MTANZANIA AKWAMA IRAQ - BABA'KE ADAI ALIDANGANYWA ANAPELEKWA UTURUKI -AGENT ALIYEMSAFIRISHA AFAFANUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 296

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +8

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Месяц назад +18

    Hii yote ni umasikini wetu tupambane ili kunusuru maisha YETU na familia zetu

  • @happynesbaemuhappynes8813
    @happynesbaemuhappynes8813 Месяц назад +10

    Pole sana Mzee wangu. Wasichana wakifika Ofisini wananyanganywa simu upewa mara 1 kwa wiki kuwasiliana na ndugu zao

    • @Nurukhamis-j8v
      @Nurukhamis-j8v Месяц назад

      Muongo

    • @Official83640
      @Official83640 Месяц назад

      Ofice gani muongo mkubwa ww

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 Месяц назад

      Sasa mnabisha nini ​@@Official83640

    • @user-er5ld7ft6k
      @user-er5ld7ft6k Месяц назад +1

      Sio muongo ni kweli me mwenyewe nipo Iraq ila ofisi yangu ni mbaya sana atupewi simu 😂😂😂 kwa wiki max 2 kula kwenyewe sasa utacheka ukipata nyumba mbaya ukirudishwa ofisi ajenti wa Iraq anakupiga nyie acheni tyu ni kweli

    • @corrolesscps
      @corrolesscps Месяц назад

      Kweli Umasikini ni Mbayaa unanyimwa mpa khaki yako unanyimwa, na unafanywa kama Mtumwa, hasa hizi nchi za Middle East na zenye Mwingilano na Middle East, tofauti na nchi za European, haki yako ni lazima kwa kila Binadam ana haki yake, na aitakiwi kuivunja haki ni haki hajalishi Rangi, kabila

  • @user-mw5qr3ct8k
    @user-mw5qr3ct8k Месяц назад +4

    Maajaenti wote mbwa tuu wanatamaa ya pesa na wakikusafirisha BC Hana mpango na ww tena ukipata matatzo apambane mwenyewe yaan mungu anawaona hawa maajaenti 😢😢😢

  • @hbdina
    @hbdina Месяц назад +8

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Hivi Tanzania nchi yenye utajiri lakini hatuna viongozi kutumia utajiri wetu kuwanufaisha wazawa Watanzania kazi kuwapa mikataba ya maliasili zetu wanaojiita wawekezaji wa kigeni

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Месяц назад +11

    Mimi nachoombq ndugu zangu watanzania mkitaka kuja kutafuta bora kuja omani 🇴🇲

    • @AishaTarimo-hj2nj
      @AishaTarimo-hj2nj Месяц назад

      Kabisa yaan Oman Ni nchi poa sana

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt Месяц назад

      SaanaOman.mashaAllah.wanayoHofu.yamungu.japo.wTuHawafanani​@@AishaTarimo-hj2nj

    • @shamzone388
      @shamzone388 Месяц назад +2

      Oman ina aman kusema la haki tupo oman zaid ya miaka 17 tupo tumetulia tuli

    • @user-qb4cv7hs1o
      @user-qb4cv7hs1o Месяц назад +1

      Kabisa my mungu awalipe wa Oman Mimi na wa dogo zangu na dada zangu wote tupo oman Leo mwaka wa 5 na Alhamdulillah tumenadilisha maisha yetu mungu mkubwa na utafanyiye wepesi wapambanaji wote kwa jumla

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 Месяц назад +1

      YY pia alijua anakwrnda Oman mbele
      Mbele wamebadilisha Safar ila mungu awarudishe salama

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Месяц назад +3

    Hongerasana baba ww ni baba na nusu❤❤❤❤

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Месяц назад +3

    Pole sana Baba usijali kila kitu kitakuwa sawa kwa uwezo wa Mungu

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Месяц назад +8

    Tunachoomba arud salama 😢baba km usemavyo maisha magumu kwako bac salma akirud afanye mipango ya kwenda oman tuna ndg zetu oman wanaish salma wanafanya yao ya maana bac salma aende oman alee wanae na afanye mambo yake inshallah

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 Месяц назад

      @@ruqaiamohammed345 saana tuu omani nisubra lakini wengi tumefanikisha alhamdulillaah km hushukuru kidogo mungu alicho kujalia tena cha halali haipo sijui pesa ya bwana hakuna ni yakwako ya nguvu zako asikate taamaa natamani nikujue kwao mm mwezi huu 8 narudi kusalimia ninge munganisha na watu wamtafutie kazi masikili alee familia yake ajaribu bahati yake sijui nita mpata vipi omani kuzuri ukishindwa wanakurundisha kwanu uwe muwazi tuu usije kutaka kundaga hii omani ndio waallee walawama hawa wezi kuvumilia kukaa bila mabwana

    • @user-jz1ee9cg2z
      @user-jz1ee9cg2z Месяц назад +1

      @@ruqaiamohammed345 Ndugu yangu hamna nchi isiyo kosa changamoto zaidi yakuwa na subra tu kama ameshindwa kuvumilia Iraq Oman atapaweza.....?

    • @Nurukhamis-j8v
      @Nurukhamis-j8v Месяц назад

      ​@@user-jz1ee9cg2znakwanini atoroke Ofisini

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Месяц назад

      @@user-jz1ee9cg2z inshallah

    • @afrahoman2844
      @afrahoman2844 Месяц назад

      Mm nipo uku miaka 8

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Месяц назад +3

    Maajent uwa wasumbufu sana awana msaada wowote ukipata shida ukiwaambia awana ushirikiano

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Месяц назад +5

    Mi nikiona viza tu Iraq 🇮🇶 walahi natoroka jmn😢😢😢bora amani

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi Месяц назад +1

      So kutoroka viza ikija inaonyesha kabisa unaenda wapi sema yy pia asingeenda kabisa kupanda ndege

    • @Nurukhamis-j8v
      @Nurukhamis-j8v Месяц назад

      ​@@Ayuminchasisindoapo sasa kwanini kashafika nchini kwawatu ndo katoroka

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi Месяц назад

      @@Nurukhamis-j8v s kutoroka wanatafuta njia ya kujinasua

  • @OtiliaPius-dr1be
    @OtiliaPius-dr1be Месяц назад +1

    Pole sana Baba etu Mwenyzi Mungu atamfanyia wepesi mwanao atarudi salama

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 Месяц назад +2

    Watanzania tuwemakini sana namaajenti wao wanajali pesa tu 😢😢 anateseka umefanikiwa utajua mwenyewe

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Месяц назад +6

    HIVI HAO MAAJENTIY WANAA AKILI NGANI UNAMPELEKA MTU SEHEMU AMBAYO HUIJUI NI MTIHANI SANA WAALLAAH

    • @Nurukhamis-j8v
      @Nurukhamis-j8v Месяц назад

      Ungeuliza kwaza hakupewa viza akasoma akajuwa anaenda nchi gani

  • @user-ym6ts2tb1i
    @user-ym6ts2tb1i Месяц назад +1

    Duu jamani mdogo wangu mungu atakusaidia maana mtiañi

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Месяц назад +5

    Watarudi Inshaallah wamengekua awapo Salama wasingetumia cm so wapo Salama Iyo kutoroka Ndio mbaya wangetulia wangepatiwa kazi

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 Месяц назад

      Yan apo ndo alipokosea na mm uyo dada mm nilimkuta ofisini nilienda kumuacha ndugu yangu anaondoka nilimkuta na nikawapelekea chakula na36 nikampa uyu dada elfu kumi ya uku mununu pedi so wlichokosea mutoroke mbona mm nipo uku m2022 na watu wanamiaka saba uku

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Месяц назад

      ​@@sharifamahamudu182ww uko nch gani?

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 Месяц назад

      @@GeorgeAkasha-zx2rj Iraq mwaka 3

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 Месяц назад

      @@GeorgeAkasha-zx2rj na uyo dada na namjua nimemuonea ofisini na nilimpa elfu kumi nilienda kumuaga ndugu yangu anaondoka tz

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Месяц назад

      @@sharifamahamudu182 Kongole sana madaamu, sisi tunafikiri ni vita tu muda wote huko

  • @happynesbaemuhappynes8813
    @happynesbaemuhappynes8813 Месяц назад +4

    Ma Agent wanadanganya eti Uturuk kumbe Iraq ukitumiwa Visa ndo unagundua Yaani Ma Agent wa Tz ni shida tu ukipata boss mzuri shukuru Mungu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Месяц назад +4

    Mungu wangu jamn daaaa m/mungu awavushe salama jamn daaaa Ila Maagent miyayusho sana na pia ofisi wa nakupa Sim pale tu ukatapo fika utoe taarifa nyumban polen sana wa pambanaji wenzangu

  • @FaudhiaMchunga
    @FaudhiaMchunga Месяц назад +4

    Iraq so nchi nimeenda nimekutana na watu wanaroho mbaya nashukuru nimemaliza kwa subra nimerudi salama tz saivi niko omani sina ham na iraq

  • @Official83640
    @Official83640 Месяц назад

    Oman ndy sehemu salama kwingine kote mtadanganyika wadada yaani Oman japo ubalozi mpya wanasumbua lkn Alhamdulillah mshahara unakidhi haja zetu

  • @NuruBomba
    @NuruBomba Месяц назад +6

    Tupe namba zake tupo watanzania huku Iraq ni tuna miaka mingi

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 Месяц назад +1

      Mbona namba zote wamezitoa piga utapata mawasiliano Mwenyezi Mungu akubariki

    • @user-mu1uf2rl4x
      @user-mu1uf2rl4x Месяц назад +2

      Ndugu mlioko uko Iraq sehem salama wasaidien Wa Tanzania wenzetu wanaotaabika wawe salama Mungu atawabariki sana

    • @miriamvihenda7408
      @miriamvihenda7408 Месяц назад

      Eeeeeh watupee numbar kama sisi wakenya tutume salamu kama sisi wakenya mbona watakoma tupee numbar

    • @salmasalam3268
      @salmasalam3268 Месяц назад

      Mm pia nipo Iraq nashukuru MUNGU naishi Kwa Aman ​@@user-mu1uf2rl4x

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 Месяц назад

    Allah awafanyie wepesi in shaa Allah

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r Месяц назад

    Babu MashaaAllah. Unaongea vizuri.

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 Месяц назад +8

    Human trafficking, huyo agency akamatwe!!!

    • @Nurukhamis-j8v
      @Nurukhamis-j8v Месяц назад

      Niuzembe wa mfanyakazi si ajenti kwanini atoroke Ofisini

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Месяц назад +2

    Mtihani Mkubwa

  • @user-gu8wv4bn4o
    @user-gu8wv4bn4o Месяц назад +6

    Swali linakuja visa na tiketi vimeandikwa anakwenda nchi gani kwani hajuwi kusoma au alichekelea kupanda ndege,

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo Месяц назад +2

      Wanakupa siku unasafiri na wanakupa air port Wana janja janja

    • @Nurukhamis-j8v
      @Nurukhamis-j8v Месяц назад +1

      ​@@ShukranMwakyambomuongo viza unapewa kabla ya safari

    • @salmasalam3268
      @salmasalam3268 Месяц назад

      Siyo uongo visa za Oman ndo unazion za Iraq za ma campuni Dera tena ni ukwel ata mm npo Iraq nilikaa kweny jumb miez 2 bira kazi famchezo nn​@@Nurukhamis-j8v

    • @asiaisaka2898
      @asiaisaka2898 Месяц назад

      Hao hawajasafirishwa kwa kihalali huenda ht hawakupewa makaratasi waliambiwa tu safr twendeni

    • @user-dg4zc2un1y
      @user-dg4zc2un1y Месяц назад

      Sio kwel wanakupa eapot kila kitu kila ajent na alivo

  • @RehemaMohamedi
    @RehemaMohamedi Месяц назад +2

    Kiukweli hii nchi nimungu TU anatusimamia ila hii nchi haina ubarozi nahata ukienda police upate bahati sana kwanza mshukuluni mungu mmepata office nzuli jamani kunaofice inapiga huku halafu hakuna wakukutea ndio maana tunakua wapole sana watu tuliopo Iraq Yani tunalindwa na mungu kwasababu mungu ndio anaejua

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 Месяц назад +1

    Nichangamoto kusema kweli mungu awashindie

  • @mwanamwana8149
    @mwanamwana8149 Месяц назад +1

    Hongera baba ❤❤

  • @abedsaidy7263
    @abedsaidy7263 Месяц назад +6

    Yupo iraq sehem gani mm nipo iraq

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Месяц назад +1

      Labda uchukue picha usambaze huwenda wengine wanamjua

    • @user-jz1ee9cg2z
      @user-jz1ee9cg2z Месяц назад

      Huyu dada tulisafiri wote siku moja

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 Месяц назад +1

      Ofisi ipo barktayar ata mm nimetokea kwenye hiyo ofis na ninamwaka 3 uku iraq

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 Месяц назад

      @@sharifamahamudu182 Mm pia lraq Nipo mwaka w3unaenda 4

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v Месяц назад

    Majent mungu anawaona wakisha kumtoa mtu hawajali

  • @ZaitunSeif
    @ZaitunSeif Месяц назад

    Poleni wanafamilia watarudi

  • @MwanahawaSaid-z9e
    @MwanahawaSaid-z9e Месяц назад

    Jamani Iraqi taratibu zake ufikie ofsini ndio unapata boss so pia ukienda tofauti na ofisi unafungwa miezi miwili lamwaisho hakuna ubarozi. Mimwenyewe nishawahi kwenda nanimerudi baada 2years alhamdulillah

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Месяц назад +2

    LAWAMA ZOTE KWA SERIKALI YETU YA TANZANIA NA VYOMBO VYAKE VYA USALAMA.....MAWAKALA MATAPELI WANAJULIKANA NA WANAWEZA KABISA KUKAMATWA NA KUSHITAKIWA MAHAKAMANI....LAKUNI INAELEKEA KUNA VIONGOZI NA WATENDAJI NDANI YA VYOMBO HUSIKA WANASHIRIKIANA NA HAO MAWAKALA MATAPELI.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Месяц назад

    Watu hamna uchungu na watoto wenu unamuuliza usalama wake kitendo cha kumuachia atoke hapa na kwenda huko inaonyesha hujali usalama wa damu yako mzee na utaenda kuulizwa na mwenyezi mungu juu ya madhila anayopitia huyu mama

    • @Official83640
      @Official83640 Месяц назад +1

      Mtazame huyo mzee umri wake kisha ndy ulaumu tupo nje miaka tele na tunajali familia zetu huyo lengo lilikuwa ni kz za ndani na sio unachokiwaza ww

  • @AnatoriaRwabatwa
    @AnatoriaRwabatwa Месяц назад

    Pole

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Mungu wangu duuh

  • @RahmaHamad-x9f
    @RahmaHamad-x9f Месяц назад

    Asalamu alaykum baba naomba unitumie namba ya mwanao na mm nipo iraq plze niko bilimoso

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v Месяц назад

    Dah Allah atufanyie wepes kwa kweli😢

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 Месяц назад

    Oman hakuna shida ww mjinga mtangazaji ww mwehu oman hakuna shida yoyote ❤

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk Месяц назад

    Muhimu kutizama ticket yako ujue unakwenda wapi

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Месяц назад

    huyo Mohammed mwenye hiyo office alipofkia huyo bint number yake ya cm ninayo....

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Месяц назад

    kosa kubwa liko upande wa hao mabint kutoroka ofsin iraq sio oman... sheria za ile nchi ziko tofauti kabisaa...kiini cha mzozo huu wote ni hao mabint kujifanya wajanja kutoroka kama kuna tatizo ilitakiwa walisolve hapo hapo na sio kutoroka.

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Месяц назад +1

    Tarehe 28 ya mwezi wangapi

  • @user-wc6wq7rm7x
    @user-wc6wq7rm7x Месяц назад +2

    Kwa Nini Hawa maajjent Kwa Nini wasikamatwe wawarudishe nyumbani.hao wanao wasitakiwe,na serikali ipigwe marufuku kusafirisha kutupotezea watoto.tuangalie yanayo wakuta watateseka,wanarudi walienda wanatembea kinyume wanarudi vichas,wagonjwa,wameisha poteza uhai.inauma sana.lazima lipigiwe kelele sana sana.kuwsnyanganya vielelezo vyote wananyanganywa.huko hakuna utu kabisa,jamani uyasikie.wanateseka.sheria za Nch usipo kuwa na pass huna vielelezo lazima ukae ndani.

    • @mpefu_4936
      @mpefu_4936 Месяц назад +1

      Ila swali langu kwanini wanawapora pass port hiyo inaonekana kwamba wanaweza kukufanyia chochote

    • @Nurukhamis-j8v
      @Nurukhamis-j8v Месяц назад

      Hakuna anae kwenda kuchukuliwa nyumbani kwao akasafiriswa wote huwatafuta maajenti wenyewe

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Месяц назад

    Omani ipo vizur ❤❤❤

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Месяц назад

    Sema ubalozi upo Yemeni saudia hindia na endonesia

  • @mawazoaliselemani8909
    @mawazoaliselemani8909 26 дней назад

    hivi unapouliza maswali unafanyaga hata research?tangu lini iraq kukawa na balozi wa tanzania?

  • @faraj6700
    @faraj6700 Месяц назад

    Wanauzwa watumwa mutakoma mababu music kuwa naakilii.

  • @NapatNapat-x6i
    @NapatNapat-x6i Месяц назад +1

    Mhh da Zali Huyo ajet muongo

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Месяц назад

    Masikini pole ila nchi nyingi hatuna ubalozi hata kugonga viza ni shida tupu😢😢

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Месяц назад +1

    Sasa unaondoka pahala bila ya passport?

  • @HadijaRajabu-pr9di
    @HadijaRajabu-pr9di Месяц назад

    Namjua huyu dada jamani wote wa huko Mtoni Mtongani 😢.

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Месяц назад +2

    Iraq ubaloz wa tz hamna naskia

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Месяц назад

    Huwezi kumpa amri ya kwamba akae hapo hapo wakati hayuko kwenye mamlaka yako umeshamtoa kwenye miliki yako kule atafanya kile anacho ona kitamnasua kwenye hali alionayo allaah amuepushe na shari

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 5 дней назад

    Sasa nawewe mtangazaji watu wamefungiwa watajuaje ubalozi 😅

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 Месяц назад

    Sasa we mtangazaji kwann umemkatisha esta

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Месяц назад +1

    Na ww mtangazaji umeshidwa kumuuliza huyo argent Kwann unawaambia wanaenda oman alafu unawapeleka nchi nyengine? Kamata argent ana kesi ya kujibu

    • @ireneshao7950
      @ireneshao7950 Месяц назад

      Agent mwenyewe alivyo sema awezi kuongea chochote swala liko wizarani labda ndio maana hakuendelea kuhoji zaid

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074 Месяц назад

    Sawa

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Месяц назад

    Jamani dunia hii , hata mimi nilidanganywa

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Месяц назад

    Ni maumivu pole mzee, lakini nakuomba mtangazaji baada ya hiki kipindi mtafute Agent tumuone kwenye kipindi chako tutayajua mengi

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Месяц назад +1

    Hapo mliweka na ushabiki wa dini.....hao waarabu hamuwajui. Huyo dada mawasiliano alipata wapi......

  • @ibrahimayoub8972
    @ibrahimayoub8972 Месяц назад +1

    Nikweli, iraq Hamna ubarozi wa tz,

  • @faraj6700
    @faraj6700 Месяц назад

    Babumzima unatowa mtoto wakike kwenda ugaibuni hizopesa zakumpa agent ungefungulia biashara.

  • @ashurasaidy6568
    @ashurasaidy6568 Месяц назад +1

    nikweli iraq nikugumu san mim mwenyew niko huku nilikaa ofisin mwezi na siku 10 ila alihamdulilah nilipata kazi sas nina miaka 3 namaliza mwakan

    • @Nurukhamis-j8v
      @Nurukhamis-j8v Месяц назад

      Wao hawakuwa na sbra walitoroka kabla hawajapata mabosi tulikua Ofisini moja naao

    • @ashurasaidy6568
      @ashurasaidy6568 Месяц назад

      Aisee mtihani kweli subra inahitajik San kwakila jamb kwahy we ulipat kazi

  • @OmanOman-gz6bp
    @OmanOman-gz6bp Месяц назад

    Iyo miajent mishenzi km nini ukipat matatzo hailusaidiii mbwa awa

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Месяц назад +2

    Kosa la kwanza walitoroka iraq wanashelia Kali sana wapo sehemu gani maana nipo Iraq mwaka wa nne

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Месяц назад +1

      Basi mtafute mwenzio
      Kwa hiyo hiyo tiket yake hakuoneshwa anaenda wapi

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Месяц назад +1

      @@FatimaAli-of4gh namtafutia wapi Iraq unafakiri kama Tanzania hao wasichana wana matatizo

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 Месяц назад

      Falme za kiarabu mtafute mwenzio io kuonana tu insh​@@FatimaAli-of4gh

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 Месяц назад

      Mm pia nipo iraq mwaka3

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 Месяц назад

      ​@@sharifabahar9905matatizo tena makubwa kwann watoroke ofisini

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 Месяц назад +1

    Mtangazaji aliyesomea, hawezi haribu taarifa nzuri kama ya huyo mzee. Tubadirike, Mzee huyo anahaki ya kuilalamikia serikali kwani yote yametendeka chini ya serikali, serikali inawajibu wa kujua Watanzania wote walio nje ya Nchi na hali zao, hivyo itakiwa kuingilia kati hiyo issue siyo huo ujanja janja wa Dalali wao, Pili Mtangazaji kwa faidq yake amekatiza maongezi ya Easter ambayo ni msingi wa habari hiyo, kwann, naue kapewa hela asiibue kinachoendelea kule. Global TV mmefeli kwenye hii issue, kwani mmetioa mianya ya Rushwa. Nanyi ni wala Rushwa sasa.

  • @KhadijaDija-ir2hq
    @KhadijaDija-ir2hq Месяц назад

    Magenta wana shida sana kwa kweli hawana utu wanachojua wao kukucharge pesa wakati maboss wanalipa kila kitu na ukeshafika nchi husika hawakushughulii tena wallah kesho kwa mungu watajibu kwa hilo

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Месяц назад

    Maajenti

  • @Didah655-x9e
    @Didah655-x9e Месяц назад +3

    Number yake ya cm nimsaidie alud

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Месяц назад

    Namimi namalizia huku nitoke nipo mpakani na uturki

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Месяц назад

    Bada huyu bint ungempeleka shule kuliko kumruhusu kwenda huko niletee nimuoe yangu ni hayo

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Месяц назад

    Mimi nilipokuwa kwenye harakati za kuja ugaibuni niliombani mikataba ya Kazi . Duuuuuuh agent aliniambia kuwa mkataba utaukuta huko kwa bosi kumbe niuongo yaani maagenti ni matapelisana

  • @evvyyurek1862
    @evvyyurek1862 Месяц назад

    0FFECEN hapo mimi nimekaa miaka miwili na miezin3

  • @evvyyurek1862
    @evvyyurek1862 Месяц назад

    Kazi zipo ila tunakua wengi nchi tofauti

  • @AshuuuBakari
    @AshuuuBakari Месяц назад

    Utafutaji una mambo mengi cha msingi meendeeni taratibu ajenta maana Iraq .Lebanon. Qatar. Dubai muhimu kuweni na subira hao wsko kwa ajenta huenda yy hakapata boss

  • @mwanamwana8149
    @mwanamwana8149 Месяц назад

    Fahadi ndi zake uyo😢😢ata mm nipo iraq 🇮🇶

  • @hyy4114
    @hyy4114 Месяц назад

    Hao maagent wa Tz mungu anawaona wanatusaidia kutusafirisha lkn kwenye usimamiz hawapo kabsa ukimpa pesa tu kama sasa hivyo Laki 5 kinachofatia Hawakusaidii Kbs mtu unateseka mpk basi

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад

    Kweli kabsa watuy wawe makon wallah mtihan

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Месяц назад

    Daa baba alivyosikia sauti ya agenti katoa macho na moyo wa matumaini mwanae arudi inauma sana, inabidi maagenti washitakiwe wanawapotezea muda mtu kaacha watoto wanajua mama kaenda kazini hii sio sawa,magenti wao wanalipwa wao wakilipwa wanakuwa kama wanakutupa utajuwa mwenyewe.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Месяц назад

    Mbona hata omn wanawekwa ndani ukikosea

  • @milimsabaha9370
    @milimsabaha9370 Месяц назад

    kweli hakuna ubalozi 😢😢

  • @abedsaidy7263
    @abedsaidy7263 Месяц назад +2

    Iraq hakuna uhaloz wa tazania nikweli mm nipo huku mwakawa6 hakuna uhaloz huku ukipata tatzo wajisimamia mwenyewe

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Месяц назад +1

    Nchini za kiarabu hakika ni nchi za kipagani hazina utu wala dini hakika najivunia kuwa ndani ya kristo YESU ,hakika waarabu siyo watu kabisaaa ,mbona nchi za wazungu pamoja na mabaya yao lakini hawana manyanyazo na watu ila waarabu mbona hawana dini ni wapagani

    • @naimajuma647
      @naimajuma647 Месяц назад +2

      Huna ulijualo wewe unaongea utoporo tu manyanyaso hayaangalii taifa wala kabila ni huruka ya mtu tu ata ndani ya tz wafanyazi wananyanyaswa sana tu na hao wazungu ndio kabisaa useme wao sheria inawabana

    • @FatumaSaid-t4r
      @FatumaSaid-t4r Месяц назад

      Kwa taarifa yako.hao wanzungu unaojinasibu nao wengi wao wameshasilim.

    • @africa7479
      @africa7479 Месяц назад

      papa aliyeruhusu ushoga naye ni muisilamu pia

  • @ShemsaKiobya-x8h
    @ShemsaKiobya-x8h Месяц назад

    Mashariki ya mbali sithubutu kuna mwarabu alitaka niende Kuwait niligoma kabisa

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 Месяц назад +1

    Isije ikawa ni human trafficking for human organs harvesting.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Месяц назад

    Sio umasikini bali ni tamaa kwani hapa hakuna pesa na yy ni mwanamke mambo ya kutaka kujifanya wapambanaji kama wanaume acha yawakute si mwasema mnaweza haya wezeni wengine wanaenda kuuzwa

  • @gracemsaki1561
    @gracemsaki1561 Месяц назад

    Ni sauda na rozi limefikia wapi mwanangu zariamu?

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 Месяц назад

    Hata ubaloz ungekuwepo wasingemsaidia,balozi za tanzania nyingi hazina msaada kwa watz pindi wakipata matatizo nje ya nchi

  • @mauwaadidaa9994
    @mauwaadidaa9994 Месяц назад

    Uyo ajent fahad km namjua miyayusho mno

  • @evvyyurek1862
    @evvyyurek1862 Месяц назад

    Tunaishi wafanyakazi tu

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m Месяц назад

    Naona katengeneza paspoti ya omani kumbe wamemteka

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Месяц назад

    Mi naona wa tz haijambo, jamani Kenya wana kipindi kabisa cha Gulf Saga, ni Hatare na nusu, kwa kifupi Arabuni ni mtihani bora kwenda ulaya

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Месяц назад +1

    Mzee yupo serikalini ahaaaahaa

  • @evvyyurek1862
    @evvyyurek1862 Месяц назад

    Kwasababu nchi ya vita mimi niliishi kurdstan IRAQ

    • @evvyyurek1862
      @evvyyurek1862 Месяц назад

      Naijua vizuri IRAQ hawana shida lakini

    • @evvyyurek1862
      @evvyyurek1862 Месяц назад

      Uvumilivu tu nchi zote maisha uvimilivu

    • @evvyyurek1862
      @evvyyurek1862 Месяц назад

      Mimi nilianza 0man nikaenda IRAQ sasa hivi nipo Dubai sharjaa

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Месяц назад

    Alikuwa anaenda uturuki au alikuwa anaenda Oman? Mbona siku faham hapo

    • @asiansky9767
      @asiansky9767 Месяц назад

      Aliahidiwa Oman.....akaambiwa anaenda uturuki lkn baadae kapelekwa Iran

  • @gracemsaki1561
    @gracemsaki1561 Месяц назад

    Naomba no yako ya wsp zariamu

  • @evvyyurek1862
    @evvyyurek1862 Месяц назад

    Mimi sasahivi niko Dubai

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Месяц назад

    Miaka 37 ni bint mbona hamjui umri wa kuitwa bint