Ommy Dimpoz x Alikiba x Cheed - ROCKSTAR!(Official Video) SMS SKIZA 6081999 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Rockstar Africa presents Ommy Dimpoz x Alikiba and re-introducing Cheed in Rockstar. Rockstar is a song that showcased the talented musicians voices and attitude, true Rockstars . This is also a reintroduction of King Music kid Cheed who has a soulful and unique voice who is now making a cameo on the a list artiste league. Check Out the artists social media page for the #AfricanRockstars updates.. The video was shoot in Oman at Jebel Sifah .
VODACOM TANZANIA SMS 8875897 to15577 -
SAFARICOM KENYA SMS SKIZA to 6081999 to 811
For more information check out details on following handles below..
Bookings IG: @sevenmosha
Facebook: ommydimpoz
Twitter: @Ommydimpoz
Instagram: @Ommydimpoz
Snapchat: Ommydimpoz
Hashtags: #OmmyDimpoz #Alikiba #Cheed #Rockstar #RockstarAfrica
ommy dimpoz mungu yupo nawe nakukubali simba wewe ni simba ambao walikuwa hawakupendi mungu yupo na wewe sasa wafumuwe wenye chuki wajinyonge alafu mmekutana wawili nawakubali ma simba wangu
Hayaa Kama unamini Ni wimboo wa Taifa gonga like twende sawaa
Jameni uno wimbo unatoa stress za ulaya walai.. pongezi kwenu rockstar.we love you
Anyone 2024❤
Kila mda naangia nasema ndo mara ya mwisho Harafu najikuta narudia tena kama na wewe unafanya hivyo kama mm Naomba likes
Team kiba kutoka kenya nipeni likes tafadhali kiba you always the ROCK STAR. mature content bro
Tuko hapaaaaa
Ally mauwezo
Welcome
hi tusonge mbele mbona tumeganda
Yar
mnajua adi mnaboa hii ngoma level za international kabisa ufundi kama ote umejazwa ndani aiseeeeee kiba ur the king
Team kibaaa many likes😍... I wish to go in his live concert Ali kibaa
Anhaaaa hii ngoma achana nayo kabisa ..
#king #cheed n #dimpoz ah mmeua jamaa....
#Rockstar
Nyimbo tamu sanaa Kama na ww ni Team kibaa kama mm unaependa mzki mzuri kama mm gonga like hapa chinii twende sawa #RockstarHitsOnly
God
motooooooooo
Mambo ni fire
Good
Yeeeee babaaaaa
hii nyimbo unaombea mkopo bank bila marajesho kama unaamini hii ni ngoma bora ya mwaka weka like twende sawa from +255 code
Baby u'r my rockstar...keep it up yu guy ..happy to see Ommy Amerudi tena radi🙋♀️🙋♀️😘@+254
Hii nyimbo haichshii wazeeeiyaaaaa
asee bonge la ngoma limenigusa kinomanoma.... beat flan ivi amazing, keep on going up ROCKSTAR
Rockstar kiboko ...tuliochelewa tunacoment upande gani...nipeni likes bsi niwasifu
From hospital to the world ...wapi likes za Ommy dimpoz
Hzy
Wimbo safiiii ,,,,hii haina mchawi,,
Wenye chuki zao watakomaaa..
Hii ngmaaa ni shdaaaa aiseee like zang tafadhar twnde cw
This song right here nikali sana all the way from 🇺🇸 🔥🔥🔥🔥bigg up #rockstar gonga like and comments kama unaikubali
Sijawahi kupata like jaman me team KING KING KING KIBA KONK NIPATE JAPO 100
Pamoja team kiba juuu
jamani naangalia pekeyangu au na wenzangu mbona views aviongezeki
Zulfa Ali umenichekesha
Zulfa Ali tukowengi mashabiki jamani
@@nouhmshuza4502 😂😂😂😂🥰🥰
Wapambane n Hali zao wenye ushindana n mziki wa Kings music napenda Sana cheed anavyocheza.
Kiba for really.... Hukoseagi mzee baba pamoja na ommy dimpoz kwa pozii..
Mnaimba balaa,sauti mmejaaliwa...toka nainai tunagonga mavisa
After 4 years am still listening to these Ali k's beat...love these dude
Ngoma kali sana haichoshi kuskiliza hata niwe na my family muda wote tunaiangalia nakuskiliza,big up to ommy,ali k,official cheed,
Ludi Tena kushambulia team kiba tuko taratibu sana
Kabisa tujitaidi
Bombaaaa kibaaa1000
umeonaee
Sasa izi ndio nyimbo unaweza ckiza ata ukiwa na wazazi lkn c za wale jiran zetu za matusi matupu kiwa wawakubali awa mabraza lete like yko karibu tujuwane watu wazima hekma na c matusi 😘😘😘😘😘😘love you guys
Umeona heee nyimbo ya heshima kabisa wako vzr na nyimbo ya maadili kabisa
Jirani zenu Nani hao
😂😂😂😂👏👏👏👏👏.
Bonge la dude hili
Tiffa
Nimesaau kama Jana baca wametufunga kwa hii ngoma shikamo rockstar
On rewind.. tend to listen more of Ali kiba than any other Tz artist
Anae trending no1 atupishe kidogo kwenye nafasi yetu asee 😀😀😀 gonga like na reply ili tuchukue nafasi yetu pendwa no1 on trending #rockstar 💥
Justina Damiane nice song
Yeah
Team kiba juu sana
Alikiba for real...#001 kenyan no 1 fan wacha like if u feel AM A ROCKSTAR🔥🔥💃💃🎵🎶
Hihi ngoma imenifanya nimepata demu wa kimasai haki ya mama big up king kiba all the way from Mombasa 001 cheed uko sawa bro
🤣
King Kiba always the best😎
King kiba umesahauu mstarii mmoja wa shairii ungewaambia na WCB wabakii na kiki zao 🏃🏃🏃🏃🏃
Mcha Chamakh. Umetisha sana
Hahahaaa😂😂😂nimecheka kwa sauti
@@hawamokka3627 😂😂😂😂😂😂angeliuwekaa ingelipendezaaa zaidiii yaaanii
@@zulekhamnyaturu6341 😂😂😂😂😂😂nawakubaliii hawa jamaaa kinomaa angeliuwekaa tuuu huuu mstarii kwa kwelii
😂😂😂
Rockstar number 1 Leo on trending saa sita kweupe
nkkbl king kiba yebabaa cc co wcb tukimba hatutukan ila wcb wakiiimba nyimb yote matuc ndo nyimbo huwa kali hhhhh .kam umependezwa na nyimb gonga like hap .
Nimeanza kuona nyimbo hiyi tangu ilivyo toka adihivi bado nauangaliakama nawewe unaiangalia usikose ku like 🙏🙏
Ngoma ni kaliiii afu Team kiba mimi sijawahi pata like zenu kabisaa 😁🔥
sana
WAP kiba
ngoma Kali sanaaaa
ye babaa
tamu hiii
🔥🔥🔥🔥👌👌👌❤❤❤ huwa hukosei na mumekutana nguli moto sana watabaki na chuki zao
Atari sana Team 🤴 nipe like yako apa kama wewe ni team king
2022 who else is still listening to this masterpiece
Nakupenda bure bure kiba baba utabaki kuwa juu kama bendela la taifa BIG UP GUY'S CHEED wewe mi nakukubali umenimaliza mazima😍😍mtu Wang wafaida OMMY baba ❤❤
Nice video nice song congratulations kings kiba
ALIKIBA naomba niwe mdogo wako kabsa maana nikiwa shabiki naona sifaidi😢😢😢
hahaha umejuwa kunichekesha
😂😂😂
iam official 😂😂😂😂bora uhai
😂🤣😂🤣😂🤣 ukifanikiwa niombee na mm broh.
🔓🔓🔑we ndo baba mwenye nyumba long live king 👑
Yebaba Rockstar, Chiiii! Itabaki Mawinguni mpaka Kileleni
Bombaaa kiba
Kama unampenda king 👑 tokea hapa Canada 🇨🇦 like hapa
Tem kiba kuja hapa like kisha wasssssssshaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Justin wakudat
washa data liangalie goma limepikwa limepikika sio wale wakupanua domo
@@rayanalhabsi8029 apate Domo ajue na kuimba?? 🤣🤣🤣🤣
Nguvu moja team kiba juu sana
Who else anaisikiza huu wimbo 2023
Bababa umeuwa nomasana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😁😁😁
Noma sana kiba
Nawapenda nyimbo zenu hamuimbi matusi ❤
Great music. and excellent musicians with a good musical voice. King Music forever. directly from Mozambique
Kaz safi kabisa hongeleni wote mlio shiliki✔️✔️🎤🎶🎧🎙
All the way from Ghana
Shall out king kiba
I Love song Rock star FroM SoMaLia⭕
Umejikuta na mpende Ommy baada tu ya kuumwa mungu azidi kukupigania bro
mko juu sana mziki nimzur sana
diamond ana kibaruwa ...yebaba omannnnn tuna achia vitu vyetu tukiwa nchi za kifalme....KING KIBAA..kama ume ikubali ngima GONGA LIKE YAKO hapaaaaaa...yeeeeeeeeee babaaaaaaaaaa.....tuna kuja na dunia mpia..wata juwa hawajuwi.
Hivi wanahema hawajijuwi eti sasa amerudi ataachia hits😂. Mashabiki wake wana presure kweli eti toa nyimbo sasa hivi tuone wale wa kiba watasema nini😂😂. Yani wanachekesha kweli. Hivi washachoka na tetema😂😂😂. Hawafikii hii Rockstar ni nyimbo tutacheza kwa siku nyingi hatusahau mziki mzuri kama hao. Yani wao Domo akitoa tu wakuja juu na moto kisha baada ya wiki washachoka. Sisi tuna imani tunangojea haruna haraka.
wana chuki hao tuwaache wabaki na fitina zao WATA TONA tuki towa vitu vpya na tuki waacha midomo wazii...sisi KIBA TUNA KUJA NA DUNIA MPYA....AMA WASEMAJE KAKA....
sisi matusi kwetu no tuna imba kuburudisha jami sio kupotosha jamii
baba sisi kabla tu towe tuna agalia kitu cha kufunika mwaka ..hata tusipo towa nyegine hii mpka mwaka ujao ndio ita isha utamu
Ooooooh wow u guys mtakuwa juu kilelen always
Nyimbo nzuri sana sana sana sana sana sana sana sana sanasana like u
Oooh thank you
hata like zen jaman ngoma kar sana pande zle wakasomeee Kwanzaa tuna gonna maviza tangu nainai
Nawaombea muwe na mziki wa heshima daima nanyi mtapendwa siku zote mungu awahefadhi endeleeni kutupa raha i love you all tum kiba
Kama umeikubali ngoma Kama mm apaa gonna like apaa
always king is kings hahahahaha ngoma Kali like it
@@unstopabletv1195 kabisaaa
Good music in town...! Mtabaki kuwa kileleni
Daudi Chande hahahahaha
Juu juu kileleni
Nice song ever.
Verry nice king music big up hapa mondi haoni ndani
You are my ROCKSTAR💕
Bonge la video👌👌👌
Wenye chuki zao wabaki na fitini zao tuachane nao wapambane na hali zao
King kiba ni 🔥🔥🔥🔥
Can't stop reapiting the song king kiba you are real rockstar 🇰🇪+254
Nice to see you Ommy Dimpoz!!! Am crying!! I thought i would never hear your voice again!! Much love from 254!! God is great!! Yes you are a rockstar!!! Nipelikes hapa za ommy dimples!!
Ngoma Kizazi Sanaaaaa
Mwimbo uyu unatambaha marekani sana
Humo ndan ya video hi ....mfalme nmekukubali....umeua Sana kingkiba ......Ni Moto fire🔥
Akuna ubishi kiba ni mashine kubwa, ila tunaomba tuachie ngoma mara kwa mara, tubaki juu kileleni
Nice track. Rocky star love you guys all the way from Zambia
Napenda hiyo sauti ya cheed inanikosha,king kiba na ommy mtabaki kuwa juu
e
Mkewe ali kiba umekasika nyimbo mbaya kama kundu lako👌👌👌
konki
Eti Mond anataka kutoa nyimbo mpya,, Au anataka kuleta matusi mapya maana matusi yote kashaimba, Haya ngojea tuone
Kiba ndo msani akifa ntalia sana he is the best
A good music,an amazing location!keep it up!
Coz you too..are my rockstars
tujuane team kiba A nice song!!Hommy ameimba tena teh teh teh teh teh teh teh
Tuko hapa
Hehehe Hommy
Pumba tu
@@robertojinha6602 pumbunyo
The best group
from brazil, song ni za heshima sio mitusi kama yaki na tetema
Hussein Munga Allah awajalie maisha malefu
Hussein Munga mkund wako
Ndio maana tunawapenda siku zote
Duuuh ka song katam haka jmn kubali sana brother kiba boy
We officially claim you as ours 254 ?🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰👲🇪
Acheni unafkii nymbo ya kawaida xanaaa hamn kitu hapooo
Umetumwa???
Best of my best from eternity kingkiba do or die
I've arleady watched this a thousand times...
Wow u guys are blessed.
Nyimbo tramu, ujumbe unaeleweka na hakuna matusi
Unaeza angalia hii nyimbo na kila mtu with no shame.. love u guys
Happy
Love from Kenya king kiba and ommy dimpoz ......keep rocking rocksters
Dah! The beat killing me! Ma African rockstar!
Ngoma nooma xana mzeeee nikali balaaaa gonga like mzeee baba
Ally Kidot hatariii mzee baba
Wallah hii ngoma imenifanya nimesahau hata maumivu ya mchumba wang aliyeniacha yaan mpak homa imekata duu hata pressure imeshukA ,shikamoo KING KIBa,faida ya mziki wa kiba hata ikiwa umeokoka unaimba videos Safi no machupi chupi yaan mziki Safi kabisaaaaaa
Seif Zongo Tuko pamoja sanaaaa
marahaba am mr tekashy
Nikiwa APA south Africa Alikiba namkubali sana hii ngoma Kali kinoma gonga like twende saw a
Wale wanaosema nyimbo ni mbaya nawaambia pambaneni na hali zenu na BABA GOD awashinde
👍😂👏
Damn this song is 🔥congrats team rockstar we love you guys.
I really liked that song especially in oman🇴🇲🇹🇿💪🔥😍
Hamed Lol +255
you ride
💘🌏🔥🌚🇸🇧
Cheed alikosea kwenda konde I think he was so comfortable in Kings music pia sauti ilikua inatoka vizuri.....cheeed kama unasoma comment rudi Kings music.
Mwenzenu leo mgomvi wangu wa ck nyingi cndokanisalimia,ili tu ainjoy mziki mtamu sasa na team kiba why tuciingie youtub kuinjoi mziki mtamu tena ndani ya ck tano tufikishe m na nusu😘😘😘😘😾🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Kwa hii umenikisha
Ali kiba atabaki kuwa juu # konki🔥🔥🔥🔥
Wow
Nice
Nomaaa sana mpk Mb zang zinaishia. Haapaa kwa huh wimbo
mick daud pamoja sana
Mashallah nyimbo kari sana
Gus we realy proud of you
# kings 👑 forever
Nakubali oohooo mkubwa wa bongo fleuva Alikiba na Ommy dimpozi mume nikosha moyo na kubali ,,,,
Siku zote Nikiwa upande Wa
king Kiba Hakiharibik kitu
naweza kuangalia video za KING hata mbele ya wazaz bila kuhofia chochote KING FOREVER
Kweli bro this guy is good
Wanaaaaaa spid imepungua tukazeeeeee
Kweli kabisa, tukaze wana