Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2024
  • 🔴#Live: ARUSHA MOTO UMEWAKA - TAZAMA MASHINDANO ya PIKIPIKI - MWAMPOSA - MAKONDA WAKISHUHUDIA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 67

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @ChugaboyLaizer
      @ChugaboyLaizer Месяц назад

      Tz kuwe na helkopta kwa ajil yakushot vidio za ju kuwe kama mambele

  • @Nakomotosimfukwe
    @Nakomotosimfukwe Месяц назад +6

    Mheshimiwa Paul Makonda,
    Napenda kukushukuru kwa dhati kwa juhudi zako kubwa unazofanya katika kuendeleza na kuboresha Arusha. Uongozi wako umeleta mabadiliko makubwa na tumeshuhudia maendeleo katika sekta mbalimbali kama vile elimu, afya, na miundombinu. Tunatambua na kuthamini kazi yako ngumu na kujitolea kwako katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na mazingira bora ya kuishi. Asante kwa uongozi wako thabiti na kwa kuwa mfano mzuri wa kiongozi anayejali maendeleo ya watu wake. Tunakuombea mafanikio zaidi katika kazi zako zote za sasa na zijazo.

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @amedeustesha5947
    @amedeustesha5947 Месяц назад +2

    Makonda unajua Tena unajua sana maana halisi ya kiongozi

  • @daudkindy8062
    @daudkindy8062 Месяц назад +1

    Ishaallah Makonda namuona atafika mbali sana kwenye uongozi wake

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Месяц назад +1

    Amewatibu Sasa Sasa kazi inaendelea Asante makonda

  • @nangatukatalks
    @nangatukatalks Месяц назад +2

    ​​hii ndio aina ya viongozi tunaowataka leadership ni kuwa na maono makubwa makonda endelea kuwa mfano wa kiongozi bora baada ya mama samia sisi vijana tutakusimika kama Raisi wetu

    • @prosperitymaarifa3324
      @prosperitymaarifa3324 Месяц назад +1

      hakika huyu ndio kiongozi wetu badala vijana kuvuta bangi..kaleta ubunifu.wanaonyesha vipaji vyao

    • @WazirJuma-gd5oo
      @WazirJuma-gd5oo Месяц назад +1

      Khakika Makonda wewe ni no nyengine

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Месяц назад

    Kwakweli leo nime enjoy sana. Nimekaa kwenye screen mwanzo mwisho. Big up Paul Christian MAKONDA.

  • @user-yh1hv8su8c
    @user-yh1hv8su8c Месяц назад +1

    Makonda uko vizuri ktka uongozi wako

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 Месяц назад +2

    Hongera sana makonda umeuchinja

  • @philipjoseph5931
    @philipjoseph5931 Месяц назад +4

    Mpiga picha tumia drone

  • @bockerNyarusahi
    @bockerNyarusahi Месяц назад +2

    Binafsi huu mchezo naupenda sana,Makonda pamoja na mapungufu yake kama Mwanadamu,ana mengi mazuri,hasa kwenye suala la usimamizi wa jambo fulani,Wakuu wa Mikoa wengine wamelala fofofo,hata hawajielewi kabisa,hovyo kweli

  • @user-mc3du2rz8l
    @user-mc3du2rz8l Месяц назад +6

    WIZARA YA MICHEZO ...MBONI MMELALAA A, MNASHINDWA KUJIONGEZA , UBUNIFU AMMNA ?

    • @africanreaction8501
      @africanreaction8501 Месяц назад +1

      Kabisa af mpaka saivi wapo kimyaa ata kutia mkoo aahaaaaa

    • @MahdouMomba
      @MahdouMomba Месяц назад +1

      wizara hata kupiga simu tuu kumpongeza Makonda, daaahh, tutafika tuuu

    • @MahdouMomba
      @MahdouMomba Месяц назад

      Kwa vitu kama hivi, jamaaa hata akipewa wizara ataisimamia vizuri sana tuuu, na Tanzania tunaweza kurudi na kombe kwenye kila michuano, maana vijana watahamasika sana

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 Месяц назад +2

      Hii wizara ya Sanaa na michezo wanajua Simba na Yanga na Mama ndio huko anapowapa hela

    • @MahdouMomba
      @MahdouMomba Месяц назад +2

      huu ni mwanzo mzuri tutaomba wizara itutafutie mdhamini wa huu mchezo as soon as possible, ili vijana wapate ajira za kudumu.

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Месяц назад +1

    Makonda oyeeee

  • @GloryAkyoo-um7zv
    @GloryAkyoo-um7zv Месяц назад

    😅😅makonda weeee baba weeeee hakika leo nimeinjoy mno big up

  • @user-yh1hv8su8c
    @user-yh1hv8su8c Месяц назад +1

    Tangia uingie arusha mambo yamekuwa shwar

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Месяц назад +2

    Wana ccm wanatakiwa wakubali tu na waache wivu wa majukwaani

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Месяц назад +2

    Sijaona vikwazo vigumu

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba Месяц назад +2

    Makonda anajipigia kampeni mwenyewe kwa vitando na utendaji bora uliotukuka, siku akiamua kuchukua fomu ya uraisi kama mgombea huru, mgombea binafsi atapita bila kupingwa.

  • @michaelangelbert8352
    @michaelangelbert8352 Месяц назад

    Kiongoz mbunifu. ❤

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Месяц назад +1

    Eti kila wilaya ,wizara kuna afisa michezo wa kula mshahara tu

  • @MwasitiMasauni
    @MwasitiMasauni Месяц назад

    🎉🎉🎉makonda 🎉🎉🎉

  • @TitoKavina
    @TitoKavina Месяц назад

    Safi

  • @bilid4128
    @bilid4128 Месяц назад +2

    Inatakiwa viwanja kwa ajili ya huu mchezo,kwa hilo vumbi linaweza kusababisha ajali .Vumbi likitanda huoni mbele unaweza kugongwa na anayekuja nyuma au kumgonga aliyembele

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd Месяц назад

      Viwanja hivyo hata ulaya vipo hivyo kuna vya lami na rough road mjomba

    • @RenatusFumbuka-gw4jo
      @RenatusFumbuka-gw4jo Месяц назад

      Ndo viwanja vyake lazima mtu ale vumbi

    • @wilbertkemeli8869
      @wilbertkemeli8869 Месяц назад

      Ndo mashindano ya rafurodi ayo mkuu

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Месяц назад

      Vumbi ndio mantiki yenyewe zipo pia za matope kipindi cha masika. Na hudubiluwa kabisa mvua ikinyesha tu wanakiwasha.

    • @Memorableexoticsafaris
      @Memorableexoticsafaris Месяц назад

      We we ndio huoni mwanagu Wa dar 😅

  • @PeterAlphonce-uh2mc
    @PeterAlphonce-uh2mc Месяц назад

    Safi makonda

  • @DeoglasSarakikya
    @DeoglasSarakikya Месяц назад

    Makonda ningeomb uwe rais wa chuga tyu maana dah

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 Месяц назад

    Mh.sasa viwanja vya Mpira kila kata.

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Месяц назад

    Hv huu nao ni ubunifu huu ujinga kila wakati unaua leo tu zaidi ya vijana 5 wamepoteza maisha

  • @philipjoseph5931
    @philipjoseph5931 Месяц назад +1

    Makonda huishiwi Sarakasi??? 😂😂 duh Hivi Huwa una lala masaa mangapi wewe?? Mwanzo mzuri

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад

    MAKONDA ARUSHA AMEIMUDU VIZURI SAAANA
    KWA UBUNIFU WAKE
    NAVUTA PICHA SIKU MAKONDA AKIONDOLEWA ARUSHA SIJUI IGAkuwaje

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Месяц назад

    Zawadi zikoje

    • @azizlife8674
      @azizlife8674 Месяц назад +1

      10milion kwa mshnd

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Месяц назад

      @@azizlife8674 👍sio kwa mwanzo.. wadhamini wataongezeka kama itakuwa kila mwaka

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Месяц назад

      Kuna Miloni 10, 7, 5, 3 na wote walioshiriki watapata kifuta jasho maana zipo kama Milioni 100.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Месяц назад

    Hivi hata kumwaga maji ili kusiwe na vumbi hamuwezi muwe na waandaaji wenye umakini basi

  • @remideusraymond9880
    @remideusraymond9880 Месяц назад

    Hii mambo ndo chuga tunataka sasa😅

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 Месяц назад

    Saf apo

  • @Johnhamad-bz7go
    @Johnhamad-bz7go Месяц назад

    tanzania bhna kwaiyo hapo tuseme katoa ajira kwavijana uwo ni upuuzi kabisa

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Месяц назад

      Wewe ndiye mpumbavu hujui kama wameingiza fedha leo hao jamaa.

    • @samwelilazaro2835
      @samwelilazaro2835 Месяц назад

      Mtu anapata m10 hapo,kwa mara moja,, kua na mtazamo chanya ndugu kwa mambo kaka haya pia

    • @gwishtztz8784
      @gwishtztz8784 Месяц назад

      Mavivu tu Hawa ndo vijana wahovyo tunawaona kwenye nchii hii hawataku kukubali vya wenzeo hata sku moja mkuu wa mkoa anafanya kaz kweli kweli anastahili kutiwa MOYO na s kubezwa na wapuuz km @johnhamad

    • @nissantoyotaengine804
      @nissantoyotaengine804 Месяц назад

      sasa we ulitakaje

    • @Johnhamad-bz7go
      @Johnhamad-bz7go Месяц назад

      @@nissantoyotaengine804 me sijaongea naww acha shobo

  • @BokaAdam
    @BokaAdam Месяц назад

    😂😂

  • @section8ight174
    @section8ight174 Месяц назад

    Kunyans busy typing & deleting 🤣

  • @user-mc3du2rz8l
    @user-mc3du2rz8l Месяц назад

    🚲🛵🇹🇿💚🇹🇿🛵🏍️❤