🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • 🔴#Live: MTANZANIA ALIYEKWAMA IRAQ KIZA KINENE -MACHOZI YAMTOKA BABA /MWENZAKE ANASIMULIA MKASA MZIMA | MAPITO
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 218

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 Месяц назад

      Kila nikiona habari ya baba nasikitika mie binafsi nipo oman huu mwaka 9 nimemaliza ni hivi uyo binti ni ngumu kurudi ivyo ivyo bila kurudishaa gharama za waliompeleka haijalishi alifanikiwa au laah asilimia kubwa ya maagenti ndo ufanya ivyo hapo kikubwa watafuteni hao maajenti mjue gharama zao wakilipwa uyo dada atasafirishwa kinyume na hapo mtapoteza mawasiliano kabisaa.

  • @elizabethkikoti7265
    @elizabethkikoti7265 Месяц назад +8

    Mnaomshambulia huyu dada mlioko huko nchi za. Wageni mnafanya kazi kwa kumuona Muongo yeye ndo atakua ana matatizo sio vizuri kabisa nyie kama mmepata maboss zenu wenu wazuri mshukuru Mungu tena sana lakin sio kwa kuwapinga wenzenu na kuwaona waongo wanaopata matatizo kun watu wanapata maboss wazuri kuna wengine wanapata maboss sio wazuri lazima watoroke kama unataka kwenda nchi za wenzetu cha kwanza Muombe Mungu akupe boss mwenye upendo na huruma hilo ndo la msingi

    • @musnamohamed4199
      @musnamohamed4199 Месяц назад +2

      Uko sahihi

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 Месяц назад

      Ni kweli kabisa na huyu dada kaongea vizuri tu ❤

    • @SihabaAbdallah-li6dx
      @SihabaAbdallah-li6dx 21 день назад

      Ndo tabia zao vo hua nashangaa San mtu akipata sehemu zzuri 😅stor yoyote wanaion ya uongo

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 25 дней назад +1

    Mungu aniondolee hiyo mitiani.. waendelee kunipenda mpaka mkataba uishe nipo qatar

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Месяц назад +6

    Huyu mzee angesoma Yuko safi sana nimemkubali🎉

    • @AyshaHamis-qw3gi
      @AyshaHamis-qw3gi Месяц назад

      Yaan hata mm namkubalib sana yup vizur mashallah

  • @FatmasaidhamesaHamesa
    @FatmasaidhamesaHamesa Месяц назад +3

    Mimi Niko iraq mwaka w nne maisha ya nje nikuvumiliato mambo y kuwa kunaraha hapana siku vizuri cku kibaya wallah

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 Месяц назад

      Kwakweli mm pia nipo iraq alafu tatizo ni uyo msichana kilakitu kumwambia mzazi

    • @HusnaMtitiko-yt4ru
      @HusnaMtitiko-yt4ru Месяц назад

      ​​@@mirnababy5012tunakaza ndgu yangu tukiongea na wazazi tunajitahidi ku feki furaha 😢

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 Месяц назад

      @@HusnaMtitiko-yt4ru sana ilimladi unapata chako usipo kua mvumilivu ndio ata mwaka umalizi ww unaishi kwa watu mawazo yako umampa mwenyenyumba unaakili kweli

    • @HadijaJoseph-d1g
      @HadijaJoseph-d1g 25 дней назад

      Kweli mengine unayavumilia tu huko nimekaa sasa Niko qatar

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Месяц назад +8

    Wacha niendelee kumshukuru Mungu na kumwombea mwarabu wangu tu yote unayoongea hapo sijayapitia naendelea kuipenda kazi yangu🙏🙏

    • @MaulidiNchasi
      @MaulidiNchasi Месяц назад +1

      Mshukur Allah maana changamoto zipo nying Kwa baadhi ya wengine na Familia zingine za Arabic

    • @HaniffaOmary-v5r
      @HaniffaOmary-v5r Месяц назад

      Hata mm kwakweli Niko omani kabisaa miaka kumi sasa yani naishi kama Niko nyumbani kabisa

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Месяц назад

      Nikweli hata mim warabu baadhi yao ni wazuri nasiyo wote lam ilivo NCHI NYINGINE BINADAM TUKO HIV ILA IRAQI HAPAFAI

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Месяц назад

      ​@@HaniffaOmary-v5rhata mim pia nina miaka 8 niko vizur na mshahara pia mzuri

    • @shamzone388
      @shamzone388 Месяц назад

      Ndio nasema mimi daima jaman tupo oman na kazi na heshimA tunafanya kazi muhimu heshimA
      Ukiwa na heshima na ukijiheshimu na ukiwaheshimu maisha yanaendeleA….mtaka cha mvunguni lazima uiname…

  • @allymwalimu1234
    @allymwalimu1234 Месяц назад +3

    Asalam aliekum poleni sana kwa mitihani mwenyezi mungu atawasaidia in shaa allah

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 Месяц назад +1

    Usiwe na furaha kwa sababu ya mazingira ya nyumbani kwako yalivyo? Tushukuru Mungu kwa tunachojaaliwa. Kuna watu wanaishi maisha magumu zaidi na hawalalamiki wanamshukuru Mungu.

  • @twinkledestar4277
    @twinkledestar4277 Месяц назад +1

    Nchi za Gulf zinataka subrah na uvumilivu na mtu ukiona huna muelekeo shida matatizo msaada wa ubalozini hamna ni vizur kurud nyumbani hatujafukuzwa jaman riski popote kurudi nyumban ndo mwanzo mpyaa Allah atusimamie in Sha Allah

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Месяц назад +2

    Nyie mnaomuona huyu dada muongo mshukurun mungu km mmepata maboss wazur msikatae kuna watu wanapitia changamoto kitanda usicholala hujui kungun wake achen kujiona nyie mmeyapatia maisha maana naona mnatamba mm nimejenga mm nimefanya hv na hv 😂😂😂wapo wanaopitia changamoto na wapo wanaoish vzr

    • @TatoOman-s5t
      @TatoOman-s5t Месяц назад

      Asojua mana usimpe maana mtu kama halijamfika ataongea lolote

    • @twinkledestar4277
      @twinkledestar4277 Месяц назад

      Hakika jaman huku gulf hali ngumu ni kubahatika kupata mtu mzuri waarabu co wenzetu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +1

    Mzee wangu mungu atakufanyia wepes kola kotuy kinamwisho inshaallah

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Месяц назад +3

    Omani poa ❤❤❤❤

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t Месяц назад

    Allah atufanyie wepes Lkn Maajent Dah Mtihan nasisi tutulieni makwetu

  • @zoab2699
    @zoab2699 Месяц назад

    Alhamdulillah kwa kusema ubora wa watu wa oman lkn wafanyakazi wengine hawana shukrani wala ubinadaam

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Месяц назад +1

    Da Zali unasema tu watu tushafanya biashara hd mikono imeota sugu vichwa vinauma kubeba makapu lkn hatujatoboa chuma ulete nao wanataka hapo hapo lkn tupo Oman aah yetu tumeyatatua Alhamdulillah nimeshika hela ht Tz sijashika na sirudi hd mkononi nishike Milioni 7 ndy nione Tz hapo ndy nitatulia maana nishakuwa na kwangu Alhamdulillah

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 11 дней назад

    Inatia huruma sana , nchi ya Tanzania Haina msaada kabisa ,sawa tu na waarabu. Hakuna ubinadamu.😢

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn Месяц назад +1

    Wewe umesoma ndg yangu ndomaana unanenepa mimi niko Oman nasomesha najenga natunza familia yangu,, na Tz nisingeweza dada mimi single mama mwenye watoto 3 wote wanasoma weee Acha tupambane kikubwa tuombeeni tuu

  • @mariayombayomba1606
    @mariayombayomba1606 Месяц назад +2

    Dada kipindi chako ni kizuri sana na kiukweli kabla hujasafiri kwenda nje weka malengo na jikumbushe kwa nn unasafiri, Dada mm nipo Iraq na kuna Watanzania wengi mm nawajua huku waschana wanafanyakazi kwa makengo karibu wote wamejenga wengine bado wanajenga, wananunua mashamba ili wakirudi Tz wajishughulishe na kilimo, sio kila mtu anakaa ofisini kila mara ukija huku ukiwa na nia ya kazi na malengo basi utakaa kazini

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x Месяц назад

      @@mariayombayomba1606 swadakta habibty umeongea point sana

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 16 дней назад

    Lakini madada WA bongo acheni kutukana wenzenu wakati wakisimliya Tesco wanayo pitiya na mtihani wanayo pata katika safari ya kutafuta maisha kama ww uko pazurii shukuru na unyamaze kimyaa unmasking wangu WA Africa isiwi WA kujidhalilisha aibuu

  • @namungolubala1788
    @namungolubala1788 Месяц назад +1

    HAPO MAAGENTE WAKO WANAMTISHIYA NJO KWA MAANA ALISEMA VIDEO IFUTWE NAKWASABABU HILIJAMBO LILISHAKUWA SEREKALINI 🇨🇦

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t Месяц назад

    Asant sana Allah atufungue kwakweli katika nnchi zetu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +1

    Passpot kweli zinachukuliw lakin sim kwa oman hazichukuliw labda huko iraq mungu wangu duuh

  • @musnamohamed4199
    @musnamohamed4199 Месяц назад +3

    Jamani makadama wa Iraq mpo kama mpo tujuane weka laiki

    • @ashurasaidy6568
      @ashurasaidy6568 Месяц назад

      Tupo sana

    • @zaramuneer3257
      @zaramuneer3257 Месяц назад

      Weka group bas

    • @musnamohamed4199
      @musnamohamed4199 Месяц назад

      Mimi niko Iraq nimesha maliza mwaka bado mwaka mmoja niludi Tanzania hiii sitoli imenisikitisha sana sijajua kama kuna watu wanapitia mateso makubwa kiasi hiki

    • @zaramuneer3257
      @zaramuneer3257 Месяц назад

      @@musnamohamed4199 Ebu nipee you’re contact

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 Месяц назад

      Nipoooii

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Месяц назад

    Safi nasra wangu kipendhy umetoa ushiriakiano alhamdulilah

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Месяц назад +1

    Huku kwetu Kenya ajenti twamtafuta mwenyewe na njaa zako mimi niko saudi

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Месяц назад +4

    huyo nasra anaonekana malaya tu wew ushindwe oman, ushindwe dubai, ushindwe na iraq... wew hizo kaz huziwez usisingizie agent

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x Месяц назад +1

      Umeongea point sana habibty watu kama wananijiwa Ni wavivu jaman wasije kufanya kazi nchi za nje matokeo yake ndo haya mtu hujaja kuenjoy huku umekuja kufanya kazi ili ulipwe hakuna kazi za raha ndugu zangu niwambie tu ukweli nina mengi yakuongea lakin naona muda hautoshi😅

    • @AholeLifilima
      @AholeLifilima Месяц назад

      Umejua aje malaya au na ww malaya...watu wanateseka we unaongea pumba

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 Месяц назад

      Kwakweli

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 20 дней назад

      ​@@Oppo-t3s2xtumegongana comment😂

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 20 дней назад

      ​@@Oppo-t3s2xumeniwakilisha ndugu

  • @Husnasalim-f2g
    @Husnasalim-f2g Месяц назад +1

    Nimefanya kazi Oman na Dubai huy anasem Oman wako vizur kwangu kulikuwa majuto kikubwa kuombeana 2 kila taifa linawema na wabaya rafik yangu yup uko Iraq mwaka wa 6 sas alianza Oman kukamshinda kwaiyo kila nchi inamitihan yake Tz hakuna wanaowatesa wafanyakaz jana 2 nimeon video inasambaa Tikitok boss anamzalilisha bint na ni Tanzania eti uchawi basi na ww mchawi ulijuaje angeeni ukwel sio mengin iv mengine ivi

  • @SarahLameck-j4d
    @SarahLameck-j4d Месяц назад

    Wanarogwa tamaaa Majuto mjukuu

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Месяц назад +1

    inawezakana mawakala wana matatizo ila kwa kesi ya huyo dada anaonekana yeye ndo mwenye matatizo

  • @vero57
    @vero57 Месяц назад +1

    Kwanini Tanzania munaruhusu wanaichi kwenda Iraq?????? Wao wenyewe wana shidaa mpaka basii!!! Serikali ya hapa itakua inapewa hongo ndiyo maana wanaruhusu yote hayoooo!!

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n Месяц назад +3

    huyo Salima kwaushauri wangu angerudi kwanza ili baba yake akishamuona atapata baraka za mzazi haru ajipange upya

  • @minalgodlove2363
    @minalgodlove2363 Месяц назад

    Mzee asome surat inshilah bila idadi Allah atawafungua

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 25 дней назад

    Huko napajuwa ubalozo wahukopaka utuluki ila kudristani .hakuna ubalozi .. ila maajenti wanatuongopea wanakwambia unaenda utuliki. Waongo minishafika huko

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Месяц назад +1

    Alafu warabu wote tabiya Yao ni moja

  • @husna34562
    @husna34562 Месяц назад +1

    Salma arudi Iraq mitihan mitupu watu huenda wakakwama na,wakarud wakaenda nch nyengine rzk popote Salma bora oman 🇴🇲

  • @kLaknFXIOLI73acvSSWurw
    @kLaknFXIOLI73acvSSWurw Месяц назад

    YANI INA MAANA IMMIGRATION HAWAWEZI KUMTAFUTA VANESSA MBISE. NA KAENDA NCHI ZA NJE KUPITIA AIRPORT ??? CKU ZINAVYOZIDI KWENDA IMANI NA VYOMBO INAPUNGUA.

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah1595 Месяц назад +1

    Hapa baba unachofanya ni kutwanga maji kwenye kinu ndio una uchungu na mwanao lakin unamuhurumia mtu ambae hajihurumii zaidi anasema anadhalilishwa apo unapoteza mda

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Месяц назад

      Itakuw huyo salim hajitambui

  • @simonsmithajax
    @simonsmithajax Месяц назад

    Pole sana dada

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 Месяц назад

    Msiende huko jamani, kaeni hapa kwenye tu

  • @MerryRenatus-ck4lz
    @MerryRenatus-ck4lz 20 дней назад

    Huyu salma anataka kumuua baba yake kwa presha😢

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Месяц назад

    Poleni ndugu zetu mliopo irag kuna mitikhani sana

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x Месяц назад

      @@khadejakhadeja9713 mitihan gani

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 19 дней назад

    Pole mamiii

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Wanawake ifike mda mjitambue unazaa tuy na wanaume waso jitambuw mnawapa wazazi mtihan kam huu

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t Месяц назад

    Ndug yngu pambana Allah atakufungua japo mikono yako itakupeleka mbali utakavyo jituma

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Yan mtuy alikuja huku hakupata mtaji aje hap apew mtaji w mungu wangu duuh polen wallah

  • @Happy-ef9kf
    @Happy-ef9kf Месяц назад

    Dada zari ulivyo mshauri uyo Dada nimependa ushauriwako sana

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 Месяц назад +1

    MI nimeshangaa yaani inawezakananaje mtu kila nyumba ushindwe hebu kuweni wa kweli

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x Месяц назад

      @@olivanooraladin5436 my hawa ndo wale wavivu wasitaka kutumwa tumwa anataka akae tu kama boss mwisho wa mwezi ukifika anadai mshahara hizi kazi haziitaji mwajiriwa uwe na kiburi kutumwa fanya kile wanuna mara hufanyi inavyo takiwa bas maboss wengi hawataki wafanya kazi visiran na wasio jituma

    • @AishaJanuary
      @AishaJanuary Месяц назад

      Mm kwa Iraq kweli nawatetea waarabu some time ni matatizo yetu tunataka tuishi kwenye nyumba za watu kama kwetu.

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Месяц назад +1

    Salma babayako anakupambani msikilize huwezikupata kaz haliyakua babayako anasikitika rudi halafu utapatakaz nchizingine

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n Месяц назад +3

    yaani dazari nchi zakiarabu changa moto zipo sana

    • @Dafetty
      @Dafetty Месяц назад

      Mie siendi yeyote inchi tofaut na Oman 😊 warabu wa Oman kwa 80% wako pic sana hasa kwenye kula na mshahara wanaga shida😊😊😊

    • @MariamOmary-ep6iv
      @MariamOmary-ep6iv Месяц назад

      😂😂😂Shukuru mungu kipenz kwa kupata seem sahihi basii​@@Dafetty

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +1

    Unakuja oman unaenda dubai una rud ten unaenda iraqi kam sii kuhaha ni nin mie nilikuja 2016 kuja oman nasai bado nipo nimejega kijijin nimejega dar ww ni kuhaha ulihaha hukuw unataka maisha ni kuhanfaika polen mnao haha na miji ya watuy ujinfa mtup

    • @TatoOman-s5t
      @TatoOman-s5t Месяц назад

      Huna kwenu ano haha nani kama sio ww ulo komaa kweny mji wawatu

  • @AliAli-m5k9l
    @AliAli-m5k9l Месяц назад +1

    Na iyo dada muhongo we uho mkorogo kazi iyo kwio

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Месяц назад

      Ni mdogo wangu sio muongo kaongea ukweli

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Месяц назад +1

    Masikitiko ya Baba. Uyu toka mtotowake amekwenda uko ajaona mafanikio yoyote ndio maana. Anaumia na kukosa amani

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Месяц назад

    Hizi mchi zetu hizi kwa vijana wake kuteseka namna hii ni maswala ya kazi tu. Vijana wa Kiafrica hata kutolewa figo na organs nyingine nchi za waarabu kimbe ni rahisi sana. Soo sad

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn Месяц назад

    Eeh Mungu Tusaidie

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Месяц назад

    Huyu Mzee jamani kutunza watoto na uchumi alio nao anateseka

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Месяц назад

    Nchi za kiarabu zote ukivunja mkataba unalipagharama pole Baba mungu ataleta kheri

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Месяц назад

    Baba❤🎉

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Месяц назад

    Iraki sio pazuri utalia kilio cha mamba machozi kwenda na maji poleni sana

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 Месяц назад

    Na tunapokuja huku unakubali yote yaani ni wewe na mungu wako wengi huwa wanajisahau Sana

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s Месяц назад +1

    Huyo dada hataweza fanikiwa baba Hana raha razi za mzazi ni dawa

  • @mwanamnyika4085
    @mwanamnyika4085 Месяц назад +1

    Niko Iraq lakini ukweli usemwe ,hakuna biscuit ya elfu kumi nakataa,kweli tunateseka lakini tuseme ukweli dada kaongea uongo

  • @Monaoom-x5m
    @Monaoom-x5m Месяц назад

    Kutoroka nikosa pia kwenye nchi zawatu kila nchi inasheria zake

  • @Oppo-t3s2x
    @Oppo-t3s2x Месяц назад +1

    Haijatokea mtu kukaa miaka miwili bila kwenda kazin dada umezidi uongo sana wewe umeongea vitu vingi vya uongo muogope mungu wako

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 Месяц назад

      Nyie ndio wale skio lakufa

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Месяц назад

      Nasra sio muongo jaman hiv mnajua alicho pitia yaan Nasra huo sio mwili wake tena sasa hiv ndo kaaza kupendeza alivyo rud nyumban kila siku alikuwa analia dada nitafanyaje mm ili nirud nyumban acha kabisa yaan

    • @BelindaMosha-vs3pc
      @BelindaMosha-vs3pc Месяц назад

      Washa kutengeneza ww ndio maana unakuwa mbishi sana

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Месяц назад

      ​@@BelindaMosha-vs3pc😂😂😂😂😂

  • @mauwaadidaa9994
    @mauwaadidaa9994 Месяц назад +1

    Raha ya oman atamnuniane nabos wako miez hawez kukurudisha ofsn mazal unafanya kaz

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 20 дней назад

      Mm nilijuwa kwangu tu 😂😂😂hawa watu wanapenda kunununa

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Месяц назад

    Omani hakuna matatizo kama ya. Iraq Omani shwari

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Месяц назад +1

    Masikini ashampa mume

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 Месяц назад +1

    Kumbe urabuni ni utumwa tu! OMG

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n Месяц назад +2

    Assalamu Allaaeykumu dadazari hujambo

  • @Adelina.Kagina
    @Adelina.Kagina Месяц назад

    Jamani namshukuru Mungu nipo nafanya Kazi za ndani Italia ninalipwa milioni mbili na laki tisa.yani Maisha mazurii kama Nipo Tz.

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Месяц назад

      Sasa million mbili na laki Tisa unaishije? Maana ghalama za maisha Italy NI juu Sana yaani million2? Au unakula na kulala hapohapo?

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Kabsa ni kujituma tuy wallah

  • @RahmaHamad-x9f
    @RahmaHamad-x9f Месяц назад +1

    Huyu uyo dada ana matatizo irak hateswi mtu labda ujitese mwenyw na uvuvi wko mm Nina mwaka 5 nipo nipo huk sheria zao nazijua vizur km hutak kazi cha moto utakiona kweli

    • @BelindaMosha-vs3pc
      @BelindaMosha-vs3pc Месяц назад

      Sio kila mtu atapata bahati kama yako kama hujapitia hii changamoto tulia mshukuru Mungu. Ukiona mpaka kaja kwenye media ujue kunakitu kapitia sio kila boss ni mzuri

    • @musnamohamed4199
      @musnamohamed4199 Месяц назад

      Nikweri watu wengi sana wanapitia changa moto 🔥🔥🔥💯

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Месяц назад

      Iraq kuna changamoto sana km ww umebahatika shukuru usione wengne waongo kisa ww unaish vzr

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 20 дней назад

      ​@@BelindaMosha-vs3pcunadhani kuna bahati isipokuwa watu wanavumilia tu

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 20 дней назад

      ​@@fathiyahmuzney7367hakuna mtu anaishi vizuri isipokuwa ni uvumilivu

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v Месяц назад

    Apo kweli sadakta

  • @AliAli-m5k9l
    @AliAli-m5k9l Месяц назад +1

    Sarima yuko salama ondoa ofu bwana baba salma yuko salama usiwaze ata mie nipo uku mwaka wa tano changa moto kawaida uku salama amani ipo

    • @user-yr8rn8ge5e
      @user-yr8rn8ge5e Месяц назад

      Acha ujinga wewe salma umemjuwa juzi TU unajifanyaunamjuwa naumeaema una mwaka Wa Tano akili huna mbwa wewe!! Salma katishiwa na pia Kuna dada yupo hapo anatombwa na wakina Mohamed inawezeka a ikawa ni wewe mamayeeeee unauchungu sana kuliko baba ake umeanza wewe matraaako Yako wewe mfyuuuu mwache mwenzio aende kwao akaangalie upepo mwengine huko kumesha mkataaa kwanza kazi za huku Kwa mtu mwenye malengo hawezi kufanikiwa sis tupo huku hutudaganyi kitu mjaa raana wewe

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Месяц назад

    Nyumba za kukaa hata miaka mili hutokezea sio kila nyumba miezi mitatu ipo mwaka miaka miwili hoja agreement

  • @evvyyurek1862
    @evvyyurek1862 Месяц назад +1

    Dada mtangazaji mimi nilikupa namba yangu ya whatssap mboni hunitafuti mimi huko lraq nilishakaa nirirudi kwa miripuko ya mabomu ya siriya

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x Месяц назад

      Nipe namba yako tuwasiliane me pia nipo Iraq

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 Месяц назад

      Mmpia nipo iraq Nashukuru alhamdulilah

  • @LevinaMiteo
    @LevinaMiteo Месяц назад

    Naombeni nitume voic jamn nilivyo nayo mengi

  • @ZenaZena-vx2ee
    @ZenaZena-vx2ee Месяц назад +1

    Dari maajenti wanatujza

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Месяц назад

    Huyu dada ni mswahili mvivu tu anapoenda kuzurula

  • @sharifamahamudu182
    @sharifamahamudu182 Месяц назад

    Jamani ilo la kuuwa naa umetupiga jaman mhhh😮

  • @Mainda-m2c
    @Mainda-m2c Месяц назад

    Mbona kazi zipo jamani,njoeni omani wapenzi ubarozi upo ,nendeni Emirates kazi zipo ubarozi upoo. Mliopo nyumbani ambao mnania ya kutaka kuja huku basi angalieni nchi mnazotaka kwenda ziwe na barozi

  • @ZenaZena-vx2ee
    @ZenaZena-vx2ee Месяц назад +1

    Maisha magum

  • @AliAli-m5k9l
    @AliAli-m5k9l Месяц назад +1

    Waje uku akuna ubaya ubaya ni sisi wenyewe msiiwatishe vijana waje na salma apunguze ukali wa maneno na kuchagua kazi ukija uku kazi kazi acha kutisha wa tu njooeni

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x Месяц назад +1

      Umeona shida wanajitakia wawo sazingine bahna na uvivu pia wachangia kipenz

  • @AishaJanuary
    @AishaJanuary Месяц назад

    Ila ninachoona kila nchi kuna shida zao mm nilikaa Iraq miaka 3 Nashukuru Mungu nilipata watu wazuri sana mpaka sasa napatamani walah niliishi kama mtoto wao.

  • @rahmahafidh9533
    @rahmahafidh9533 Месяц назад

    Jaman sio kwel we mtu mzima wajua kusoma na kuandika vip usijue kusoma tiket yako ama kufanya makubaliano na ajent kabla, ulitaka mwenyewe kwenda kurdistan njaa ilipokupiga bongo😅😅😅😅

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 Месяц назад

    Bibi koma kutaja oman oman ni kuzuri saaaana tena wana waoenda wa Tanzania nani atakusikiya ww mjaamba mavi ww mtangazajii😢😢😢😢

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Месяц назад

      Ni mdogo wangu hajadanganya huyo kesha fanya oman miaka mitatu kaenda dubai kakaa miaka miwili ndo akaunganishwa na mtu kwenda huko iraq na mm dada ake nipo oman

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 25 дней назад

    Asilate tamaa ande omani huyo asikate tamaa

  • @Oppo-t3s2x
    @Oppo-t3s2x Месяц назад +1

    Dada acha uongo wako bahna

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho Месяц назад +1

    Vipi waarabu ni wale wale na hamna mwarabu alie staarabika na ww unasema waarabu wa Oman wazuri hawana shida🤔🤭

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 Месяц назад

      Kabisa mwarabu mwarabu tu akuna Nzuri niww tu mungu alivyokupangia

    • @jasminmohagthari3730
      @jasminmohagthari3730 Месяц назад +1

      Raha ya maboss wa oman ata uchambane nao vipi mtanuniana mwsho wa mwez watakupa mshahara wako wala awana mda wakukuludisha kokote😅

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 Месяц назад

      Kbs yan ​@@jasminmohagthari3730

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Месяц назад

    Baba sasa anaharibu anachokitaka hajakipata anaingiza mada nyingine halafu aombi bali anatoa lawama hiyo sio kauli nzuri kusema wanaingiza watu kwenye mpira washindwe kumsaidia yy aah Mungu amsamehe hajui anachokiongea Allahu Akbar

    • @hadijamohd6028
      @hadijamohd6028 Месяц назад

      Tema mate chini wewe

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Месяц назад

      @@hadijamohd6028 We umeona vizuri lawama anazo toa au awe mpole aombe msaada asaidiwe lkn sio kusema watu

  • @vero57
    @vero57 Месяц назад

    Warda anaendeleaje, dada zai???

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Месяц назад

    Mimi. Nimewekeza mifugo nikitoka Oman kwahuu situmwi tena nimeshakua mjasiliamali

  • @SiwatuSaid
    @SiwatuSaid Месяц назад

    Huyu kapita njia ya panya mkataba hau saini wil uwanja wa ndege una sainiwa taesa

  • @zuenashemdoe6804
    @zuenashemdoe6804 Месяц назад

    Kwenye Hilo jumba Unaweza Kukaa Hata Mwaka

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Wallah huyu mzee angekuw kam wazazi wengine watuy wasingeteswa NCHI ZINGINE HAKUKAA KIMYA KUHUSU MTT WAKE

  • @chantalolumba1873
    @chantalolumba1873 Месяц назад

    Da zari siku nyingi

  • @Abdullah-c9e
    @Abdullah-c9e Месяц назад

    Japan nitafuten mm ninamengi sana san

  • @hamedyahya9291
    @hamedyahya9291 Месяц назад +1

    huyu dada muongo sana vitu vingine anaunda tu yeye hapo alipo anaonekana kuwa simtu wa kazi maneno mengi mno Sasa km ulikuwa hupewi chakula si ungekufa

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Месяц назад

      Muache kuhukumu mtu msio mjua Nasra anajua kaz na hakuna alicho kiongea vyote vipo na kapitia changamoto ni mdogo wangu na hivyo mnavyo muona huo sio mwili wake yaan kateseka na had sasa baba yupo hospitali😢😢😢😢😢😢

    • @user-yr8rn8ge5e
      @user-yr8rn8ge5e Месяц назад

      Hapo ofisen mi nilikaa na hao maajent ndio tabia ya kupiga piga watu na kutembe wanatabia mbaya sana Salma arudishwe hata Kwa nguvu atake asitake, huyo Atakuwa katishiwa hata Crip zake zinaonyesha anafundishwa Cha kuongea salma anapitia changamoto huo ndio ukweri acha kupotosha watu weweeee!!

    • @Yusuf-m7j
      @Yusuf-m7j Месяц назад

      ​@@user-yr8rn8ge5ebora ongea wew mana naonekana muongo natunga

  • @ramaosman8060
    @ramaosman8060 Месяц назад

    This is why we neeed more jobs on our on county's so all this wouldn't happen.

  • @SofiaSofia-qh9wh
    @SofiaSofia-qh9wh Месяц назад

    Iyo Iraq Oman unapewa kabla ya safari

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Месяц назад

    😂😂😂Nakutupa tupa tishu hovyo hovyo wadshenzi Sana watt wao hawajuwi kila siku ni watt