Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
Wakikushinda mamilioni,washinde Tabia nzuri - Shekh Othman Maalim
HTML-код
- Опубликовано: 9 апр 2022
- Sheikh Othman Maalim akizungumza mitihani ya zama tulonazo sasa,zama zilojaa wabomoaji wengi kuliko wajenzi.Vile vile ametupitisha katika visa mbalimbali vitamu vevye mazingatio
Napenda sana mawaiza Yako na tunakupenda sana kwa ajili ya Allah mung akujaalie umri mrefu wenye kher na baraka inshaallah
Mwenyezi Mungu aku zidishiye sheikh,siku zako kuheishi hapa dunia.
Mawaiza matamu sana zenye faida,kwa familiya.
Allah awahidi watt wetu na watt wa wenzetu ya rabb
Assalm alykum shekhe langu Masha Allah Nakupenda Kwa Ajili ya Allah
Allah awape afya wahadhr wetu
Jazakallah khayran
Aslm my shekh nikweli kabisa wenyekuvunjaa ni wengii hakunahesabuu subhanaallah
Asalamu alikumu warHmatulahhi wabarakatuh shukrani sana kwa mawaiza mazuri sana Allah akupe umuri murefu na mwisho mwema sheikh othman maalim 😅
We love you sheikh othman malim
Allah azidi kukuhifadh na kukusitir tuzidi faidika na mawaidha shekh
احب ان استمع موعظتك ياحبيبى الله يرعاك
Maashaallah
kipenzi ca jami namimi pia Allah akuhifadhi
Love love to much sh Othman maalim
Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim Allah akulipe kher Jannah inshallah 🙏
napenda mno mawaidha yako shekh Allaah akuhifadhi.
Mashaallaah sheikh wetu, twakupend sana babangu, wajina Ibnul Othman
Subhanallah
Nakupenda kwajili ya Allah....mungu akupe umri na afya
Mashaallah tabaraka rahman
Allh akupe afya shekh wetu
Salam waleikum tu na shukuru na hutuba
.mashallah
Jazakumullah kheir
Mawaitha yanafundisha mengi na kukumbusha mungu akuzidishie
Masha Allah Very good
Mara ingine kukosa ni kukingwa, Masha'Allah!
Sahh
Shukrani sheikh othman
@@biharamulourban4542 Marshall i wish maustazi wangekuwa na tabia km yk na hakma wote tungekuwa waumini has haswa nakupenda kw ability ya Allah
Maashallah.wallah nakupenda kwa ajili ya allah.nayapenda mawaidha yako mno.Mungu akupe maisha. Marefu uzidi kutuelimisha
Ulivyomsilimisha Bin Salim nasikia mwili woe natetemeka Kisha nimeiona nalia machozi ya furaha.jamani hebu ingizeni kwenye dini ya kweli Maashallah
8
Allah akukubali Sheikh Othman Maalim