MAKONDA AMWAMBIA MAKAMU MPANGO - ''NIMEKULA KIAPO na WADUDU - WATALINDA USALAMA''...
HTML-код
- Опубликовано: 30 апр 2024
- MAKONDA AMWAMBIA MAKAMU MPANGO - ''NIMEKULA KIAPO na WADUDU - WATALINDA USALAMA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mweshimiwa Rc MR Makonda nakuombea kwa mwenyezi mungu akuzidishie maisha marefu nakuombea Kila mara mungu akuzingushie damu Yake ikulinde ktk maisha Yako ktk huai wako wote.nakupenda sana.endelea na nguvu zako usirudi nyama.
Baba chapa kazi usiogope mtu au maneno kusemwa kupo uwezi kukwepa.ww angalia kazi kwa kwenda mbele rekebisha paliko kosewa.nakupenda Sana Kwa kujitoa tukipata watu watano km wewe nchi yetu itakuwa ya kusimuliwa kihistoria.
Amen
Mbona kama anazungumza kama ni kikao cha chama.
Rais wangu Samia tunakuomba wastaafu tuongeze Pay ya kila mwezi.Tunayopata hatoshi hata kulipia maji na umeme ni kidogo mno.Mtu kwa mwezi sh.100000 200000.yaan Rais tunapata wakati mgumu.❤❤❤
Nani km makonda Mungu akulinde baba 🎉❤❤🎉🎉
Rais wangu Samia ongera sana kwa kumchagua Makonda kuingiza Arusha.Yaan Makonda Moto sana.Ongera Mwanangu Makonda❤❤❤❤❤
Kazi kazi tu, hakuna kulaza damu
Makonda Tz inamkubali sana sio uongo
Makonda hupo vizuri sana mama Samia makonda kahamsha arusha naomba mama Samia makonda hakae miez.6tu arusha haje Kilimanjaro hapo mchezo humekwisha hapewe huwazir hiyo kichwa mungu hambarik
RC. Makonda ndiye Rais awamu ya 7 kadri ya mapenzi yake Mungu
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
❤❤❤❤❤kabisaa
Mwaka huu 2024 sherehe ya wafanyakazi atawachapa viboko
Makonda anaakili nyingi sana
Chadema ni kama kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍
❤❤
Makonda piga kazi
Nitakoroga 😅😅
Viongozi wote wakikuwa kama makonda 2025 wakipata kura ila mama ao viongozi wake wengine ndio sio
Arusha Kumenoga hatri
Makonda wewe nijembe
RC Makonda fanya kazi mungu ndo mlinzi wako mkubwa.unachokifanya ww wengine kujitoa km ww unavyo fia wananchi wako wakati si ndg zako wa kuzaliwa nao.ila unaipenda nchi Yako Acha chama km chama naomba ukipata muda nitafute mwanangu au kakangu.
Naomba awe rais ,,,❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤