Suluhisho ni vyuo vikuu vihusike kutoa Suluhisho la matatizo kama haya, Wasomi ni wengi? matatizo haya hayatakiwi kuwepo kabisa ili tuwe na JAMII YENYE USTAWI MZURI.

  • @BabuWilly-x7j
    @BabuWilly-x7j 10 дней назад +1

    Kila mmoja asaidiwe na rais!

  • @josephlukumay6920
    @josephlukumay6920 10 дней назад

    Kila jambo tumshkru mungu

  • @sittabernard3351
    @sittabernard3351 9 дней назад

    Duh!!!

  • @FURAHAKICHEKO-n3e
    @FURAHAKICHEKO-n3e 9 дней назад

    KWANINI MANDOJO ALIPIGWA MPAKA KUFA?

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 10 дней назад +2

    Hapa sijaelewa mtoto muislam baba mkristo Kwa nini

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 10 дней назад +2

      Baba akusilimu

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 10 дней назад +1

      Kila mtu alifat Dini yake Safi

    • @tidomilinga3750
      @tidomilinga3750 9 дней назад

      Sawa,, hivi wakubadili Dini n baba Au mama

    • @tidomilinga3750
      @tidomilinga3750 9 дней назад

      Lakini mtoto Huwa anamfata baba Maama mtoto Huwa ni Wa baba Mpaka atapokua kujitegemea ndio anaweza akajiamulia

    • @tidomilinga3750
      @tidomilinga3750 9 дней назад +1

      Kwa uelewa wangu Wakubadili Dini Huwa Anakua mama anamfata mume wake na watoto pia wanamfuata baba Maama baba ndio kichwa ikiwa tofauti kunashida sehemu

  • @mashaka-zi8ot
    @mashaka-zi8ot 10 дней назад

    MTOTO HUYU ANA AKILI SANA, UBAGUZI ULIOPO KATIKA JAMII NDIO TATIZO KUBWA. IKIWA RAISI SAMIA ATAFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII, NA NYINGINE NYINGI ZINAZOFANANA NA HII, HASA KANDA YA ZIWA (KWA MAANA NDIPO NAISHI) ATAKUWA AMEEPUSHA JANGA KUBWA SANA !!!

  • @bernardjustine6524
    @bernardjustine6524 10 дней назад +1

    Mbna library inakazi nyingi sana hajataka tu kutafuta kazi.

    • @annamulungu2876
      @annamulungu2876 10 дней назад

      Sikuhizi wamesomea weeengi kwahiyo ngumu sana kupata

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 9 дней назад

    Kwanza katika Uislamu tunatakiwa tusimtegemee mtu 1000 % kwasababu roho sio zetu ni za Mungu. Kwahiyo pale unapoondokewa na kiongozi wa familia unatakiwa usimame pale alipokuwa yeye uhai wake hii kuomba omba haipendezi sana. Tafuta jinsi ya kumsomesha mwenyewe mwanao maana huyu raisi atawasomesha wangapi jamani. Kila mtu anataka abebwe mbona siye masikini mishahara yetu ya serikali ni sh. 300'000/= tulijinyima tukasomesha watoto? Shameful. Acheni kuwa omba omba kiasi hicho.

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 9 дней назад

      Toa Maoni tu hukatazwi lakini acha zihaka Shameful!!!!!?