Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Sio muongo ni kweli me mwenyewe nipo Iraq ila ofisi yangu ni mbaya sana atupewi simu 😂😂😂 kwa wiki max 2 kula kwenyewe sasa utacheka ukipata nyumba mbaya ukirudishwa ofisi ajenti wa Iraq anakupiga nyie acheni tyu ni kweli
Kweli Umasikini ni Mbayaa unanyimwa mpa khaki yako unanyimwa, na unafanywa kama Mtumwa, hasa hizi nchi za Middle East na zenye Mwingilano na Middle East, tofauti na nchi za European, haki yako ni lazima kwa kila Binadam ana haki yake, na aitakiwi kuivunja haki ni haki hajalishi Rangi, kabila
Maajaenti wote mbwa tuu wanatamaa ya pesa na wakikusafirisha BC Hana mpango na ww tena ukipata matatzo apambane mwenyewe yaan mungu anawaona hawa maajaenti 😢😢😢
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Hivi Tanzania nchi yenye utajiri lakini hatuna viongozi kutumia utajiri wetu kuwanufaisha wazawa Watanzania kazi kuwapa mikataba ya maliasili zetu wanaojiita wawekezaji wa kigeni
Kabisa my mungu awalipe wa Oman Mimi na wa dogo zangu na dada zangu wote tupo oman Leo mwaka wa 5 na Alhamdulillah tumenadilisha maisha yetu mungu mkubwa na utafanyiye wepesi wapambanaji wote kwa jumla
Tunachoomba arud salama 😢baba km usemavyo maisha magumu kwako bac salma akirud afanye mipango ya kwenda oman tuna ndg zetu oman wanaish salma wanafanya yao ya maana bac salma aende oman alee wanae na afanye mambo yake inshallah
@@ruqaiamohammed345 saana tuu omani nisubra lakini wengi tumefanikisha alhamdulillaah km hushukuru kidogo mungu alicho kujalia tena cha halali haipo sijui pesa ya bwana hakuna ni yakwako ya nguvu zako asikate taamaa natamani nikujue kwao mm mwezi huu 8 narudi kusalimia ninge munganisha na watu wamtafutie kazi masikili alee familia yake ajaribu bahati yake sijui nita mpata vipi omani kuzuri ukishindwa wanakurundisha kwanu uwe muwazi tuu usije kutaka kundaga hii omani ndio waallee walawama hawa wezi kuvumilia kukaa bila mabwana
Yan apo ndo alipokosea na mm uyo dada mm nilimkuta ofisini nilienda kumuacha ndugu yangu anaondoka nilimkuta na nikawapelekea chakula na36 nikampa uyu dada elfu kumi ya uku mununu pedi so wlichokosea mutoroke mbona mm nipo uku m2022 na watu wanamiaka saba uku
Mungu wangu jamn daaaa m/mungu awavushe salama jamn daaaa Ila Maagent miyayusho sana na pia ofisi wa nakupa Sim pale tu ukatapo fika utoe taarifa nyumban polen sana wa pambanaji wenzangu
Siyo uongo visa za Oman ndo unazion za Iraq za ma campuni Dera tena ni ukwel ata mm npo Iraq nilikaa kweny jumb miez 2 bira kazi famchezo nn@@Nurukhamis-j8v
Kiukweli hii nchi nimungu TU anatusimamia ila hii nchi haina ubarozi nahata ukienda police upate bahati sana kwanza mshukuluni mungu mmepata office nzuli jamani kunaofice inapiga huku halafu hakuna wakukutea ndio maana tunakua wapole sana watu tuliopo Iraq Yani tunalindwa na mungu kwasababu mungu ndio anaejua
Jamani Iraqi taratibu zake ufikie ofsini ndio unapata boss so pia ukienda tofauti na ofisi unafungwa miezi miwili lamwaisho hakuna ubarozi. Mimwenyewe nishawahi kwenda nanimerudi baada 2years alhamdulillah
LAWAMA ZOTE KWA SERIKALI YETU YA TANZANIA NA VYOMBO VYAKE VYA USALAMA.....MAWAKALA MATAPELI WANAJULIKANA NA WANAWEZA KABISA KUKAMATWA NA KUSHITAKIWA MAHAKAMANI....LAKUNI INAELEKEA KUNA VIONGOZI NA WATENDAJI NDANI YA VYOMBO HUSIKA WANASHIRIKIANA NA HAO MAWAKALA MATAPELI.
Watu hamna uchungu na watoto wenu unamuuliza usalama wake kitendo cha kumuachia atoke hapa na kwenda huko inaonyesha hujali usalama wa damu yako mzee na utaenda kuulizwa na mwenyezi mungu juu ya madhila anayopitia huyu mama
kosa kubwa liko upande wa hao mabint kutoroka ofsin iraq sio oman... sheria za ile nchi ziko tofauti kabisaa...kiini cha mzozo huu wote ni hao mabint kujifanya wajanja kutoroka kama kuna tatizo ilitakiwa walisolve hapo hapo na sio kutoroka.
Huwezi kumpa amri ya kwamba akae hapo hapo wakati hayuko kwenye mamlaka yako umeshamtoa kwenye miliki yako kule atafanya kile anacho ona kitamnasua kwenye hali alionayo allaah amuepushe na shari
Mtangazaji aliyesomea, hawezi haribu taarifa nzuri kama ya huyo mzee. Tubadirike, Mzee huyo anahaki ya kuilalamikia serikali kwani yote yametendeka chini ya serikali, serikali inawajibu wa kujua Watanzania wote walio nje ya Nchi na hali zao, hivyo itakiwa kuingilia kati hiyo issue siyo huo ujanja janja wa Dalali wao, Pili Mtangazaji kwa faidq yake amekatiza maongezi ya Easter ambayo ni msingi wa habari hiyo, kwann, naue kapewa hela asiibue kinachoendelea kule. Global TV mmefeli kwenye hii issue, kwani mmetioa mianya ya Rushwa. Nanyi ni wala Rushwa sasa.
Magenta wana shida sana kwa kweli hawana utu wanachojua wao kukucharge pesa wakati maboss wanalipa kila kitu na ukeshafika nchi husika hawakushughulii tena wallah kesho kwa mungu watajibu kwa hilo
Mimi nilipokuwa kwenye harakati za kuja ugaibuni niliombani mikataba ya Kazi . Duuuuuuh agent aliniambia kuwa mkataba utaukuta huko kwa bosi kumbe niuongo yaani maagenti ni matapelisana
Utafutaji una mambo mengi cha msingi meendeeni taratibu ajenta maana Iraq .Lebanon. Qatar. Dubai muhimu kuweni na subira hao wsko kwa ajenta huenda yy hakapata boss
Hao maagent wa Tz mungu anawaona wanatusaidia kutusafirisha lkn kwenye usimamiz hawapo kabsa ukimpa pesa tu kama sasa hivyo Laki 5 kinachofatia Hawakusaidii Kbs mtu unateseka mpk basi
Daa baba alivyosikia sauti ya agenti katoa macho na moyo wa matumaini mwanae arudi inauma sana, inabidi maagenti washitakiwe wanawapotezea muda mtu kaacha watoto wanajua mama kaenda kazini hii sio sawa,magenti wao wanalipwa wao wakilipwa wanakuwa kama wanakutupa utajuwa mwenyewe.
Nchini za kiarabu hakika ni nchi za kipagani hazina utu wala dini hakika najivunia kuwa ndani ya kristo YESU ,hakika waarabu siyo watu kabisaaa ,mbona nchi za wazungu pamoja na mabaya yao lakini hawana manyanyazo na watu ila waarabu mbona hawana dini ni wapagani
Huna ulijualo wewe unaongea utoporo tu manyanyaso hayaangalii taifa wala kabila ni huruka ya mtu tu ata ndani ya tz wafanyazi wananyanyaswa sana tu na hao wazungu ndio kabisaa useme wao sheria inawabana
Sio umasikini bali ni tamaa kwani hapa hakuna pesa na yy ni mwanamke mambo ya kutaka kujifanya wapambanaji kama wanaume acha yawakute si mwasema mnaweza haya wezeni wengine wanaenda kuuzwa
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hii yote ni umasikini wetu tupambane ili kunusuru maisha YETU na familia zetu
Pole sana Mzee wangu. Wasichana wakifika Ofisini wananyanganywa simu upewa mara 1 kwa wiki kuwasiliana na ndugu zao
Muongo
Ofice gani muongo mkubwa ww
Sasa mnabisha nini @@Official83640
Sio muongo ni kweli me mwenyewe nipo Iraq ila ofisi yangu ni mbaya sana atupewi simu 😂😂😂 kwa wiki max 2 kula kwenyewe sasa utacheka ukipata nyumba mbaya ukirudishwa ofisi ajenti wa Iraq anakupiga nyie acheni tyu ni kweli
Kweli Umasikini ni Mbayaa unanyimwa mpa khaki yako unanyimwa, na unafanywa kama Mtumwa, hasa hizi nchi za Middle East na zenye Mwingilano na Middle East, tofauti na nchi za European, haki yako ni lazima kwa kila Binadam ana haki yake, na aitakiwi kuivunja haki ni haki hajalishi Rangi, kabila
Maajaenti wote mbwa tuu wanatamaa ya pesa na wakikusafirisha BC Hana mpango na ww tena ukipata matatzo apambane mwenyewe yaan mungu anawaona hawa maajaenti 😢😢😢
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Hivi Tanzania nchi yenye utajiri lakini hatuna viongozi kutumia utajiri wetu kuwanufaisha wazawa Watanzania kazi kuwapa mikataba ya maliasili zetu wanaojiita wawekezaji wa kigeni
Mimi nachoombq ndugu zangu watanzania mkitaka kuja kutafuta bora kuja omani 🇴🇲
Kabisa yaan Oman Ni nchi poa sana
SaanaOman.mashaAllah.wanayoHofu.yamungu.japo.wTuHawafanani@@AishaTarimo-hj2nj
Oman ina aman kusema la haki tupo oman zaid ya miaka 17 tupo tumetulia tuli
Kabisa my mungu awalipe wa Oman Mimi na wa dogo zangu na dada zangu wote tupo oman Leo mwaka wa 5 na Alhamdulillah tumenadilisha maisha yetu mungu mkubwa na utafanyiye wepesi wapambanaji wote kwa jumla
YY pia alijua anakwrnda Oman mbele
Mbele wamebadilisha Safar ila mungu awarudishe salama
Hongerasana baba ww ni baba na nusu❤❤❤❤
Pole sana Baba usijali kila kitu kitakuwa sawa kwa uwezo wa Mungu
Tunachoomba arud salama 😢baba km usemavyo maisha magumu kwako bac salma akirud afanye mipango ya kwenda oman tuna ndg zetu oman wanaish salma wanafanya yao ya maana bac salma aende oman alee wanae na afanye mambo yake inshallah
@@ruqaiamohammed345 saana tuu omani nisubra lakini wengi tumefanikisha alhamdulillaah km hushukuru kidogo mungu alicho kujalia tena cha halali haipo sijui pesa ya bwana hakuna ni yakwako ya nguvu zako asikate taamaa natamani nikujue kwao mm mwezi huu 8 narudi kusalimia ninge munganisha na watu wamtafutie kazi masikili alee familia yake ajaribu bahati yake sijui nita mpata vipi omani kuzuri ukishindwa wanakurundisha kwanu uwe muwazi tuu usije kutaka kundaga hii omani ndio waallee walawama hawa wezi kuvumilia kukaa bila mabwana
@@ruqaiamohammed345 Ndugu yangu hamna nchi isiyo kosa changamoto zaidi yakuwa na subra tu kama ameshindwa kuvumilia Iraq Oman atapaweza.....?
@@user-jz1ee9cg2znakwanini atoroke Ofisini
@@user-jz1ee9cg2z inshallah
Mm nipo uku miaka 8
Maajent uwa wasumbufu sana awana msaada wowote ukipata shida ukiwaambia awana ushirikiano
Mi nikiona viza tu Iraq 🇮🇶 walahi natoroka jmn😢😢😢bora amani
So kutoroka viza ikija inaonyesha kabisa unaenda wapi sema yy pia asingeenda kabisa kupanda ndege
@@Ayuminchasisindoapo sasa kwanini kashafika nchini kwawatu ndo katoroka
@@Nurukhamis-j8v s kutoroka wanatafuta njia ya kujinasua
Pole sana Baba etu Mwenyzi Mungu atamfanyia wepesi mwanao atarudi salama
Watanzania tuwemakini sana namaajenti wao wanajali pesa tu 😢😢 anateseka umefanikiwa utajua mwenyewe
HIVI HAO MAAJENTIY WANAA AKILI NGANI UNAMPELEKA MTU SEHEMU AMBAYO HUIJUI NI MTIHANI SANA WAALLAAH
Ungeuliza kwaza hakupewa viza akasoma akajuwa anaenda nchi gani
Duu jamani mdogo wangu mungu atakusaidia maana mtiañi
Watarudi Inshaallah wamengekua awapo Salama wasingetumia cm so wapo Salama Iyo kutoroka Ndio mbaya wangetulia wangepatiwa kazi
Yan apo ndo alipokosea na mm uyo dada mm nilimkuta ofisini nilienda kumuacha ndugu yangu anaondoka nilimkuta na nikawapelekea chakula na36 nikampa uyu dada elfu kumi ya uku mununu pedi so wlichokosea mutoroke mbona mm nipo uku m2022 na watu wanamiaka saba uku
@@sharifamahamudu182ww uko nch gani?
@@GeorgeAkasha-zx2rj Iraq mwaka 3
@@GeorgeAkasha-zx2rj na uyo dada na namjua nimemuonea ofisini na nilimpa elfu kumi nilienda kumuaga ndugu yangu anaondoka tz
@@sharifamahamudu182 Kongole sana madaamu, sisi tunafikiri ni vita tu muda wote huko
Ma Agent wanadanganya eti Uturuk kumbe Iraq ukitumiwa Visa ndo unagundua Yaani Ma Agent wa Tz ni shida tu ukipata boss mzuri shukuru Mungu
Sio Tanzania pekee 😢hata kenya
@@husna34562ndo hivyo ndg yangu
Mungu wangu jamn daaaa m/mungu awavushe salama jamn daaaa Ila Maagent miyayusho sana na pia ofisi wa nakupa Sim pale tu ukatapo fika utoe taarifa nyumban polen sana wa pambanaji wenzangu
Iraq so nchi nimeenda nimekutana na watu wanaroho mbaya nashukuru nimemaliza kwa subra nimerudi salama tz saivi niko omani sina ham na iraq
Oman ndy sehemu salama kwingine kote mtadanganyika wadada yaani Oman japo ubalozi mpya wanasumbua lkn Alhamdulillah mshahara unakidhi haja zetu
Tupe namba zake tupo watanzania huku Iraq ni tuna miaka mingi
Mbona namba zote wamezitoa piga utapata mawasiliano Mwenyezi Mungu akubariki
Ndugu mlioko uko Iraq sehem salama wasaidien Wa Tanzania wenzetu wanaotaabika wawe salama Mungu atawabariki sana
Eeeeeh watupee numbar kama sisi wakenya tutume salamu kama sisi wakenya mbona watakoma tupee numbar
Mm pia nipo Iraq nashukuru MUNGU naishi Kwa Aman @@user-mu1uf2rl4x
Allah awafanyie wepesi in shaa Allah
Babu MashaaAllah. Unaongea vizuri.
Human trafficking, huyo agency akamatwe!!!
Niuzembe wa mfanyakazi si ajenti kwanini atoroke Ofisini
Mtihani Mkubwa
Swali linakuja visa na tiketi vimeandikwa anakwenda nchi gani kwani hajuwi kusoma au alichekelea kupanda ndege,
Wanakupa siku unasafiri na wanakupa air port Wana janja janja
@@ShukranMwakyambomuongo viza unapewa kabla ya safari
Siyo uongo visa za Oman ndo unazion za Iraq za ma campuni Dera tena ni ukwel ata mm npo Iraq nilikaa kweny jumb miez 2 bira kazi famchezo nn@@Nurukhamis-j8v
Hao hawajasafirishwa kwa kihalali huenda ht hawakupewa makaratasi waliambiwa tu safr twendeni
Sio kwel wanakupa eapot kila kitu kila ajent na alivo
Kiukweli hii nchi nimungu TU anatusimamia ila hii nchi haina ubarozi nahata ukienda police upate bahati sana kwanza mshukuluni mungu mmepata office nzuli jamani kunaofice inapiga huku halafu hakuna wakukutea ndio maana tunakua wapole sana watu tuliopo Iraq Yani tunalindwa na mungu kwasababu mungu ndio anaejua
Wee acha tu
Nichangamoto kusema kweli mungu awashindie
Hongera baba ❤❤
Yupo iraq sehem gani mm nipo iraq
Labda uchukue picha usambaze huwenda wengine wanamjua
Huyu dada tulisafiri wote siku moja
Ofisi ipo barktayar ata mm nimetokea kwenye hiyo ofis na ninamwaka 3 uku iraq
@@sharifamahamudu182 Mm pia lraq Nipo mwaka w3unaenda 4
Majent mungu anawaona wakisha kumtoa mtu hawajali
Poleni wanafamilia watarudi
Jamani Iraqi taratibu zake ufikie ofsini ndio unapata boss so pia ukienda tofauti na ofisi unafungwa miezi miwili lamwaisho hakuna ubarozi. Mimwenyewe nishawahi kwenda nanimerudi baada 2years alhamdulillah
LAWAMA ZOTE KWA SERIKALI YETU YA TANZANIA NA VYOMBO VYAKE VYA USALAMA.....MAWAKALA MATAPELI WANAJULIKANA NA WANAWEZA KABISA KUKAMATWA NA KUSHITAKIWA MAHAKAMANI....LAKUNI INAELEKEA KUNA VIONGOZI NA WATENDAJI NDANI YA VYOMBO HUSIKA WANASHIRIKIANA NA HAO MAWAKALA MATAPELI.
Watu hamna uchungu na watoto wenu unamuuliza usalama wake kitendo cha kumuachia atoke hapa na kwenda huko inaonyesha hujali usalama wa damu yako mzee na utaenda kuulizwa na mwenyezi mungu juu ya madhila anayopitia huyu mama
Mtazame huyo mzee umri wake kisha ndy ulaumu tupo nje miaka tele na tunajali familia zetu huyo lengo lilikuwa ni kz za ndani na sio unachokiwaza ww
Pole
Mungu wangu duuh
Asalamu alaykum baba naomba unitumie namba ya mwanao na mm nipo iraq plze niko bilimoso
Dah Allah atufanyie wepes kwa kweli😢
Oman hakuna shida ww mjinga mtangazaji ww mwehu oman hakuna shida yoyote ❤
Muhimu kutizama ticket yako ujue unakwenda wapi
huyo Mohammed mwenye hiyo office alipofkia huyo bint number yake ya cm ninayo....
kosa kubwa liko upande wa hao mabint kutoroka ofsin iraq sio oman... sheria za ile nchi ziko tofauti kabisaa...kiini cha mzozo huu wote ni hao mabint kujifanya wajanja kutoroka kama kuna tatizo ilitakiwa walisolve hapo hapo na sio kutoroka.
Tarehe 28 ya mwezi wangapi
Kwa Nini Hawa maajjent Kwa Nini wasikamatwe wawarudishe nyumbani.hao wanao wasitakiwe,na serikali ipigwe marufuku kusafirisha kutupotezea watoto.tuangalie yanayo wakuta watateseka,wanarudi walienda wanatembea kinyume wanarudi vichas,wagonjwa,wameisha poteza uhai.inauma sana.lazima lipigiwe kelele sana sana.kuwsnyanganya vielelezo vyote wananyanganywa.huko hakuna utu kabisa,jamani uyasikie.wanateseka.sheria za Nch usipo kuwa na pass huna vielelezo lazima ukae ndani.
Ila swali langu kwanini wanawapora pass port hiyo inaonekana kwamba wanaweza kukufanyia chochote
Hakuna anae kwenda kuchukuliwa nyumbani kwao akasafiriswa wote huwatafuta maajenti wenyewe
Omani ipo vizur ❤❤❤
Sema ubalozi upo Yemeni saudia hindia na endonesia
hivi unapouliza maswali unafanyaga hata research?tangu lini iraq kukawa na balozi wa tanzania?
Wanauzwa watumwa mutakoma mababu music kuwa naakilii.
Mhh da Zali Huyo ajet muongo
Masikini pole ila nchi nyingi hatuna ubalozi hata kugonga viza ni shida tupu😢😢
Sasa unaondoka pahala bila ya passport?
Akili😂awana
Namjua huyu dada jamani wote wa huko Mtoni Mtongani 😢.
Iraq ubaloz wa tz hamna naskia
Huwezi kumpa amri ya kwamba akae hapo hapo wakati hayuko kwenye mamlaka yako umeshamtoa kwenye miliki yako kule atafanya kile anacho ona kitamnasua kwenye hali alionayo allaah amuepushe na shari
Sasa nawewe mtangazaji watu wamefungiwa watajuaje ubalozi 😅
Sasa we mtangazaji kwann umemkatisha esta
Na ww mtangazaji umeshidwa kumuuliza huyo argent Kwann unawaambia wanaenda oman alafu unawapeleka nchi nyengine? Kamata argent ana kesi ya kujibu
Agent mwenyewe alivyo sema awezi kuongea chochote swala liko wizarani labda ndio maana hakuendelea kuhoji zaid
Sawa
Jamani dunia hii , hata mimi nilidanganywa
Ni maumivu pole mzee, lakini nakuomba mtangazaji baada ya hiki kipindi mtafute Agent tumuone kwenye kipindi chako tutayajua mengi
Hapo mliweka na ushabiki wa dini.....hao waarabu hamuwajui. Huyo dada mawasiliano alipata wapi......
Nikweli, iraq Hamna ubarozi wa tz,
Babumzima unatowa mtoto wakike kwenda ugaibuni hizopesa zakumpa agent ungefungulia biashara.
nikweli iraq nikugumu san mim mwenyew niko huku nilikaa ofisin mwezi na siku 10 ila alihamdulilah nilipata kazi sas nina miaka 3 namaliza mwakan
Wao hawakuwa na sbra walitoroka kabla hawajapata mabosi tulikua Ofisini moja naao
Aisee mtihani kweli subra inahitajik San kwakila jamb kwahy we ulipat kazi
Iyo miajent mishenzi km nini ukipat matatzo hailusaidiii mbwa awa
Kosa la kwanza walitoroka iraq wanashelia Kali sana wapo sehemu gani maana nipo Iraq mwaka wa nne
Basi mtafute mwenzio
Kwa hiyo hiyo tiket yake hakuoneshwa anaenda wapi
@@FatimaAli-of4gh namtafutia wapi Iraq unafakiri kama Tanzania hao wasichana wana matatizo
Falme za kiarabu mtafute mwenzio io kuonana tu insh@@FatimaAli-of4gh
Mm pia nipo iraq mwaka3
@@sharifabahar9905matatizo tena makubwa kwann watoroke ofisini
Mtangazaji aliyesomea, hawezi haribu taarifa nzuri kama ya huyo mzee. Tubadirike, Mzee huyo anahaki ya kuilalamikia serikali kwani yote yametendeka chini ya serikali, serikali inawajibu wa kujua Watanzania wote walio nje ya Nchi na hali zao, hivyo itakiwa kuingilia kati hiyo issue siyo huo ujanja janja wa Dalali wao, Pili Mtangazaji kwa faidq yake amekatiza maongezi ya Easter ambayo ni msingi wa habari hiyo, kwann, naue kapewa hela asiibue kinachoendelea kule. Global TV mmefeli kwenye hii issue, kwani mmetioa mianya ya Rushwa. Nanyi ni wala Rushwa sasa.
Magenta wana shida sana kwa kweli hawana utu wanachojua wao kukucharge pesa wakati maboss wanalipa kila kitu na ukeshafika nchi husika hawakushughulii tena wallah kesho kwa mungu watajibu kwa hilo
Maajenti
Number yake ya cm nimsaidie alud
Namimi namalizia huku nitoke nipo mpakani na uturki
Bada huyu bint ungempeleka shule kuliko kumruhusu kwenda huko niletee nimuoe yangu ni hayo
Mimi nilipokuwa kwenye harakati za kuja ugaibuni niliombani mikataba ya Kazi . Duuuuuuh agent aliniambia kuwa mkataba utaukuta huko kwa bosi kumbe niuongo yaani maagenti ni matapelisana
0FFECEN hapo mimi nimekaa miaka miwili na miezin3
Kazi zipo ila tunakua wengi nchi tofauti
Utafutaji una mambo mengi cha msingi meendeeni taratibu ajenta maana Iraq .Lebanon. Qatar. Dubai muhimu kuweni na subira hao wsko kwa ajenta huenda yy hakapata boss
Fahadi ndi zake uyo😢😢ata mm nipo iraq 🇮🇶
Duuu pole huyo Fahad Ni mtihan
Hao maagent wa Tz mungu anawaona wanatusaidia kutusafirisha lkn kwenye usimamiz hawapo kabsa ukimpa pesa tu kama sasa hivyo Laki 5 kinachofatia Hawakusaidii Kbs mtu unateseka mpk basi
Kweli kabsa watuy wawe makon wallah mtihan
Daa baba alivyosikia sauti ya agenti katoa macho na moyo wa matumaini mwanae arudi inauma sana, inabidi maagenti washitakiwe wanawapotezea muda mtu kaacha watoto wanajua mama kaenda kazini hii sio sawa,magenti wao wanalipwa wao wakilipwa wanakuwa kama wanakutupa utajuwa mwenyewe.
Mbona hata omn wanawekwa ndani ukikosea
kweli hakuna ubalozi 😢😢
Iraq hakuna uhaloz wa tazania nikweli mm nipo huku mwakawa6 hakuna uhaloz huku ukipata tatzo wajisimamia mwenyewe
Upo mji gani mie nipo sulemaniya Iraq mwaka wa 6
Mm nipo dream city karibu na empire
@@NuruBombamm mwaka3 iraq
Nchini za kiarabu hakika ni nchi za kipagani hazina utu wala dini hakika najivunia kuwa ndani ya kristo YESU ,hakika waarabu siyo watu kabisaaa ,mbona nchi za wazungu pamoja na mabaya yao lakini hawana manyanyazo na watu ila waarabu mbona hawana dini ni wapagani
Huna ulijualo wewe unaongea utoporo tu manyanyaso hayaangalii taifa wala kabila ni huruka ya mtu tu ata ndani ya tz wafanyazi wananyanyaswa sana tu na hao wazungu ndio kabisaa useme wao sheria inawabana
Kwa taarifa yako.hao wanzungu unaojinasibu nao wengi wao wameshasilim.
papa aliyeruhusu ushoga naye ni muisilamu pia
Mashariki ya mbali sithubutu kuna mwarabu alitaka niende Kuwait niligoma kabisa
Isije ikawa ni human trafficking for human organs harvesting.
Sio umasikini bali ni tamaa kwani hapa hakuna pesa na yy ni mwanamke mambo ya kutaka kujifanya wapambanaji kama wanaume acha yawakute si mwasema mnaweza haya wezeni wengine wanaenda kuuzwa
Ni sauda na rozi limefikia wapi mwanangu zariamu?
Hata ubaloz ungekuwepo wasingemsaidia,balozi za tanzania nyingi hazina msaada kwa watz pindi wakipata matatizo nje ya nchi
Uyo ajent fahad km namjua miyayusho mno
Tunaishi wafanyakazi tu
Naona katengeneza paspoti ya omani kumbe wamemteka
Mi naona wa tz haijambo, jamani Kenya wana kipindi kabisa cha Gulf Saga, ni Hatare na nusu, kwa kifupi Arabuni ni mtihani bora kwenda ulaya
Mzee yupo serikalini ahaaaahaa
Kwasababu nchi ya vita mimi niliishi kurdstan IRAQ
Naijua vizuri IRAQ hawana shida lakini
Uvumilivu tu nchi zote maisha uvimilivu
Mimi nilianza 0man nikaenda IRAQ sasa hivi nipo Dubai sharjaa
Alikuwa anaenda uturuki au alikuwa anaenda Oman? Mbona siku faham hapo
Aliahidiwa Oman.....akaambiwa anaenda uturuki lkn baadae kapelekwa Iran
Naomba no yako ya wsp zariamu
Mimi sasahivi niko Dubai
Miaka 37 ni bint mbona hamjui umri wa kuitwa bint