A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR - KWA MACHO
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Subscribe to Wyld Pytch / 51 Lex: bit.ly/WyldSubs
Wyld Pytch / 51 Lex Records
Web - wyldpytch.com/
Instagram- wyldpytch51lex
Facebook - / 51lexrecords. .
Tiktok: / wyldpytch51lexrecords
Twitter - / wyldpytch
Mimi naangalia leo 2024 Mwenyezi Mungu awabariki sana waimbaji hawa 😇😇
Nimekukuta aise nami pia
Hakika
Mimi nabarikiwa Leo 2024 ❤❤❤❤❤🎉
Aliyeguswa na nyimbo hii agonge like Yake hapa
Napenda sana wimbo huu
Naupenda San na nyimbo zao zote nazipenda
2024 tujuane kwa like❤
Ni ukweli mutupu! Kama hauongozwe na Yesu, nguvu za giza zikuzunguka na zunakuangamiza, lakini kama uko na Yesu, nguvu za giza hazigusogelee, macho yako, amabae anaongizwa na Yesu, anaziona hapo hapo, na zinashindwa! Jamani tumupe Yesu nafasi zetu tufurahi maishani hapa duniani nna Mbinguni tunaenda kabisa! Amen
Ndo mara yangu ya kwanza kusikia nyimbo zenu wapendwa mbarikiwe sana
Mungu awajaliye nguvu kila siku kwakuhubiri watu kupitiya nyimbo
Hongera saana chang'ombe nabarikiwa saana na nyimbo zenu
Tarehe 15.7.201 Nina angalia Mungu awabaliki
2022.. Bado nausikiliza huu wimbo.. hakika Mungu anatupigania Kila siku kwenye ulimwengu WA roho bila ya sisi kufaham ... Mbarikiwe San 🙌🙌🙌🙌❤️
2023 wekaa like hapa kam bado unaguswa
Asante kwa nyimbo nzuri vijana chang'ombe mungu awe nasi daima
A very touching song
2023 but still hits like it was sung yesterday 🎉
H5y7😮😮 by
Naendelea kufarijika na nyimbo zenu nzur mbarikiwe
2023 bado nasikiliza this song🙏
nabarikiwa sana na nyimbo zenu AIC Chang'ombe Vijana Dar. Mungu awabariki
wanaosikiliza wimbo huu December 2023 gonga like hapa
Hii ndio choir kubwa Tanzania
God bless you all
Karama ya uimbaji no sehemu kubwa ya kutangaza matendo makubwa Mungu aliyomfanyia mwanadamu. Uumbaji, ukombozi na msamaha wa dhambi vyatusukuma kumwimbia Mungu wimbo mpya. Nawapongeza sana ndugu zetu kwa kutushirikisha violates hivyo
I love this song, kwa macho ya nyama huwezi ona
26.5.2019 kama unasikiliza gonga like twende sawa
2023 bado nabarikiwaaaa🙏🙏🙏
Tunaongalia 2019 like
77
Mwenye yuko na mm December 17 __ 2019 tujuane kwa like
Bila yesu kweli n kazi bure, wimbo huuu unanifanya kuwa jasri sana kw kumtegemea yeye anayenipigania siku zote za maisha yangu.
Mungu awazidishie katika uimbaji wenu
We are still waiting that beautiful song of God at 2019
Nyimbo hii inanibariki sana. 2019 october
god bless you all for this wonderful song
Still 2019 August watching.
Amen
So blessed song
i really like this choir,it blesses me.
v
😢😢😢😢😢 Mungu azidi kuwatumia❤❤❤❤
Mungu awasaidie ndugu zangu,tuishi kwa sheria na ushuhuda ikiwa hatusemi sawasawa na neno hilo kwetu hakutakua na asubuhi,Mungu awaimarishe mstawi saana ili uimbaji wenu uendelee kuwahubiri watu wamjue mungu. barikiwen saana watumishi!!
Mungu awabariki zaidi. Msichoke/msizimie mioyo.
Jamani nimebarikiwa sana na wimbo wenu wenye ujumbe na sauti nzuri na hata kila kitu..Mungu azidi kuwabariki.
Kweli bila Yesu asubuhi wajikuta upo uvunguni. Kweli hii imenibariki Mungu azidi kuwainua na kuwapeleka mbali zaidi. Barikiwa sana
Amen
Mubarikiwe sana waimbaji
Mawakubali sana wapenzi na hii kwaya
Wangapi bado tunaangalia wimbo huu 2019 hii?
Nawapenda sana Chang'ombe! Awesome song! Hongereni sana ndugu zetu.
you know that these kind of songs can take over the world....these guys need concerts all over the world since people don't know what Africa is all about....collect good songs like this one for a good 3 hours concert and trust me Africa will own the world eventually.
ee mungu tuhulumie
Hakika mungu aendelee kutupigania kwenye ulimwengu waroho malaika watusimamie hat tukiwa tumelala usiku was manane
Huu wimbo unanibariki mnoo ❤Mungu wambinguni awainue zaidiii
Wimbo Babu kubwa!
Mwenyezi Mungu Awa bariki sana
I truly love this song so much. God bless u so much with other songs that can take someone from this place to other place by feeling the holy spirit of Jesus Christ in heaven. Amen.........Amen....... Hallelujah
Esta Nabarikiwa xana nanyimbo zenu
Esta Niyongabire pamoja
naupenda sana huu wimbo,Mungu awabariki..
Nawapenda sana aic chang'ombe
Nawapenda sana tena sana...naomba Mungu kila siku anikutanishe na nyie na tutakutana soon nikija Tanzania nitakuwa mgeni wenu tutaimba wote..Mungu awabariki sana.Amen
I like this song sure from my heart
Am soo much blessed ,God bless u guys most
Nabarikiwa sana na nyimbo za choir hii..niko Kenya
Kwa macho ya nyama huwezi ona yakupasa kuwa naye Yesu.
nimebarikiwa sana
mungu aendelee kuwatumia katika kazi yake
❤❤❤I love this song so much
Through your own physical eyes,,you can't see those frightening things.i like this song.
From Bangkok Thailand naendelea kubarikiwa 2022
Nyimbo hii ukiiskiliza kwamakin lazim upate chochot wala huwez kuondoka hvyo hvyo jalibu kuirudia rudia mara kwamala hatimae utapata kitu Mungu awabarik san
Kabisaaaaaa
wimbo huu Kwa macho unabariki moyo wangu ,Jina la Yesu Kristo libarikiwe milele, Na hongereni sana choir ya aic vijana chan'gombe Kwa Nazi nzuri.Mungu awabariki.
Paul Simiyu pamoja
nabarikiwa sana Hawa watu jmn🙏🙏
Mbarikiwe sana waimbaji, kweli " USIOGOPE HATA NJEMBE UKIWA NA YESU MOYONI" Amen
Amen. Nimebarikiwa Sanaa. Usiogope hata chembe kama unaye Yesu moyoni
Nawapenda nyote nyimbo zenu znanibariki sana mungu awape baraka tele na vizaz vyenu vibarikiwe. Ila naomba mtoe albam nyingine Nina ham sana kuiona na kuiskiliza
awesome,,, these kinds of songs make me weak for sure...
Mungu ni mwema.kwakweli nyimbo zenu zinanigusa sana mungu awabariki
Old is gold am just Inlove with this songs 😢😢😢😢😢 mayeGod hear my strength 😢
2020 bado wimbo huu wanibariki
I love this song
I like the song so much ,barikiweni sana.
10 years ago they sang this song jihadhari na mpinga mkristo for now that mpinga mkristo is out everywhere
A lovely song may God bless you
Nawapenda sana Mungu azidi kuwainua kila Siku, kila saa!
Barikiwen sana❤
Mungu awabariki sana watumishi
Amen mmebarikiwa video nimependa zaid,,jins watu wa Mungu wanavyolindwa na jeshi la malaika maana si malaika mmoja ila hatuoni kwa macho ya nyama
Amina Mungu azidi kuwainua kufanya kazi yake, kwa njia ya uimbaji
Amina ! YESU A awabariki sana ! Hallelujha ! Amina 💙🕊🕊🕊🙏
Nawakubali
Macho uwezi ona mungu ndo kimbilio la maisha ni baba wa wote
Kwauwezo wa mungu bado nipo
Mungungu atusaidie wenyewe hatuwez
My love for this song is on another level.
I listen to it thrice a day. It really blesses me, gives me the knowledge to know the spiritual world. Naipenda sana❤❤❤
Mungu ni mwema kwa kila jambo.tumsifu na kumuabudu Amina.
Amina Amina nabarikiwa mno na huuwimbo
Hiki kipindi gospel song zilikuwa na upako...❤❤❤
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu aic chang'ombe, mungu azidi kuwabariki mala dufu
I really like this songs
ameeen
asanteni sana kwa nyimbo Mungu awabariki
Nahii jamani mufanye live 🙏
Mko vizuri sana
kwa macho ya mungu naweza ona haya
Mbarikiwe sana kwa nyimbo zenu"" katika nyimbo ambazo siwezi kuchoka kuiskiliza ni hii.
2023 still my favorite❤❤❤
Huu wimbo unibariki sana aki
asante sana kwa nyimbo yenye mzuri,barakiweni sana,nafarijika sana
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu.... May God bless you
I love these songs like ever..
Asante sana mungu
Song titled '' With Spiritual Eyes'' from the AIC Changombe Vijana Choir of Dar-es-Salaam, Tanzania.
Nawapenda mno aic basitu
nafarijika sana moyoni mwangu ninapo sikiliza nyimbo za dini! kazi njema katika utunzi
Wimbo mzr sanasanaaa
Nabarikiwa saaaan naposkiliza wimbo huuu