A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR - KWA MACHO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Subscribe to Wyld Pytch / 51 Lex: bit.ly/WyldSubs
    Wyld Pytch / 51 Lex Records
    Web - wyldpytch.com/
    Instagram- wyldpytch51lex
    Facebook - / 51lexrecords. .
    Tiktok: / wyldpytch51lexrecords
    Twitter - / wyldpytch

Комментарии • 263

  • @batistamngullu9235
    @batistamngullu9235 7 месяцев назад +10

    Mimi naangalia leo 2024 Mwenyezi Mungu awabariki sana waimbaji hawa 😇😇

  • @christinaanatory1962
    @christinaanatory1962 7 месяцев назад +9

    Mimi nabarikiwa Leo 2024 ❤❤❤❤❤🎉

  • @promisejoel1909
    @promisejoel1909 6 лет назад +70

    Aliyeguswa na nyimbo hii agonge like Yake hapa

  • @NuruAshery
    @NuruAshery 6 месяцев назад +6

    2024 tujuane kwa like❤

  • @geraniz3046
    @geraniz3046 10 лет назад +8

    Ni ukweli mutupu! Kama hauongozwe na Yesu, nguvu za giza zikuzunguka na zunakuangamiza, lakini kama uko na Yesu, nguvu za giza hazigusogelee, macho yako, amabae anaongizwa na Yesu, anaziona hapo hapo, na zinashindwa! Jamani tumupe Yesu nafasi zetu tufurahi maishani hapa duniani nna Mbinguni tunaenda kabisa! Amen

  • @philimonambilikile6645
    @philimonambilikile6645 2 года назад +4

    Ndo mara yangu ya kwanza kusikia nyimbo zenu wapendwa mbarikiwe sana

  • @HonoréBazibuhe
    @HonoréBazibuhe Месяц назад +1

    Mungu awajaliye nguvu kila siku kwakuhubiri watu kupitiya nyimbo

  • @elctelvdnyakatohospital5602
    @elctelvdnyakatohospital5602 Месяц назад +1

    Hongera saana chang'ombe nabarikiwa saana na nyimbo zenu

  • @chausikuarfred6785
    @chausikuarfred6785 3 года назад +4

    Tarehe 15.7.201 Nina angalia Mungu awabaliki

  • @mariamhumphrey4622
    @mariamhumphrey4622 2 года назад +8

    2022.. Bado nausikiliza huu wimbo.. hakika Mungu anatupigania Kila siku kwenye ulimwengu WA roho bila ya sisi kufaham ... Mbarikiwe San 🙌🙌🙌🙌❤️

  • @levinasamwel8346
    @levinasamwel8346 Год назад +9

    2023 wekaa like hapa kam bado unaguswa

  • @daudsunzula2169
    @daudsunzula2169 4 года назад +9

    Asante kwa nyimbo nzuri vijana chang'ombe mungu awe nasi daima

  • @beatricemuthusi7905
    @beatricemuthusi7905 Год назад +4

    A very touching song
    2023 but still hits like it was sung yesterday 🎉

  • @magesamweli7018
    @magesamweli7018 4 года назад +3

    Naendelea kufarijika na nyimbo zenu nzur mbarikiwe

  • @vanessaandrew737
    @vanessaandrew737 Год назад +3

    2023 bado nasikiliza this song🙏

  • @juliethlucas9260
    @juliethlucas9260 7 лет назад +19

    nabarikiwa sana na nyimbo zenu AIC Chang'ombe Vijana Dar. Mungu awabariki

  • @HakunaMatata_2024
    @HakunaMatata_2024 9 месяцев назад +3

    wanaosikiliza wimbo huu December 2023 gonga like hapa

  • @wambokatzmwandishi9302
    @wambokatzmwandishi9302 6 лет назад +14

    Hii ndio choir kubwa Tanzania
    God bless you all

  • @wilsonniwagila9534
    @wilsonniwagila9534 8 лет назад +14

    Karama ya uimbaji no sehemu kubwa ya kutangaza matendo makubwa Mungu aliyomfanyia mwanadamu. Uumbaji, ukombozi na msamaha wa dhambi vyatusukuma kumwimbia Mungu wimbo mpya. Nawapongeza sana ndugu zetu kwa kutushirikisha violates hivyo

  • @berthakobelo140
    @berthakobelo140 9 лет назад +16

    I love this song, kwa macho ya nyama huwezi ona

  • @naftalimimbi4924
    @naftalimimbi4924 5 лет назад +31

    26.5.2019 kama unasikiliza gonga like twende sawa

  • @janefrey9471
    @janefrey9471 Год назад +3

    2023 bado nabarikiwaaaa🙏🙏🙏

  • @sirielikisefu5112
    @sirielikisefu5112 5 лет назад +27

    Tunaongalia 2019 like

  • @queenietheamaizing2
    @queenietheamaizing2 4 года назад +6

    Mwenye yuko na mm December 17 __ 2019 tujuane kwa like

  • @davidmaximmilian9734
    @davidmaximmilian9734 9 лет назад +2

    Bila yesu kweli n kazi bure, wimbo huuu unanifanya kuwa jasri sana kw kumtegemea yeye anayenipigania siku zote za maisha yangu.

  • @johngabriel7683
    @johngabriel7683 6 лет назад +8

    Mungu awazidishie katika uimbaji wenu

  • @gabriellnkya8625
    @gabriellnkya8625 5 лет назад +12

    We are still waiting that beautiful song of God at 2019

  • @natachamunezero5239
    @natachamunezero5239 5 лет назад +13

    Nyimbo hii inanibariki sana. 2019 october

  • @nthewawabwenzi5329
    @nthewawabwenzi5329 7 лет назад +10

    god bless you all for this wonderful song

  • @langatkibet7980
    @langatkibet7980 5 лет назад +10

    Still 2019 August watching.

  • @fridakweka2492
    @fridakweka2492 Год назад +3

    So blessed song

  • @gracembinya1909
    @gracembinya1909 9 лет назад +10

    i really like this choir,it blesses me.

  • @nananana4885
    @nananana4885 5 лет назад +6

    😢😢😢😢😢 Mungu azidi kuwatumia❤❤❤❤

  • @ellakapugi3498
    @ellakapugi3498 10 лет назад +1

    Mungu awasaidie ndugu zangu,tuishi kwa sheria na ushuhuda ikiwa hatusemi sawasawa na neno hilo kwetu hakutakua na asubuhi,Mungu awaimarishe mstawi saana ili uimbaji wenu uendelee kuwahubiri watu wamjue mungu. barikiwen saana watumishi!!

  • @sadockamos8899
    @sadockamos8899 Год назад

    Mungu awabariki zaidi. Msichoke/msizimie mioyo.

  • @tumsifushoo3379
    @tumsifushoo3379 10 лет назад +10

    Jamani nimebarikiwa sana na wimbo wenu wenye ujumbe na sauti nzuri na hata kila kitu..Mungu azidi kuwabariki.

  • @elishapaulo9790
    @elishapaulo9790 6 лет назад +3

    Kweli bila Yesu asubuhi wajikuta upo uvunguni. Kweli hii imenibariki Mungu azidi kuwainua na kuwapeleka mbali zaidi. Barikiwa sana

  • @RuthBabu-uv2kq
    @RuthBabu-uv2kq 3 месяца назад +1

    Mubarikiwe sana waimbaji

  • @mbonikelubiloh1012
    @mbonikelubiloh1012 9 лет назад +7

    Mawakubali sana wapenzi na hii kwaya

  • @dangalafransis626
    @dangalafransis626 5 лет назад +8

    Wangapi bado tunaangalia wimbo huu 2019 hii?

  • @georgenyamongo4622
    @georgenyamongo4622 9 лет назад +5

    Nawapenda sana Chang'ombe! Awesome song! Hongereni sana ndugu zetu.

  • @hullcanada
    @hullcanada 9 лет назад +13

    you know that these kind of songs can take over the world....these guys need concerts all over the world since people don't know what Africa is all about....collect good songs like this one for a good 3 hours concert and trust me Africa will own the world eventually.

  • @neemamatayomasanyiwa1658
    @neemamatayomasanyiwa1658 Год назад

    Hakika mungu aendelee kutupigania kwenye ulimwengu waroho malaika watusimamie hat tukiwa tumelala usiku was manane

  • @fraidamsemwa5518
    @fraidamsemwa5518 Год назад +1

    Huu wimbo unanibariki mnoo ❤Mungu wambinguni awainue zaidiii

  • @hurumaelly4199
    @hurumaelly4199 9 лет назад +8

    Wimbo Babu kubwa!

  • @EvaristeMaloba-xk2tf
    @EvaristeMaloba-xk2tf 3 месяца назад

    Mwenyezi Mungu Awa bariki sana

  • @estaniyongabire9956
    @estaniyongabire9956 8 лет назад +7

    I truly love this song so much. God bless u so much with other songs that can take someone from this place to other place by feeling the holy spirit of Jesus Christ in heaven. Amen.........Amen....... Hallelujah

  • @sweetchanzi5468
    @sweetchanzi5468 7 лет назад +5

    naupenda sana huu wimbo,Mungu awabariki..

  • @veronicamigera5227
    @veronicamigera5227 Месяц назад

    Nawapenda sana aic chang'ombe

  • @lilianmnzava8458
    @lilianmnzava8458 9 лет назад +5

    Nawapenda sana tena sana...naomba Mungu kila siku anikutanishe na nyie na tutakutana soon nikija Tanzania nitakuwa mgeni wenu tutaimba wote..Mungu awabariki sana.Amen

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 8 месяцев назад

    I like this song sure from my heart

  • @ganital2223
    @ganital2223 6 лет назад +7

    Am soo much blessed ,God bless u guys most

  • @ramadhanimbwambo1932
    @ramadhanimbwambo1932 6 лет назад +1

    Kwa macho ya nyama huwezi ona yakupasa kuwa naye Yesu.

  • @evapaul3450
    @evapaul3450 8 лет назад +10

    nimebarikiwa sana

  • @sibuboytz
    @sibuboytz 2 года назад

    mungu aendelee kuwatumia katika kazi yake

  • @shilashish9837
    @shilashish9837 8 месяцев назад

    ❤❤❤I love this song so much

  • @irenejohnson
    @irenejohnson Год назад +1

    Through your own physical eyes,,you can't see those frightening things.i like this song.

  • @ngassajuliusmussachallya9034
    @ngassajuliusmussachallya9034 2 года назад

    From Bangkok Thailand naendelea kubarikiwa 2022

  • @alexjacob3255
    @alexjacob3255 4 года назад +1

    Nyimbo hii ukiiskiliza kwamakin lazim upate chochot wala huwez kuondoka hvyo hvyo jalibu kuirudia rudia mara kwamala hatimae utapata kitu Mungu awabarik san

  • @paulsimiyu3466
    @paulsimiyu3466 8 лет назад

    wimbo huu Kwa macho unabariki moyo wangu ,Jina la Yesu Kristo libarikiwe milele, Na hongereni sana choir ya aic vijana chan'gombe Kwa Nazi nzuri.Mungu awabariki.

  • @WinifridaLubango
    @WinifridaLubango 6 месяцев назад

    nabarikiwa sana Hawa watu jmn🙏🙏

  • @samsonfongo4213
    @samsonfongo4213 8 лет назад +1

    Mbarikiwe sana waimbaji, kweli " USIOGOPE HATA NJEMBE UKIWA NA YESU MOYONI" Amen

  • @elikanaboyi8925
    @elikanaboyi8925 3 года назад

    Amen. Nimebarikiwa Sanaa. Usiogope hata chembe kama unaye Yesu moyoni

  • @benithabeneth4637
    @benithabeneth4637 10 лет назад +1

    Nawapenda nyote nyimbo zenu znanibariki sana mungu awape baraka tele na vizaz vyenu vibarikiwe. Ila naomba mtoe albam nyingine Nina ham sana kuiona na kuiskiliza

  • @hullcanada
    @hullcanada 9 лет назад +3

    awesome,,, these kinds of songs make me weak for sure...

  • @pendochima7573
    @pendochima7573 2 года назад

    Mungu ni mwema.kwakweli nyimbo zenu zinanigusa sana mungu awabariki

  • @Salomesalomejoseph
    @Salomesalomejoseph 10 месяцев назад

    Old is gold am just Inlove with this songs 😢😢😢😢😢 mayeGod hear my strength 😢

  • @leonardmadinda1439
    @leonardmadinda1439 4 года назад +2

    2020 bado wimbo huu wanibariki

  • @petersilla2286
    @petersilla2286 7 месяцев назад

    I love this song

  • @shadrackmwithi4534
    @shadrackmwithi4534 8 месяцев назад

    I like the song so much ,barikiweni sana.

  • @mercynina6288
    @mercynina6288 Год назад

    10 years ago they sang this song jihadhari na mpinga mkristo for now that mpinga mkristo is out everywhere

  • @glorychurch4490
    @glorychurch4490 8 лет назад +7

    A lovely song may God bless you

  • @daynessmollel7660
    @daynessmollel7660 4 года назад +1

    Nawapenda sana Mungu azidi kuwainua kila Siku, kila saa!

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 4 месяца назад

    Barikiwen sana❤

  • @liciajais4131
    @liciajais4131 2 года назад

    Mungu awabariki sana watumishi

  • @doricesamwel7785
    @doricesamwel7785 2 года назад

    Amen mmebarikiwa video nimependa zaid,,jins watu wa Mungu wanavyolindwa na jeshi la malaika maana si malaika mmoja ila hatuoni kwa macho ya nyama

  • @estherluciomwita3987
    @estherluciomwita3987 8 лет назад +1

    Amina Mungu azidi kuwainua kufanya kazi yake, kwa njia ya uimbaji

  • @Multi10091974
    @Multi10091974 5 лет назад +1

    Amina ! YESU A awabariki sana ! Hallelujha ! Amina 💙🕊🕊🕊🙏

  • @salmamkomwa4955
    @salmamkomwa4955 4 года назад

    Macho uwezi ona mungu ndo kimbilio la maisha ni baba wa wote

  • @charlesmkisi8052
    @charlesmkisi8052 21 день назад

    Kwauwezo wa mungu bado nipo

  • @lameckmmbaga7605
    @lameckmmbaga7605 Год назад

    Mungungu atusaidie wenyewe hatuwez

  • @Jack-v5w2n
    @Jack-v5w2n Год назад

    My love for this song is on another level.
    I listen to it thrice a day. It really blesses me, gives me the knowledge to know the spiritual world. Naipenda sana❤❤❤

  • @magezilucas5854
    @magezilucas5854 8 лет назад

    Mungu ni mwema kwa kila jambo.tumsifu na kumuabudu Amina.

  • @paskalipaulo1719
    @paskalipaulo1719 5 лет назад

    Amina Amina nabarikiwa mno na huuwimbo

  • @atienograce7564
    @atienograce7564 2 года назад +1

    Hiki kipindi gospel song zilikuwa na upako...❤❤❤

  • @edinamwambipile3813
    @edinamwambipile3813 4 года назад

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu aic chang'ombe, mungu azidi kuwabariki mala dufu

  • @loishiyemeigaru3853
    @loishiyemeigaru3853 8 лет назад +2

    I really like this songs

  • @agnesszefania_ad6138
    @agnesszefania_ad6138 7 лет назад +4

    asanteni sana kwa nyimbo Mungu awabariki

  • @pilikilindo8202
    @pilikilindo8202 4 дня назад

    Nahii jamani mufanye live 🙏

  • @davidhyera4504
    @davidhyera4504 6 лет назад +3

    Mko vizuri sana

  • @leahmathius7691
    @leahmathius7691 6 лет назад +1

    kwa macho ya mungu naweza ona haya

  • @evalinekaaya8305
    @evalinekaaya8305 Год назад

    Mbarikiwe sana kwa nyimbo zenu"" katika nyimbo ambazo siwezi kuchoka kuiskiliza ni hii.

  • @Jack-v5w2n
    @Jack-v5w2n Год назад

    2023 still my favorite❤❤❤
    Huu wimbo unibariki sana aki

  • @mercywandha2187
    @mercywandha2187 8 лет назад +1

    asante sana kwa nyimbo yenye mzuri,barakiweni sana,nafarijika sana

  • @aminaephraim4553
    @aminaephraim4553 7 лет назад +1

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu.... May God bless you

  • @ChristineOwiti-w4l
    @ChristineOwiti-w4l Год назад

    I love these songs like ever..

  • @elizamsalo8385
    @elizamsalo8385 Год назад

    Asante sana mungu

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania6200 10 лет назад +1

    Song titled '' With Spiritual Eyes'' from the AIC Changombe Vijana Choir of Dar-es-Salaam, Tanzania.

  • @nasiadomary4893
    @nasiadomary4893 9 лет назад

    nafarijika sana moyoni mwangu ninapo sikiliza nyimbo za dini! kazi njema katika utunzi

  • @alexjacob3919
    @alexjacob3919 3 года назад

    Nabarikiwa saaaan naposkiliza wimbo huuu