Wapo wengi wa hivi, Suluhisho ni vyuo vikuu vihusike kutoa Suluhisho la matatizo kama haya, Wasomi ni wengi? matatizo haya hayatakiwi kuwepo kabisa ili tuwe na JAMII YENYE USTAWI MZURI.
Kwa uelewa wangu Wakubadili Dini Huwa Anakua mama anamfata mume wake na watoto pia wanamfuata baba Maama baba ndio kichwa ikiwa tofauti kunashida sehemu
MTOTO HUYU ANA AKILI SANA, UBAGUZI ULIOPO KATIKA JAMII NDIO TATIZO KUBWA. IKIWA RAISI SAMIA ATAFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII, NA NYINGINE NYINGI ZINAZOFANANA NA HII, HASA KANDA YA ZIWA (KWA MAANA NDIPO NAISHI) ATAKUWA AMEEPUSHA JANGA KUBWA SANA !!!
Kwanza katika Uislamu tunatakiwa tusimtegemee mtu 1000 % kwasababu roho sio zetu ni za Mungu. Kwahiyo pale unapoondokewa na kiongozi wa familia unatakiwa usimame pale alipokuwa yeye uhai wake hii kuomba omba haipendezi sana. Tafuta jinsi ya kumsomesha mwenyewe mwanao maana huyu raisi atawasomesha wangapi jamani. Kila mtu anataka abebwe mbona siye masikini mishahara yetu ya serikali ni sh. 300'000/= tulijinyima tukasomesha watoto? Shameful. Acheni kuwa omba omba kiasi hicho.
Rfikiyake naye pia ni mtu anyejitambua, hongera sana!.
Mungu awatunze ❤
Kilio chako mama you pamoja nawe mh doctor Samia RAIS mckivu atamsaidia mama
Wapo wengi wa hivo Mama awatazame kwa jicho la pili ndugu zetu
Pole Sana kwa kumpoteza Mzee wako I see dogo langu
Maisha haya bwana 😢
Lakini sawa labda kachukua Kwa mama,, lakini Huyo kaka yake Devi mbona haonekani
Jamani si mngetoa namba zao tuwachangie niwachangie ingawa hawakuomba msaada
Mungu mbariki huyu mtoto mtunze
Mtoto sharp sana 💎
Raisi ukimuajiri uniajiri na Mimi sina wa kunisemea😢
❤❤😂kweli kbs
Kaka Yao huyu dogo hajawai onyeshwa ktk mtandao Au so wa mama huyo Maama hapo inaonekana ukristo na uislam na Huyo ni Devi Au ndio sababu
Safi
Mtoto anaonekana ana akili sana!
Wapo wengi wa hivi, Suluhisho ni vyuo vikuu vihusike kutoa Suluhisho la matatizo kama haya, Wasomi ni wengi? matatizo haya hayatakiwi kuwepo kabisa ili tuwe na JAMII YENYE USTAWI MZURI.
Kila mmoja asaidiwe na rais!
Kila jambo tumshkru mungu
Duh!!!
KWANINI MANDOJO ALIPIGWA MPAKA KUFA?
Hapa sijaelewa mtoto muislam baba mkristo Kwa nini
Baba akusilimu
Kila mtu alifat Dini yake Safi
Sawa,, hivi wakubadili Dini n baba Au mama
Lakini mtoto Huwa anamfata baba Maama mtoto Huwa ni Wa baba Mpaka atapokua kujitegemea ndio anaweza akajiamulia
Kwa uelewa wangu Wakubadili Dini Huwa Anakua mama anamfata mume wake na watoto pia wanamfuata baba Maama baba ndio kichwa ikiwa tofauti kunashida sehemu
MTOTO HUYU ANA AKILI SANA, UBAGUZI ULIOPO KATIKA JAMII NDIO TATIZO KUBWA. IKIWA RAISI SAMIA ATAFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII, NA NYINGINE NYINGI ZINAZOFANANA NA HII, HASA KANDA YA ZIWA (KWA MAANA NDIPO NAISHI) ATAKUWA AMEEPUSHA JANGA KUBWA SANA !!!
Mbna library inakazi nyingi sana hajataka tu kutafuta kazi.
Sikuhizi wamesomea weeengi kwahiyo ngumu sana kupata
Kwanza katika Uislamu tunatakiwa tusimtegemee mtu 1000 % kwasababu roho sio zetu ni za Mungu. Kwahiyo pale unapoondokewa na kiongozi wa familia unatakiwa usimame pale alipokuwa yeye uhai wake hii kuomba omba haipendezi sana. Tafuta jinsi ya kumsomesha mwenyewe mwanao maana huyu raisi atawasomesha wangapi jamani. Kila mtu anataka abebwe mbona siye masikini mishahara yetu ya serikali ni sh. 300'000/= tulijinyima tukasomesha watoto? Shameful. Acheni kuwa omba omba kiasi hicho.
Toa Maoni tu hukatazwi lakini acha zihaka Shameful!!!!!?