A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR - KWA MACHO
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Subscribe to Wyld Pytch / 51 Lex: bit.ly/WyldSubs
Wyld Pytch / 51 Lex Records
Web - wyldpytch.com/
Instagram- wyldpytch51lex
Facebook - / 51lexrecords. .
Tiktok: / wyldpytch51lexrecords
Twitter - / wyldpytch
Mimi naangalia leo 2024 Mwenyezi Mungu awabariki sana waimbaji hawa 😇😇
Nimekukuta aise nami pia
Hakika
Nimeanza na nyinyi 2025 be blessed piga hii nyimbo kwenye speaker kubwa unahisi uko mbinguni Asanteni.
Aliyeguswa na nyimbo hii agonge like Yake hapa
Napenda sana wimbo huu
Naupenda San na nyimbo zao zote nazipenda
Mimi nabarikiwa Leo 2024 ❤❤❤❤❤🎉
Ni ukweli mutupu! Kama hauongozwe na Yesu, nguvu za giza zikuzunguka na zunakuangamiza, lakini kama uko na Yesu, nguvu za giza hazigusogelee, macho yako, amabae anaongizwa na Yesu, anaziona hapo hapo, na zinashindwa! Jamani tumupe Yesu nafasi zetu tufurahi maishani hapa duniani nna Mbinguni tunaenda kabisa! Amen
Kabisa,,, Muamini Yesu tuu utashinda
Ndo mara yangu ya kwanza kusikia nyimbo zenu wapendwa mbarikiwe sana
Mungu awajaliye nguvu kila siku kwakuhubiri watu kupitiya nyimbo
nabarikiwa sana na nyimbo zenu AIC Chang'ombe Vijana Dar. Mungu awabariki
2022.. Bado nausikiliza huu wimbo.. hakika Mungu anatupigania Kila siku kwenye ulimwengu WA roho bila ya sisi kufaham ... Mbarikiwe San 🙌🙌🙌🙌❤️
From Kenya 🇰🇪, Nairobi.. Mbona tangu niskize huu wimbo unanirudisha miaka ya kitambo sana in the late 1990s.. It's as if this song was there in one of my dad's radio cassette. It sounds very familiar.. I don't know why.. But it's blessing me in 2024..my son actually loves it but he discovered the modern version you guys have. Another song I remembered after watching this is a song from Tanzania as well "katikati viumbe vyote vilivyoumbwa, binadamu kaumbika...." I don't quite remember the rest.. God bless you people
2024 tujuane kwa like❤
Bila yesu kweli n kazi bure, wimbo huuu unanifanya kuwa jasri sana kw kumtegemea yeye anayenipigania siku zote za maisha yangu.
Hongera saana chang'ombe nabarikiwa saana na nyimbo zenu
Nawapenda sana nabarikiwa sana na uimbaj wenu❤
Hii ndio choir kubwa Tanzania
God bless you all
Karama ya uimbaji no sehemu kubwa ya kutangaza matendo makubwa Mungu aliyomfanyia mwanadamu. Uumbaji, ukombozi na msamaha wa dhambi vyatusukuma kumwimbia Mungu wimbo mpya. Nawapongeza sana ndugu zetu kwa kutushirikisha violates hivyo
Mungu awabariki kwa kazi zenu nzuri nami naangalia leo 15/12/2024
I love this song, kwa macho ya nyama huwezi ona
Hizi nyimbo ni tiba , zinatakasa na kuponya sana mioyo yetu.. mbarikiwa sana waimba
Asante kwa nyimbo nzuri vijana chang'ombe mungu awe nasi daima
Tarehe 15.7.201 Nina angalia Mungu awabaliki
Weka like hapa kamabado unabarikiwa 2024
Mungu awasaidie ndugu zangu,tuishi kwa sheria na ushuhuda ikiwa hatusemi sawasawa na neno hilo kwetu hakutakua na asubuhi,Mungu awaimarishe mstawi saana ili uimbaji wenu uendelee kuwahubiri watu wamjue mungu. barikiwen saana watumishi!!
Mungu awazidishie katika uimbaji wenu
Bila macho ya kiroho nivigumu kuyaona Asante yesu .
Naendelea kufarijika na nyimbo zenu nzur mbarikiwe
2023 bado nasikiliza this song🙏
A very touching song
2023 but still hits like it was sung yesterday 🎉
H5y7😮😮 by
2023 wekaa like hapa kam bado unaguswa
Mbarikiwe sana kwa nyimbo zenu"" katika nyimbo ambazo siwezi kuchoka kuiskiliza ni hii.
Jamani nimebarikiwa sana na wimbo wenu wenye ujumbe na sauti nzuri na hata kila kitu..Mungu azidi kuwabariki.
Amen mmebarikiwa video nimependa zaid,,jins watu wa Mungu wanavyolindwa na jeshi la malaika maana si malaika mmoja ila hatuoni kwa macho ya nyama
Kweli bila Yesu asubuhi wajikuta upo uvunguni. Kweli hii imenibariki Mungu azidi kuwainua na kuwapeleka mbali zaidi. Barikiwa sana
Amen
Huu wimbo unanibariki mnoo ❤Mungu wambinguni awainue zaidiii
Nawapenda nyote nyimbo zenu znanibariki sana mungu awape baraka tele na vizaz vyenu vibarikiwe. Ila naomba mtoe albam nyingine Nina ham sana kuiona na kuiskiliza
Kwa macho ya nyama huwezi ona yakupasa kuwa naye Yesu.
26.5.2019 kama unasikiliza gonga like twende sawa
Mwenye yuko na mm December 17 __ 2019 tujuane kwa like
Macho uwezi ona mungu ndo kimbilio la maisha ni baba wa wote
Mungu ni mwema.kwakweli nyimbo zenu zinanigusa sana mungu awabariki
Nawapenda sana Chang'ombe! Awesome song! Hongereni sana ndugu zetu.
Nyimbo hii ukiiskiliza kwamakin lazim upate chochot wala huwez kuondoka hvyo hvyo jalibu kuirudia rudia mara kwamala hatimae utapata kitu Mungu awabarik san
Kabisaaaaaa
Amen. Nimebarikiwa Sanaa. Usiogope hata chembe kama unaye Yesu moyoni
Me nawapenda sana watumishi wa mungu
wimbo huu Kwa macho unabariki moyo wangu ,Jina la Yesu Kristo libarikiwe milele, Na hongereni sana choir ya aic vijana chan'gombe Kwa Nazi nzuri.Mungu awabariki.
Paul Simiyu pamoja
Nawapenda sana Mungu azidi kuwainua kila Siku, kila saa!
2023 bado nabarikiwaaaa🙏🙏🙏
We are still waiting that beautiful song of God at 2019
Mawakubali sana wapenzi na hii kwaya
Mbarikiwe sana waimbaji, kweli " USIOGOPE HATA NJEMBE UKIWA NA YESU MOYONI" Amen
😢😢😢😢😢 Mungu azidi kuwatumia❤❤❤❤
wanaosikiliza wimbo huu December 2023 gonga like hapa
Amina Mungu azidi kuwainua kufanya kazi yake, kwa njia ya uimbaji
mungu aendelee kuwatumia katika kazi yake
Hakika mungu aendelee kutupigania kwenye ulimwengu waroho malaika watusimamie hat tukiwa tumelala usiku was manane
i really like this choir,it blesses me.
v
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu aic chang'ombe, mungu azidi kuwabariki mala dufu
Mungu ni mwema kwa kila jambo.tumsifu na kumuabudu Amina.
asante sana kwa nyimbo yenye mzuri,barakiweni sana,nafarijika sana
naupenda sana huu wimbo,Mungu awabariki..
nafarijika sana moyoni mwangu ninapo sikiliza nyimbo za dini! kazi njema katika utunzi
Wimbo mzr sanasanaaa
Hiki kipindi gospel song zilikuwa na upako...❤❤❤
Kweli kwa macho ya Nyama hauwezi kuona,11yrs na Bado wimbo unanibariki,kweli wimbo unuhai.
god bless you all for this wonderful song
My love for this song is on another level.
I listen to it thrice a day. It really blesses me, gives me the knowledge to know the spiritual world. Naipenda sana❤❤❤
I truly love this song so much. God bless u so much with other songs that can take someone from this place to other place by feeling the holy spirit of Jesus Christ in heaven. Amen.........Amen....... Hallelujah
Esta Nabarikiwa xana nanyimbo zenu
Esta Niyongabire pamoja
Mungu awabariki saana, endeleeni kutangaza injiri kwa njia ya uimbaji
Yes nabarkiwa sana
2023 still my favorite❤❤❤
Huu wimbo unibariki sana aki
Old is gold am just Inlove with this songs 😢😢😢😢😢 mayeGod hear my strength 😢
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu.... May God bless you
nabarikiwa sana Hawa watu jmn🙏🙏
Mubarikiwe sana waimbaji
Mungu awabariki zaidi. Msichoke/msizimie mioyo.
Wapo Vizuri Sana hi kwanya!! Waimbaji hawabadiliki!! Wapo imara hakika
wimbo mzur sana jaman ubalikiwe muimbishaji nakupenda mama
kwa macho ya nyama kukaa ndani ya Yesu.
Wimbo Babu kubwa!
barikiwa Wana na nyimbo hizi za kwaya hii zote nzuri zinanibariki
Nimebarikiwa na nyimbo zenu.Mungu azidi kuwabariki
Hakika MUNGU angetufumbua macho ya nyama daaaah, acheni MUNGU aitwe MUNGU, barikiwa sanaaaaaa watunishi ,wimbo huu unanitoa machoz ,ni mambo ya kutisha kweli.
Amina Amina nabarikiwa mno na huuwimbo
Nawapenda sana tena sana...naomba Mungu kila siku anikutanishe na nyie na tutakutana soon nikija Tanzania nitakuwa mgeni wenu tutaimba wote..Mungu awabariki sana.Amen
Nyimbo hii inanibariki sana. 2019 october
you know that these kind of songs can take over the world....these guys need concerts all over the world since people don't know what Africa is all about....collect good songs like this one for a good 3 hours concert and trust me Africa will own the world eventually.
ee mungu tuhulumie
Nawapenda sana aic chang'ombe
kwa macho ya mungu naweza ona haya
Natamani kujiunga kikundi hii napenda sana mungu awabariki
Napenda kuusikiliza kila siku. Lovely music
asanteni sana kwa nyimbo Mungu awabariki
Mungu awabariki sana watumishi
Nice song watumishi keep it
Mko vizuri sana
Nawapend sana ❤❤❤❤🎉
Am soo much blessed ,God bless u guys most
Nabarikiwa sana na nyimbo za choir hii..niko Kenya
mungu awazidishie uwezo katika uinjilishaji WA nyimbo
Nawapendaa since udogoniii hadiii ukubwaniii
Mungungu atusaidie wenyewe hatuwez
Mwenyezi Mungu Awa bariki sana
awesome,,, these kinds of songs make me weak for sure...