Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
🔴
HTML-код
- Опубликовано: 13 июл 2024
- 🔴#Live: ARUSHA MOTO UMEWAKA - TAZAMA MASHINDANO ya PIKIPIKI - MWAMPOSA - MAKONDA WAKISHUHUDIA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Tz kuwe na helkopta kwa ajil yakushot vidio za ju kuwe kama mambele
Mheshimiwa Paul Makonda,
Napenda kukushukuru kwa dhati kwa juhudi zako kubwa unazofanya katika kuendeleza na kuboresha Arusha. Uongozi wako umeleta mabadiliko makubwa na tumeshuhudia maendeleo katika sekta mbalimbali kama vile elimu, afya, na miundombinu. Tunatambua na kuthamini kazi yako ngumu na kujitolea kwako katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na mazingira bora ya kuishi. Asante kwa uongozi wako thabiti na kwa kuwa mfano mzuri wa kiongozi anayejali maendeleo ya watu wake. Tunakuombea mafanikio zaidi katika kazi zako zote za sasa na zijazo.
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Makonda unajua Tena unajua sana maana halisi ya kiongozi
Ishaallah Makonda namuona atafika mbali sana kwenye uongozi wake
Amewatibu Sasa Sasa kazi inaendelea Asante makonda
hii ndio aina ya viongozi tunaowataka leadership ni kuwa na maono makubwa makonda endelea kuwa mfano wa kiongozi bora baada ya mama samia sisi vijana tutakusimika kama Raisi wetu
hakika huyu ndio kiongozi wetu badala vijana kuvuta bangi..kaleta ubunifu.wanaonyesha vipaji vyao
Khakika Makonda wewe ni no nyengine
Kwakweli leo nime enjoy sana. Nimekaa kwenye screen mwanzo mwisho. Big up Paul Christian MAKONDA.
Makonda uko vizuri ktka uongozi wako
Hongera sana makonda umeuchinja
Mpiga picha tumia drone
mnunulie boss
Binafsi huu mchezo naupenda sana,Makonda pamoja na mapungufu yake kama Mwanadamu,ana mengi mazuri,hasa kwenye suala la usimamizi wa jambo fulani,Wakuu wa Mikoa wengine wamelala fofofo,hata hawajielewi kabisa,hovyo kweli
WIZARA YA MICHEZO ...MBONI MMELALAA A, MNASHINDWA KUJIONGEZA , UBUNIFU AMMNA ?
Kabisa af mpaka saivi wapo kimyaa ata kutia mkoo aahaaaaa
wizara hata kupiga simu tuu kumpongeza Makonda, daaahh, tutafika tuuu
Kwa vitu kama hivi, jamaaa hata akipewa wizara ataisimamia vizuri sana tuuu, na Tanzania tunaweza kurudi na kombe kwenye kila michuano, maana vijana watahamasika sana
Hii wizara ya Sanaa na michezo wanajua Simba na Yanga na Mama ndio huko anapowapa hela
huu ni mwanzo mzuri tutaomba wizara itutafutie mdhamini wa huu mchezo as soon as possible, ili vijana wapate ajira za kudumu.
Makonda oyeeee
😅😅makonda weeee baba weeeee hakika leo nimeinjoy mno big up
Tangia uingie arusha mambo yamekuwa shwar
Wana ccm wanatakiwa wakubali tu na waache wivu wa majukwaani
Sijaona vikwazo vigumu
Angalau wameanza, naamini wataboresha zaidi, vijana wamehamasika Sana..
Makonda anajipigia kampeni mwenyewe kwa vitando na utendaji bora uliotukuka, siku akiamua kuchukua fomu ya uraisi kama mgombea huru, mgombea binafsi atapita bila kupingwa.
Kabisa
Kiongoz mbunifu. ❤
Eti kila wilaya ,wizara kuna afisa michezo wa kula mshahara tu
🎉🎉🎉makonda 🎉🎉🎉
Safi
Inatakiwa viwanja kwa ajili ya huu mchezo,kwa hilo vumbi linaweza kusababisha ajali .Vumbi likitanda huoni mbele unaweza kugongwa na anayekuja nyuma au kumgonga aliyembele
Viwanja hivyo hata ulaya vipo hivyo kuna vya lami na rough road mjomba
Ndo viwanja vyake lazima mtu ale vumbi
Ndo mashindano ya rafurodi ayo mkuu
Vumbi ndio mantiki yenyewe zipo pia za matope kipindi cha masika. Na hudubiluwa kabisa mvua ikinyesha tu wanakiwasha.
We we ndio huoni mwanagu Wa dar 😅
Safi makonda
Makonda ningeomb uwe rais wa chuga tyu maana dah
Mh.sasa viwanja vya Mpira kila kata.
Hv huu nao ni ubunifu huu ujinga kila wakati unaua leo tu zaidi ya vijana 5 wamepoteza maisha
kwahiyo tukusaidieje
Makonda huishiwi Sarakasi??? 😂😂 duh Hivi Huwa una lala masaa mangapi wewe?? Mwanzo mzuri
MAKONDA ARUSHA AMEIMUDU VIZURI SAAANA
KWA UBUNIFU WAKE
NAVUTA PICHA SIKU MAKONDA AKIONDOLEWA ARUSHA SIJUI IGAkuwaje
Zawadi zikoje
10milion kwa mshnd
@@azizlife8674 👍sio kwa mwanzo.. wadhamini wataongezeka kama itakuwa kila mwaka
Kuna Miloni 10, 7, 5, 3 na wote walioshiriki watapata kifuta jasho maana zipo kama Milioni 100.
Hivi hata kumwaga maji ili kusiwe na vumbi hamuwezi muwe na waandaaji wenye umakini basi
Hii mambo ndo chuga tunataka sasa😅
Saf apo
tanzania bhna kwaiyo hapo tuseme katoa ajira kwavijana uwo ni upuuzi kabisa
Wewe ndiye mpumbavu hujui kama wameingiza fedha leo hao jamaa.
Mtu anapata m10 hapo,kwa mara moja,, kua na mtazamo chanya ndugu kwa mambo kaka haya pia
Mavivu tu Hawa ndo vijana wahovyo tunawaona kwenye nchii hii hawataku kukubali vya wenzeo hata sku moja mkuu wa mkoa anafanya kaz kweli kweli anastahili kutiwa MOYO na s kubezwa na wapuuz km @johnhamad
sasa we ulitakaje
@@nissantoyotaengine804 me sijaongea naww acha shobo
😂😂
Kunyans busy typing & deleting 🤣
🚲🛵🇹🇿💚🇹🇿🛵🏍️❤