TOBA INAKUTOA KWENYE VIFUNGO VYOTE(BY Apostle Vera Muro)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 131

  • @Julita-y3c
    @Julita-y3c Год назад +5

    Mama Bwana Yesu asufiwe,nimara yangu ya kwanza kushiriki kwa kipindi chako,yani yalenimepata kutoka kwako yamekua yamiujiza mikubw jana usiku nikiwa nikiomba Mungu akubariki zaidi na uzidi kuinuinuliwa mama

  • @cnm2976
    @cnm2976 Год назад +9

    Mara kwa mara tunafanya usafi nyumba, tunafua nguo, tunaoga miili; lakini USAFI muhimu zaidi ni kutubu kwa Mungu wa Kweli mara kwa mara. Asante sana Apostle

  • @AnneOpondo-ie4ej
    @AnneOpondo-ie4ej Год назад +3

    Nashukuru Mungu Kwa kupatana na hili ombi la toba maana lipenisaidia pakubwa sana niliyekua mtu sijui kutubu ndio nimejifunza Kwa nzia Leo Nina imani maisha yangu yanaenda kubadilika katika jina la Yesu, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏

  • @SusanAshle-zj8do
    @SusanAshle-zj8do Год назад

    Amen amen...katika jina la yesu Christo ...Niko huru Niko huru katika jina la yasu Christo....God bless you

  • @angelamwangulumba1510
    @angelamwangulumba1510 Год назад +2

    SoMo hili limenigusa Sana mtumishi, Mungu wangu nipe nguvu nimshinde shetani niingie kwenye Toba ya kweli🙏🙏barikiwa Sana !

  • @JohnKiboko
    @JohnKiboko 2 месяца назад

    Najua kwa mama yako mbozi Mbeya😭😭

  • @FurahaJann-vx3rj
    @FurahaJann-vx3rj Год назад +2

    Ndishimye cyane kuku nyigisha gusenga nivana mubyo banziiritse Jeanne kayonza kigari Rwanda❤😢 amenaaaa 🙏

  • @JohnKiboko
    @JohnKiboko 2 месяца назад

    Bwana yeah asifiwe

  • @naemah8359
    @naemah8359 Год назад +1

    Hata mm Apostle karibu nichukie ii channel yako 😢😢,tulipo maliza maombi ya vita hapo ndo nlijua mm c mzinifu ki mwili tu Ila kiroho☹️☹️ mm ni player...yani ni ushuda mrefu sana😢😢😢...bt final Majini mahaba wanikaa wenyewe eti hawaezi nioa mm n mvivu siezi chunga mbuzi za wazazi wao , Jesus Christ continue hilling me plz 🤲🏽🧎🧎😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙌🏾🙌🏾

  • @innocentkituma2714
    @innocentkituma2714 7 месяцев назад

    Amen Amen Amen

  • @dorothywilliam7081
    @dorothywilliam7081 3 месяца назад

    Shalom Apostle

  • @veronicawilson4263
    @veronicawilson4263 Год назад +1

    Ubarikiwe San Mtumishi wa MUNGU hakika MUNGU azidi kukutumia vile apendavyo nakupat nikiwa 🇮🇶

  • @MiriamMigiha
    @MiriamMigiha 3 месяца назад

    Mama unanisogeza sna sna najiona nasogea

  • @kashindiseti4493
    @kashindiseti4493 Год назад +2

    Amen ❤️🙏

  • @JoyceHaule-o8c
    @JoyceHaule-o8c 8 месяцев назад

    Amina Mungu atuhurumie na kutusamehe ahsante somo zuri sana

  • @KizitoMachota
    @KizitoMachota 7 месяцев назад

    Mungu akubaliki sana kwamafundisho mazuli mtumishi

  • @chikondimadalitso
    @chikondimadalitso Год назад

    Umenihamisha kituo mtumishi ubarikiwe sana

  • @nellydeborah943
    @nellydeborah943 4 месяца назад

    Bwana Asifiwe ,mtumishi kumbuka kutoa earings maana ni kinyume na Mungu soma.1timotheo 2:9 na 1petero 3:3-4

  • @maryongwae2409
    @maryongwae2409 3 года назад +5

    Amen and Amen. Mungu nimwema kila Wakati. Barikiwa sana mutumishi.

  • @hjgj3847
    @hjgj3847 2 года назад +2

    Amen oh Hallelujah mutumisi balikiwa sana umenielimisha sana

  • @hadijambwambo6833
    @hadijambwambo6833 Год назад

    Barikiwa sana🎉naamini nitafunguaka .

  • @revinaceliber5739
    @revinaceliber5739 Год назад

    Asante kwa hili somo nimekupenda

  • @RukiaKipenzi-k9f
    @RukiaKipenzi-k9f 11 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @jenipherelihaki9531
    @jenipherelihaki9531 Год назад

    Barikiwa sana Apostle Vera

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    😢😢😢Niko omani lakin kila siku naota nafanya kazi nzito kijijini alikozaliwa mama na kuruka sehem mbali mbali

  • @lindaruhinda9168
    @lindaruhinda9168 Год назад +2

    Oooh God thank you for this servant of yours

  • @sakinaamundala8314
    @sakinaamundala8314 3 года назад +2

    Amen mutumishi wamungu ubarikiwe saana kwamafundisho mazuri amen

  • @janeturio7414
    @janeturio7414 Год назад +3

    Asante sana mtumishi wa Bwana, nimekombolewa na damu ya Yesu Kristo hallelujah Amen and Amen ❤🎉

  • @davidmwasomola1172
    @davidmwasomola1172 Год назад

    ❤❤ameni

  • @ibrahimgabriel6948
    @ibrahimgabriel6948 2 года назад

    Najionganisha na uwepo wa Mungu katika hiyo madhabahuu tangu hivi Mungu anipe ufunuo mkuu zaidi Mungu abadili historiia yangu

  • @mariamwaweru6049
    @mariamwaweru6049 Год назад +2

    Amen amen powerful God bless you very much

  • @AnetNkya
    @AnetNkya Год назад

    Shalom pastor from Tanzania Machame

  • @tyroneshao395
    @tyroneshao395 4 месяца назад

    Hii iliishia kati

  • @catherinekiondo955
    @catherinekiondo955 9 месяцев назад

    Shalom !! Apostle.

  • @BeatriceHenry-t3i
    @BeatriceHenry-t3i Год назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho yk Mtumishi Mungu wetu akutunze na familia yako

  • @AnetNkya
    @AnetNkya Год назад

    Am blessed

  • @SarahWilson-g7l
    @SarahWilson-g7l 9 месяцев назад

    Shaloom shaloom mom

  • @seerdoreen8005
    @seerdoreen8005 Год назад +3

    Alleluia 🙏🏽

  • @Julita-y3c
    @Julita-y3c Год назад

    Sina la kusema ila nashukuru sana kwa yale nimepokea kutoka kwako

  • @luganomwaulesi8761
    @luganomwaulesi8761 Год назад

    Barikiwa, ni somo lina mwaka nimejifunza, nasikia moyo wangu unawaka moto natamani kupiga kelele

  • @nasmamsangi284
    @nasmamsangi284 Год назад

    Amina ubarikiwe mtumishi 🙏
    Ngoja ningie kwenye Toba ya kwelii ya majutoo na machoziii
    MUNGU nisamehe pale ambapo sijasimama sawasawa😭😭😭ukwelii tuna mambo mengii yanampa shetani uhalali ndani yetu

  • @kitoiartworks3876
    @kitoiartworks3876 Год назад

    Amen ameen

  • @lovenessjoseph5718
    @lovenessjoseph5718 2 года назад +5

    Aiseee this woman has touched my heart alot namshukuru Sana Mungu kunikutanisha na hii channel amenifunua na kunifunua pakubwa Sana zaid ya Sana yani I feel blessed 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ashaabdallah2003
    @ashaabdallah2003 Год назад

    Apostle wangu

  • @monicakijazi6351
    @monicakijazi6351 Год назад

    Blessed mummy

  • @happinesssweke7821
    @happinesssweke7821 Год назад

    Ameen

  • @madamleticia94
    @madamleticia94 Год назад

    Ameen Mtumishi wa Mungu 🎉🎉

  • @ElizabethMalombola
    @ElizabethMalombola 11 месяцев назад

    Shalom.

  • @queenmassawe4298
    @queenmassawe4298 Год назад +4

    Yan haya maombi nimeyaona leo nikasema ata kama niya mda wacha nijaribu kuomba jmn nimejisikia vizur na nikapata kitu km likohozi limakaa kooni nikaliteka uwii nitaendelea kufatilia ila nimejiona walau na mm naweza kuomba sasa

  • @abdallahmabubu5847
    @abdallahmabubu5847 2 года назад +1

    Shalom.. Mama Mungu abariki kazi yako

  • @ashasalum7287
    @ashasalum7287 2 года назад +1

    Barikiwa sana mama.somo hili ni fireeeee

  • @ashamabunya2616
    @ashamabunya2616 2 года назад +1

    Asanteee mama nimejifunza leooo

  • @HappyAnton-yv4ms
    @HappyAnton-yv4ms Год назад

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu tunaomba acess ya kudowload ili tuweze kusikiliza vizuri

  • @bornfacechengah7100
    @bornfacechengah7100 Год назад

    Shalome shalome

  • @neemakimaro9954
    @neemakimaro9954 2 года назад

    Namshukuru mungu nitatoka nilipo kwa damu ya yesu

  • @fatumandejesalim7592
    @fatumandejesalim7592 2 года назад +1

    amen

  • @theonamagese5857
    @theonamagese5857 2 года назад

    Amina mtumishi umenifundisha toba ya kweli

  • @johnkyara5026
    @johnkyara5026 2 года назад

    Amen

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 8 месяцев назад +1

    Mama naomba hiki kipindi maana nakihitaji sana niwe nakipitia kila wakati

  • @jeannekatembe6396
    @jeannekatembe6396 2 года назад

    Nipo pamoja nawe mtumishi wa Mungu

  • @hadijambwambo6833
    @hadijambwambo6833 Год назад

    Mara yangu ya kwanza ku

  • @cocushubilabalongo6202
    @cocushubilabalongo6202 2 года назад +1

    Ameeen

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 2 года назад

    Shalom Dada yangu, Amina natamani niwe na Huduma kama yako

  • @jeskaswai8129
    @jeskaswai8129 2 года назад

    Naomba uniunganishe na maombi yako

  • @neginalmahundi1914
    @neginalmahundi1914 2 года назад

    Amen dada

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 2 года назад

    Ameeeeeeen and ameeeeeeen

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 2 года назад

    Mungu akubariki

  • @jsangelinakitengeso6196
    @jsangelinakitengeso6196 3 года назад +3

    Mungu akubariki unatufunua sana ni wengi wanafaidika na mafundisho yako

  • @placidiensabimana4993
    @placidiensabimana4993 3 года назад

    Mungu akubaliki sana sana na ubalikiwe sana

  • @mkdg.4skolo891
    @mkdg.4skolo891 10 месяцев назад

    Ameen mbona hufungulii tuinyonye tuidonload mahubiri

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 8 месяцев назад

    Shalom mama nimekuwa mnge kwako lakin toka niazi kukusikiliza natamani kila wakati nipate maombi yangu niko tanzania

    • @apostleveramuro1252
      @apostleveramuro1252  8 месяцев назад

      Karibu salome tutakuwa tz mwezi wa sita pale mapinga kwa maombi ya kufunga na kuomba 3days karibu sana kuanzia tar 29-21 jube

    • @SalomeKhalfani-cm9xy
      @SalomeKhalfani-cm9xy 8 месяцев назад

      @@apostleveramuro1252 ok karibu mama naomba mungu atufikishe ukikalibia nijulishe

  • @sarrysichy5726
    @sarrysichy5726 2 года назад +1

    Powerful

  • @anyubangu4148
    @anyubangu4148 3 года назад

    Ameen Apostle...Hili somo nalisikiliza kila wakati.

  • @MremboWakisukuma
    @MremboWakisukuma Год назад

    Shalom mama ndo naanza kukufatilia

  • @janethpaschal1587
    @janethpaschal1587 2 года назад

    Sharom apostle

  • @ibrahimgabriel6948
    @ibrahimgabriel6948 2 года назад

    Najionganisha na wewe mtumishi

  • @roymuwowo4607
    @roymuwowo4607 2 года назад

    Shalom

  • @fatumandejesalim7592
    @fatumandejesalim7592 2 года назад

    Apostle mimi niko saudia arabia na niko mgojwa sana naomba maombi tuuu

  • @wannaproducts
    @wannaproducts 2 года назад

    Isaya 52:1-2

  • @vivianlyimo6830
    @vivianlyimo6830 3 года назад

    AMINA

  • @buyegiandrew882
    @buyegiandrew882 2 года назад +1

    Nimesikiliza leo tumbo limevulugika Sana na nasikia kitu kinataka kutoka kooni nakooa Sana ila yanatoka mate tu

  • @veransyenga2427
    @veransyenga2427 3 года назад +1

    Amen apostle

  • @esperancemuco1475
    @esperancemuco1475 3 года назад

    Dada kwali Munugu azidi kuku ongeza nguvu

  • @veeinn7965
    @veeinn7965 Год назад

    Amen amen 🙏🏿

  • @AimtongaKimaro
    @AimtongaKimaro Год назад

    Naona uliyoyapitia ni Kama yangu naomba namba ya cm

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru7106 2 года назад

    Hapa ndio chanzo cha kusogea

  • @EstherOduor-qq3hl
    @EstherOduor-qq3hl Год назад

    watu wanatumia bundle ambayo ni pesa please.kama ni ujumbe ni vyema uende moja kwa moja adi kwa ujumbe

  • @fridashani6562
    @fridashani6562 3 года назад +2

    Shalom 🙏🏾🙏🏾

  • @AnetNkya
    @AnetNkya Год назад

    Yani nimetulia kimya naelewa na kuelewa

  • @apostleveramuro1252
    @apostleveramuro1252  Год назад

    Chule David uje usikilize haya maombi yatakusaidia sana ila tu omba kwa mzigo na kumaanisha sio uishie kusikiliza tu utabakia hivyo

  • @mashlizo
    @mashlizo 2 года назад +2

    Mtumishi naweza kuwasiliana na wewe vipi,?

  • @nellydeborah943
    @nellydeborah943 4 месяца назад

    Eeh mara.ya kwanza kuskia eti kuna Apostle mwanamke hata kwa bibilia nimetafuta hakuna.wanawake tuchunge vile tuna jiparade kwa miito tumeitiwa.mwanamke ana nafasi ya uinjilist ,unabii lakini sio Apostle na uchungaji.hata madhabau sio yake.sisemi kuwa niko na kinyume cha unayosema ila clag umejipa sio.samahani

    • @apostleveramuro1252
      @apostleveramuro1252  4 месяца назад

      @@nellydeborah943 soma waefeso 6:11-12 na pia hii toba na rehema inakuhusu ili kuondoa hicho kiburi cha uzima ndani yako. Yaan umeshajihesabia haki kiasi cha kujipa nafasi ya kumpangia Mungu nani awe nani ilikufanya kazi ya Mungu wewe dada ebu shuka Yesu ainuliwe loh

    • @apostleveramuro1252
      @apostleveramuro1252  4 месяца назад

      Mungu hana mipaka kama nyie mafarisayo Mungu anaangalia moyo uliotayari kumtumikia kama alivyosema kwenye yoel 2:28 matendo 2:18 kasome halafu kuwa muombaji sio unakremisha tu vitu vya rohoni vinahitaji maombi dada usipokuwa muombaji utakuwa na machuki na mawivu bila mpango wowote.

    • @apostleveramuro1252
      @apostleveramuro1252  4 месяца назад

      @@nellydeborah943 tena wewe ni mtumishi lakini unakiburi cha uzima na kama nimejipa hii huduma Mungu sio Mungu basi hata wewe ungejipa lakini kama ni Mungu amenipa na akuhukumu kwa maneno ya kinywa chako. Nimekuona unanifwatilia sana kwa roho mbaya na chuki sana. Reduce your bitterness ili uinuliwe na Mungu acha kujihesabia haki mwanamke mwenzangu.

    • @nellydeborah943
      @nellydeborah943 4 месяца назад

      @@apostleveramuro1252 ww uelewa kabisa hapa sio bitterness or kiburi hapa ni kweli na kama utaki kuifuata kweli ya biblia basi ww ndiye unakibururi.Mtumishi wa kweli lazima atii Biblia.mwanamke aruhusiwe kuwa mchungaji wala mtume na wala haipo kwa biblia ila waweza kujiita nabii na mwilinjislist .jambo lengine wanawake wastahili kujipamba kwa kuvalia earings na neccklesses .soma 1timotheo 2:9,1petero 3:3-4.na biblia inasema Mungu analitazama neno lake ili kulitimiza.Mungu ni wa mipangilio.na pia jua hapa sio jambo la kuinuliwa hapa nikutembea kwa neno la Mungu na kutii kwa kulitenda.kumbuka Yesu akasema wengi watasema tulitoa unabii na kufanya miujiza lakini atasema ondokeni mimi siwajui ,ila anamjua yule tu atendae mapenzi ya Baba na ni kuheshimu yale yameandikwa
      Kwa biblia na kuyatenda.ww una kiburi ungetafakari kwanza na kusoma vifungu nimekupa kwanza ,lengo langu ni kuikomboa nafsi yako.mbingu sio vile mnaidhania .na nikupe advice anza maisha ya toba na utakaso na uachane na vitu vya yezebeli ,SAHIZI sio kutafuta umaarufu wa uongozi bali ni kuangalia roho yako na ya wale Mungu amekutuma kwao,isije kapotea.sina ubaya nawe lakini fungua moyo wako kwa yale na kuambia itakuwa ya msaada kwa haswa kwa roho yako umileleni.God bless you

  • @happinesssweke7821
    @happinesssweke7821 Год назад

    Ameen

  • @winniegichuru7248
    @winniegichuru7248 2 года назад +1

    Amen

  • @priscatemba2311
    @priscatemba2311 2 года назад

    Amen apostle

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 2 года назад

    Ameeen

  • @syalilingamwalla3229
    @syalilingamwalla3229 Год назад

    Ameen

  • @winniegichuru7248
    @winniegichuru7248 Год назад

    Amen

  • @helenachami1349
    @helenachami1349 Год назад

    Amen

  • @apazmunisi2133
    @apazmunisi2133 Год назад

    Amen