Dakika 25 za hoja ya Mbunge Ole Sendeka, Mawaziri waingia 18 za Spika Tulia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июн 2024
  • Spika w Bunge, Dk Tulia Ackson ameielekeza Serikali ikafanyie kazi madai ya mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka kwamba Serikali imepanga kuchukua vijiji 80 vya wafugaji wa Simajiro na vijiji vingine kadhaa vya wafugaji wa maeneo mingine kwa ajili ya hifadhi ya wanyamapori.
    Hayo yametoke bungeni leo Jumatatu ya Juni 3, 2024 wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo Spika alitoa maelekezo hayo baada ya maelekezo yake ya kwanza ya kumtuma Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) anayeshughulikia Elimu, Zainabu Katimba kumtafuta Mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota ili aeleze kama aliandika barua hiyo.
    “Nimepokea barua hapa kutoka kwa mheshimiwa Ole Sendeka hii barua imeandikwa na mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota (amekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro toka Agosti 2021).
    “Mheshimiwa Naibu Waziri wa Tamisemi huyu bado ni mkurugenzi wa Simanjiro (sauti zikasikika ndiyo). Mheshimiwa Naibu Waziri hebu nenda hapo nje mpigie simu kuhusu hii barua.
    Barua imeandikwa kwa ofisa mtednaji Kijiji cha olcholoni tarehe 16 tathmini ya maeneo yenye wanyamapori katika mapori ya Simanjiro na Berela na Simanjiro Kitiangare. Mkurugenzi akaseme aliandika hiyo barua au hapana.”
    Tazama zaidi.

Комментарии • 46

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 20 дней назад +3

    Naiomba sana Serikali yetu ifike wakati wabunge wakifika umri flani wastaafu Kwa MASLAHI ya taifa letu

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 21 день назад +3

    Kwa hio tuseme waziri hawanui kazi zao kweli speaker uko sawa,endelea kuwaelimisha tu

  • @Olerumas
    @Olerumas 10 дней назад

    Spiker be blessed ww ni kiongozi nimependa sanaaa hoja zako

  • @shomari_Msumi
    @shomari_Msumi 22 дня назад +4

    Ole Sendeka👏👏

  • @josephmilandononi1096
    @josephmilandononi1096 22 дня назад

    Safi Sana Mh Speaker Dr Tulia kweli wewe ni Rais wa Dunia.

  • @lomunyaklesikar
    @lomunyaklesikar 19 дней назад

    Kweli Baba mungu akupe ulimi Safi ile uteteye Sisi Wana simanyiro

  • @benny4345
    @benny4345 22 дня назад +2

    Kwa mara ya kwanza, nimependa Tulia alivyoshughulika na jambo hili. Wanarukaruka tu hawataki kukubali wala kukataa.

  • @MossesiMosessilaizerlaizer
    @MossesiMosessilaizerlaizer 21 день назад

    Thank you mh ole sendeka ilove you mh

  • @SARAHKATAGIRA
    @SARAHKATAGIRA 19 дней назад +1

    Ni Bora ktk huo mkoa wampeleke makonda ndoo atamaliza utata

  • @mkondomkondo4721
    @mkondomkondo4721 18 часов назад

    Angalia wapiga debe wengine,umezeeka hujui unachokiongea,eti samia hafananishwi,hiloooooo...

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i 20 дней назад +1

    Jenista ni mtu wa hovyo cjawai kuona

  • @Rokonga
    @Rokonga 3 дня назад

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 18 дней назад

    Kumbe ole sendeka nawe unapoint eeeeeh

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm 19 дней назад

    Bado Tanzania tuko mbali sana hiyo taarifa Ina mwenye kiti aliyesimia timu na walilipwa posho Sasa bunge lilitakiwa kuagiza kamati iitwe iseme ilitumwa na nani

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 21 день назад +3

    Mh.Spika utapata kazi sana kwa maamzi uliyoanza kuyachukua ya kusimamia hoja za Wabunge .Mawaziri wako matapeli sana na ni waongo sana

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 16 дней назад

    Kama mawaziri wenyewe ndo hawa ukweli hatuna viongozi Tutaendelea kuwa omba omba milele.

  • @OlaIseya
    @OlaIseya 21 день назад

    Tendeni haki

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od 21 день назад

    Lipo bwana kaskazini ni mbaya Sana kwa mgogoro ya ardhi yote imekua pori tengefu

  • @HassanMkotya
    @HassanMkotya 20 дней назад

    Kuna mawaziri dhamana waliyonayo si haiba yao.

  • @joelilukumay9137
    @joelilukumay9137 22 дня назад +2

    Mh spika Tulia Ackson, nimekukubali kwa jinsi unavyoonyesha ushirikiano na mh Cristopher Ole sendeka ili kuwatetea wananchi wanyonge. Yawezekana kuna ujanja ujanja. Mh waziri atamke kua jambo hilo hamna ili kuondoa wasiwasi kwa wananchi. Mungu akubariki sana mh Tulia Ackson spika wa bunge. Hio ndio uongozi inayotakiwa.

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 21 день назад

    Huku makonda ana piga spana huku wengine wanafanya yao dah noma sana 😂😂😂😂😂

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 19 дней назад

    Kime uka waparurana wenyewe. Kwa wenyewe

  • @RichardMgweno
    @RichardMgweno 20 дней назад

    Tukuite chawa

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 21 день назад

    Hawa mawaziri janjajanja nawasiwasi na elimu zao

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 21 день назад

    semeni tu mnasubiri uchaguzi ipite 🤣🤣🤣 acheni kutuzungusha zungusha na vitambi vyenu

  • @user-kv2cx8kx4j
    @user-kv2cx8kx4j 22 дня назад

    Baba waseme tu ukweli wanaficha siri kwanza mpaka wachaguliwe kwanza ndiyo watasema ukweli

  • @DanielLambalelo
    @DanielLambalelo 21 день назад

    Serikali tatueni shda kwa wananch

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 21 день назад

    asante sana kaka yetu olesendeka pole sana kwa shambulio la kutaka kuuawa je serekali inasemaje je nauliza. Wanyama wanapotuvamia mbona sisi wamasai atuwakamati lakini sisi ngombe zetu zinakamatwa na kuuzwa na je nauliza wabunge mkowapi mmelala usingizi tunataka katiba mpya nilazima watanganyika nilazima tujikomboe kwa asante sana wenu Simba sauti ya wanyonge tupewe haki

    • @aloycemruma6552
      @aloycemruma6552 21 день назад

      Hao Watu ni wajanja wajanja chenga ni nyimgi baadae litakwepo

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 дней назад

      ​@@aloycemruma6552Hilo lilishapitishwa wanasubiri wakishapigiwa kura waliweke wazi na madharau kibao

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 17 дней назад

    Huyu mama Jenister ndiyo waziri wa hovyo kuliko wote kwenye hili baraza

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 22 дня назад

    Shameful

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 22 дня назад

    Waarabu ni watu waajabu saana Wana mapesa isiyo na kazi . Soma historia kuna kipindi walinunua visiwa pamoja na kilomita kumi za Tanganyika toka baharini. Nakumbuka kabla ya 2010 kuna mmoja aliuziwa toka Kigamboni mpaka kimbiji akaweka mabango hakuna kilichoendele. Juzi nilishangaa hawa dpworld tuliambiwa wamechukua bandari zote kumbe wamekodishiwa gati 7 tu! na wao hawapo wameweka wahindi tu cio!

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i 20 дней назад +1

    Ccm ni wahuni kama wahuni wengine

  • @johnlaizer5925
    @johnlaizer5925 18 дней назад

    Mungu wetu tulindie mtetezi wetu

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 19 дней назад

    Kwanini mpo hivo nyie watanzania? Mlisena maguful ni Rais wa mfano kwa uongoz wake mzur, mlimsifia hadi saaana, leo samia ni bola kuliko marais wote waliopta. sasa nyie ni machawa zaid ya baba levo na mwijaku.

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 22 дня назад

    Hizi pesa zinazopotea kuwalipa kijiji ni bora wajenge fance ya umeme kuzunguka hifadhi zetu na mtakuwa mmemaliza migogoro isiyokuwa na sababu,kwani hata hawa wabunge wengi wao wana yao nyuma yake.

  • @user-kv2cx8kx4j
    @user-kv2cx8kx4j 22 дня назад

    Ole sendeka aliwahi kusema hawaniwatapeli tu watu kuwanyang'anya watu maenewo yao hata raisi hausiki mimi naona hilo jambo lifutwe tu halipo kabisa niwajanjanja wanataka kutapeli watu maenewo yao

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 дней назад

      Asikudanganye mtu hii imetoka juu hakuna linalopitishwa bila raisi kusaini wanasubiri wakishapigiwa kura kwanza ndio waliweke wazi

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 22 дня назад

    Serikali imeikana, maana yake ni taarifa feki!

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 22 дня назад +1

    Du kumbe umalaya wa kisiasa unarejea taratibu! Unamlinganisha rais wa kudra na waliopita? Wamasai wenzio wanafukuzwa wewe unasifia ujinga mtupu? Nilikuwa nakuheshimu sana Ole Sendeka sasa sikuheshimu tena.

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 21 день назад

    Umeona kama uchawi hali hii instesa taifa kwani historia ya ofisi hawakabidhiani Mtu anaingia ofisini kwa mihemko