Kabisa,tabia ya kulaani watoto ,kutamka maneno mabaya juu yao ni makosa,bali muhimu ni kuwaombea ,wawe watoto wema wenye baraka.barikiwa mtumishi kwa elimu yako❤❤❤❤.
God bless you dada, ni kweli kabisa. Mimi ninavita kali sana juu ya mtoto wangu wa mwisho. Na ninhakika nitawatolea ushuhuda wa ushindi kupitia maombi haya. More grace.
Shalom, dada napenda kurudisha sifa na utukufu kwa BWANA wetu YESU kristu amefanya njia pasipo na njia kwa Sasa mwanangu kajielewa Leo nilifunga na kuomba kwa ajili yake BWANA akatenda niliomba kwa uchungu Kama usemavyo,
Kweri kabisa mtoto wangu alikuwa nasal alikuwa anaweza kuongea kiingeleza vizuli kwaiyo nilipo ama dar na kuamka mkoani nilipo mpeleka shule waka mvusha dalasa kutoka na akili zake akaenda darasa LA kwanza na sio chea chea tena lakin saizi sjui chochote anakuwa ktk nafas mbalisana awi wakwanz wala wapili. Labda 24,27
Leo nimeota ndoto mbaya kwaajili ya mtoto wangu nikaomba nimemaliza kuomba nikasema acha niingie RUclips kutafuta wimbo wa kuabudu namshanga Bwana nimekutana na haya mafundisho ikabidi niingie kuyafatiliwa na kuomba jamani nimemuona Mungu tumbo langu limepiga kelele nikasikia kamba zinakatika kwenye tumbo
Kabisa,tabia ya kulaani watoto ,kutamka maneno mabaya juu yao ni makosa,bali muhimu ni kuwaombea ,wawe watoto wema wenye baraka.barikiwa mtumishi kwa elimu yako❤❤❤❤.
Amen ubarikiwe san mtumishi kwa maombi mungu akubarki san mtumishi
Am in a fast for children ministry and hallelujah Apostle you have blessed me immensely....I feel a burden over this children.Asante mama
❤
Ubarikiwe mtumishi , Mungu nipe nguvu ya kusimama katika zamu yangu
Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu.
Asante Sana apostle vera kwa maombi ya watoto wetu ubarikiwe sana
God bless you dada, ni kweli kabisa. Mimi ninavita kali sana juu ya mtoto wangu wa mwisho. Na ninhakika nitawatolea ushuhuda wa ushindi kupitia maombi haya. More grace.
Aminaaaa, mtumishi wa mungu
Amina Mtumishi wa Mungu,nimebarikiwa sana na mafundisho yako na maombi pia,naomba unipatie namba yako ya simu
Mungu akubariki Apostle 🙏
Ameen mtumishi ubarikiwe sana.
Barikia sana Apostle kwa haya maombi 🙏🏾🙏🏾
nashukuru sana nimepata kitu kikubwa,MUNGU wa mbinguni na akubariki kwa baraka zote za mbinguni na za duniani,amen.
Ubarikiwe dada mutumishi wa Mungu unanibari
Mungu aendelee kukubariki. Tuombe pamoja Mungu atatusikia. Amen.
Thank you apostle vera God bless you so much
Mungu akutunze mtumishi
Amen
Asante dada yangu aki ninakuomba uombe mtoto wangu kijana haendeiei vizuri
Ameen
Ameeen mama ubarikiwe.
Asante Dante sana kwa maombi ya watoto wetu na mung
Mungu akubariki sana nahicho hichokipawa
Asante kwa Maombi yenye nguvu
Barikiwa
Nihivyo mama united namba zako
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu!
Nimebarikiwa sana na ushaur wa na maombi Pia
Ahsante sana kwa maombi haya,naomba nipate nambari yako ya simu
+1678 270 7594 whatsap
@@apostleveramuro1252 nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi
Mama ubarikiwe kwa maombi mazuri
Pastor ntapataje namba zako?
Amen 🙏🙏🙏
BWANA YESU asifiwe dada naomba tufanye maombi kwa ajili ya mwanangu hajiwez darasan kiukweli naumia mzazi jaman Sina Raha Yuko darasa la nne
Shalom, dada napenda kurudisha sifa na utukufu kwa BWANA wetu YESU kristu amefanya njia pasipo na njia kwa Sasa mwanangu kajielewa Leo nilifunga na kuomba kwa ajili yake BWANA akatenda niliomba kwa uchungu Kama usemavyo,
Kweri kabisa mtoto wangu alikuwa nasal alikuwa anaweza kuongea kiingeleza vizuli kwaiyo nilipo ama dar na kuamka mkoani nilipo mpeleka shule waka mvusha dalasa kutoka na akili zake akaenda darasa LA kwanza na sio chea chea tena lakin saizi sjui chochote anakuwa ktk nafas mbalisana awi wakwanz wala wapili. Labda 24,27
Haki ubarikiwe dada umenifundisha kabisa napitia magumu lakini ninamwombea hata yeye asipitie chenye mimi napitia sai🙏🙏🙏
Leo nimeota ndoto mbaya kwaajili ya mtoto wangu nikaomba nimemaliza kuomba nikasema acha niingie RUclips kutafuta wimbo wa kuabudu namshanga Bwana nimekutana na haya mafundisho ikabidi niingie kuyafatiliwa na kuomba jamani nimemuona Mungu tumbo langu limepiga kelele nikasikia kamba zinakatika kwenye tumbo
Naomba unikumbuke katika maombi naumwa na tumbo kwa miaka mi tatu
Duh pole saana dada
Na mkomboa mtoto. Wangu kwa mitego ya adui
Hi, nilikuwa naomba namba ya simu ya huyo mama au email yake asante.kuna mtu anaijua asante.
+1 678 270 7594
Asante mama mungu akubariki nitakutafuta
Mtumishi huyu anapatikana wapi?ninashida naye
Instagram @apostle_vera19