Mama Bwana Yesu asufiwe,nimara yangu ya kwanza kushiriki kwa kipindi chako,yani yalenimepata kutoka kwako yamekua yamiujiza mikubw jana usiku nikiwa nikiomba Mungu akubariki zaidi na uzidi kuinuinuliwa mama
Mara kwa mara tunafanya usafi nyumba, tunafua nguo, tunaoga miili; lakini USAFI muhimu zaidi ni kutubu kwa Mungu wa Kweli mara kwa mara. Asante sana Apostle
Nashukuru Mungu Kwa kupatana na hili ombi la toba maana lipenisaidia pakubwa sana niliyekua mtu sijui kutubu ndio nimejifunza Kwa nzia Leo Nina imani maisha yangu yanaenda kubadilika katika jina la Yesu, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏
Hata mm Apostle karibu nichukie ii channel yako 😢😢,tulipo maliza maombi ya vita hapo ndo nlijua mm c mzinifu ki mwili tu Ila kiroho☹️☹️ mm ni player...yani ni ushuda mrefu sana😢😢😢...bt final Majini mahaba wanikaa wenyewe eti hawaezi nioa mm n mvivu siezi chunga mbuzi za wazazi wao , Jesus Christ continue hilling me plz 🤲🏽🧎🧎😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙌🏾🙌🏾
Amina ubarikiwe mtumishi 🙏 Ngoja ningie kwenye Toba ya kwelii ya majutoo na machoziii MUNGU nisamehe pale ambapo sijasimama sawasawa😭😭😭ukwelii tuna mambo mengii yanampa shetani uhalali ndani yetu
Aiseee this woman has touched my heart alot namshukuru Sana Mungu kunikutanisha na hii channel amenifunua na kunifunua pakubwa Sana zaid ya Sana yani I feel blessed 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yan haya maombi nimeyaona leo nikasema ata kama niya mda wacha nijaribu kuomba jmn nimejisikia vizur na nikapata kitu km likohozi limakaa kooni nikaliteka uwii nitaendelea kufatilia ila nimejiona walau na mm naweza kuomba sasa
Eeh mara.ya kwanza kuskia eti kuna Apostle mwanamke hata kwa bibilia nimetafuta hakuna.wanawake tuchunge vile tuna jiparade kwa miito tumeitiwa.mwanamke ana nafasi ya uinjilist ,unabii lakini sio Apostle na uchungaji.hata madhabau sio yake.sisemi kuwa niko na kinyume cha unayosema ila clag umejipa sio.samahani
@@nellydeborah943 soma waefeso 6:11-12 na pia hii toba na rehema inakuhusu ili kuondoa hicho kiburi cha uzima ndani yako. Yaan umeshajihesabia haki kiasi cha kujipa nafasi ya kumpangia Mungu nani awe nani ilikufanya kazi ya Mungu wewe dada ebu shuka Yesu ainuliwe loh
Mungu hana mipaka kama nyie mafarisayo Mungu anaangalia moyo uliotayari kumtumikia kama alivyosema kwenye yoel 2:28 matendo 2:18 kasome halafu kuwa muombaji sio unakremisha tu vitu vya rohoni vinahitaji maombi dada usipokuwa muombaji utakuwa na machuki na mawivu bila mpango wowote.
@@nellydeborah943 tena wewe ni mtumishi lakini unakiburi cha uzima na kama nimejipa hii huduma Mungu sio Mungu basi hata wewe ungejipa lakini kama ni Mungu amenipa na akuhukumu kwa maneno ya kinywa chako. Nimekuona unanifwatilia sana kwa roho mbaya na chuki sana. Reduce your bitterness ili uinuliwe na Mungu acha kujihesabia haki mwanamke mwenzangu.
@@apostleveramuro1252 ww uelewa kabisa hapa sio bitterness or kiburi hapa ni kweli na kama utaki kuifuata kweli ya biblia basi ww ndiye unakibururi.Mtumishi wa kweli lazima atii Biblia.mwanamke aruhusiwe kuwa mchungaji wala mtume na wala haipo kwa biblia ila waweza kujiita nabii na mwilinjislist .jambo lengine wanawake wastahili kujipamba kwa kuvalia earings na neccklesses .soma 1timotheo 2:9,1petero 3:3-4.na biblia inasema Mungu analitazama neno lake ili kulitimiza.Mungu ni wa mipangilio.na pia jua hapa sio jambo la kuinuliwa hapa nikutembea kwa neno la Mungu na kutii kwa kulitenda.kumbuka Yesu akasema wengi watasema tulitoa unabii na kufanya miujiza lakini atasema ondokeni mimi siwajui ,ila anamjua yule tu atendae mapenzi ya Baba na ni kuheshimu yale yameandikwa Kwa biblia na kuyatenda.ww una kiburi ungetafakari kwanza na kusoma vifungu nimekupa kwanza ,lengo langu ni kuikomboa nafsi yako.mbingu sio vile mnaidhania .na nikupe advice anza maisha ya toba na utakaso na uachane na vitu vya yezebeli ,SAHIZI sio kutafuta umaarufu wa uongozi bali ni kuangalia roho yako na ya wale Mungu amekutuma kwao,isije kapotea.sina ubaya nawe lakini fungua moyo wako kwa yale na kuambia itakuwa ya msaada kwa haswa kwa roho yako umileleni.God bless you
Mama Bwana Yesu asufiwe,nimara yangu ya kwanza kushiriki kwa kipindi chako,yani yalenimepata kutoka kwako yamekua yamiujiza mikubw jana usiku nikiwa nikiomba Mungu akubariki zaidi na uzidi kuinuinuliwa mama
Mara kwa mara tunafanya usafi nyumba, tunafua nguo, tunaoga miili; lakini USAFI muhimu zaidi ni kutubu kwa Mungu wa Kweli mara kwa mara. Asante sana Apostle
Nashukuru Mungu Kwa kupatana na hili ombi la toba maana lipenisaidia pakubwa sana niliyekua mtu sijui kutubu ndio nimejifunza Kwa nzia Leo Nina imani maisha yangu yanaenda kubadilika katika jina la Yesu, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏
Amen amen...katika jina la yesu Christo ...Niko huru Niko huru katika jina la yasu Christo....God bless you
SoMo hili limenigusa Sana mtumishi, Mungu wangu nipe nguvu nimshinde shetani niingie kwenye Toba ya kweli🙏🙏barikiwa Sana !
Najua kwa mama yako mbozi Mbeya😭😭
Ndishimye cyane kuku nyigisha gusenga nivana mubyo banziiritse Jeanne kayonza kigari Rwanda❤😢 amenaaaa 🙏
Bwana yeah asifiwe
Hata mm Apostle karibu nichukie ii channel yako 😢😢,tulipo maliza maombi ya vita hapo ndo nlijua mm c mzinifu ki mwili tu Ila kiroho☹️☹️ mm ni player...yani ni ushuda mrefu sana😢😢😢...bt final Majini mahaba wanikaa wenyewe eti hawaezi nioa mm n mvivu siezi chunga mbuzi za wazazi wao , Jesus Christ continue hilling me plz 🤲🏽🧎🧎😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙌🏾🙌🏾
Amen Amen Amen
Shalom Apostle
Ubarikiwe San Mtumishi wa MUNGU hakika MUNGU azidi kukutumia vile apendavyo nakupat nikiwa 🇮🇶
Mama unanisogeza sna sna najiona nasogea
@@MiriamMigiha Amen amen sifa kwa Yesu
Amen ❤️🙏
Amina Mungu atuhurumie na kutusamehe ahsante somo zuri sana
Mungu akubaliki sana kwamafundisho mazuli mtumishi
Umenihamisha kituo mtumishi ubarikiwe sana
Bwana Asifiwe ,mtumishi kumbuka kutoa earings maana ni kinyume na Mungu soma.1timotheo 2:9 na 1petero 3:3-4
Amen and Amen. Mungu nimwema kila Wakati. Barikiwa sana mutumishi.
Amen oh Hallelujah mutumisi balikiwa sana umenielimisha sana
Barikiwa sana🎉naamini nitafunguaka .
Asante kwa hili somo nimekupenda
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Barikiwa sana Apostle Vera
😢😢😢Niko omani lakin kila siku naota nafanya kazi nzito kijijini alikozaliwa mama na kuruka sehem mbali mbali
Oooh God thank you for this servant of yours
Amen mutumishi wamungu ubarikiwe saana kwamafundisho mazuri amen
Mtushi wa mungu Amina.mungu akuongezee hekima ya kutufundisha
I'm
Asante sana mtumishi wa Bwana, nimekombolewa na damu ya Yesu Kristo hallelujah Amen and Amen ❤🎉
❤❤ameni
Najionganisha na uwepo wa Mungu katika hiyo madhabahuu tangu hivi Mungu anipe ufunuo mkuu zaidi Mungu abadili historiia yangu
Amen amen powerful God bless you very much
Shalom pastor from Tanzania Machame
Hii iliishia kati
@@tyroneshao395 imefika mwisho mpendwa
Shalom !! Apostle.
Nabarikiwa sana na mafundisho yk Mtumishi Mungu wetu akutunze na familia yako
Am blessed
Shaloom shaloom mom
Alleluia 🙏🏽
Sina la kusema ila nashukuru sana kwa yale nimepokea kutoka kwako
Barikiwa, ni somo lina mwaka nimejifunza, nasikia moyo wangu unawaka moto natamani kupiga kelele
Amina ubarikiwe mtumishi 🙏
Ngoja ningie kwenye Toba ya kwelii ya majutoo na machoziii
MUNGU nisamehe pale ambapo sijasimama sawasawa😭😭😭ukwelii tuna mambo mengii yanampa shetani uhalali ndani yetu
Amen ameen
Aiseee this woman has touched my heart alot namshukuru Sana Mungu kunikutanisha na hii channel amenifunua na kunifunua pakubwa Sana zaid ya Sana yani I feel blessed 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Double coincidence of want 🙏🙏🙏
Amen najiungamanisha na maombi haya
❤
Apostle wangu
Blessed mummy
Ameen
Ameen Mtumishi wa Mungu 🎉🎉
Shalom.
Yan haya maombi nimeyaona leo nikasema ata kama niya mda wacha nijaribu kuomba jmn nimejisikia vizur na nikapata kitu km likohozi limakaa kooni nikaliteka uwii nitaendelea kufatilia ila nimejiona walau na mm naweza kuomba sasa
Shalom.. Mama Mungu abariki kazi yako
Barikiwa sana mama.somo hili ni fireeeee
Asanteee mama nimejifunza leooo
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu tunaomba acess ya kudowload ili tuweze kusikiliza vizuri
Shalome shalome
Namshukuru mungu nitatoka nilipo kwa damu ya yesu
amen
Nimeelewa kitu bwana azidi kukuinua zaidi na zaidi milele yote
Amennn mafundisho ya lazima saana mungu akubari saana
Shalom shalom
Amennn ni kweli kabisa
Amina mtumishi umenifundisha toba ya kweli
Amen
Mama naomba hiki kipindi maana nakihitaji sana niwe nakipitia kila wakati
Chukua mpendwa download au jitumie whatsap
Nipo pamoja nawe mtumishi wa Mungu
Mara yangu ya kwanza ku
Ameeen
Shalom Dada yangu, Amina natamani niwe na Huduma kama yako
Muombe Mungu
Naomba uniunganishe na maombi yako
Amen dada
Ameeeeeeen and ameeeeeeen
Mungu akubariki
Mungu akubariki unatufunua sana ni wengi wanafaidika na mafundisho yako
Barikiwa
Sharoom
@@apostleveramuro1252 Ameen
Amina mtumishi mungu azidi kukupigania
Mungu akubaliki sana sana na ubalikiwe sana
Ameen mbona hufungulii tuinyonye tuidonload mahubiri
Shalom mama nimekuwa mnge kwako lakin toka niazi kukusikiliza natamani kila wakati nipate maombi yangu niko tanzania
Karibu salome tutakuwa tz mwezi wa sita pale mapinga kwa maombi ya kufunga na kuomba 3days karibu sana kuanzia tar 29-21 jube
@@apostleveramuro1252 ok karibu mama naomba mungu atufikishe ukikalibia nijulishe
Powerful
Ameen Apostle...Hili somo nalisikiliza kila wakati.
Shalom mama ndo naanza kukufatilia
Sharom apostle
Najionganisha na wewe mtumishi
Shalom
Apostle mimi niko saudia arabia na niko mgojwa sana naomba maombi tuuu
Isaya 52:1-2
AMINA
Shalome mutumishi wamu
Nimesikiliza leo tumbo limevulugika Sana na nasikia kitu kinataka kutoka kooni nakooa Sana ila yanatoka mate tu
Amen apostle
Wajina
@@apostleveramuro1252 Asante kwa mafundisho mazuri.wajina
Amen mtumishi wa Mungu somo zuri sana
Dada kwali Munugu azidi kuku ongeza nguvu
Amen amen 🙏🏿
Naona uliyoyapitia ni Kama yangu naomba namba ya cm
Hapa ndio chanzo cha kusogea
watu wanatumia bundle ambayo ni pesa please.kama ni ujumbe ni vyema uende moja kwa moja adi kwa ujumbe
Shalom 🙏🏾🙏🏾
Bwana Yesu asifiwe🙏🙏🙏
Yani nimetulia kimya naelewa na kuelewa
Chule David uje usikilize haya maombi yatakusaidia sana ila tu omba kwa mzigo na kumaanisha sio uishie kusikiliza tu utabakia hivyo
Mtumishi naweza kuwasiliana na wewe vipi,?
Tuma whatsap kwa namba hii +1678 270 7594
Eeh mara.ya kwanza kuskia eti kuna Apostle mwanamke hata kwa bibilia nimetafuta hakuna.wanawake tuchunge vile tuna jiparade kwa miito tumeitiwa.mwanamke ana nafasi ya uinjilist ,unabii lakini sio Apostle na uchungaji.hata madhabau sio yake.sisemi kuwa niko na kinyume cha unayosema ila clag umejipa sio.samahani
@@nellydeborah943 soma waefeso 6:11-12 na pia hii toba na rehema inakuhusu ili kuondoa hicho kiburi cha uzima ndani yako. Yaan umeshajihesabia haki kiasi cha kujipa nafasi ya kumpangia Mungu nani awe nani ilikufanya kazi ya Mungu wewe dada ebu shuka Yesu ainuliwe loh
Mungu hana mipaka kama nyie mafarisayo Mungu anaangalia moyo uliotayari kumtumikia kama alivyosema kwenye yoel 2:28 matendo 2:18 kasome halafu kuwa muombaji sio unakremisha tu vitu vya rohoni vinahitaji maombi dada usipokuwa muombaji utakuwa na machuki na mawivu bila mpango wowote.
@@nellydeborah943 tena wewe ni mtumishi lakini unakiburi cha uzima na kama nimejipa hii huduma Mungu sio Mungu basi hata wewe ungejipa lakini kama ni Mungu amenipa na akuhukumu kwa maneno ya kinywa chako. Nimekuona unanifwatilia sana kwa roho mbaya na chuki sana. Reduce your bitterness ili uinuliwe na Mungu acha kujihesabia haki mwanamke mwenzangu.
@@apostleveramuro1252 ww uelewa kabisa hapa sio bitterness or kiburi hapa ni kweli na kama utaki kuifuata kweli ya biblia basi ww ndiye unakibururi.Mtumishi wa kweli lazima atii Biblia.mwanamke aruhusiwe kuwa mchungaji wala mtume na wala haipo kwa biblia ila waweza kujiita nabii na mwilinjislist .jambo lengine wanawake wastahili kujipamba kwa kuvalia earings na neccklesses .soma 1timotheo 2:9,1petero 3:3-4.na biblia inasema Mungu analitazama neno lake ili kulitimiza.Mungu ni wa mipangilio.na pia jua hapa sio jambo la kuinuliwa hapa nikutembea kwa neno la Mungu na kutii kwa kulitenda.kumbuka Yesu akasema wengi watasema tulitoa unabii na kufanya miujiza lakini atasema ondokeni mimi siwajui ,ila anamjua yule tu atendae mapenzi ya Baba na ni kuheshimu yale yameandikwa
Kwa biblia na kuyatenda.ww una kiburi ungetafakari kwanza na kusoma vifungu nimekupa kwanza ,lengo langu ni kuikomboa nafsi yako.mbingu sio vile mnaidhania .na nikupe advice anza maisha ya toba na utakaso na uachane na vitu vya yezebeli ,SAHIZI sio kutafuta umaarufu wa uongozi bali ni kuangalia roho yako na ya wale Mungu amekutuma kwao,isije kapotea.sina ubaya nawe lakini fungua moyo wako kwa yale na kuambia itakuwa ya msaada kwa haswa kwa roho yako umileleni.God bless you
Ameen
Amen
Amen apostle
Ameeen
Ameen
Amen
Amen
Amen